• Intro
  • Kuhusu sisi
  • RSS
Arabic English Persian Turkish Urdu Spanish Indonesian Hindi French Chinese Russian German Melayu Hausa Bengali Azeri Latin Azeri Cyrillic Swahili Myanmar Bosnian Portuguese Sourani Japanese Kurmanji Philippines
  • Habari Kamili
  • Habari Muhimu
  • Iran
  • Asia
  • Ulaya
  • Amerika
  • Afrika
  • Picha
  • Makala
  • Habari maalum
Menu
  • Maskani

  • Habari Kamili

  • Habari Muhimu

  • Iran

  • Asia

  • Ulaya

  • Amerika

  • Afrika

  • Picha

  • Makala

  • Habari maalum

Marekebisho Picha
  • Maandamano ya Siku ya Quds kote Iran, Kiongozi Muadhamu kuhutubia umma

    Aprili 29, 2022 - 6:50 PM

    Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yanafanyika kote nchini Iran ambapo idadi kubwa ya wananchi wamejitokeza kutangaza uungaji mkono wao kwa harakati za ukombozi wa Palestina sambama na kulaani jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel.

    Endelea ...
  • Wairan leo wanaadhimisha miaka 43 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu

    Februari 11, 2022 - 3:17 PM

    Leo Ijumaa tarehe 22 Bahman, sawa na tarehe 11 Februari, wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanaadhimisha sherehe za miaka 43 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.

    Endelea ...
  • Sera za kigeni za serikali ya Raeisi; ushirikiano erevu na ulimwengu, mtazamo maalumu kwa majirani

    Agosti 7, 2021 - 3:22 AM

    Rais wa nane wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amebainisha katika hotuba yake ya kwanza mara baada ya kuapishwa kuhusiana na utendaji wa serikali mpya ya Iran kuhusiana na sera za kigeni kwa ajili ya kudhamini maslahi ya kitaifa katika uga wa kieneo na kimataifa.

    Endelea ...
  • Pongezi kwa kuadhimisha Sikukuu ya Eid Ghadir Khum

    Julai 29, 2021 - 9:28 AM

    Leo Alhamisi tarehe 29 Julai mwaka 2021 inayosadifiana na tarehe 18 Dhul-hija mwaka 1442 Hijria ni Sikukuu ya Idd Sayyid Ghadir Khum, moja ya Idd kubwa za Waislamu.

    Endelea ...
  • Kuakhirishwa kesi ya Sheikh Zakzaky na njama za mabeberu nchini Nigeria

    Julai 3, 2021 - 4:17 PM

    Mahakama ya Nigeria kwa mara nyingine tena imeakhirisha kikao cha kusikilizwa kesi ya kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky hadi tarehe 28 Julai licha ya Waislamu wa nchi hiyo kutaka mwanazuoni huyo aachiwe huru.

    Endelea ...
  • Uchaguzi wa rais nchini Iran wamalizika baada ya upigaji kura wa masaa 19

    Juni 19, 2021 - 4:16 PM

    Uchaguzi wa urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umemalizika mapema leo asubuhi baada ya upigaji kura wa masaa 19 ambapo mamilioni ya wapiga kura wamejitokeza.

    Endelea ...
  • Kiongozi Muadhamu: Jamhuri ya Kiislamu ni ubunifu muhimu zaidi wa Imam Khomeini (MA)

    Juni 4, 2021 - 7:39 PM

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema taifa la Iran hii leo na katika mustakabali wa mbali linapaswa kulinda kumbukumbu ya Imam Khomeini, Mwenyezi Mungu amrehemu.

    Endelea ...
  • Hotuba ya Kiongozi Muadhamu katika sikukuu ya Mab’ath; sisitizo la kusimama kidete Iran dhidi ya mfumo wa ubeberu

    Machi 13, 2021 - 3:19 PM

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, malengo ya zawadi kubwa ya Mwenyezi ya kubaathiwa na kupewa Utume Mtume Muhammad SAW ni kuanzishwa utawala wa sheria za Mwenyezi Mungu, kuleta uadilifu na kupatikana maisha mazuri na yaliyo bora.

