Main Title

source :
Jumatano

20 Machi 2024

13:32:38
1445749

Rais wa Russia awapongeza Wairani kwa mnasaba wa Ramadhani na Mwaka Mpya

Rais wa Russia Vladimir Putin amelipongeza taifa la Iran kwa kwa minasaba miwili ya mwezi mtukfuu wa Ramadhani na kuwadiawaka mpya wa Kiirani wa Hijria Shamsiya ambao umeanza leo.

source :
Jumatano

20 Machi 2024

13:32:14
1445748

Qatar: Tuna matumaini ya kupatikana usitishaji vita Ukanda wa Ghaza

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar amesema kuwa, kumeshuhudiwa maendeleo mazuri kwenye mazungumzo ya kusimamisha vita na ana matumaini mazungumzo hayo yatazaa matunda mazuri.

source :
Jumatano

20 Machi 2024

13:31:47
1445747

Mshauri wa zamani wa White House ametaka Wapalestina wahamishwe Ghaza na kupelekwa jangwani

Mshauri wa zamani wa Ikulu ya Marekani (White House) Jared Kushner amesema, utawala wa Kizayuni wa Israel inapasa uwaondoe Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza na kuwahamishia kwenye jangwa la Negev kusini mwa ardhi zilizopachikwa jina bandia la Israel.

source :
Jumanne

19 Machi 2024

14:37:21
1445557

Forensic Architecture yaishutumu Israel kwa "kufanya mauaji ya kimbari" huko Gaza

Shirika la Forensic Architecture limesema kuwa Israel inatekeleza "ugaidi wa kijiografia" ili kupanua operesheni ya kuwahamisha wakazi wa Ukanda wa Gaza kwa mabavu, likibainisha kuwa hatua hizi zinaonyesha mwelekeo wa kufanya uhalifu wa mauaji ya kimbari.

source :
Jumanne

19 Machi 2024

14:36:50
1445556

BBC kuchunguza matumizi ya mitandao ya kijamii ya wafanyakazi wake baada ya ripota 'kuunga mkono' ujumbe dhidi ya Israel

Shirika la Utangazaji la Serikali ya Uingereza, BBC litachunguza matumizi ya mitandao ya kijamii baada ya mwandishi wake "kuunga mkono" jumbe zinazoilaumu Israel kama utawala wa "mauaji ya kimbari" na kuunga mkono haki ya Wapalestina kupinga uvamizi wa Israel.

source :
Jumanne

19 Machi 2024

14:36:25
1445555

WHO: Oparesheni za kijeshi dhidi ya Rafah zitasababisha maafa halisi

Msemaji wa Shirika la Afya Duniani (WHO) ameitahadharisha Israel kuhusu oparesheni yoyote ya kijeshi katika mji wa Rafah na kusema, misaada ambayo imewasili Ukanda wa Gaza haitoshi kukidhi mahitaji ya wakazi wa eneo hilo.

source :
Jumanne

19 Machi 2024

14:35:53
1445554

Abdollahian: Iran ina azma ya kuimarisha uhusiano na Niger

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza kuwa serikali ya Rais Ebrahim Raisi ina hamu ya kuimarisha zaidi uhusiano na ushirikiano na nchi za Afrika ikiwemo Niger.

source :
Jumanne

19 Machi 2024

14:35:25
1445553

Kuwekwa vikwazo vipya dhidi ya Iran

Wizara ya Fedha ya Marekani kwa mara nyingine imeamua kuweka vikwazo vipya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

source :
Jumanne

19 Machi 2024

14:34:52
1445552

Iran: Shutuma za USA na UK kuhusu Bahari Nyekundu na Yemen hazina msingi wowote

Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amekanusha tuhuma zisizo na msingi za Marekani na Uingereza dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu hali ya Bahari Nyekundu na Yemen.

source :
Jumanne

19 Machi 2024

14:34:18
1445551

Iran yalaani shambulio katika hospitali ya Al Shifa Ukanda wa Gaza

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amelaani kitendo cha ukatili na kinyama cha utawala wa Kizayuni cha kuishambulia hospitali ya al Shifa huko Ukanda wa Gaza.

