Leo Ijumaa tarehe 22 Bahman, sawa na tarehe 11 Februari, wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wanaadhimisha sherehe za miaka 43 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.
Endelea ...-
-
Kiongozi Muadhamu asisitiza udharura wa kutekelezwa vipaumbele vya serikali ya 13
Agosti 3, 2021 - 1:53 PMSherehe za kuidhinishwa rasmi rais wa serikali ya 13 na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu zimefanyika leo mchana katika Hussainiya ya Imam Khomeini (MA) mjini Tehran ambapo Ayatullah Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi na viongozi wengine wa ngazi za juu wa Mfumo wa Kiislamu wamehudhuria kwa kuzingatia kikamilifu maelekezo na miongozo ya Wazara ya Afya juu ya kujikinga na virusi vya Covid-19.
Endelea ... -
Hukumu ya kuachiliwa huru Sheikh Zakzaky na mkewe; ushindi kwa mrengo wa subira na mapambano
Julai 29, 2021 - 3:24 PMMahakama Kuu ya Jimbo la Kaduna nchini Nigeria Jumatano ilifutilia mbali tuhuma zote alizobambikiziwa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Katibu Mkuu wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria na mkewe, na kutoa amri ya kuachiliwa kwao mara moja.
Endelea ... -
Kiongozi Muadhamu apokea dozi ya pili ya chanjo ya Corona iliyozalishwa Iran
Julai 23, 2021 - 2:53 PMKiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran amepigwa dozi ya pili ya chanjo ya kuzuia ugonjwa wa Covid-19 ambayo imetengenezwa na wataalamu wa ndani ya nchi ya COVIran Barekat.
Endelea ... -
Ayatullah Khamenei apewa dozi ya kwanza kabisa ya chanjo ya corona ya COVIran Barekat iliyotengenezwa hapa nchini
Juni 25, 2021 - 3:07 PMKiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu mapema leo Ijumaa amedungwa dozi ya kwanza kabisa ya chanjo ya corona ya COVIran Barekat na kusema kuwa: Kuna ulazima wa kuthamini na kuenzi fahari hii ya taifa ya kuzalisha chanjo ya Kiirani ya corona.
Endelea ... -
Mamilioni ya Wairani washiriki katika uchaguzi wa Rais na Mabaraza ya Miji na Vijiji
Juni 19, 2021 - 4:07 PMMamilioni ya Wairani wakiongozwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei tangu mapema leo wameelekea kwenye masanduku ya kupigia kura kuchagua Rais wa 13 wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na wawakilishi wao katika Mabaraza ya Miji na Vijiji.
Endelea ... -
HAMAS: Umma wa Kiislamu unapaswa kuungana kukomesha ugaidi wa Israel + Video
Juni 10, 2021 - 2:15 PMMsemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, Umma wa Kiislamu una jukumu la kuungana na kuwa kitu kimoja kama unataka kweli kukikomboa Kibla chao cha Kwanza yaani Msikiti wa al Aqsa na kukomesha jinai na ugaidi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
Endelea ... -
Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa azabwa kibao + Video
Juni 9, 2021 - 11:12 PMRais Emmanuel Macron wa Ufaransa amezabwa kibao wakati akiwa ziarani kusini mashariki mwa nchi hiyo. Katika kuonesha kuwa bado watu wanampenda, rais huyo anayeshindwa kuficha chuki zake dhidi ya Uislamu, alikwenda haraka kuwapa mikono watu waliokuwa wamesimama pembeni. Mtu wa kwanza kumpa mkono ametumia fursa hiyo hiyo kumzaba kibao.
Endelea ... -
Brigedia Jenerali Qaani: Wazayuni waondoke mara moja katika ardhi za Wapalestina
Mei 29, 2021 - 6:24 PMKamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema wakati umefika kwa utawala wa Kizayuni wa Israel kuondoka katika ardhi za Wapalestina unaozikalia kwa mabavu haraka iwezekanavyo.
Endelea ... -
Watu wasiopungua 15 wafariki dunia, mamia ya nyumba yateketea, volcano ya Goma
Mei 24, 2021 - 5:17 PMWatu karibu 15 wamethibitishwa kufariki dunia kutokana mlipuko wa volkano uliotokea katika Mlima wa Nyiragongo, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC).
