-
Uwepo wa magaidi kutoka nchi 20 katika Serikali ya Syria | Serikali ya mpito au Mradi wa Kikoloni!
Vyanzo vyenye maarifa na utambuzi, vimetoa taarifa juu ya kuundwa kwa muundo mpya wa usalama katika utawala wa Kigaidi wa al-Jolani.
-
Habari Pichani | Hamas: Kusimamisha idhaa ya al-Aqsa ni jaribio la kudhibiti sauti ya Wapalestina
Mtandao wa satelaiti wa Al-Aqsa umetangaza: Matangazo ya Idhaa ya Al-Aqsa yamesimamishwa katika Satelaiti zote za Kimataifa. Na Shirika lolote la Satelaiti litakaloendelea na urushaji wa matangazo na habari za Idhaa ya Al-Aqsa litakumbana na vikwazo vikubwa vya kiuchumi.
-
Karamu ya Iftar kwa watu 10,000 mahsusi kwa Mazuwwari wa Haram ya Imam Ridha (a.s) katika ua wa Imam Hassan al-Mujtaba (a.s.)
Kutokana na juhudi za Kitengo cha Maeneo Matukufu ya Madhabahu (Haram) Tukufu ya Razavi na katika mkesha wa kuzaliwa Ahlu al-Bayt (AS), Madhabahu Tukufu ya Razavi inawakaribisha mahujaji 10,000 waliofunga katika uwanja wa Imam Hassan Mojtabi (AS).
-
Msikiti wa Qur'an wa kuvutia nchini Uzbekistan
Nchini Uzbekistan, Msikiti mzuri umeundwa (umejengwa) ukiwa na Aya Tukufu za Qur'an zilizochongwa vizuri kwenye kuta zake.
-
Ripoti ya Picha | Maonyesho ya Quran na Itrat Isfahan
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahl al-Bayt (AS) - Abna - maonyesho ya 20 ya Qu'ran na itraH ya Isfahan yamefanyika ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
-
Wakati wa Mkutano wa Mkuu wa Mtandao wa Wilayat na Ayatollah Arafi, ilitajwa;Mtandao wa Wilayat; ni Hawza ya Mtandaoni yenye upeo wa Kimataifa na mbin
Mkuu wa mitandao ya kimataifa ya Wilayat, Hojjat-ul-Islam Sayyid Jaafar Alavi, akiwa katika mkutano na Ayatollah Arafi, Mkurugenzi wa Seminari (Hawza) nchini (Iran) alielezea shughuli, harakati na vipengele vya Mtandao huu wa Media.
-
"Mshtuko" wa hali ya hewa waikumba miji mikubwa duniani, imo miji mikuu ya Afrika
Utafiti mpya wa hali ya hewa unaonyesha kuwa mabadiliko ya tabianchi tayari yanaathiri miji mingi mikubwa duniani, na kusababisha mabadiliko ya kushangaza kati ya hali ya hewa ya mvua na ya unyevu na ile ya ukame uliokithiri huku hali ya hewa ikizidi kuwa mbaya.
-
Ripoti: Israel inawaua Wapalestina 3 huko Gaza kila baada ya saa 24
Israel imewaua Wapalestina 150 kwa kutumia ndege zisizo na rubani, wadunguaji au njaa kama silaha tangu ilipofikia makubaliano ya kusimamisha mapigano na Harakati ya Mapambano ya Palestina Hamas Januari 19 mwaka huu.
-
Hamas: Duru mpya ya mazungumzo ya kusitisha mapigano imeanza
Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameeleza kuwa duru mpya ya mazungumzo ya kusimamisha vita Ukanda wa Gaza, imeanza.
-
Hamas: Oparesheni ya Salfit ni ujumbe wa muqawama katika kujibu chokochoko za adui
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesisitiza katika taarifa kuwa oparesheni ya ufyatuaji risasi iliyotekelezwa jana usiku karibu na eneo la Salfit katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan ni jibu jipya la watu wao na wanamuqawama huru wa Palestina katika kujibu mashambulizi ya kikatili ya utawala ghasibu wa Israel khususan kaskazini mwa ukingo huo.
