• Intro
  • Kuhusu sisi
  • RSS
Arabic English Persian Turkish Urdu Spanish Indonesian Hindi French Chinese Russian German Melayu Hausa Bengali Azeri Latin Azeri Cyrillic Swahili Myanmar Bosnian Portuguese Sourani Japanese Kurmanji Philippines
  • Habari Kamili
  • Habari Muhimu
  • Iran
  • Asia
  • Ulaya
  • Amerika
  • Afrika
  • Picha
  • Makala
  • Habari maalum
Menu
  • Maskani

  • Habari Kamili

  • Habari Muhimu

  • Iran

  • Asia

  • Ulaya

  • Amerika

  • Afrika

  • Picha

  • Makala

  • Habari maalum

Habari Mpya
  • Rais Putin: Ugaidi ni tishio hatari zaidi kwa dunia

    Februari 26, 2021 - 12:40 alasiri

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema nchi yake itaendeleza vita dhidi ya ugaidi katika maeneo ya mbali kama vile Syria na kuongeza kuwa: "Ugaidi ni tishio hatari zaidi kwa dunia." Endelea ...

  • Biden asoma ripoti ya CIA kuhusu mauaji ya Khashoggi, kuzunguza na Mfalme Salman wa Saudia

    Februari 26, 2021 - 12:40 alasiri

    Rais Joe Biden wa Marekani amesema kuwa, amepitia ripoti vya vyombo vya ujasusi vya nchi hiyo kuhusu mauaji ya mwandishi wa habari wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi na kwamba kuna uwezekano ripoti hiyo ikatolewa hii leo Alkhamisi. Endelea ...

  • 'Kulifufua genge la kigaidi la Daesh ndilo lengo la kiistratijia la Marekani'

    Februari 26, 2021 - 12:39 alasiri

    Mbunge wa zamani wa Lebanon amesisitiza kuwa, suala la kulifufua genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) ndilo lengo la kiistratijia la Marekani kwani inaamini kwamba genge hilo ni turufu ya kufanikisha malengo yake haramu katika eneo hili. Endelea ...

  • Brigedia Jenerali Dehqan: Uwezo wa kiulinzi wa Iran hautegemei silaha za nyuklia

    Februari 26, 2021 - 12:38 alasiri

    Mshauri wa Amirijeshi Mkuu wa Majeshi ya Iran katika masuala ya sekta ya viwanda vya ulinzi amezungumzia fatwa ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu juu ya kuwa haramu kuunda na kutumia silaha za nyuklia na kusisitiza kuwa, uwezo wa kiulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu hautegemea na hautategemea silaha za nyuklia. Endelea ...

  • Takht-Ravanchi: Vikwazo dhidi ya Iran vinapaswa kuondolewa katika kipindi cha miezi mitatu ijayo

    Februari 26, 2021 - 12:37 alasiri

    Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, vikwazo dhidi ya taifa hili vinapaswa kuondolewa katika kipindi cha miezi mitatu ijayo. Endelea ...

  • Ulaya na JCPOA; sharti la Iran la kurudi kwenye Protokali ya Ziada

    Februari 26, 2021 - 12:37 alasiri

    Jibu na radiamali ya pande za Ulaya na Marekani kwa hatua ya Iran ya kusimamisha utekelezaji wa hiari wa Protokali ya Ziada ya Mkataba unaopiga marufuku uundaji na uenezaji silaha za nyuklia y NPT ni ya kutafakariwa na inaonesha muelekeo na mtazamo usio wa kimantiki wa pande hizo. Endelea ...

  • Oparesheni ya Maʼrib, mapambano muhimu katika vita vya Yemen

    Februari 26, 2021 - 12:35 alasiri

    Maʼrib ni eneo ambalo liko kaskazini mashariki mwa mji mkuu wa Yemen Sanaʽa na hivi sasa ni kitovu na medani kubwa ya mapigano biana ya wanajeshi wa muungano vamizi unaoongozwa na Saudia na Serikali ya Uwokozi wa Kitaifa ya Yemen Endelea ...

  • Umoja wa Mataifa: Israel inapaswa kukomesha hatua zake za kubomoa nyumba za Wapalestina

    Februari 26, 2021 - 12:35 alasiri

    Umoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe hatua zake zilizoratibiwa na kubomoa nyumba za Wapalestina. Endelea ...

