Safari ya al-Miqdad nchini Iraq na kuimarishwa ushirikiano wa kiusalama, kisiasa na kiuchumi
Faisal al-Miqdad, Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria, amekutana na Waziri mwenzake wa Mambo ya Nje wa Iraq Fuad Hussein katika safari aliyofanya mjini Baghdad, ambapo pande hizo zimesisitiza juu ya kupanuliwa uhusiano wa pande mbili hususan kuhusu usalama.