    Endelea ...
  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la Iran kusimama kidete kuhusu suala la nyuklia

    Februari 23, 2021 - 3:46 PM

    Kama ilivyo hali kuhusu masuala mengine, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitalegeza msimamo wake kuhusu kadhia ya nyuklia, na itaendelea kusimamam imara na kutetea suala hilo kwa nguvu zake zote kwa ajili ya kulinda maslahi ya leo na ya kesho ya taifa hili.

    Endelea ...
  • Maadhimisho ya Bahman 22, nembo ya umoja na nguvu laini za taifa la Iran mbele ya maadui

    Februari 11, 2021 - 4:23 PM

    Leo Jumatano, Februari 10, 2021 zimefikia kileleni sherehe za Bahman 22 za ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya nchini Iran. Sherehe hizo ni kumbukumbu ya moja ya matukio muhimu sana katika historia ya taifa la Iran. Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalipata ushindi tarehe 11 Februari 1979 kwa uongozi wa mwanachuoni shujaa, Imam Khomeini MA.

    Endelea ...
  • Kiongozi Muadhamu: Sharti la Iran la kurejea katika ahadi zake za JCPOA ni Marekani kuondoa vikwazo kivitendo

    Februari 7, 2021 - 4:01 PM

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, Iran itarejea katika ahadi zake za makubaliano ya nyuklia ya JCPOA pale Marekani itakapoliondolea taifa hili vikwazo vyake vyote tena kivitendo na sio kwa maneno matupu au katika makaratasi tu.

    Endelea ...
  • Maelfu waandamana kwa siku ya pili Myanmar kulalamikia mapinduzi ya kijeshi

    Februari 7, 2021 - 3:50 PM

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Myanmar wameandamana kwa siku ya pili mtawalia katika mji wa Yangon moja ya miji muhimu ya nchi hiyo licha vitisho vya jeshi na hatua ya utawala wa kijeshi nchini humo ya kukata mawasiliano ya intaneti.

    Endelea ...
  • Ayatullah Khamenei: Uislamu na Jamhuri ya Kiislamu vinamtazama mwanamke kwa jicho la heshima

    Februari 3, 2021 - 3:39 PM

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria tofauti za kimsingi za mtazamo wa Uislamu na ulimwengu wa Magharibi mwa mwanamke na kusema kuwa,Uislamu na Jamhuri ya Kiislamu vinamtazama mwanamke kwa jicho la heshima ilihali mtazamo ulionea Magharibi kuhusu mwanamke ni wa kumtazama kiumbe huyu kama bidhaa na wenzo.

    Endelea ...
  • Jeshi la Myanmar latwaa madaraka ya nchi; rais na viongozi wengine watiwa mbaroni

    Februari 1, 2021 - 4:28 PM

    Jeshi la Myanmar limethibitisha kulidhibiti madaraka ya nchi baada ya kumkamata Rais wa nchi na viongozi wengine akiwemo Aung San Suu Kyi mapema hii leo.

    Endelea ...
  • Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu azuru haram tukufu ya Imam Khomemeini (M.A)

    Januari 31, 2021 - 4:47 PM

    Sambamba na kuanza maadhimisho ya alfajiri kumi na katika kukaribia maadhimisho ya mwaka wa 42 wa ushindi mtukufu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Khamenei Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema leo asubuhi amezuru katika haram tukufu la mwasisi mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu na kuenzi kumbukumbu ya imamu huyo adhimu wa taifa la Iran kwa kusali na kusoma Qurani.

    Endelea ...
  • Kiongozi Muadhamu amuenzi shahidi Fakhrizadeh kwa kipawa chake kikubwa cha elimu na ikhlasi ya kupigiwa mfano

    Januari 26, 2021 - 5:14 PM

    Familia ya mwanasayansi bingwa na mwenye kipawa cha juu katika masuala ya nyuklia na ulinzi wa Iran shahidi Mohsen Fakhrizadeh jana ilimtembelea Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.

    Endelea ...
  • Picha: Hiyana ya umoja wa Ulaya kwa Italy

    Machi 24, 2020 - 10:38 PM

    Katika hali ambayo Italy inahitajia msaada zaidi, Umoja wa Ulaya umeonekana kutupilia mbali mawazo ya kuisaidia hata katika misaada ya kitabibu.

