Kamala Harris, Makamu wa Rais wa Marekani amepinga vikali uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wa kuanza uchunguzi kuhusu jinai za kivita zilizofanywa na Israel dhidi ya wananchi wa Palestina.
Endelea ...-
-
Kuanza uchunguzi wa ICC wa jinai za kivita za utawala wa Kizayuni wa Israel
Machi 7, 2021 - 11:56 asubuhiMahakama ya Kimataifa ya Jinai, ICC, imeanzisha uchunguzi kuhusu jinai za kivita zilizofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika ardhi za Palestina unazozikalia kwa mabavu.
Endelea ... -
Shirika la habari la Ahlubayt (as)ABNA:
Machi 7, 2021 - 11:35 asubuhiKiongozi na Marjaa wa Waisalmu wa Madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali Sistani amekutana na Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Endelea ... -
Safari ya Papa Francis nchini Iraq, wito wa kuishi pamoja kwa amani wafuasi wa dini tofauti
Machi 7, 2021 - 11:31 asubuhiKatika miaka ya karibuni nchi ya Iraq imekuwa uwanja wa mashambulio na harakkati ya makundi ya kigaidi na kitakfiri hususan kundi la Daesh ambalo limesababisha madhara makubwa kwa nafsi na mali za wananchi wote wa nchi hiyo, Waislamu na Wakristo.
Endelea ... -
HAMAS: Tuna uhusiano mzuri sana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Machi 7, 2021 - 11:29 asubuhiOsama Hamdan, mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuwa, harakati hiyo ina uhusiano mzuri na imara na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Endelea ... -
Al-Wefaq: Mpango wa Bahrain wa kuunda muungano dhidi ya Iran ni usaliti
Machi 7, 2021 - 11:26 asubuhiHarakati ya Kitaifa ya al-Wefaq ya nchini Bahrain imekosoa vikali mpango wa utawala wa Aal-Khalifa wa nchi hiyo wa kuungana na Saudi Arabia, Umoja wa Falme za Kiarabu na utawala haramu wa Israel kubuni eti muungano dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kusisitiza kuwa kitendo hicho ni usaliti.
Endelea ... -
Jeshi la Yemen lashambulia tena shirika la mafuta la Saudia ARAMCO
Machi 5, 2021 - 2:25 alasiriMsemaji wa vikosi vya ulinzi vya Yemen leo Alkhamisi ametangaza habari ya kufanyika shambulio jingine katika taasisi za mafuta za Saudi Arabia, ARAMCO.
Endelea ... -
Naim Qassem: Marekani na Israel wanajua, Hizbullah itajibu mapigo
Machi 5, 2021 - 2:24 alasiriNaibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel zinajua vyema kwamba uamuzi madhubuti wa harakati hiyo wa kujibu mapigo na uchokozi wa aina yoyote hauwezi kubadilika.
Endelea ... -
Waziri wa Mambo ya Nje wa Yemen: Mgogoro wa sasa nchini ndio mbaya zaidi wa binadamu katika zama za sasa
Machi 5, 2021 - 2:21 alasiriWaziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesem kuwa, hali ya sasa ya nchi hiyo inaashiria maafa mabaya zaidi ya binadamu ambayo hayajawahi kushuhudiwa katika zama za sasa.
Endelea ... -
ICC yaanza kuchunguza jinai za kivita za Israel huko Palestina
Machi 5, 2021 - 2:19 alasiriMwendesha Mashtaka wa Makakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) amesema kuwa mahakama hiyo imeanza uchunguzi kuhusu jinai za kivita zilizofanywa na Israel dhidi ya Wapalestina.
Endelea ... -
Palestina: Silaha za Israel zimetumika kuua Waislamu na wapinzani wa mapinduzi Myanmar
Machi 5, 2021 - 2:18 alasiriWizara ya Mashauri ya Kigeni ya Palestina imeituhumu Israel kuwa inauuzia silaha utawala wa Myanmar ambazo zimetumika kuua Waislamu wa jamii ya Rohingya na vilevile kuua wapinzani wa mapinduzi ya kijeshi yaliyotokea nchini humo, licha ya marufuku ya kimataifa ya kuiuzia silaha nchi hiyo.
