Hatua za awali za kumaliza vita ya Ukraine na mustakabali usiojulikana
Baada ya Russia kumuachilia mfungwa Mmarekani, kitendo ambacho Rais wa Marekani alikielezea kama juhudi ya kumaliza vita vya Ukraine, Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, alitangaza kwamba yuko tayari kubadilishana ardhi na Russia.