Umaarufu wa Marekani barani Afrika waporomoka, China na Russia zavutia Waafrika wengi
Utafiti wa hivi karibuni katika zaidi ya nchi 130 uliofanywa na shirika la uchunguzi wa maoni la Marekani la Gallup umebaini kuwa umashuhuri wa Marekani umeshuka katika nchi nyingi za bara Afrika.