Mkuu wa Majeshi ya Oman: Mataifa ya ukanda huu ndio wamiliki wa eneo hili
Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Oman amesema kuwa: "Tutafanya kila tunaloweza kuhakikisha kunadumishwa ushirikiano katika eneo hilo, kwani mataifa ya ukanda huu ndio wamiliki wa eneo hili."