-
Hamas: Hatua ya Pili ya Usitishaji Mapigano Gaza ni njia pekee ya kuachiliwa mateka wa Israel
Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ameulaumu utawala haramu wa Israel kwa kutaka kurejesha uvamizi wake dhidi ya Gaza na kukwepa makubaliano ya usitishaji mapigano, akisisitiza kuwa njia pekee ya kuhakikisha kuachiliwa kwa mateka wa Israel ni kuanza hatua ya pili ya makubaliano ya kusitisha mapigano.
-
Madaktari wa Upasuaji wa Indonesia washangazwa na usahihi wa roboti za Iran
Roboti za upasuaji aina ya Sina, zinazotengenezwa nchini Iran na kusambazwa katika hospitali za Indonesia kwa madhumuni ya upasuaji, zimewashangaza wataalamu wa matibabu nchini humo.
-
Misaada ya kijeshi na silaha ambayo haijawahi kutolewa mfano wake ya serikali ya Trump kwa utawala wa Kizayuni wa Israel
Sambamba na Marekani kukata misaada yake kwa Ukraine, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio, siku ya Jumapili alitumia mamlaka ya dharura aliyonayo kisheria kupitisha mpango wa utoaji msaada wa shehena ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 4 kwa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Elon Musk aunga mkono kujiondoa Marekani katika UN, NATO
Bilionea Elon Musk ametangaza hadharani kuunga mkono wazo la Marekani kujiondoa kutoka Umoja wa Mataifa UN na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi NATO.
-
Sweden waandamana kupinga mpango wa Trump wa kuwafukuza Wapalestina Gaza
Mpango usio wa kibinadamu wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuwafukuza Wapalestina kutoka katika Ukanda wa Gaza umeendelea kupingwa kila kona ya ulimwengu.
-
Misri: Amani haitapatikana pasi na kuundwa nchi huru ya Palestina
Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema kuwa, hakutakuwa na usalama katika eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati) bila ya kuasisiwa taifa la Palestina.
-
Hamas yasisitiza kutekelezwa usitishaji vita kamili
Mahmoud al Mardawi mmoja wa viongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) ameeleza kuwa abadan harakati hiyo haitakubali kuongezwa muda wa marhala ya kwanza ya makubaliano ya usitishaji vita.
-
Yemen yaionya Israel, Marekani: Tunaitazama Gaza; vidole vyetu viko kwenye kitufe cha bunduki
Harakati ya Ansarullah nchini Yemen imetoa onyo kali dhidi uvamizi wa jeshi la utawala ghasibu wa Israel unaoungwa mkono na Marekani katika Ukanda wa Gaza, na kusema imejiandaa kikamilifu kuchukua hatua dhidi ya maslahi ya Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia.
-
OIC: Mzingiro dhidi ya Gaza ni jinai dhidi ya binadamu
Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imetaja mzingiro wa utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Gaza kuwa ni jinai dhidi ya binadamu.
-
Pezeshkian: Ramadhani iwe chachu ya kuimarika umoja wa Waislamu
Rais Masoud Pezeshkian wa Iran sambamba na kuwapongeza viongozi na mataifa ya Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani, ametoa mwito kwa nchi za Kiislamu kuutumia mwezi huu wa baraka kama chachu ya kuimarisha umoja, mshikamano na ushirikiano miongoni mwao.
-
Kiongozi Muadhamu: Iran inakabiliwa na muungano wa madola ya kinafiki
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Jamhuri ya Kiislamu haina tatizo na mataifa mengine; lakini hata hivyo inakabiliwa na muungano mpana wa "madola ya kinafiki" yanayojaribu kuingilia mambo yake ya ndani na kuvuruga uhusiano wake wa nje.
-
Malengo ya Iran ya kuwa na ushirikiano mzuri na majirani zake katika nyuga mbalimbali
Majid Takht Ravanchi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na Masuala ya Kisiasa amesema kuhusu mikutano na mazungumzo aliyofanya na maafisa wa Muungano wa Falme za Kiarabu (UAE) au Imarati kwamba majirani wana nafasi maalumu katika sera za nje za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran: Fedheha ya Zelensky nchini Marekani, kengele ya hatari ya kurejea ubabe wa karne ya 19
Iran imesema mwenendo wa kudhalilisha wa Rais wa Marekani, Donald Trump dhidi ya mwenzake wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, katika Ikulu ya White House unapaswa kuwa "kengele ya hatari" ya kurejea kwenye zama za karne ya 19 za uonevu na utumiaji mabavu katika uhusiano wa kimataifa.
-
Sera za kinafiki za Marekani kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia
Katika taarifa yake mpya kuhusu matumizi ya nishati ya nyuklia, Waziri wa Nishati wa serikali ya Marekani, Chris Wright, amesema kutokana na Marekani kuwa kinara katika masuala ya akili mnemba (artificial intelligence) na ili kuwashinda wapinzani katika teknolojia hii, nchi yake inahitaji kusambaza umeme kutoka kwenye vyanzo vya kuaminika na vya bei nafuu kama vile nishati ya nyuklia.
-
Uchunguzi wa maoni: Chuki dhidi ya Uzayuni zimeongezeka Marekani
Uchunguzi mpya wa maoni unaonyesha kuwa, hisia za chuki dhidi ya uuzayuni zimeongeza pakubwa nchini Marekani.