  • Maulamaa wa Muqawama: Ushindi katika kuikomboa Quds hauna shaka

    Februari 26, 2021 - 12:34 alasiri

    Mkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama amesisitiza kuwa, kwa kudumisha Waislamu umoja na mshikamano, mapamban ya kuuikomboa Baytul- Muqaddas yatapa ushindi. Endelea ...

  • Rouhani: Kuzinduliwa Barabara Kuu yu ya Ghadir ni ishara ya kufeli mashinikizo ya adui

    Februari 26, 2021 - 12:33 alasiri

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kuzinduliwa Barabara Kuu ya Ghadir ni ishara ya wazi ya kufeli 'mashinikizo ya juu kabisa' ya adui dhidi ya Iran. Endelea ...

  • Serikali ya Somalia yapiga marufuku maandamano ya wapinzani

    Februari 24, 2021 - 3:33 alasiri

    Serikali ya Somalia imetangaza kupiga marufuku maandamano ya wapinzani katika mji mkuu Mogadishu kutokana na ongezeko la maambukizi ya ya corona na tishio la usalama. Endelea ...

  • UN yapongeza uchaguzi Niger, Bazoum ashinda urais

    Februari 24, 2021 - 3:32 alasiri

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameipongeza serikali ya Niger na wananchi wake kwa kuwezesha kufanyika kwa awamu ya pili ya uchaguzi wa rais nchini humo pamoja na kuwepo changamoto za kiusalama na kibinadamu. Endelea ...

  • Borrell akiri kuwa Iran inafungamana na mapatano ya JCPOA na kwamba Ulaya ndio inayoyakiuka

    Februari 24, 2021 - 3:31 alasiri

    Baada ya kujiondoa Marekani katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA, Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya (Ujerumani, Ufaransa na Uingereza) zimekuwa na utendajikazi hasi katika uga wa kulinda mapatano hayo na pia katika kutekeleza ahadi zao. Hii ni Katika hali ambayo Iran imetekeleza ahadi zake kikamilifu katika mapatano ya JCPOA. Hivi sasa afisa wa ngazi za juu wa sera za kigeni katika Umoja wa Ulaya amekiri ukweli huo. Endelea ...

  • Grossi: Iwapo vikwazo vya Iran havitaondolewa, jitihada zote zitaambulia patupu

    Februari 24, 2021 - 3:30 alasiri

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amejibu swali kuhusu hatua ya Iran ya kusitisha utekelezwaji Protokali Ziada na kusema, iwapo vikwazo havitaondolewa, basi jitihada zote zitaambulia patupu. Endelea ...

  • Zarif: Iran italiunga mkono taifa linalodhulumiwa la Yemen

    Februari 24, 2021 - 3:29 alasiri

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Tehran inaunga mkono harakati yoyote ambayo itapelekea kuhitimishwa hujuma dhidi ya taifa la Iran. Endelea ...

  • Chanjo ya pili iliyotegenezwa Iran kufanyiwa majaribio ya mwanadamu wiki ijayo

    Februari 24, 2021 - 3:28 alasiri

    Chanjo ya pili ya Corona au COVID-19 iliyotengenezwa Iran ambayo inajulikana kama COV-Pars itaanza kufanyiwa majaribio ya mwanadamu wiki ijayo. Endelea ...

  • Takht-Ravanchi: Vikwazo vinashadidisha matatizo katika mabadiliko ya tabianchi

    Februari 24, 2021 - 3:28 alasiri

    Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, vikwazo vya kiuchumi vya upande mmoja ni moja ya vizuizi vikuu vinavyokwamisha juhudi za kukabiliana ipasavyo na athari mbaya za mabadiliko ya hali ya hewa na tabia nchi, hivyo lazima viondolewe. Endelea ...

  • HAMAS: Quds ni mji mkuu wa milele wa Palestina

    Februari 24, 2021 - 3:27 alasiri

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesisitiza kuwa, siasa za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuiyahudisha Quds zimeshindwa na kugonga mwamba na kwamba, Quds utabakia kuwa mji mkuu wa milele wa Palestina. Endelea ...

  • Jumuiya ya Maulamaa Iraq: Mossad inaongoza kambi za magaidi wa Daesh huko Syria

    Februari 24, 2021 - 3:26 alasiri

    Mkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu katika mkoa wa Diyala huko Iraq amesema kuwa shirika la ujasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel (Mossad) linasimamia kambi mbalimbali za magaidi wa kundi la ukufurishaji la Daesh huko Syria. Endelea ...

