• Intro
  • Kuhusu sisi
  • RSS
Arabic English Persian Turkish Urdu Spanish Indonesian Hindi French Chinese Russian German Melayu Hausa Bengali Azeri Latin Azeri Cyrillic Swahili Myanmar Bosnian Portuguese Sourani Japanese Kurmanji Philippines
  • Habari Kamili
  • Habari Muhimu
  • Iran
  • Asia
  • Ulaya
  • Amerika
  • Afrika
  • Picha
  • Makala
  • Habari maalum
Menu
  • Maskani

  • Habari Kamili

  • Habari Muhimu

  • Iran

  • Asia

  • Ulaya

  • Amerika

  • Afrika

  • Picha

  • Makala

  • Habari maalum

Habari Mpya
  • Siku ya huzuni kwa Mashia duniani

    Mei 27, 2022 - 1:32 PM

    Siku kama hii ya leo ni siku ulimwengu uliondokewa na mwanazuni muhimu katika historia ya kiislamu nae Imam Jaafar Saadiq(as) mwalimu mwenye taathira kubwa katika kuendeleza harakati za uislamu. Endelea ...

  • Afrika imehusika kidogo mno na uchafu wa mazingira, lakini ndiyo inayoathirika zaidi duniani

    Mei 26, 2022 - 4:46 PM

    Uchunguzi mpya uliofanywa na Mo Ibrahim unaonesha kuwa, nchi zote za bara la Afrika, zimechangia kwa asilimia 3.3 tu ya uzalishaji wa gesi chafu na uchafuzi wa mazingira duniani tangu mwaka 1960, lakini pamoja na hayo, nchi za bara hilo ndizo zinazoathiriwa zaidi mabadiliko ya tabianchi. Endelea ...

  • Vitoto vichanga 11 vyatekeketea kwa moto hospitalini nchini Senegal

    Mei 26, 2022 - 4:46 PM

    Watoto wachanga 11 wamefariki dunia katika ajali ya moto iliyotokea kwenye hospitali moja ya mji wa Tivaouane wa magharibi mwa Senegal. Endelea ...

  • Indhari ya Antonio Guterres kuhusu ukimbizi; Asia Magharibi kitovu cha mgogoro

    Mei 26, 2022 - 4:45 PM

    Antonio Guterres, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa amekosoa vikali mwenendo wa kulazimika watu wa mataifa mbalimbali kuyakimbia makazi yao na kuutaja ukimbizi kuwa ni mgogoro wa kisiasa. Endelea ...

  • Nasrullah: Hatua yoyote dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa itapelekea kutokea mlipuko Asia Magharibi

    Mei 26, 2022 - 4:44 PM

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon sambamba na kuuonya utawala haramu wa Israel amesisitiza kuwa, hatua yoyote iliyo dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa italilipua eneo la Asia Magharibi. Endelea ...

  • Iran: Tuna nia ya kweli ya kufikia mapatano imara na madhubuti ya nyuklia

    Mei 26, 2022 - 4:44 PM

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran ina ni ya kweli ya kufikia makubaliano yenye nguvu na madhubuti ya nyuklia katika mazungumzo ya mjini Vienna Austria. Endelea ...

  • ICC yatakiwa ichunguze uhalifu wa kivita wa Israeli Gaza

    Mei 26, 2022 - 4:43 PM

    Mashirika kadhaa ya kutetea haki za Wapalestina yameikabidhi Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) maelezo ya kina kuhusu jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu zilizofanywa na utawala wa Israel wakati wa hujuma zake za kijeshi dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza mwaka 2021. Endelea ...

  • Mauaji mapya ya ufyatuaji risasi huko Marekani na radiamali ya pupa ya Biden

    Mei 26, 2022 - 4:42 PM

    Katika kisa kingine cha ufyatuaji risasi dhidi ya umati nchini Marekani ambacho kimepelekea kuuawa wanafunzi wengi ya shule ya msingi, Rais Joe Biden wa nchi hiyo kama alivyofanya katika siku za nyuma, ametoa radiamali ya pupa na isiyo ya busara katika uwanja huo. Endelea ...

  • Seneta Murphy: Kununua silaha Marekani ni rahisi kuliko kununua mnyama wa kufuga

    Mei 26, 2022 - 4:42 PM

    Seneta wa chama cha Republican amekiri kwamba, kununua silaha nchini Marekani ni rahisi mno kuliko hata kununua mnyama wa kufuga. Endelea ...

