Gazeti la Wall Street Journal la Marekani limetangaza kuwa, wasomi 26 wameandika barua ya wazi wakitaka kufanyike uchunguzi mpya wa kimataifa kuhusu chanzo cha virusi vya corona.
Endelea ...-
-
Kuanza kampeni kubwa ya vikwazo ya serikali ya Biden dhidi ya Russia
Machi 5, 2021 - 1:46 alasiriUhusiano wa Marekani na Russia katika serikali mpya ya Marekani na wakati huu wa uongozi wa Joe Biden umezidi kuwa mbaya. Serikali ya Biden mbali na kudhihirisha misimamo iliyodhidi ya Russia, hivi sasa imeanzisha kampeni kubwa ya vikwazo dhidi ya Moscow.
Endelea ... -
Russia: Marekani haina haki ya kuwafunza wengine akhlaqi
Machi 3, 2021 - 3:25 alasiriMsemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amekosa vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya nchi hiyo na kueleza kuwa, Marekani haina haki na haistahili kutoa darsa ya akhlaqi kwa nchi nyingine kutokana na hatua yake ya kujitoa kwa upande mmoja katika mikataba na makubaliano mbalimbali ya kimataifa yanayohusu kudhibiti na kupiga marufuku uenezaji wa silaha za maangamizi duniani.
Endelea ... -
Ufaransa: Azimio dhidi ya Iran litapigiwa kura siku zijazo
Machi 3, 2021 - 3:25 alasiriWaziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa amesema kuwa azimio la kuikosoa Iran limepangwa kupigiwa kura siku zijazo katika Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA).
Endelea ... -
WHO: Dunia haitaweza kuangamiza corona kufikia mwishoni mwa mwaka huu
Machi 2, 2021 - 11:09 alasiriShirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa itikadi kwamba dunia itafanikiwa kuangamiza kirusi cha corona kufikia mwishoni mwa mwaka huu si sahihi na ni jambo lizilowezekana.
Endelea ... -
Bunge la Ulaya latahadharisha kuhusu njama za Israel za kutwaa Ukingo wa Magharibi
Machi 2, 2021 - 11:08 alasiriWabunge wa Bunge la nchi 22 za Ulaya wameutaka Umoja wa Ulaya kuzuia mikakati ya utawala ghasibu wa Israel ya kutaka kulikalia kwa mabavu na kulitwaa eneo la Ukingo wa Magharibi huko Palestina.
Endelea ... -
Oxfam yaitaka UK iache kuiuzia Saudia silaha baada ya ripoti ya mauaji ya Khashoggi
Machi 2, 2021 - 12:10 asubuhiShirika la misaada ya kibinadamu la Oxfam limeitaka Uingereza isimamishe mauzo ya silaha zake kwa Saudi Arabia, baada ya ripoti ya kiintelijensia ya Marekani kusema Mohammad Bin Salman, mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia ndiye aliyetoa amri ya kuuawa Jamal Khashoggi, mwandishi wa habari aliyekuwa akiukosoa utawala wa Aal-Saud.
Endelea ... -
Michelle Bachelet: Saudia ikomeshe ukatili na ukiukaji wa haki za binadamu
Februari 27, 2021 - 5:40 alasiriKamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza masikitiko yake kutokana na ukandamizaji unaofanywa na serikali ya Saudi Arabia dhidi ya raia wa nchi hiyo.
Endelea ... -
UN yapitisha azimio kuhakikisha chanjo ya Covid-19 inafika maeneo yenye vita na mapigano
Februari 27, 2021 - 5:26 alasiriMkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani WHO amesema amefarijika na hatua ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kupiga kura na kupitisha azimio la kutaka pande zote katika mizozo zisitishe uhasama ili kutoa fursa ya kutoa chanjo dhidi ya corona au Covid-19 na misaada mingine ya kibinadamu.
Endelea ... -
Rais Putin: Ugaidi ni tishio hatari zaidi kwa dunia
Februari 26, 2021 - 12:40 alasiriRais Vladimir Putin wa Russia amesema nchi yake itaendeleza vita dhidi ya ugaidi katika maeneo ya mbali kama vile Syria na kuongeza kuwa: "Ugaidi ni tishio hatari zaidi kwa dunia."
Endelea ... -
Borrell akiri kuwa Iran inafungamana na mapatano ya JCPOA na kwamba Ulaya ndio inayoyakiuka
Februari 24, 2021 - 3:31 alasiriBaada ya kujiondoa Marekani katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA, Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya (Ujerumani, Ufaransa na Uingereza) zimekuwa na utendajikazi hasi katika uga wa kulinda mapatano hayo na pia katika kutekeleza ahadi zao. Hii ni Katika hali ambayo Iran imetekeleza ahadi zake kikamilifu katika mapatano ya JCPOA. Hivi sasa afisa wa ngazi za juu wa sera za kigeni katika Umoja wa Ulaya amekiri ukweli huo.
