Main Title

source :
Jumanne

12 Machi 2024

19:40:20
1443992

Iran, China na Russia zafanya mazoezi ya tano ya pamoja ya kijeshi katika Ghuba ya Oman

Majeshi ya wanamaji ya Iran, China na Russia leo yameanza mazoezi ya pamoja ya kijeshi katika Ghuba ya Oman, yakiwa ni mazoezi ya tano ya pamoja kufanywa na majeshi hayo katika miaka ya hivi karibuni.

source :
Jumatatu

11 Machi 2024

14:46:27
1443709

Gazeti la Russia: Washington na London zinaendesha "vita kipofu" dhidi ya Yemen

Gazeti la Russia la Izvestia lilithibitisha kwamba Wamarekani na Waingereza hawana taarifa za kijasusi katika kampeni yao dhidi ya kundi la Ansarullah katika Bahari Nyekundu, na kwamba wataalamu wa kijeshi wa Marekani awali hawakuwa na ujuzi wa aina yoyote kuhusu uwezo wa wapiganaji hao shujaa wa Yemen.

source :
Jumatatu

11 Machi 2024

14:45:54
1443708

Iran yasambaratisha mtandao wa Uingereza wa uhalifu wa kifedha na kamari ya intaneti

Wizara ya Usalama ya Iran imefanikiwa kusambaratisha mtandao mkubwa wa kamari au kubeti kwa njia ya intaneti ambao ulikuwa unaendeshwa na watu wahalifu wakiwa Uingereza.

source :
Jumatatu

11 Machi 2024

14:45:29
1443707

Baadhi ya Waislamu waanza funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani

Baadhi ya mataifa ya Kiislamu Jumatatu ya leo yameanza funga ya mwezi mtukufu wa Ramadhani.

source :
Jumatatu

11 Machi 2024

14:45:01
1443706

Kufutwa akaunti za mitandao ya kijamii za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi, kielelezo cha uhasama wa Magharibi dhidi ya uhuru wa kusema

Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema, hatua ya Shirika la Kimarekani la "Meta" (Facebook ya zamani) ya kufuta akaunti za mitandao ya kijamii za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ni kielelezo cha uhasama na uadui wa Magharibi dhidi ya uhuru wa kusema na kutoa maoni.

source :
Jumatatu

11 Machi 2024

14:44:24
1443705

Iran: Msaada wa kimaonyesho wa US kwa Gaza ni mchezo mchungu wa kuigiza

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani kile alichokitaja kuwa onyesho chungu la kipropaganda la Marekani na kueleza kuwa, hatua ya Washington ya kudai kuwapa misaada ya kibinadamu Wapalestina wa Gaza, na wakati huo huo inazuia juhudi za kimataifa za usitishaji vita katika eneo hilo lililozingirwa, ni kichekesho.

source :
Jumatatu

11 Machi 2024

14:43:57
1443704

Muigizaji wa kimataifa Khaled Abdullah: Ramadhani itukumbushe njaa ya watu wa Gaza

Muigizaji wa Uingereza mwenye asili ya Misri, Khaled Abdullah, ametuma ujumbe wa kuwaunga mkono watu wa Palestina kupitia akaunti yake kwenye jukwaa la "X", akisema mwanzo wa mwezi wa Ramadhani ni fursa ya kukumbuka mateso ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza na kuwaokoa kutokana na njaa.

source :
Jumatatu

11 Machi 2024

14:43:25
1443702

Syria: Kuunga mkono jinai za Netanyahu kumefichua dhati ya Wamagharibi

Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amezikosoa vikali nchi za Magharibi kwa kuendelea kuunga mkono jinai za kivita zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, uungaji mkono huo umefichua dhati halisi ya Wamagharibi.

source :
Jumatatu

11 Machi 2024

14:43:03
1443701

Sisitizo la Rais wa Chile na Waziri Mkuu wa Uhispania la kutekelezwa usitishaji vita haraka huko Ghaza

Waziri Mkuu wa Uhispania na Rais wa Chile, pamoja na kulaani mashambulizi ya jeshi la Israel huko Ghaza, wametaka kusitishwa mara moja mapigano hayo.

source :
Jumatatu

11 Machi 2024

14:42:43
1443699

Yemen yawaasa Waislamu wasusie bidhaa za Israel, Marekani

Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen ametoa mwito kwa mataifa ya Kiislamu na Kiarabu kususia bidhaa zinazozalishwa na Israel na Marekani, akisisitiza kuwa hatua hiyo itakuwa ni zawadi ndogo ya mwezi mtukufu wa Ramadhani kwa Wapalestina wa Ukanda wa Gaza wanaoendelea kuuawa kikatili na utawala wa Kizayuni.

