Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi: Kadhia za Gaza zimewadhihirishia walimwengu hakika nyingi zilizofichika
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: kadhia za Gaza zimewadhihirishia walimwengu hakika nyingi zilizofichika, na moja wapo ya hakika hizo ni uungaji mkono wa viongozi wa nchi za Magharibi kwa ubaguzi wa rangi.