  • Rais wa zamani wa Gambia, Yahya Jammeh, kuburuzwa mahakamani karibuni hivi

    Mei 26, 2022 - 4:41 PM

    Serikali ya Gambia imekubaliana na mapendekezo yaliyotolewa na tume ya ukweli na maelewano iliyopendekeza rais wa zamani wa nchi hiyio, Yahya Jammeh apandishwe kizimbari kwa tuhuma za mauaji na utesaji watu wakati wa utawala wake. Endelea ...

  • Kissinger: Kufeli mazungumzo ya Russia na Ukraine kutakuwa na madhara makubwa kwa Ulaya

    Mei 26, 2022 - 4:40 PM

    Waziri wa zamani wa mambo ya nje wa Marekani amesema kuwa, kufeli juhudi za kuitisha mazungumzo baina ya Ukraine na Russia kutakuwa na madhara makubwa ya muda mrefu kwa nchi za Ulaya. Endelea ...

  • Watu zaidi ya elfu 15 wameuawa mashariki mwa DRC tangu mwaka 2007

    Mei 25, 2022 - 6:00 PM

    Raia zaidi ya 15,000 wameuawa kwa sababu ya vita kwa kipindi cha miaka 15 iliyopita, Wilayani Beni, jimbon Kivu Kaskazini pamoja na Irumu na Mambasa, mkoani Ituri, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo. Endelea ...

  • HAMAS yawataka Wapalestina kujitokeza kwa wingi kuutetea Msikiti wa al-Aqswa

    Mei 25, 2022 - 6:00 PM

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amewatolea wito Wapalestina wote kujitokeza kwa wingi katika msikiti wa al-Aqswa kwa ajili ya kulitetea eneo hilo takatifu. Endelea ...

  • Jeshi la Yemen latungua ndege ya tatu ya kijasusi ya Saudi Arabia

    Mei 25, 2022 - 5:59 PM

    Jeshi la Yemen limetangaza kuwa limefanikiwa kutungua droni yaani ndege isiyo na rubani ya Saudi Arabia katika eneo la kaskazini magharibi mwa Yemen. Endelea ...

  • Mkuu wa maulamaa wa Iraq: Marekani inadhamini 85% ya silaha za DAESH (ISIS)

    Mei 25, 2022 - 5:57 PM

    Mkuu wa Muungano wa Maulamaa wa Kiislamu Iraq amesema, Marekani ndiyo inayodhamini asilimia 85 ya silaha za kundi la kigaidi na ukufurishaji la DAESH (ISIS). Endelea ...

  • Uturuki yazidi kustawisha uhusiano na Israel, waziri wake wa mambo ya nje awasili Tel Aviv

    Mei 25, 2022 - 5:56 PM

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki Mevlut Cavusoglu amewasili uwanja wa ndege wa Ben Gurion mjini Tel Aviv katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu (Israel). Endelea ...

  • Iran yasambaratisha genge la magendo ya silaha kusini mashariki mwa nchi

    Mei 25, 2022 - 5:55 PM

    Kaimu Kamanda wa Jeshi la Polisi la mkoa wa Sistan va Balichustan ametangaza habari ya kusambaratishwa genge la magendo ya silaha kwenye mkoa huo wa kusini mashariki mwa Iran. Endelea ...

  • Uhaba wa chakula duniani na matokeo yake

    Mei 25, 2022 - 5:51 PM

    Linda Thomas Greenfield, balozi wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa, indhari ya uhaba wa chakula duniani inayotokana na vita vya Ukraine na Rusia imefikia katika kiwango cha juu kabisa na mazingira ya akthari ya watu ulimwenguni ya kupata chakula yamezidi kuwa magumu siku baada ya siku. Endelea ...

  • Kiongozi Muadhamu: Kudumu kuwa mwanamapinduzi ni muhimu zaidi kuliko kuwa tu mwanamapinduzi

    Mei 25, 2022 - 5:50 PM

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa kuendelea kubaki kuwa mwanamapinduzi ni muhimu zaidi kuliko kuwa tu mwanamapinduzi. Endelea ...

  • Mazungumzo ya siri ya Marekani na Saudia; Riyadh iko mbioni kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel

    Mei 25, 2022 - 5:48 PM

    Duru za kuaminika zinaripoti kuwa, kuna mazungumzo ya siri yanafanyika baina ya Marekani na Saudi Arabia ili kuandaa mazingira ya kuanzishwa uhusiano wa kawaida wa Riyadh na utawala wa Kizayuni wa Israel. Endelea ...