-
Yedioth Ahronoth: Kipindi cha fungate ya Trump na Netanyahu kimekwisha
Gazeti la Kizayuni la Yedioth Ahronoth limeandika katika makala kwamba baraza la mawaziri la utawala huo linaloongozwa na Netanyahu limekuwa chini kabisa ya ajenda ya Marekani.
-
"Jumuiya ya Utamaduni wa Iran" imeundwa nchini Ghana"
Kituo cha Jumuiya ya Utamaduni wa Iran kimeundwa nchini Ghana, sambamba na kuunda mtandao wa kimawasiliano miongoni mwa Wahitimu wa Ghana wa Vyuo Vikuu vya Iran na kutumia uwezo wa ndani katika njia ya kuendeleza uhusiano wa kitamaduni kati ya Tehran na Accra.
-
Ripoti ya Picha | Mkutano wa Ramadhani wa Wanafunzi na Kiongozi wa Mapinduzi
Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (AS) - Abna - Kundi la Wanafunzi na Wanaharakati wa Mashirika ya Wanafunzi kote nchini (Iran), jana Alasiri (Jumatano) walikutana na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Khamenei katika siku ya kumi na moja (11) ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
-
Ripoti ya Picha | Mkutano wa Ramadhani wa Wanafunzi na Kiongozi wa Mapinduzi
Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (AS) - Abna - Kundi la Wanafunzi na Wanaharakati wa Mashirika ya Wanafunzi kote nchini (Iran), jana Alasiri (Jumatano) walikutana na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Khamenei katika siku ya kumi na moja (11) ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
-
Ripoti ya Picha | Kuanzishwa wa tukio maalum la "Maidah Noor" kwa Wanawake katika madhabahu (Haram) Bibi wa Karama
Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (A.S) - Abna - Ibada ya kusoma Quran Tukufu "Maidah Noor" hasa kwa Wanawake wenye umri wa zaidi ya miaka 25, imefanyika pia kwa mwaka huu katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, kutokana na juhudi za zaidi ya watumishi 40 wa Idara ya Utamaduni ya Masista wa Haram Tukufu ya Bibi Yetu wa Karama, Fatima Maasoumah (S.A) ambapo inafanyika kuanzia saa 0:00 kamili za mchana kila siku moja kwa moja kutoka katika Haram hii Tukufu ya Bibi wa Karama , Hadhrat Maasoumah (S.A).
-
Duru za Palestina zakanusha madai ya US kwamba HAMAS imekubali kupokonywa silaha
Duru moja ya Palestina yenye taarifa za mazungumzo yaliyofanyika kati ya HAMAS na serikali ya Marekani imekanusha ripoti zinazodai kuwa harakati hiyo ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina imekubali kupokonywa silaha mkabala wa kutekelezwa usitishaji vita baina yake na utawala wa Kizayuni wa muda mrefu huko Gaza.
-
Yemen yaanza tena kushambulia meli za Israel baada ya kukataa kufungua vivuko vya Ghaza
Yemen imetangaza kuanza tena operesheni za kijeshi za kushambulia meli za Israel katika maeneo muhimu ya baharini karibu na fukwe zake kufuatia kumalizika muda wa mwisho ilioupa utawala wa Kizayuni wa kufungua tena vivuko vya Ukanda wa Ghaza na kuruhusu misaada kuwafikia Wapalestina iliowasababishia hasara kubwa kutokana na mashamblizi yake ya kikatili ya zaidi ya miezi 15.
-
Hamas yasema hatua ya Israel kuzuia misaada kuingia Gaza ni ‘Uhalifu wa Kivita’
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imesema kuwa uamuzi wa utawala haramu wa Israel wa kuzuia kuingia kwa misaada ya kibinadamu na mahitaji ya msingi katika Ukanda wa Gaza unaozingirwa ni "uhalifu wa kivita."
-
Mkutano wa Jeddah; licha ya kukamilisha lakini ni zaidi ya mkutano wa Cairo
Kufanyika mkutano wa dharura wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Kiislamu huko Jeddah mara baada ya mkutano wa dharura wa mawaziri wa Mambo ya Nje na Wakuu wa Nchi za Kiarabu huko Cairo, Misri kunaonyesha ushirikiano wa pamoja wa Ulimwengu wa Kiislamu katika kukabiliana na mpango wa kuwafukuza kwa nguvu wakazi wa Ukanda wa Gaza na wa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Yemen yatishia kuifungia tena Israel Bahari Nyekundu
Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen limeonya kuwa litarejea kwenye operesheni zake za kijeshi za majini za kuifungia Israel Bahari Nyekundu (Bahari ya Sham) kama Tel Aviv itashindwa kuheshimu muda iliopewa wa kukomesha mashambulizi yake ya kikatili dhidi ya Ukanda wa Ghaza.