Endelea ... -
Grossi: Iwapo vikwazo vya Iran havitaondolewa, jitihada zote zitaambulia patupu
Februari 24, 2021 - 3:30 alasiriMkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amejibu swali kuhusu hatua ya Iran ya kusitisha utekelezwaji Protokali Ziada na kusema, iwapo vikwazo havitaondolewa, basi jitihada zote zitaambulia patupu.
Endelea ... -
WHO: Nchi tajiri zinadhoofisha mpango wa kugawa chanjo ya corona kwa usawa
Februari 23, 2021 - 3:51 alasiriMkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani WHO amezishutumu 'baadhi ya nchi tajiri' kuwa zinadhoofisha mpango wa COVAX na ugawaji wa chanjo ya corona kwa usawa.
Endelea ... -
Zakharova: Biden anafuata siasa zile zile za Donald Trump
Februari 21, 2021 - 10:05 alasiriMsemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia amejibu matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Rais wa Marekani kuhusu nchi hiyo akisema: Matamshi hayo ya Joe Biden hayana jipya na hayana tofauti hata kidogo na sera za serikali ya zamani ya Marekani.
Endelea ... -
Italia: Chanjo wa corona ya Russia ni nzuri na ni salama
Februari 21, 2021 - 10:03 alasiriTaasisi ya Taifa ya Magonjwa ya Kuambukiza ya Italia imetangaza kuwa, chanjo ya ugonjwa wa COVID-19 iliyotengenezwa nchini Russia ambayo inajulikana kwa jina la "Sputnik V" ni nzuri na ni salama.
Endelea ... -
Chanjo ya Corona ya Sputnik V ya Russia kuanza kutegenezwa Iran
Februari 20, 2021 - 3:22 alasiriMkuu wa Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa, chanjo ya Corona au COVID-19 ya Sputnik V ya Russia sasa itaanza kutengenezwa hapa nchini.
Endelea ... -
Lavrov: Maombi ya nchi za Ulaya ya kununua chanjo ya corona ya Russia yanazidi kuongezeka
Februari 20, 2021 - 3:19 alasiriWaziri wa Mambo ya Nje wa Russia ameitaja chanjo ya Sputnik- V kuwa moja ya chanjo bora zilizopo duniani hivi sasa na kusisitiza kuwa, maombi ya nchi za Ulaya ya kununua chanjo hiyo yanazidi kuongezeka.
Endelea ... -
Ibada ya usiku wa Lailatul Raghaib katika Msikiti wa Hagia Sophia, Uturuki
Februari 20, 2021 - 11:01 asubuhiIbada ya usiku wa Lailatul Raghaib imefanyika katika msikiti wa kihistoria wa Hagia Sophia mjini Istanbul, Uturuki.
Endelea ... -
Bunge la Ufaransa lapitisha sheria iliyo dhidi ya Uislamu
Februari 17, 2021 - 2:15 alasiriBunge la Ufaransa jana Jumanne lilipitisha sheria iliyo dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo. Kwa mujibu wa taarifa wabunge 347 waliunga mkono sheria hiyo na wengine 151 waliipinga na hivyo ilipitishwa kwa wingi wa kura. Sheria hiyo sasa itapelekwa katika Bunge la Senate ili ipigiwe kura ya mwisho na ikipita itaanza kutekelezwa. Sheria hiyo ambayo imepewa jina la “Sheria ya Kuimarisha Thamani za Kijamhuri” inalenga kukabiliana na mambo kadhaa yanayowahusu Waislamu kama vile mafunzo ya kidini, mitandao na kuoa wake wengi. Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amependekeza sheria hiyo kwa ajili ya kukabiliana na kile alichokitaja ni 'Uislamu wa wanaotaka kujitenga.' Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Gerald Darmanin amedai katika ukurasa wake wa Twitter kuwa sheria hiyo inalenga kulinda thamani za jamhuri sasa na siku za usoni.
Endelea ... -
Hali mbaya ya haki ya kusema na kujieleza Uingereza yatia wasiwasi
Februari 16, 2021 - 3:02 alasiriMatokeo ya uchunguzi wa maoni uliofanyika hivi karibuni yanaonyesha kuwa, nusu ya wananchi wa Uingereza wanaamini kuwa, uhuru wa kusema na kujieleza unakabiliwa na hatari nchini humo.