  • Jinai mpya Marekani, watoto wadogo 19 wauliwa kwa umati na gaidi shuleni

    Mei 25, 2022 - 5:48 PM

    Televisheni ya CNN ya Marekani imeripoti kuwa watoto wadogo wasiopungua 19 wameuawa kwa umati baada ya gaidi mmoja aliyetajwa kwa jina la Salvador Ramos kuvamia shule yao huko Uvalde Texas jana Jumanne kwa wakati wa eneo hilo. Endelea ...

  • Dk Tedros Adhanom achaguliwa tena kwa muhula wa pili kuwa Mkurugenzi Mkuu wa WHO

    Mei 25, 2022 - 5:46 PM

    Nchi wanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO) jana Jumanne zilithibitisha kuchaguliwa tena Dk Tedros Adhanom Ghebreyesus kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya la Umoja wa Mataifa kwa kipindi kingine cha pili. Endelea ...

  • Mfumuko wa bei za vyakula, mgogoro wa pili kwa ukubwa UK; vikwazo vya Russia vyachangia

    Mei 25, 2022 - 5:45 PM

    Matokeo ya uchunguzi wa maoni waliofanyiwa wananchi wa Uingereza yanaonesha kuwa, mfumuko wa bei za vyakula umefikia kiwango cha juu kabisa nchini humo kuliko miaka 13 iliyopita na kwamba mfumuko huo ni mgogoro wa pili kwa ukubwa huko Uingereza baada ya kupanda vibaya bei ya nishati. Endelea ...

  • Indhari; hali mbaya kabisa ya uchumi wa dunia kuwahi kushuhudiwa tangu Vita vya Pili vya Dunia

    Mei 25, 2022 - 5:44 PM

    Baada ya miaka miwili ya msambao wa maradhi ya Covid-19 pamoja na matokeo mabaya yaliyosababishwa na janga hilo na katika hali ambayo, mataifa mbalimbali yalikuwa katika mkakati wa kuboresha uchumi, kutokea vita vya Ukraine na Russia kumevuruga zaidi hali ya uchumi wa dunia. Endelea ...

  • Katibu Mkuu wa UN: Dunia inakabiliwa na kitisho cha Vita vipya Baridi

    Mei 25, 2022 - 5:42 PM

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametahadharisha kuwa, dunia hivi sasa inakabiliwa na kitisho cha Vita vipya Baridi vinavyoambatana na uchukuaji hatua za kinyuklia pamoja na changamoto zingine mbalimbali. Endelea ...

  • Jibu la Pakistan kwa msimamo wa India kwamba Kashmir itaendelea kuwa sehemu ya ardhi yake

    Mei 24, 2022 - 6:16 PM

    Mwakilishi wa Pakistan katika Umoja wa Mataifa amepinga msimamo uliotangazwa na India kwamba eneo la Kashmir halitatenganishwa na ardhi ya nchi hiyo na akasisitiza kwa mara nyingine tena kuwa, Jamu na Kashmir haijawahi na wala katu haitakuwa sehemu ya India; na New Delhi haina haki yoyote katika eneo hilo. Endelea ...

  • Upeo mpya katika uhusiano wa Iran na Oman kufuatia safari ya Raisi mjini Muscat

    Mei 24, 2022 - 6:15 PM

    Kufuatia safari ya Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Oman, upeo mpya umefunguliwa katika uhusiano na ushirikiano wa nchi hizi mbili. Endelea ...

  • Jeshi la Yemen latungua ndege ya kivita ya Saudia katika anga ya Sana'a

    Mei 24, 2022 - 6:14 PM

    Muungano vamizi unaoongozwa na Saudi Arabia umerusha ndege ya kivita isiyo na rubani katika anga ya mji mkuu wa Yemen, Sana'a kwa lengo la kutekeleza oparesheni za kichokozi lakini Jeshi la Yemen limefanikiwa kuitambua ndege hiyo vamizi ya adui na kuitungua papo hapo. Endelea ...

  • Iran na Afrika Kusini zitilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano baina yao

    Mei 24, 2022 - 6:13 PM

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran katika masuala ya kisiasa ametilia mkazo wajibu wa kuimarishwa ushirikiano baina ya nchi yake na Afrika Kusini na kusisitiza kuwa, kutiwa nguvu ushirikiano baina ya Tehran na Pretoria ni jambo la dharura sana kwa ajili ya kupambana na fikra potofu ya kila nchi kujikumbizia mambo yote upande wake. Endelea ...

  • Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Oman wafanya mazungumzo mjini Muscat

    Mei 24, 2022 - 6:13 PM

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Oman wamefanya mazungumzo ya pamoja mjini Muscat na kutilia mkazo wajibu wa kuimarishwa zaidi na zaidi uhusiano wa nchi hizi mbili ndugu. Endelea ...

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • Next
Albamu ya Picha
  • Maandamano ya Siku ya Quds kote Iran, Kiongozi Muadhamu kuhutubia umma
    Aprili 29, 2022 - 6:50 PM
  • Wairan leo wanaadhimisha miaka 43 ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu
    Februari 11, 2022 - 3:17 PM
  • Habari Mpya
  • Zilizotazamwa zaidi
  • Makala
Siku ya huzuni kwa Mashia duniani
Mei 27, 2022 - 1:32 PM
Afrika imehusika kidogo mno na uchafu wa mazingira, lakini ndiyo inayoathirika zaidi duniani
Mei 26, 2022 - 4:46 PM
Vitoto vichanga 11 vyatekeketea kwa moto hospitalini nchini Senegal
Mei 26, 2022 - 4:46 PM
Indhari ya Antonio Guterres kuhusu ukimbizi; Asia Magharibi kitovu cha mgogoro
Mei 26, 2022 - 4:45 PM
Nasrullah: Hatua yoyote dhidi ya Msikiti wa al-Aqswa itapelekea kutokea mlipuko Asia Magharibi
Mei 26, 2022 - 4:44 PM
Iran: Tuna nia ya kweli ya kufikia mapatano imara na madhubuti ya nyuklia
Mei 26, 2022 - 4:44 PM
ICC yatakiwa ichunguze uhalifu wa kivita wa Israeli Gaza
Mei 26, 2022 - 4:43 PM
Mauaji mapya ya ufyatuaji risasi huko Marekani na radiamali ya pupa ya Biden
Mei 26, 2022 - 4:42 PM
Seneta Murphy: Kununua silaha Marekani ni rahisi kuliko kununua mnyama wa kufuga
Mei 26, 2022 - 4:42 PM
Rais wa zamani wa Gambia, Yahya Jammeh, kuburuzwa mahakamani karibuni hivi
Mei 26, 2022 - 4:41 PM
Kissinger: Kufeli mazungumzo ya Russia na Ukraine kutakuwa na madhara makubwa kwa Ulaya
Mei 26, 2022 - 4:40 PM
Watu zaidi ya elfu 15 wameuawa mashariki mwa DRC tangu mwaka 2007
Mei 25, 2022 - 6:00 PM
HAMAS yawataka Wapalestina kujitokeza kwa wingi kuutetea Msikiti wa al-Aqswa
Mei 25, 2022 - 6:00 PM
Jeshi la Yemen latungua ndege ya tatu ya kijasusi ya Saudi Arabia
Mei 25, 2022 - 5:59 PM
Mkuu wa maulamaa wa Iraq: Marekani inadhamini 85% ya silaha za DAESH (ISIS)
Mei 25, 2022 - 5:57 PM
Uturuki yazidi kustawisha uhusiano na Israel, waziri wake wa mambo ya nje awasili Tel Aviv
Mei 25, 2022 - 5:56 PM
Iran yasambaratisha genge la magendo ya silaha kusini mashariki mwa nchi
Mei 25, 2022 - 5:55 PM
Uhaba wa chakula duniani na matokeo yake
Mei 25, 2022 - 5:51 PM
Kiongozi Muadhamu: Kudumu kuwa mwanamapinduzi ni muhimu zaidi kuliko kuwa tu mwanamapinduzi
Mei 25, 2022 - 5:50 PM
Mazungumzo ya siri ya Marekani na Saudia; Riyadh iko mbioni kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel
Mei 25, 2022 - 5:48 PM
Jinai mpya Marekani, watoto wadogo 19 wauliwa kwa umati na gaidi shuleni
Mei 25, 2022 - 5:48 PM
Dk Tedros Adhanom achaguliwa tena kwa muhula wa pili kuwa Mkurugenzi Mkuu wa WHO
Mei 25, 2022 - 5:46 PM
Mfumuko wa bei za vyakula, mgogoro wa pili kwa ukubwa UK; vikwazo vya Russia vyachangia
Mei 25, 2022 - 5:45 PM
Indhari; hali mbaya kabisa ya uchumi wa dunia kuwahi kushuhudiwa tangu Vita vya Pili vya Dunia