-
Indhari ya UN ya kutokea maafa ya kibinadamu Ukingo wa Magharibi kutokana na hujuma za Jeshi la Israel
Kufuatia kuendelea hujuma za jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya maeneo mbalimbali ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu imetoa indhari kupitia taarifa yake kwamba uvamizi na hujuma za jeshi hilo katika eneo la kaskazini la Ukingo wa Magharibi zina madhara na maafa makubwa ya kibinadamu.
-
Mufti wa Oman asisitiza kuunga mkono Wapalestina wanaodhulumiwa Gaza
Mufti Mkuu wa Oman amewataka Waislamu wote na watu wanaopenda uhuru duniani kusaidia watu wanaodhulumiwa wa Gaza wanaoishi katika hali mbaya.
-
Korea Kaskazini: Tutatoa jibu kali kwa maneva ya kijeshi ya Korea Kusini na Marekani
Korea Kaskazini imeionya Seoul na kutishia kuchukua hatua kali iwapo mazoezi ya pamoja ya kijeshi ya kila mwaka kati ya Korea Kusini na Marekani yataendelea katika wiki zijazo.
-
China yaituhumu Marekani kuwa na sera za nyuso mbili
Wizara ya Mambo ya Nje ya China imeutuhumu utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump kwa kufuata sera za " nyuso mbili" na kuahidi "kukabiliana kwa uthabiti" na mashinikizo yanayoongezeka ya vikwazo, huku mvutano kati ya nchi hizo mbili zenye nguvu za kiuchumi ukiendelea kutokota.
-
Nini kinaendelea Syria? Taasisi za kimataifa kimya!
Ukimya wa taasisi za kimataifa kuhusiana na mauaji ya umati dhidi ya raia nchini Syria yanayofanywa na viongozi wenye mafungamano na utawala wa al-Julani kwa mara nyingine tena unathibitisha undumilakuwili wa taasisi hizo.
-
OIC yalaani njama za kuhamishwa kwa nguvu Wapalestina Ghaza
Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetoa taarifa rasmi mwishoni mwa kikao chake cha mjini Saudi Arabia na kulaani kwa nguvu zote njama za Marekani na Israel za kutaka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.
-
Sasa Trump ameelewa, HAMAS haimuogopi
Mchambuzi mmoja mashuhuri wa ulimwengu wa Kiarabu amesema: "Kulazimika Donald Trump kuomba kufanya mazungumzo ni matokeo ya kufeli na kukata tamaa serikali yake katika njama zake za kuilazimisha Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS itii amri zake.
-
Kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya Wanawake: Zaidi ya wanawake 12,000 wa Kipalestina wameuawa katika vita vya Gaza
Idara ya Habari ya Serikali ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imetangaza kuwa: Wanawake 12,316 wa Kipalestina wameuawa shahidi katika vita vya mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni Israel dhidi ya watu wa Gaza.
-
Netanyahu awazidishia vizuizi Wapalestina vya kusali Ijumaa Msikiti wa Al-Aqsa mwezi wa Ramadhani
Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu ameidhinisha vizuizi vikali vya kuwekewa Waislamu Wapalestina kuingia katika Msikiti wa Al-Aqsa kwa ajili ya Sala ya Ijumaa wakati huu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Jeshi la Israel launda kifaa cha AI cha kuwajasisi Wapalestina
Uchunguzi mpya umefichua kuwa, kitengo cha ujasusi wa kielektroniki cha jeshi la Israel cha 8200 kimetumia mkusanyiko mkubwa wa mawasiliano yaliyonaswa kutengeneza chombo cha kijasusi cha Akili Mnemba (AI) ambacho modeli yake inashabihiana na ChatGPT, kwa lengo la kuwachunguza na kuwafanyia ujasusi wananchi wa Palestina.