Endelea ... -
Pogba na Diallo wakiwa na bendera ya Palestina waonyesha kuwaunga mkono Wapalestina +VIDEO
Mei 19, 2021 - 5:27 PMPaul Pogba nyota wa timu ya soka ya Manchester United ya Uingereza na mwenzake Ahmad Diallo walionekana jana baada ya mechi wakiwa na bendera ya Palestina na kuonyesha uungaji mkono wao kwa wananchi wa Palestina wanaokabiliwa na hujuma na mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
Endelea ... -
Mamia ya Maelfu ya Wayemen waandamana kuwaunga mkono ndugu zao Wapalestina + Video
Mei 18, 2021 - 3:31 PMMaandamano makubwa ya kuliunga mkono taifa linalodhulumiwa la Palestina na mapambano yake ya ukombozi, yamefanyika huko San'a, mji mkuu wa Yemen.
Endelea ... -
Kiongozi Muadhamu: Kikosi cha Quds kizuizi kikubwa athirifu cha diplomasia legevu katika Asia Magharibi
Mei 3, 2021 - 5:14 PMKiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (SEPAH) ni sababu kubwa kabisa athirifu ya kuzuia diplomasia legevu na isiyo na irada katika eneo la Asia Magharibi.
Endelea ... -
Maelfu ya wafungwa waachiliwa Mynamar huku hatima ya wengine ikiwa haijulikani
Aprili 18, 2021 - 4:48 PMMitambo mipya kabisa ya makombora ya vikosi vya ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imezinduliwa katika gwaride maalum lililofanyika mapema leo kwa mnasaba wa "Siku ya Jeshi".
Endelea ... -
Corona Brazil, zaidi ya watu 2000 wafariki dunia katika kipindi cha siku moja
Machi 13, 2021 - 3:08 PMNchi ya Brazil imegeuka kuwa kitovu cha vifo vya ugonjwa wa COVID-19 duniani baada ya zaidi ya watu 2000 kufariki dunia kwa ugonjwa huo katika kipindi cha siku moja. Shirika la Afya Duniani WHO limetahadharisha kuhusu wimbi jipya la ugonjwa huo katika eneo zima la Amerika ya Latini.
Endelea ... -
Kiongozi Muadhamu: Harakati za mazingira ni harakati za kidini na kimapinduzi
Machi 7, 2021 - 11:38 AMKiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitia kuwa, harakati za mazingira ni harakati za kidini na kimapinduzi na haipasi kuzitazama kwa jicho la mapambo na vitu vya starehe.
Endelea ... -
Shirika la habari la Ahlubayt (as)ABNA:
Machi 7, 2021 - 11:35 AMKiongozi na Marjaa wa Waisalmu wa Madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali Sistani amekutana na Papa Francis, Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani katika mji mtakatifu wa Najaf, Iraq.
Endelea ... -
Majeshi ya Iran na Russia kufanya mazoezi makubwa ya kivita Bahari ya Hindi
Februari 15, 2021 - 2:55 PMMajeshi ya Majini ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia yatafanya mazoezi ya pamoja ya kivita kaskazini mwa Bahari ya Hindi. Hayo yamedokezwa na Admeri Habibullah Sayyari, Mratibu Mkuu wa Majeshi ya Iran ambaye ameongeza kuwa: "Kufanyika mazoezi hayo ni dhihirisho la nguvu za Majeshi ya Iran."
Endelea ... -
Jeshi la Iran la IRGC lafanya majaribio makubwa ya makombora mapya + Video
Januari 16, 2021 - 1:56 PMJeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) linafanya mazoezi makubwa ya makombora katika jangwa la kati mwa Iran ambapo limefanyia majaribio makombora mapya ya balistiki na ndege za kivita zisizo na rubani.
Endelea ... -
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu; fedheha ya kidemokrasia ya Marekani na mustakabali wa JCPOA
Januari 9, 2021 - 6:26 PMKiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa hotuba muhimu kwa mnasaba wa siku ya leo ya maadhimisho ya mapambano ya Dei 19 ya wananchi wa Qum dhidi ya utawala wa kiimla wa Shah ambapo ameashiria matukio ya hivi karibuni nchini Marekani, sharti la Iran la kurejea Washington katika makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na uwepo wa kieneo na uwezo wa kiulinzi wa Iran.