Mei 25, 2022 - 5:44 PM
Katibu Mkuu wa UN: Dunia inakabiliwa na kitisho cha Vita vipya Baridi
Mei 25, 2022 - 5:42 PM
Jibu la Pakistan kwa msimamo wa India kwamba Kashmir itaendelea kuwa sehemu ya ardhi yake
Mei 24, 2022 - 6:16 PM
Upeo mpya katika uhusiano wa Iran na Oman kufuatia safari ya Raisi mjini Muscat
Mei 24, 2022 - 6:15 PM
Jeshi la Yemen latungua ndege ya kivita ya Saudia katika anga ya Sana'a
Mei 24, 2022 - 6:14 PM
Iran na Afrika Kusini zitilia mkazo wajibu wa kustawishwa uhusiano baina yao
Mei 24, 2022 - 6:13 PM
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Oman wafanya mazungumzo mjini Muscat
Mei 24, 2022 - 6:13 PM
Raisi: Uhusiano mzuri wa Iran na Oman utaongeza ushirikiano wa kikanda
Mei 24, 2022 - 6:12 PM
Spika: Mauaji ya Shahidi Khodaei yameweka wazi zaidi woga na ushenzi wa utawala wa Kizayuni
Mei 24, 2022 - 6:11 PM
Iran yalaani hatua ya jamii ya kimataifa ya kupuuza jinai za utawala wa Kizayuni
Mei 24, 2022 - 6:11 PM
Jenerali Salami: Uchokozi wowote wa adui dhidi ya Iran utakabiliwa na jibu kali
Mei 24, 2022 - 6:10 PM
Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan aitisha maandamano ya amani dhidi ya serikali
Mei 24, 2022 - 6:09 PM
China yawaasa viongozi wa Marekani wachunge kauli zao kuhusiana na Taiwan
Mei 24, 2022 - 6:09 PM
IMF: Hali ya uchumi wa dunia ni mbaya zaidi kuwahi kushuhudiwa tangu Vita vya Pili vya Dunia
Mei 24, 2022 - 6:07 PM
Nchi nne wanachama wa EU zataka fedha za Russia zilizozuiliwa zitumike kuijenga upya Ukraine
Mei 24, 2022 - 6:06 PM
Watangazaji wanawake Afghanistan wafunika nyuso baada ya kukaidi agizo la Taliban kwa siku moja
Mei 23, 2022 - 8:43 PM
Walowezi wa Kizayuni waendelea kuuhujumu Msikiti wa Al Aqswa
Mei 23, 2022 - 8:42 PM
Operesheni ya 'Ushindi kutoka kwa Allah' pigo kubwa la Wayemen kwa utawala wa Saudia mkoani Najran
Oktoba 1, 2019 - 10:20 AM
Malengo ya Bin Salman kukubali rasmi dhima ya mauaji ya Khashoggi
Septemba 28, 2019 - 11:08 AM
Kumbukumbu ya kuanza vita vya kulazimishwa, maonyesho ya uwezo wa kijeshi wa Iran
Septemba 23, 2019 - 9:36 AM
Juhudi za Afrika kwa ajili ya kupambana na ugaidi
Septemba 16, 2019 - 12:51 PM
Moto wa Ansarullah waiteketeza ARAMCO; Saudia yatafuta njia ya kujigandua kwenye urimbo wa kinamasi cha Yemen
Septemba 16, 2019 - 12:45 PM
Ukosoaji mkali wa Harakati ya HAMAS dhidi ya Saudi Arabia
Septemba 16, 2019 - 12:44 PM
Maombolezo ya Ashura ya Imam Hussein AS yaadhimishwa kote duniani
Septemba 11, 2019 - 1:46 PM
Watawala wa Aal-Khalifa ni Waarabu au Waebrania?
Agosti 28, 2019 - 11:36 AM
Waislamu wa Madhehebu ya Shia waadhimisha Sikukuu ya Ghadir
Agosti 22, 2019 - 12:09 PM
Serikali ya Nigeria yaendeleza njama dhidi ya kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo
Agosti 21, 2019 - 2:23 PM
Kuaga dunia rais wa Tunisia na matukio ya usoni
Julai 28, 2019 - 12:13 PM
Sisitizo la Pompeo kuhusu nafasi ya Saudia katika kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Julai 28, 2019 - 11:53 AM
Tuhuma za Marekani dhidi ya Russia kwa kuisaidia Venezuela