Endelea ... -
Amnesty yasifu hatua ya ICC ya kuanzisha uchunguzi katika jinai za kivita za utawala ghasibu wa Israel
Machi 5, 2021 - 2:08 alasiriShirika la Msamaha Duniani, Amnesty International limesifu uamauzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kuanzisha uchunguzi katika jinai za kivita za utawala haramu wa Israel katika ardhi za Wapalestina, unazozikalia kwa mabavu na kusema kuwa hatua hiyo ni muhimu sana.
Endelea ... -
Rais Xi: Marekani ndilo tishio kuu kwa ustawi na usalama wa China
Machi 5, 2021 - 1:57 alasiriRais Xi Jinping wa China amesema Marekani ndilo tishio kubwa zaidi kwa maendeleo na usalama wa nchi hiyo ya Asia.
Endelea ... -
China yakubali kwa masharti maafisa wa UN watembelee jimbo la Xinjiang
Machi 3, 2021 - 3:24 alasiriChina imesema, itakubali kwa sharti maalum maafisa wa Umoja wa Mataifa kutembelea jimbo la Xinjiang na kufanya ukaguzi katika eneo hilo la kaskazini magharibi mwa nchi hiyo.
Endelea ... -
Makundi ya Kipalestina yasisitiza kufanyika duru ya pili ya mazungumzo ya kitaifa huko Cairo
Machi 3, 2021 - 3:22 alasiriMakundi ya Kipalestina yamesisitiza juu ya udharura wa kufanyika duru ya pili ya mazungumzo ya kitaifa huko Cairo, Misri kama ilivyopangwa.
Endelea ... -
Yemen: Hakuna mpango wowote wa amani uliopendekezwa kwa wakati huu
Machi 3, 2021 - 3:21 alasiriMkuu wa Kamati Kuu ya Mapinduzi ya Yemen amesema, hadi wakati huu hakuna mpango wowote wa suluhu na amani uliopendekezwa na nchi zingine na hakuna mpango wowote miongoni mwa iliyopendekezwa na serikali ya Sana'a uliokubaliwa.
Endelea ... -
Indhari ya Katibu Mkuu wa UN kuhusu kupungua misaada kwa Yemen
Machi 3, 2021 - 3:16 alasiriMnamo Machi 2015, Saudi Arabia, ikishirikiana kwa karibu na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE au Imarati), ilianzisha vita vya kidhalimu dhidi ya watu wa Yemen na hivi sasa wakati vita hivyo vikiingia mwaka wa saba, nchi hiyo inakabiliwa na mgogoro mkubwa zaidi wa kibinadamu.
Endelea ... -
Yemen: Umoja wa Mataifa utekeleze jukumu lake la kulinda raia
Machi 2, 2021 - 11:13 alasiriMsemaji wa Wizara ya Afya ya Serikali ya Uwokozi wa Kitaifa ya Yemen amesema: "Umoja wa Mataifa unapaswa kuchukua hatua ya kuzishinikiza nchi ambazo zimeivamia Yemen ili ziliende maisha ya raia."
Endelea ... -
Saudi Arabia: Chanjo ya corona ni sharti la kufanya ibada ya Hija mwaka huu
Machi 2, 2021 - 11:09 alasiriWaziri wa Afya wa Saudi Arabia ametangaza kuwa, kupata chanjo ya virusi vya corona ni sharti muhimu kwa watu wote wanaoazimia kutekeleza ibada ya Hija mwaka huu katika miji mitakatifu ya Makka na Madina.
Endelea ... -
Afisa wa Umoja wa Mataifa aikosoa Marekani kwa kutomchukulia hatua Bin Salman
Machi 2, 2021 - 11:06 alasiriRipota Maalumu wa Umoja wa Mataifa Agnes Kalamar amesema ripoti ya serikali ya Marekani kuhusu mauaji ya mwandishi habari mkosoaji wa Saudia ni ya kuvunja moyo.
Endelea ... -
Jeshi la Yemen latungua ndege ya kijasusi ya Saudi Arabia
Machi 2, 2021 - 11:05 alasiriJeshi la Yemen limetangaza kutungua ndege ya kijasusi isiyo na rubani ya Saudi Arabia wakati ikiwa katika oparesheni ya kijasusi nchini humo.
