-
Askari wa Israel wavamia misikiti mjini Nablus na kuzuia Swala ya Ijumaa
Vikosi vya jeshi la Israel vimevamia misikiti kadhaa katika mji mkongwe wa Nablus, eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu, na kuzuia kuswaliwa Swala ya Ijumaa.
-
Onyo la Iran kwa Troika ya Ulaya kwa kukiuka Azimio la Umoja wa Mataifa na JCPOA
Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa na Mashirika ya Kimataifa yaliyoko mjini Vienna, ametoa indhari kwa Troika ya Ulaya kuhusiana na ukiukaji wake wa Azimio la Umoja wa Mataifa na la Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji JCPOA.
-
Iran: Kufurushwa Wapalestina Gaza ni muendelezo wa mauaji ya kimbari
Iran imesema kuwa, mpango wa kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Gaza na kuwapeleka katika nchi jirani ni kuendeleza mauaji ya kimbari kwa kutumia zana za kisiasa.
-
India: BRICS haina msimamo wa pamoja kuhusu suala la kuachana na sarafu ya dola ya Marekani
Waziri wa Mambo ya Nje wa India Subrahmanyam Jaishankar amesema, dhana ya kwamba kundi la mataifa ya BRICS linafanya juu chini kukabiliana na sarafu ya dola ya Marekani "haijathibitishwa na ukweli" na akaongeza kuwa, India hasa kwa upande wake "haina nia hata kidogo ya kuidhoofisha sarafu hiyo.
-
Yemen: US kuiweka Ansarullah katika orodha ya ugaidi haina uhalali wowote
Afisa mmoja mwandamizi wa Yemen amepuuzilia mbali hatua ya Marekani ya kuitambua Harakati ya Muqawama ya Ansarullah kama kundi la kigaidi, akisema uamuzi huo hauna uhalali wowote.
-
HAMAS yasema imejiandaa 'kwa chochote kitachotokea' baada ya 'onyo la mwisho' alilotoa Trump
Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS zimetangaza kwamba, zimejiandaa kwa "chochote kitachotokea" na zingali ziko kwenye hali ya "tahadhari kamili", zikisisitiza kuwa, vitisho vya utawala wa Kizayuni wa Israel vya kuanzisha tena vita dhidi ya Ukanda wa Ghaza havitatoa hakikisho kwa utawala huo dhalimu la kuweza kuwakomboa mateka wake.
-
Iran: Baraza la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu litasahilisha uhusiano na ushirikiano baina ya Waislamu
Mkuu wa Shirika la Utamaduni na Mawasiliano ya Kiislamu la Iran amesema: "kuundwa Baraza la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu kunaweza kusahilisha ujengaji wa uhusiano na kubadilishana tajiriba kwa ajili ya ushirikiano kati ya Waislamu."
-
Iran yateuliwa Makamu wa Rais wa OPCW licha ya upinzani wa Marekani
Iran imechaguliwa kuwa Makamu wa Rais wa Baraza la Utendaji la Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) licha ya Marekani kufanya juu chini kuzuia Jamhuri ya Kiislamu kuteuliwa kwenye nafasi hiyo.
-
Wanachuo US walaani ukatili dhidi ya waandamanaji wanaounga mkono Palestina
Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Columbia cha Marekani wamekosoa vikali jinsi uongozi wa chuo hicho unavyoshughulikia maandamano ya waungaji mkono wa Palestina, wakiushutumu uongozi huo kwa kusaliti jukumu lale na kuwadhaminia usalama wanafunzi na uhuru wao wa kujieleza.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa: Mazungumzo na Marekani ni kujidhalilisha
Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya Tehran amesema kuwa, kufanya mazungumzo na Marekani ni kujidhalilisha. Amesisitiza kuwa, taifa la Iran ni la hamasa ya Karbala na 'Ashura na kamwe halikubali kudhalilishwa.
-
Mkutano wa London, maonyesho ya nguvu na uungaji mkono kwa Ukraine bila dhamana ya utekelezaji
Siku mbili baada ya kufedheheshwa Rais Zelensky wa Ukraine katika Ikulu ya White House na suala hilo kuakisiwa pakubwa kimataifa, viongozi wa nchi 19 za Ulaya, Canada na maafisa wa ngazi za juu wa Umoja wa Ulaya na muungano wa NATO wamekutana mjini London kwa ajili ya kutangaza mshikamano wao na Ukraine katika vita vyake na Russia.
-
Jaji wa Kijapani achaguliwa kuwa rais wa ICJ, atasimamia kesi ya mauaji ya kimbari ya Israel
Mahakama ya juu ya Umoja wa Mataifa imemchagua jaji wa Kijapani kuwa rais wake mpya, akichukua nafasi ya Nawaf Salam aliyeng’atuka madarakani Januari ili kuwa waziri mkuu wa Lebanon.
-
Trump: Wanafunzi wanaoshiriki maandamana ya kuunga mkono Palestina wataadhibiwa
Rais Donald Trump wa Marekani, ametishia kusitisha ufadhili wa serikali ya shirikisho kwa vyuo vikuu au taasisi zozote za elimu zinazoruhusu “maandamano haramu” kufanyika, akisema atachukua hatua kali dhidi ya wanafunzi wanaoshiriki maandamano hayo.
-
Mkutano wa viongozi wa Arab League wapasisha mpango wa Misri wa kuijenga upya Gaza
Mkutano wa viongozi wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) umepasisha mpango wa Misri wa kuijenga upya Gaza na kutaka kutumwa wanajeshi wa kulinda amani katika eneo hilo.