-
Trump arefusha muda wa vikwazo dhidi ya Russia
Rais wa Marekani Donald Trump ameongeza kwa mwaka mmoja mwingine muda wa amri ya utekelezaji vikwazo dhidi ya Russia.
-
Afrika Kusini, Malaysia na Colombia zapinga meli zenye silaha katika bandari zao kwa ajili ya Israel
Viongozi wa Afrika Kusini, Malaysia na Colombia wametangaza katika jarida moja katika makala yao ya pamoja kwamba watazizuia meli zilizobeba silaha katika bandari za nchi hizo kwa ajili ya Israel.
-
Guterres: Mwezi Mtukufu wa Ramadhani utumike kuleta amani
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametaka mwezi mtukufu wa Ramadhani utumiwe kwa ajili ya kuleta na kudumisha amani katika pembe mbalimbali za dunia hasa maeneo yanayokabiliwa na vurugu na machafuko.
-
Watu 5 wauawa katika mlipuko wa msikitini kaskazini magharibi mwa Pakistan
Watu 5 wameuawa na makumi ya wengine kujeruhiwa katika mlipuko uliotokea katika Msikiti wa Chuo Kikuu cha Haqqaniyya kaskazini magharibi mwa Pakistan.
-
Israel yakiri rasmi kushindwa katika oparesheni ya Kimbunga cha al Aqsa
Jeshi la utawala wa Kizayuni limekiri kuwa, katika mashambulizi ya Oktoba 7 mwaka 2023 lilishindwa kuwahami walowezi wa utawala huo wanaoishi katika maeneo jirani na Gaza; na kwamba lilifeli katika masaa ya awali mkabala wa mashambulizi ya Hamas.
-
Iran na Malaysia zasisitiza kuimarisha zaidi ushirikiano
Mawaziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Malaysia wamesisitiza azma ya nchi zao ya kuimarisha Zaidi uhusiano na ushirikiano katika mbalimbali.
-
IRGC yapokea manowari ya kisasa iliyoundwa na wataalamu wa Iran
Kikosi cha Wanamaji cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimepokea zana na vifaa mbalimbali vya kijeshi vilivyoundwa na kutengenezwa hapa nchini Iran, ikiwemo meli ya kivita ya Shahidi Rais Ali Delvari na makumi ya meli za mashambulizi ya haraka zenye mifumo ya kurusha makombora.
-
Ayatullah Seddiqi: Chuki dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni imeenea duniani kote
Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amesema kuwa, adui wa Israel sio kambi ya Muqawama tu na kuongeza kuwa, mauaji ya wanawake na watoto huko Gaza na makamanda wa Muqawama yamesababisha kusambaa duniani kote chuki dhidi ya utawala wa Kizayuni na Marekani.
-
Mashtaka dhidi ya utawala wa Biden katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu
Taasisi ya "Demokrasia kwa ajili ya Ulimwengu wa Kiarabu Sasa" (DAWN), imefungua mashtaka dhidi ya Rais wa zamani wa Marekani, Joe Biden na mawaziri wake wawili yaani waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani, Anthony Blinken na waziri wa zamani wa ulinzi wa nchi hiyo Lloyd Austin katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu, ikiitaka ianzishe uchunguzi dhidi ya viongozi hao kutokana na kusaidia uhalifu wa kivita wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Amnesty International yamkosoa kansela mtarajiwa wa Ujerumani kwa kumwalika Netanyahu
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limemkosoa vikali Friedrich Merz kansela mtarajiwa wa Ujerumani kwa kumualika Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni kuitembelea Ujerumani.
-
Trump: Ukraine 'isahau' kujiunga na NATO
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Ukraine "isahau" kujiunga na Shirika la Kijeshi la Nchi za Magharibi (NATO), tamko ambalo ni pigo kwa azma ya muda mrefu ya nchi hiyo ya Ulaya, ambayo iliungwa mkono na Rais wa zamani Joe Biden.
-
Makumi ya mateka wa Kipalestina waachiliwa huru, Hamas yakabidhi maiti
Makumi ya mateka wa Kipalestina wanaoishi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na mji wa Quds wameachiliwa huru mapema leo Alkhamisi alfajiri ikiwa ni sehemu ya makubaliano ya kubadilishana mateka kati ya Muqawama na Israel, na wamepokewa kwa shangwe kubwa Ramallah.
-
UNRWA: Ukingo wa Magharibi ni 'uwanja wa vita', watu 50 wameuawa
Wiki kadhaa za uvamizi wa kijeshi wa Israel katika Ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu zimegeuza jamii za Wapalestina kuwa “uwanja wa vita” na kuwaacha watu 40,000 bila makazi, mashirika ya kibinadamu ya Umoja wa Mataifa yameonya jana Februari 26, 2025.
-
Israel inakusudia nini kwa mashambulizi yake ya mara kwa mara dhidi ya Syria?
Utawala wa Kizayuni wa Israel Jumatano Februari 26 ulishambulia mara kadhaa maeneo mbalimbali ya Syria na kuua na kujeruhi watu kadhaa.
-
UN: Israel inakanyaga haki za binadamu Gaza, Ukingo wa Magharibi
Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa amesema utawala wa Israel umekuwa ukipuuza usio na kifani haki za binadamu" katika Ukanda wa Gaza, na kuitaja hali ya kibinadamu katika eneo hilo lililozingirwa kuwa "janga."