  • Wahanga nusu milioni wa virusi vya corona nchini Marekani, sababu na taathira zake

    Februari 24, 2021 - 3:24 alasiri

    Baada ya kupita mwaka mmoja sasa tangu kulipotokea mlipukowa ugonjwa wa Covid-19 nchini Marekani na kufeli kwa serikali ya nchi hiyo katika kukabiliana na janga hilo, sasa idadi ya wahanga wa corona imepindukia watu nusu milioni kwa kadiri kwamba, Rais Joe Biden amemuru bendera za nchi hiyo zipepee nusu mlingoti. Endelea ...

  • UNHCR yahimiza kuokolewa haraka wakimbizi Waislamu Warohingya waliokwama majini

    Februari 23, 2021 - 3:53 alasiri

    Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, limetoa wito wa kutafutwa na kuokolewa haraka kundi la wakimbizi Waislamu Warohingya ambao wamekwama katika meli kwenye eneo la maji la Andaman kwa zaidi ya wiki moja. Endelea ...

  • Raisi: Marekani na Wamagharibi zimekanyaga haki za binadamu katika vita vya kulazimishwa

    Februari 23, 2021 - 3:52 alasiri

    Mkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesisitiza kuwa, Marekani na Wamagharibi walikanyaga haki za binadamu katika vita vya kulazimishwa vilivyoanzishwa na utawala wa Saddam dhidi ya Iran. Endelea ...

  • WHO: Nchi tajiri zinadhoofisha mpango wa kugawa chanjo ya corona kwa usawa

    Februari 23, 2021 - 3:51 alasiri

    Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani WHO amezishutumu 'baadhi ya nchi tajiri' kuwa zinadhoofisha mpango wa COVAX na ugawaji wa chanjo ya corona kwa usawa. Endelea ...

  • The Observer yahoji: Walikuwa wapi waandamanaji wa sasa huko Myanmar wakati wa mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Rohingya?

    Februari 23, 2021 - 3:50 alasiri

    Gazeti la The Observer linalochapishwa nchini Uingereza limeandika makala kuhusu maandamano makubwa yanayoendelea nchini Myanmar kupinga mapinduzi ya kijeshi yaliyoiondoa madarakani serikali iliyochaguliwa kwa njia za kidemokrasia na kuhoji kuwa, walikuwa wapi waandamanaji hao katika kipindi chote cha miaka minne ya mauaji ya kimbari yanayofanywa na jeshi la nchi hiyo likishirikiana na Mabudha wenye misimamo mikali dhdi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya? Endelea ...

  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la Iran kusimama kidete kuhusu suala la nyuklia

    Februari 23, 2021 - 3:46 alasiri

    Kama ilivyo hali kuhusu masuala mengine, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitalegeza msimamo wake kuhusu kadhia ya nyuklia, na itaendelea kusimamam imara na kutetea suala hilo kwa nguvu zake zote kwa ajili ya kulinda maslahi ya leo na ya kesho ya taifa hili. Endelea ...

  • Rais wa Afghanistan atoa onyo kwa Taliban kuhusiana na kushupalia kuendeleza vita

    Februari 23, 2021 - 3:45 alasiri

    Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan ametoa onyo kwa kundi la Taliban kuhusiana na msimamo wake wa kuendeleza vita nchini humo. Endelea ...

  • Biden na machaguo yaliyo mbele yake kuhusu Afghanistan

    Februari 23, 2021 - 3:43 alasiri

    Mullah Baradar, mkuu wa ujumbe wa Taliban katika mazungumzo ya amani ameitaka Marekani iheshimu mapatano iliyofikia na kundi hilo kuhusu kuwaondoa askari wake nchini Afghanistan na akaonya kuwa, Taliban haitavumilia uingiliaji wa majeshi ya kigeni nchini humo. Endelea ...

  • Israel yawakamata viongozi kadhaa wa HAMAS na mateka Wapalestina walioachiwa huru

    Februari 23, 2021 - 3:42 alasiri

    Utawala haramu wa Kizayuni wa Israel umewatia nguvuni viongozi kadhaa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS katika maeneo ya Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan na Baitul Muqaddas pamoja na mateka Wapalestina waliochiwa huru. Endelea ...