Endelea ... -
Iran Yazindua kituo kikubwa cha chini ya ardhi cha makombora Ghuba ya Uajemi + VIDEO
Januari 9, 2021 - 6:24 PMJeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limezindua kituo kikubwa na cha kistratijia cha makombora chini ya ardhi katika eneo la Ghuba ya Uajemi.
Endelea ... -
Brigedia Jenerali Qaani: Njia ya Kikosi cha Quds haitabadilishwa kwa ushetani wa Marekani
Januari 2, 2021 - 12:06 PMKamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Sepah) nchini Iran amesema kuwa Shahidi Qassem Soleimani ni shujaa wa taifa la Iran, Umma wa Kiislamu na vilevile shujaa wa kuyashinda madola ya kibeberu na kuongeza kuwa, njia ya Kikosi cha Quds na wanamuqawama haiwezi kubadilishwa kwa ushetani wa Marekani.
Endelea ... -
Iran italipiza kisasi mauaji ya mwanasayansi maarufu, shahidi Fakhrizadeh
Novemba 28, 2020 - 11:35 AMWaziri wa Intelijensia wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa Iran italipiza kisasi kufuatia kuuawa shahidi Mohsen Fakhrizadeh ambaye alikuwa Mkuu wa Shirika la Utafiti na Ubunifu katika Wizara ya Ulinzi ya Iran.
Endelea ... -
Msafara wa kijeshi wa Marekani washambuliwa kwa mabomu Iraq
Julai 12, 2020 - 3:36 PMMsafara wa magari ya kijeshi ya Marekani umeshambuliwa kwa mabomu ya kuelekezwa kutoka mbali (VBIED) baina ya barabara ya Samawah na Diwaniyah, kusini mwa mji mkuu wa Iraq, Baghdad.
Endelea ... -
Jeshi la Anga la Iran lapokea ndege za kivita za 'Kauthar'
Juni 25, 2020 - 5:36 PMKikosi cha Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kimepokea ndege tatu za kivita aina ya 'Kauthar' zilizotengenezwa na wataalamu wa humu nchini.
Endelea ... -
Mwafrika aokoa maisha ya mzungu mwenye chuki kali za kibaguzi nchini Uingereza + Video
Juni 15, 2020 - 12:28 PMKitendo cha uungwa na kiwango cha juu cha ubinadamu kilichooneshwa na rais mmoja wa Uingereza mwenye asili ya Afrika cha kuokoa maisha ya mzungu mwenye chuki kali za kibaguzi wakati wa ugomvi huko mjini London Uingereza, kimevigusa sana vyombo vya habari na mitandao ya kijamii.
Endelea ... -
Kwa uchache watu 11 wajeruhiwa Australia baada ya dereva mmoja kulipigiza gari na duka la Hijab + Video
Mei 21, 2020 - 5:35 PMKwa uchache watu 11 wamejeruhiwa baada ya gari moja kuvamia kwa makusudi duka moja la nguo za staha ya mwanamke Muislamu yaani Hijab huko Greenacre, New South Wales, Australia. Dereva wa gari hiyo amegonga gari nyingine kabla ya kukanyaga mafuta kwa nguvu zote na kuipigiza gari hiyo na duka hilo la Hijab.
Endelea ... -
Kim Jong-un, Kiongozi wa Korea Kaskazini aonekana hadharani
Mei 3, 2020 - 2:02 PMShirika la Serikali ya Korea Kaskazini limeripoti habari ya kuonekana hadharani kiongozi wa nchi hiyo.
Endelea ... -
Video: Mauaji ya kinyama dhidi ya vijana wa Kipalestina
Februari 24, 2020 - 10:18 AMKwa kile kinachoaminika kuwa na mwendelezo wa unyama na ukatili dhidi ya Wapalestina, Wanajeshi wa Israel siku ya jana (Jumapili) wameendeleza mauaji hayo yaliyosababisha kifo cha kijana mmoja na wengine wanne kujeruhiwa.
Endelea ... -
Video: Je, hivi ndivyo magaidi namba moja huagwa?
Februari 14, 2020 - 11:34 AM“...Jana usiku kwa amri yangu, Jeshi la Marekani liliweza kufanya shambulio makini sana bila ya kukosea, na kufanikiwa kumuua Gaidi namba moja wa ulimwengu, Qasem Suleimani...” haya yalikuwa ni maneno ya Rais Trump baada tu ya masaa machche kupita tangu kutokea kwa shambulio hilo.
Endelea ...