Endelea ... -
Bin Salman na jinamizi la Khashoggi
Machi 2, 2021 - 12:09 asubuhiSerikali ya Marekani imechapisha baadhi ya nyaraka za siri zinazohusiana na mauaji ya kinyama ya Jamal Khashoggi, mwandishi wa Saudi Arabia aliyekuwa akiishi Marekani na kutangaza kuwa jinai hiyo ilitekelezwa kwa amri ya moja kwa moja ya Muhammad bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudia.
Endelea ... -
Answaarullah: Saudia acheni kuishambulia miji ya Yemen ili nasi tusiishambulie miji yenu
Machi 2, 2021 - 12:08 asubuhiMjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Answarullah ya Yemen amesisitiza kuwa, harakati hiyo itaendelea kuishambulia miji na maeneo ya Saudi Arabia maadamu uko wa Aal Saud unaendelea kuishambulia miji ya Yemen.
Endelea ... -
Mabilioni ya dola yapotea katika vita vya Marekani huko Afghanistan
Machi 2, 2021 - 12:07 asubuhiWasimamizi wa serikali ya Marekani wametoa ripoti na kukiri juu ya kupotea mabilioni ya dola fedha zilizotumika katika vita vya miaka 20 vya nchi hiyo huko Afghanistan.
Endelea ... -
Taliban yaonya kuwa itaanzisha tena vita kamili dhidi ya Marekani nchini Afghanistan
Februari 27, 2021 - 5:43 alasiriMsemaji wa Taliban amesema, kundi hilo halitakubali kuangaliwa upya au kufanywa mazungumzo tena kuhusu mapatano ya Qatar iliyofikia Marekani; na endapo Marekani itayakiuka mapatano hayo, huo utakuwa ni uanzishaji wa vita vipya nchini Afghanistan.
Endelea ... -
Marekani yasambaza ripoti ya mauaji ya Khashoggi, Bin Salman ndiye aliyeamuru mauaji hayo
Februari 27, 2021 - 5:42 alasiriHatimaye serikali ya Marekani jana Ijumaa ilisambaza ripoti kuhusu mauaji ya Jamal Khashoggi, mwandishi Msaudia aliyekuwa akiukosoa utawala wa hivi sasa wa Saudi Arabia na ambaye aliuawa kinyama katika ubalozi wa nchi hiyo mjini Istanbul Uturuki.
Endelea ... -
Sri Lankia yafuta agizo la kuchoma maiti za Waislamu baada ya kuzongwa na malalamiko
Februari 27, 2021 - 5:41 alasiriSerikali ya Sri Lanka jana Ijumaa ilifuta agizo la kuchomwa moto maiti za watu walioaga dunia kutokana na virusi vya corona, siku chache baada ya Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan, kutoa wito wa kuheshimiwa ada na taratibu za kidini za Waislamu nchini Sri Lanka.
Endelea ... -
Kuongezeka harakati baina ya mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel
Februari 27, 2021 - 5:33 alasiriUtata na kutokuwa wazi serikali mpya ya Marekani katika siasa zake za kigeni kuhusiana na eneo la Asia Magharibi ni jambo ambalo limepelea kuongezeka kwa mara nyingine harakati za mhimili wa mapatano wa Kiarabu na utawala haramu wa Israel.
Endelea ... -
Mufti Mkuu wa Misri aonya dhidi ya mpango wa Israel wa kuiyahudisha Quds
Februari 27, 2021 - 5:32 alasiriMufti Mkuu wa Misri ametadharisha juu ya njama ya utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuuyahudisha mji mtukufu wa Quds unaokaliwa kwa mabavu, na kufuta kabisa utambulisho wake halisi.
Endelea ... -
Makundi ya muqawama Iraq yaapa kujibu chokochoko mpya za Marekani
Februari 27, 2021 - 5:30 alasiriHarakati za muqawama za Iraq zimelaani vikali mashambulizi ya anga ya jeshi la Marekani yaliyolenga kambi za makundi hayo ya kupambana na ugaidi katika mpaka wa Iraq na Syria, na kusisitiza kuwa, chokochoko hizo mpya za Washington hazitapita bila kupewa jibu kali.
Endelea ...