  • Oxfam: Silaha za Uingereza zinazouzwa Saudia zinarefusha vita nchini Yemen

    Februari 23, 2021 - 3:42 alasiri

    Shirika la misaada ya kibinadamu la Oxfam limetangaza kuwa, uuzaji wa silaha za Uingereza kwa utawala wa Saudi Arabia unarefusha vita vya muungano unaoongozwa na serikali ya Riyadh dhidi ya taifa la Yemen. Endelea ...

  • Umoja wa Maulamaa wa Kiislamu: Sehemu kubwa ya Madaesh wa kujiripua wameingia Iraq kutokea Syria

    Februari 23, 2021 - 3:41 alasiri

    Mkuu wa Umoja wa Maulamaa wa Kiislamu katika mkoa wa Diyala nchini Iraq amesema kuwa, sehemu kubwa ya magaidi wa Daesh (ISIS) wa kujiripua kwa mabomu wameingia nchini Iraq wakitokea Syria. Endelea ...

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • Next
Albamu ya Picha
  • Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la Iran kusimama kidete kuhusu suala la nyuklia
    Februari 23, 2021 - 3:46 alasiri
  • Maadhimisho ya Bahman 22, nembo ya umoja na nguvu laini za taifa la Iran mbele ya maadui
    Februari 11, 2021 - 4:23 alasiri
  • Habari Mpya
  • Zilizotazamwa zaidi
  • Makala
Rais Putin: Ugaidi ni tishio hatari zaidi kwa dunia
Februari 26, 2021 - 12:40 alasiri
Biden asoma ripoti ya CIA kuhusu mauaji ya Khashoggi, kuzunguza na Mfalme Salman wa Saudia
Februari 26, 2021 - 12:40 alasiri
'Kulifufua genge la kigaidi la Daesh ndilo lengo la kiistratijia la Marekani'
Februari 26, 2021 - 12:39 alasiri
Brigedia Jenerali Dehqan: Uwezo wa kiulinzi wa Iran hautegemei silaha za nyuklia
Februari 26, 2021 - 12:38 alasiri
Takht-Ravanchi: Vikwazo dhidi ya Iran vinapaswa kuondolewa katika kipindi cha miezi mitatu ijayo
Februari 26, 2021 - 12:37 alasiri
Ulaya na JCPOA; sharti la Iran la kurudi kwenye Protokali ya Ziada
Februari 26, 2021 - 12:37 alasiri
Oparesheni ya Maʼrib, mapambano muhimu katika vita vya Yemen
Februari 26, 2021 - 12:35 alasiri
Umoja wa Mataifa: Israel inapaswa kukomesha hatua zake za kubomoa nyumba za Wapalestina
Februari 26, 2021 - 12:35 alasiri
Maulamaa wa Muqawama: Ushindi katika kuikomboa Quds hauna shaka
Februari 26, 2021 - 12:34 alasiri
Rouhani: Kuzinduliwa Barabara Kuu yu ya Ghadir ni ishara ya kufeli mashinikizo ya adui
Februari 26, 2021 - 12:33 alasiri
Serikali ya Somalia yapiga marufuku maandamano ya wapinzani
Februari 24, 2021 - 3:33 alasiri
UN yapongeza uchaguzi Niger, Bazoum ashinda urais
Februari 24, 2021 - 3:32 alasiri
Borrell akiri kuwa Iran inafungamana na mapatano ya JCPOA na kwamba Ulaya ndio inayoyakiuka
Februari 24, 2021 - 3:31 alasiri
Grossi: Iwapo vikwazo vya Iran havitaondolewa, jitihada zote zitaambulia patupu
Februari 24, 2021 - 3:30 alasiri
Zarif: Iran italiunga mkono taifa linalodhulumiwa la Yemen
Februari 24, 2021 - 3:29 alasiri
Chanjo ya pili iliyotegenezwa Iran kufanyiwa majaribio ya mwanadamu wiki ijayo
Februari 24, 2021 - 3:28 alasiri
Takht-Ravanchi: Vikwazo vinashadidisha matatizo katika mabadiliko ya tabianchi
Februari 24, 2021 - 3:28 alasiri
HAMAS: Quds ni mji mkuu wa milele wa Palestina
Februari 24, 2021 - 3:27 alasiri