-
Hamas: Kufunga vivuko vya Ukanda wa Gaza ni jinai ya kivita
Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palesina HAMAS imelaani kitendo cha utawala wa Kizayuni cha kufunga kwa siku tatu mfululizo vivuko vya Ukanda wa Gaza na kuitaja hatua hiyo kuwa inashadidisha kukiukwa makubaliano ya kusitisha mapigano na ni jinai ya kivita.
-
Mpango wa Umoja wa Nchi za Kiarabu kuhusu Palestina unapingana na matakwa ya Marekani na Utawala wa Kizayuni
Viongozi wa nchi za Kiarabu, katika mkutano wao mjini Cairo, wamepinga mipango na njama za kishetani za Marekani na utawala wa Kizayuni kwa kukataa hatua za kulazimisha uhamishaji wa Wapalestina.
-
Yemen yaangusha ndege ya 15 ya kisasa ya kijasusi ya Marekani
Jeshi la Yemen limetangaza kuangusha kwa mafanikio ndege ya kijasusi isiyo na rubani ya Marekani aina ya MQ-9 Reaper baada ya kuingia katika anga ya nchi hiyo kinyume cha sheria na kufanya operesheni za kijeshi katika mkoa wa magharibi wa al-Hudaydah.
-
Iran: Hatutaki vita, lakini tutajihami kwa nguvu zote
Kamanda Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa: Hatufurahishwi na vita na machafuko na wala hatupendi, lakini iwapo adui ataanzisha vita dhidi yetu basi bila ya shaka tutailinda Iran kwa nguvu zetu zote na kutoa jibu kali kwa maadui.
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Vikwazo vya kikatili vya Marekani na Umoja wa Ulaya dhidi ya Iran lazima vifutwe
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayeshughulikia Masuala ya Kisiasa amesema: Vikwazo vya kikatili vya Marekani na Umoja wa Ulaya ambavyo vimewalenga watu wenye utamaduni na ustaarabu mkongwe wa Iran ni lazima viondolewe.
-
Viongozi wa Ulaya waumizwa na kusitishwa msaada wa kijeshi wa Marekani kwa Ukraine
Uamuzi wa Marekani wa kusita kuipa Ukraine silaha umepata majibu tofauti kutoka kwa viongozi wa nchi za Ulaya.
-
Imam Khamenei: Harakati ya Kitaifa ya Upandaji Miti iendelee
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Ali Khamenei, leo asubuhi (Jumatano), katika Wiki ya Rasilimali Asili na Siku ya Upandaji Miti, amepanda miche mitatu ya miti.
-
Uvurugaji wa utawala wa Kizayuni na kuongezeka wasiwasi kuhusu kuvunjika usitishaji vita huko Ghaza
Huku awamu ya kwanza ya usitishaji vita na kubadilishana wafungwa na mateka kati ya utawala wa Kizayuni na Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (Hamas), ikiwa imemalizika, baraza la mawaziri la Netanyahu limeongeza wasiwasi wa kuanzishwa tena vita dhidi ya Ukanda wa Gaza, kwa kuvuruga mazungumzo ya utekelezaji wa awamu ya pili ya usitishaji vita.
-
UNICEF yaonya Israel dhidi ya kuzuia misaada kuelekea Gaza
Shirika la kuhudumia watoto la Umoja wa Mataifa, UNICEF limeonya kuwa uamuzi wa Israel wa kuzuia upelekaji wa misaada ya kibinadamu isipokuwa maji kwenye Ukanda wa Gaza, kwa haraka utapelekea hatari kubwa kwa watoto na familia ambazo tayari zimetatizika.
-
Mwezi wa Ramadhani Gaza: Wapalestina wataabika kuandaa futari na daku
Vita haribifu vya utawala ghasibu wa Kizayuni dhidi ya wananchi madhulumu wa Ukanda wa Gaza vimekuwa na taathira nyingi kwa wakazi wa eneo hilo katika siku za nyuma hususan katika kiipindi hiki cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Baqaei: IAEA haipaswi kutoa maoni kwa mujibu wa matashi ya kisiasa
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: "Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) haupaswi kotoa maoni kwa kuzingatia mitazamo ya kisiasa."
-
Jeshi la Israel latekeleza ‘Uvamiaji wa Kina Kabisa’ katika Ardhi ya Syria
Katika hali ya kuzidisha mgogoro kwa kiwango kikubwa, vikosi vya nchi kavu vya utawala haramu wa Israel vimefanya uvamizi wa "kina kabisa" hadi sasa katika eneo la Syria, vikilenga maeneo katika mikoa ya kusini-magharibi ya Quneitra na Dara’a.
-
Korea Kaskazini yalaani uchokozi wa kijeshi wa Marekani
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea (DPRK) imelaani vikali uchokozi wa kisiasa na kijeshi wa Marekani baada ya meli ya kubeba ndege za kivita ya Jeshi la Wanamaji la Marekani kutia nanga katika bandari ya Busan, Korea Kusini.
-
BBC yashinikizwa baada ya kufuta filamu kuhusu watoto wa Gaza
Watayarishi wa vipindi vya televisheni na filamu nchini Uingereza wamewataka wabunge wa Uingereza kuwahoji viongozi wa BBC kuhusu uamuzi wa shirika hilo la utangazaji la Uingereza kuondoa filamu ya kweli inayohusu maisha ya watoto Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.
-
China yajibu mapigo dhidi ya ushuru mpya wa Trump
China imetangaza kujibu mapigo ya ushuru uliotangazwa dhidi ya nchi hiyo na Rais Donald Trump wa Marekani.
-
Qatar: Kutumia chakula kama silaha ya vita ni kukiuka sheria za kimataifa
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Qatar imetoa taarifa na kutangaza kuwa, inapinga vikali suala la raia kufa njaa na kutumiwa chakula kama silaha ya vita katika Ukanda wa Gaza.