source :
Jumatatu

11 Machi 2024

14:42:13
1443698

Muqawama walitia hasara kubwa jeshi la Israel Gaza na Lebanon

Makundi ya muqawama yamelisababishia hasara kubwa jeshi la Israel katika Ukanda wa Gaza, wakati huu ambapo utawala huo wa Kizayuni unandeleza mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wasio na ulinzi wa eneo hilo lililo chini ya mzingiro.

source :
Jumamosi

9 Machi 2024

19:50:15
1443270

Iran yataka Israel iondolewe kwenye tume ya Umoja wa Mataifa ya haki za wanawake

Afisa mkuu wa haki za binadamu wa Iran ametoa wito wa kuondolewa utawala haramu wa Israel katika Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya wanawake baada ya maelfu ya wanawake wa Kipalestina kuuawa na kujeruhiwa katika vita vinavyoendelea vya Israel vya mauaji ya kimbari huko Gaza.

source :
Jumamosi

9 Machi 2024

19:49:50
1443269

Mtaalamu wa UN: Mpango wa Biden wa kujenga bandari Ghaza ni wa 'maonyesho' ya uchaguzi

Mtaalamu wa Umoja wa Mataifa wa Haki amepuuzilia mbali mpango wa Rais wa Marekani wa kuanzisha bandari inayodaiwa kuwa na lengo la kuwezesha kuingizwa misaada katika Ukanda wa Ghaza, ulioteketezwa kwa vita vya mauaji ya kimbari vya utawala wa Kizayuni wa Israel vikungwa mkono kwa hali na mali na serikali ya Washington.

source :
Jumamosi

9 Machi 2024

19:49:20
1443268

Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran: Tuitumie vyema fursa ya mwezi mtukufu wa Ramadhani

Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amewataka Waislamu kujiandaa vizuri kwa ajili ya kuingia kwenye mwezi mtukufu wa Ramadhani kama ambavyo pia amesisitiza kwamba, washindi wa vita vya utawala wa Kizayuni huko Ghaza, ni Wapalestina.

source :
Jumamosi

9 Machi 2024

19:48:51
1443267

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Hatua ya Meta ya kufuta akaunti za Ayatllah Khamenei ni kinyume cha sheria

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amelaani hatua ya kampuni ya Meta ya kuondoa akaunti za Instagram na Facebook za Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei na kusema ni "kinyume cha sheria na na maadili."

source :
Jumamosi

9 Machi 2024

19:48:25
1443266

Tehran: Taasisi za haki za binadamu za UN ni ‘mwanasesere’ wa baadhi ya tawala za Magharibi

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amepinga ripoti ya ujumbe uliopewa mamlaka na Umoja wa Mataifa kuhusu machafuko ya 2022 nchini Iran, akisema kwamba mifumo ya haki za binadamu wa chombo hicho cha kimataifa imegeuka kuwa "mwanasesere" mikononi mwa baadhi ya tawala ili kuendeleza uovu wao.

source :
Jumamosi

9 Machi 2024

19:47:55
1443265

Kuhani wa Kiyahudi ahamasisha Wazayuni wafanye mauaji ya kimbari Ghaza

Kuhani mwanamgambo na mhubiri wa mahubiri ya Kizayuni ya utoaji vitisho, Eliyahu Mali, ametoa wito wa kufanywa mauaji ya kimbari ya Wapalestina waliowekewa mzingiro huko Ghaza, akidai kuwa kufanya hivyo kunaendana na Halakha, yaani sheria ya Kiyahudi.

source :
Jumamosi

9 Machi 2024

19:47:25
1443264

HAMAS: Tume ya kimataifa isiyo na upendeleo ichunguze tuhuma za ukatili wa kingono wa Oktoba 7

Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imetaka "tume ya kimataifa ya uchunguzi isiyo na upendeleo" iundwe ili kuchunguza madai kwamba wapiganaji wake walihusika na ukatili wa kingono walipotekeleza Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa dhidi ya utawala haramu wa Kizayuni wa Israel Oktoba 7, 2023.

source :
Jumamosi

9 Machi 2024

19:46:49
1443263

Jeshi la Yemen lashambulia meli na manuwari za kivita za Marekani, Ghuba ya Aden

Msemaji wa jeshi la Yemen, Yahya Saree amesema kuwa kundi hilo limefanya operesheni za aina yake ambazo zimelenga meli ya Marekani katika Ghuba ya Aden kwa kutumia makombora kadhaa, na manuari za kivita za Marekani katika Bahari Nyekundu na Ghuba ya Aden kwa kutumia ndege 37 zisizo na rubani.

source :
Jumamosi

9 Machi 2024

19:46:13
1443262

Mwendesha Mashtaka wa ICC atuhumiwa kuonyesha undumilakuwili wa wazi kuhusiana na Ghaza

Shirika la kutetea haki za binadamu la Euro-Med Human Rights Monitor (Euro-Med) limesema Karim Khan, Mwendesha Mashtaka wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) ameonyesha "undumilakuwili" katika kukabiliana na uhalifu wa utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina huko Ghaza.