    Endelea ...
  • Picha: Ushindi wa wananchi wa Yemen dhidi ya vita

    Machi 17, 2020 - 11:24 AM

    Pamoja na kuwa katika vita kali zenye kuandaliwa dhidi yao, wananchi madhulumu wa Yemen bado wana kila njia ya kukabiliana na hatimaye kushinda kila aina ya vita hizo.

    Endelea ...
  • Picha: Sherehe maalumu za kuadhimisha kifo cha Qasem Suleimani nchini Syria

    Januari 27, 2020 - 3:15 PM

    Sherehe maalumu kabisa za kuadhimisha na kukumbuka kifo cha aliyekuwa kiongozi wa Jeshi la Quds nchini Iran zimefanyika nchini Syria.

    Endelea ...
  • habari za picha

    Mamilioni ya wananchi wa Iraq wajitokeza dhidi ya Marekani-3

    Januari 24, 2020 - 10:52 PM

    Shirika la habari AhlulBayt (a.s) ABNA: mamilioni ya wananchi wa Iraq waandamana kupinga kuwepo kwa majeshi ya Marekani nchini humo maandamano ambayo yameitishwa na kiongozi wa kikundi cha Sadr ambaye ni Muqtada Sadr na kufanya leo siku ya Ijumaa nchini humo.

    Endelea ...
  • Picha :“...wale mabwana waliokuwepo katika meza ya makubaliano, ndio hao hao magaidi ya uwanja wa ndege wa Baghdad.."

    Januari 24, 2020 - 11:09 AM

    Kupitia ukurasa maalumu wa kiongozi mkuu wa mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Ayatollah Khamenei, imeenea picha yenye kuonyesha uhalisia wa tukio la kuuwawa kishahidi Qasem Suleimani.

    Endelea ...
  • habari za picha

    Sauti ya kuilaani Marekani yasikika mkabala na ubalozi mdogo wa Marekani mjini Lahore Pakistan

    siku kumi baada ya mauaji
    Januari 13, 2020 - 8:34 AM

    Shirika la habari AhlulBayt (a.s) ABNA: mamia ya wananchi wa mji wa (Lahore) Pakistan wamepaza sauti zao nchini humo wakiwa mkabala na ubalozi mdogo wa Marekani wakipinga mauaji ya kikatili yaliofanywa na sirikali ya Marekani dhidi ya Kamanda Qasim Soleimani Abumahdi Almuhandisi, hiyo ikiwa ni siku ya Jumapili sawa na siku ya kumi ya kuuwawa kishujaa kwa Kamanda Qasim Soleimani Abumahdi Almuhandisi na waambata wao. Walioshiriki katika maandamano hayo walitoa heshima za dhati kwa mashujaa hao huku wakiiani vikali serikali ya Marekani kwa kujihusisha na mauaji hao.

    Endelea ...
  • habari za picha

    Maandamano makubwa yafanyika mjini New Delhi India kupinga mauaji ya Marekani dhidi ya kamanda Qasim Soleimani na wenzake

    Januari 13, 2020 - 8:10 AM

    Shirika la habari AhlulBayt (a.s) ABNA: mamia ya wananchi wa mji wa (New Delhi) ambao ni mji mkuu wa India wamemiminika barabarani siku ya Jumapili kupinga mauaji ya kigaidi yaliofanywa na serikali ya Marekani dhidi ya Kamanda Qasim Soleimani na Abumahdi Almuhandisi pamoja na waambata wao. Walioshiriki katika maandamano hayo, walikuwa wameshika picha za mashujaa waliowawa kikatili na serikali ya Trump, kwa upande mwingine wakiwa na picha za kiongozi muadhamu wa mapinduzi ya kiislamu ya Iran Ayatollah Sayed Ali Khamenei na kiongozi wa kikundi cha Hizbullah Sayed Hasan Nasrullah nk, huku wakiwa wanalaani vikali utawala wa Marekani na utawala haramu wa Israel kwa kujihusisha na mauaji hayo. Alkadhalika wiki iliopita mamia ya waislamu wa India walikusanyika mkabala na ubalozi wa Marekani mjini New Delhi kwaajili ya kuonyesha kutoridhishwa kwao na kitendo cha kigaidi cha utawala wa Marekani.