Endelea ... -
Mkuu mpya wa WTO ataka usawa katika ugavi wa chanjo za Corona
Februari 16, 2021 - 2:59 alasiriMkuu mpya wa Shirika la Biashara Duniani (WTO) ametahadharisha dhidi ya 'utaifa' katika ugawaji wa chanjo za kukabiliana na ugonjwa wa Covid-19 na kusisitiza kuwa, janga la Corona linaweza kudumaza ukuaji wa uchumi wa nchi zote duniani, maskini na hata tajiri.
Endelea ... -
Maandamano yaendelea Paris Ufaransa, kupinga ukandamizaji dhidi ya Waislamu
Februari 15, 2021 - 2:49 alasiriMaandamano ya wananchi wa Ufaransa ya kupinga sheria kali za kuwakandamiza Waislamu nchini humo yanaendelea hasa dhidi ya mpango mpya wa nchi hiyo ya kuwabana zaidi ya Waislamu.
Endelea ... -
Uganda yaishambulia EU kwa kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo
Februari 13, 2021 - 2:41 alasiriSerikali ya Uganda imeukosoa vikali Umoja wa Ulaya kwa kile ilichodai kuwa ni uingiliaji wa masuala ya ndani ya nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
Endelea ... -
Russia yatishia kukata uhusiano na Umoja wa Ulaya iwapo itawekewa vikwazo vipya
Februari 13, 2021 - 2:27 alasiriWaziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa nchi hiyo iko tayari kukata uhusiano wake na Umoja wa Ulaya iwapo itawekewa vikwazo zaidi vinavyotishia uchumi wake kutokana na mizozo inayoendelea baina ya pande hizo mbili baada ya kufungwa jela mpinzani wa serikali ya Moscow, Alexei Navalny na ukandamiza wa maandamano yaliyoanzishwa na waungaji mkono wake.
Endelea ... -
Russia yatishia kukata uhusiano na Umoja wa Ulaya iwapo itawekewa vikwazo vipya
Februari 12, 2021 - 4:38 alasiriWaziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Russia amesema kuwa nchi hiyo iko tayari kukata uhusiano wake na Umoja wa Ulaya iwapo itawekewa vikwazo zaidi vinavyotishia uchumi wake kutokana na mizozo inayoendelea baina ya pande hizo mbili baada ya kufungwa jela mpinzani wa serikali ya Moscow, Alexei Navalny na ukandamiza wa maandamano yaliyoanzishwa na waungaji mkono wake.
Endelea ... -
Corona ya Uingereza kuathiri dunia nzima
Februari 12, 2021 - 4:37 alasiriAfisa mmoja wa Uingereza amesema kuna uwezekano kwamba aina mpya ya kirusi cha corona kilichogunduliwa nchini humo ambacho kimekuwa maarufu kwa jina la "Corona ya Uingereza", kitaikumba dunia nzima.
Endelea ... -
UN yazikosoa nchi za Ulaya kwa ukatili dhidi ya wahajiri
Februari 12, 2021 - 4:36 alasiriShirika la Kimataifa la Wahajiri (IOM) limezitaka nchi za Ulaya zikomesha ukatikli dhidi ya wahamiaji.
Endelea ... -
Zakharova: Moscow itachapisha nyaraka za kuhusika nchi za Magharibi katika machafuko ya Russia
Februari 12, 2021 - 4:35 alasiriMsemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Russia amesema kuwa, nchi hiyo ina azma ya kuzitumia jumuiya za kimataifa nyaraka na ushahidi wa kuhusika nchi za Magharibi katika machafuko na maandamano haramu katika miji mbalimbali ya nchi.
Endelea ... -
Ulyanov: Makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yarejee katika hali ya kabla ya serikali ya Trump
Februari 11, 2021 - 4:22 alasiriMwakilishi wa Russia katika jumuiya za kimataifa mjini Vienna amesema kuwa, ili kuweza kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA kuna ulazima wa serikali ya Marekani kurejea katika hali iliyokuwepo kabla ya serikali iliyoondoka madarakani ya Donald Trump bila ya masharti yoyote na kisha pande mbili za Marekani na Iran zitekeleze majukumu yao kwa mujibu wa makubaliano hayo na kufutwa vikwazo vyote vilivyowekwa dhidi ya Iran.
Endelea ... -
UN: Uamuzi wa ICC umefungua mlango wa kupata haki Wapalestina
Februari 11, 2021 - 4:19 alasiriRipota Maalumu wa Umoja wa Mataifa anayeshughulikia masuala ya haki za binadamu katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu amesema uamuzi wa hivi karibuni wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC wa kubariki kuchunguzwa jinai za utawala wa kigaidi wa Israel dhidi ya taifa la Palestina umefungua mlango wa kupata haki Wapalestina.
Endelea ...