source :
Jumanne

19 Machi 2024

14:33:45
1445550

Jeshi la Israel lashambulia tena Hospitali ya Al-Shifa, laua na kujeruhi kadhaa

Vikosi vya jeshi la utawala wa Israel vilivyojizatiti kwa silaha nzito vimevamia hospitali ya al-Shifa katika mji wa Ghaza kwa kutumia vifaru na ndege zisizo na rubani na kuwafyatulia risasi watu waliokuwa ndani ya jengo hilo.

source :
Jumanne

19 Machi 2024

14:33:19
1445549

UN yasema 'imeshtushwa' na mashambulizi mabaya ya anga dhidi ya Waislamu wa Rohingya

Msemaji wa Umoja wa Mataifa amesema Katibu Mkuu wa umoja huo, António Guterres, "amesikitishwa" na ripoti za mashambulizi ya anga yanayoendelea nchini Myanmar ambayo yameua zaidi ya raia 20 katika kitongoji cha Minbya katika Jimbo la Rakhine siku ya Jumatatu.

source :
Jumanne

19 Machi 2024

14:32:31
1445548

Thomas Friedman: Netanyahu ndiye kiongozi mbaya zaidi katika historia ya Kiyahudi

Mwandishi na mwanahabari wa Marekani, Thomas Friedman, amesema kuwa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ataingia katika historia kama kiongozi mbaya zaidi katika historia ya Kiyahudi.

source :
Jumanne

19 Machi 2024

14:32:01
1445547

Borrell: Gaza limegeuka kaburi kubwa zaidi la wazi duniani

Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya huku akieleza wasiwasi mkubwa alionao kuhusu mgogoro wa kibinadamu katika Ukanda wa Gaza amesema kuwa, eneo hilo la Wapalestina lililozingirwa limegeuka na kuwa kaburi kubwa zaidi la wazi duniani.

source :
Jumanne

19 Machi 2024

14:31:32
1445546

Yemen: Oparesheni dhidi ya meli za Israel zitaendelea

Wizara ya Mambo ya Nje ya serikali ya uokovu wa kitaifa ya Yemen imesisitiza leo katika radiamali yake kwa taarifa ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu oparesheni za kijeshi za vikosi vya ulinzi vya nchi hiyo katika Bahari Nyekundu kuwa oparesheni hizo zitaendelea dhidi ya utawala wa Kizayuni hadi hapo utawala huo utakapositisha jinai zake katika Ukanda wa Gaza.

source :
Jumapili

17 Machi 2024

20:15:30
1445199

Waangalizi wa uchaguzi wa OIC: Russia imeandaa fursa za kupiga kura kwa makundi yote ya raia

Mkurugenzi Mkuu wa Masuala ya Kisiasa katika Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) amesema kuwa Russia imeandaa fursa nzuri kwa raia kwa ajili ya kupiga kura.

source :
Jumapili

17 Machi 2024

20:14:53
1445198

Kim Jong-un avitaka vikosi vya ulinzi kujiweka tayari kwa ajili ya vita

Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un, ametoa wito kwa vikosi vya jeshi la nchi hiyo kujiweka tayari kikamilifu kukabiliana na mzozo wowote unaoweza kutokea.

source :
Jumapili

17 Machi 2024

20:14:27
1445197

Vikwazo vya upande mmoja; ukiukaji wa haki za binadamu

Balozi na Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika makao ya Umoja wa Mataifa barani Ulaya huko Geneva Uswisi amesema kuwa leo hii madhara ya vikwazo haramu vya upande mmoja yamedhihirika wazi mbele ya walimwenu ambapo vimefanya hali ya migogoro ya kibinadamu kuwa mbaya zaidi sambamba na kuchochea ukiukwaji wa haki za kimsingi za binadamu.

source :
Jumapili

17 Machi 2024

20:14:02
1445196

Iran yaipongeza Afrika Kusini kwa kuishtaki Israel katika mahakama ya ICJ

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameipongeza na kuishukuru Afrika Kusini kwa uamuzi wake wa kihistoria wa kuwasilisha kesi dhidi ya utawala haramu wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ), kuhusu jinai za mauaji ya kimbari zinazotekelezwa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

source :
Jumapili

17 Machi 2024

20:13:43
1445195

Waziri wa Ulinzi: Iran iko tayari kuisaidia Syria kuimarisha nguvu zake za kiulinzi na za kuzuia mashambulio

Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Mohammad Reza Ashtiani amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kutumia uwezo wake wote kuisaidia Syria katika kuimarisha ulinzi na uwezo wake wa kuzuia hujuma za Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.