    Endelea ...
  • habari za picha

    Mamilioni ya wananchi wa Kerman Kuagwa mwili wa kamanda Qasim Soleimani

    Januari 8, 2020 - 11:17 PM

    Shirika la habari AhlulBayt (a.s) ABNA: mamilioni ya wananchi wa Kerman wafurika katika mji huo kwaajili ya kuaga mwili wa kamanda Qasim Soleimani, ambapo mji ndio mahala alipozaliwa na ambapo atazikwa katika mahala hapo

    Endelea ...
  • habari za picha

    Kuagwa kwa miili ya makamanda Qasim Soleimani na Abumahdi Almuhandisi na waambata wao katika mji wa Qom

    Januari 8, 2020 - 10:59 PM

    Shirika la habari AhlulBayt (a.s) ABNA: mamilioni ya wananchi wa Qom wafurika katika barabara za mji wa Qom kwaajili ya kuaga miili ya makamanda Qasim Soleimani na Abumahdi Almuhandisi na waambata wao.

    Endelea ...
  • habari za picha

    Kuagwa kwa miili ya makamanda Qasim Soleimani na Abumahdi Almuhandisi na waambata wao katika mji wa Ahvaz

    Januari 8, 2020 - 10:27 PM

    Shirika la habari AhlulBayt (a.s) ABNA: mamilioni ya wananchi wa Ahvaz wafurika katika barabara mji wa Ahvaz kwaajili ya kuaga miili ya makamanda Qasim Soleimani na Abumahdi Almuhandisi na waambata wao

    Endelea ...
  • habari za picha

    Kuagwa kwa miili ya makamanda Qasim Soleimani na Abumahdi Almuhandisi na waambata wao katika haramu ya Imam Ali

    Januari 8, 2020 - 9:33 PM

    Shirika la habari AhlulBayt (a.s) ABNA: maelfu ya wananchi wa Iraq wafurika katika Haram ya Imam Ali “mahala alipozikwa Imam Ali bin Abitwalib” katika mji mtukufu wa Najaf Ashraf kwaajili ya kuaga mwili wa makamanda Qasim Soleimani na waambata wao

    Endelea ...
  • habari za picha

    Maandamano dhidi ya Marekani nchini Pakistani wakipinga mauaji ya kamanda Qasim Soleiman

    Januari 7, 2020 - 11:26 PM

    Shirika la habari AhlulBayt (a.s) ABNA: kufuatia mauaji ya kikatili yaliofanywa na utawalka wa Marekani na Israel dhidi ya Kamanda Qasim Soleiman na Abumahdi Almuhandisi pamoja na waambata wao, wananchi wa Pakistan katika mji wa Karachi wameandamana katika maeneo mbalimbali ya mji huo kupinga mauaji hayo ya kikatili yaliofanywa na majeshi ya Marekani katika kiwanja cha ndege cha Baghdad nchini Iraq

    Endelea ...
  • Ayatullah Khamenei: Tunafuata nyayo za Sayyidu Shuhadaa, hatutasalimu amri mbele ya Marekani

    Oktoba 14, 2019 - 10:31 AM

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa kwa mujibu wa falsafa ya harakati ya Bwana wa Mashahidi (Imam Hussein bin Ali (as)), taifa la Iran linakutambua kupambana na kambi ya ukafiri, uzayuni na Marekani kuwa ni wajibu wake, na kutosalimu amri kwa Iran mbele ya Marekani kunafanyika kwa msingi huo.

    Endelea ...
  • Maalum kwa mtandao wa Alkafeel: Picha za matembezi ya Towareji ya kuomboleza

    Septemba 12, 2019 - 11:40 AM

    Picha za matembezi ya Towareji ya kuomboleza yaliyo fanyika leo Jumanne mwezi kumi Muharam (1441h) sawa na (10 Sptemba 2019m) baada ya swala ...

    Endelea ...
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • Next
Haki zote zimehifadhiwa

All Content by AhlulBayt (a.s.) News Agency - ABNA is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License