Jumuiya ya Maulamaa Iraq: Mossad inaongoza kambi za magaidi wa Daesh huko Syria
Februari 24, 2021 - 3:26 alasiri
Wahanga nusu milioni wa virusi vya corona nchini Marekani, sababu na taathira zake
Februari 24, 2021 - 3:24 alasiri
UNHCR yahimiza kuokolewa haraka wakimbizi Waislamu Warohingya waliokwama majini
Februari 23, 2021 - 3:53 alasiri
Raisi: Marekani na Wamagharibi zimekanyaga haki za binadamu katika vita vya kulazimishwa
Februari 23, 2021 - 3:52 alasiri
WHO: Nchi tajiri zinadhoofisha mpango wa kugawa chanjo ya corona kwa usawa
Februari 23, 2021 - 3:51 alasiri
The Observer yahoji: Walikuwa wapi waandamanaji wa sasa huko Myanmar wakati wa mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Rohingya?
Februari 23, 2021 - 3:50 alasiri
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la Iran kusimama kidete kuhusu suala la nyuklia
Februari 23, 2021 - 3:46 alasiri
Rais wa Afghanistan atoa onyo kwa Taliban kuhusiana na kushupalia kuendeleza vita
Februari 23, 2021 - 3:45 alasiri
Biden na machaguo yaliyo mbele yake kuhusu Afghanistan
Februari 23, 2021 - 3:43 alasiri
Israel yawakamata viongozi kadhaa wa HAMAS na mateka Wapalestina walioachiwa huru
Februari 23, 2021 - 3:42 alasiri
Oxfam: Silaha za Uingereza zinazouzwa Saudia zinarefusha vita nchini Yemen
Februari 23, 2021 - 3:42 alasiri
Umoja wa Maulamaa wa Kiislamu: Sehemu kubwa ya Madaesh wa kujiripua wameingia Iraq kutokea Syria
Februari 23, 2021 - 3:41 alasiri
Iran imeanza kupunguza kiwango cha ushirikiano inaotoa kwa IAEA
Februari 23, 2021 - 3:40 alasiri
Vipengele vya "Hati ya Heshima ya Palestina" kwa ajili ya kukabiliana na mapatano ya kuanzisha uhusiano rasmi na Israel
Februari 22, 2021 - 10:14 alasiri
Baraza la Ushirikiano la Ghuba ya Uajemi lataka hitilafu za Somalia zitatuliwe kwa njia za amani
Februari 22, 2021 - 10:13 alasiri
Vikosi vya Yemen vimeidhibiti jela yenye mfungamano na Mansour Hadi huko Ma'rib
Februari 22, 2021 - 10:12 alasiri
Shughuli za siri za nyuklia za Wazayuni katika kivuli cha kimya na undumakuwili wa Magharibi
Februari 22, 2021 - 10:11 alasiri
UN: Fikra ya kujiona bora watu weupe na ya Kinazi ni tishio la kimuundo duniani
Februari 22, 2021 - 10:10 alasiri
Mgomo wa nchi nzima waanza leo Mynamar; jeshi lawatishia kifo waandamanaji
Februari 22, 2021 - 10:08 alasiri
Askari polisi wa zamani wa Marekani: NYPD na FBI zilihusika na mauaji ya Malcolm X
Februari 22, 2021 - 10:06 alasiri
Serikali ya Mansour Hadi: Wananchi wamejiunga na Ansarullah Yemen
Februari 21, 2021 - 10:07 alasiri
Saudia yazidi kushutumiwa kwa kuvunja haki za binadamu
Februari 21, 2021 - 10:06 alasiri
Operesheni ya 'Ushindi kutoka kwa Allah' pigo kubwa la Wayemen kwa utawala wa Saudia mkoani Najran
Oktoba 1, 2019 - 10:20 asubuhi
Malengo ya Bin Salman kukubali rasmi dhima ya mauaji ya Khashoggi
Septemba 28, 2019 - 11:08 asubuhi
Kumbukumbu ya kuanza vita vya kulazimishwa, maonyesho ya uwezo wa kijeshi wa Iran
Septemba 23, 2019 - 9:36 asubuhi
Juhudi za Afrika kwa ajili ya kupambana na ugaidi
Septemba 16, 2019 - 12:51 alasiri