Julai 23, 2019 - 12:47 PM
Kutumwa askari wa Marekani nchini Saudia, hatua mpya ya kuzidisha mvutano katika eneo
Julai 22, 2019 - 10:39 AM
Kushadidi mvutano baina ya Saudi Arabia na Qatar; mara hii katika suala la Hija
Julai 20, 2019 - 12:33 PM
Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain akiri kuanzishwa uhusiano wa nchi yake na Israel
Julai 20, 2019 - 12:28 PM
Hatua ya Marekani ya kuvunja rasmi mkataba wake na Uturuki
Julai 20, 2019 - 12:10 PM
Congress ya Marekani yapasisha muswada wa kupiga marufuku mauzo ya silaha kwa Saudia na Imarati
Julai 20, 2019 - 12:09 PM
Sisitizo la Erdoğan la kutosahaulika mapinduzi ya kijeshi ya mwaka 2016 nchini Uturuki
Julai 15, 2019 - 10:26 AM
Kuendelea hatua ya Uingereza ya kuuzia silaha utawala wa Aal Saud
Julai 15, 2019 - 10:25 AM
China yapinga tena vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Julai 14, 2019 - 1:29 PM
Ujasusi mpya wa serikali ya Marekani dhidi ya raia kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi
Julai 14, 2019 - 1:26 PM
2019, mwaka wa kunyongwa watu zaidi nchini Saudi Arabia
Julai 13, 2019 - 12:45 PM
Mwezi mosi Dhulqaada: Dunia imeangaziwa na nuru ya kuzaliwa kwa Fatuma Maasumah (a.s)
Julai 9, 2019 - 11:06 AM
Hatua mpya ya Iran katika kujibu ukiukaji ahadi wa madola ya Ulaya; Iran yavuka kiwango cha kilo 300 za urani iliyorutubishwa
Julai 3, 2019 - 1:27 PM
Uungaji mkono wa moja kwa moja wa nchi saba za Ulaya kwa JCPOA na kupigwa hatua ya kivitendo
Julai 1, 2019 - 7:13 AM
Kwa nini Imarati imeamua kupunguza idadi ya wanajeshi wake huko Yemen?
Julai 1, 2019 - 6:54 AM
Sababu ya jeshi la Uturuki kushambulia maeneo ya jeshi la Syria
Julai 1, 2019 - 6:52 AM
Malengo ya safari ya mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia nchini Korea Kusini
Juni 30, 2019 - 3:05 PM
Hitilafu za Marekani na wanachama wa G20 zagubika mkutano wa kundi hilo, Japan
Juni 30, 2019 - 3:04 PM
Misimamo ya kimasharti ya troika ya Ulaya kuhusu JCPOA
Juni 26, 2019 - 1:39 PM
Kuzinduliwa mpango wa Dola bilioni 50 unaohusiana na Muamala wa Karne
Juni 26, 2019 - 1:29 PM
HRW: Saudi Arabia inapanga kumnyonga mtafiti Hassan al Maliki
Juni 26, 2019 - 1:27 PM
Jumuiya ya waandishi magazeti wa Kiarabu yalalamikia kualikwa vyombo vya habari vya Kizayuni huko Bahrain
Juni 26, 2019 - 1:22 PM
Mazungumzo ya Mkuu wa Jumuiya ya Mabunge ya Dunia mjini Tehran
Juni 26, 2019 - 12:59 PM
Iran ni miongoni mwa nchi zinazoshirikiana zaidi kimataifa kuhusu suala la haki za binadamu
Juni 26, 2019 - 12:53 PM
Matokeo hasi ya kiuchumi ya siasa za vita za watawala wa Saudia
Juni 22, 2019 - 10:58 AM
Marekani yaficha jinai za Saudia Yemen, ni kuhusu watoto jeshini
Juni 20, 2019 - 12:37 PM
Meja Jenerali Bagheri: Mafuta ya nchi nyingine hayatauzwa nje kwa amani mpaka ya Iran yauzwe
Juni 19, 2019 - 2:12 PM
Kumbukumbu ya kubomolewa makaburi ya Ahlul Bayt wa Mtume SAW ya Jannatul Baqii mjini Madina
Juni 18, 2019 - 11:41 AM
Haki zote zimehifadhiwa

All Content by AhlulBayt (a.s.) News Agency - ABNA is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License