Moto wa Ansarullah waiteketeza ARAMCO; Saudia yatafuta njia ya kujigandua kwenye urimbo wa kinamasi cha Yemen
Septemba 16, 2019 - 12:45 alasiri
Ukosoaji mkali wa Harakati ya HAMAS dhidi ya Saudi Arabia
Septemba 16, 2019 - 12:44 alasiri
Maombolezo ya Ashura ya Imam Hussein AS yaadhimishwa kote duniani
Septemba 11, 2019 - 1:46 alasiri
Watawala wa Aal-Khalifa ni Waarabu au Waebrania?
Agosti 28, 2019 - 11:36 asubuhi
Waislamu wa Madhehebu ya Shia waadhimisha Sikukuu ya Ghadir
Agosti 22, 2019 - 12:09 alasiri
Serikali ya Nigeria yaendeleza njama dhidi ya kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini humo
Agosti 21, 2019 - 2:23 alasiri
Kuaga dunia rais wa Tunisia na matukio ya usoni
Julai 28, 2019 - 12:13 alasiri
Sisitizo la Pompeo kuhusu nafasi ya Saudia katika kukabiliana na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Julai 28, 2019 - 11:53 asubuhi
Tuhuma za Marekani dhidi ya Russia kwa kuisaidia Venezuela
Julai 23, 2019 - 12:47 alasiri
Kutumwa askari wa Marekani nchini Saudia, hatua mpya ya kuzidisha mvutano katika eneo
Julai 22, 2019 - 10:39 asubuhi
Kushadidi mvutano baina ya Saudi Arabia na Qatar; mara hii katika suala la Hija
Julai 20, 2019 - 12:33 alasiri
Waziri wa Mambo ya Nje wa Bahrain akiri kuanzishwa uhusiano wa nchi yake na Israel
Julai 20, 2019 - 12:28 alasiri
Hatua ya Marekani ya kuvunja rasmi mkataba wake na Uturuki
Julai 20, 2019 - 12:10 alasiri
Congress ya Marekani yapasisha muswada wa kupiga marufuku mauzo ya silaha kwa Saudia na Imarati
Julai 20, 2019 - 12:09 alasiri
Sisitizo la Erdoğan la kutosahaulika mapinduzi ya kijeshi ya mwaka 2016 nchini Uturuki
Julai 15, 2019 - 10:26 asubuhi
Kuendelea hatua ya Uingereza ya kuuzia silaha utawala wa Aal Saud
Julai 15, 2019 - 10:25 asubuhi
China yapinga tena vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran
Julai 14, 2019 - 1:29 alasiri
Ujasusi mpya wa serikali ya Marekani dhidi ya raia kwa kisingizio cha kupambana na ugaidi
Julai 14, 2019 - 1:26 alasiri
2019, mwaka wa kunyongwa watu zaidi nchini Saudi Arabia
Julai 13, 2019 - 12:45 alasiri
Mwezi mosi Dhulqaada: Dunia imeangaziwa na nuru ya kuzaliwa kwa Fatuma Maasumah (a.s)
Julai 9, 2019 - 11:06 asubuhi
Hatua mpya ya Iran katika kujibu ukiukaji ahadi wa madola ya Ulaya; Iran yavuka kiwango cha kilo 300 za urani iliyorutubishwa
Julai 3, 2019 - 1:27 alasiri
Uungaji mkono wa moja kwa moja wa nchi saba za Ulaya kwa JCPOA na kupigwa hatua ya kivitendo
Julai 1, 2019 - 7:13 asubuhi
Kwa nini Imarati imeamua kupunguza idadi ya wanajeshi wake huko Yemen?
Julai 1, 2019 - 6:54 asubuhi
Sababu ya jeshi la Uturuki kushambulia maeneo ya jeshi la Syria
Julai 1, 2019 - 6:52 asubuhi
Malengo ya safari ya mrithi wa kiti cha ufalme wa Saudi Arabia nchini Korea Kusini
Juni 30, 2019 - 3:05 alasiri
Hitilafu za Marekani na wanachama wa G20 zagubika mkutano wa kundi hilo, Japan
Juni 30, 2019 - 3:04 alasiri
Misimamo ya kimasharti ya troika ya Ulaya kuhusu JCPOA
Juni 26, 2019 - 1:39 alasiri
Kuzinduliwa mpango wa Dola bilioni 50 unaohusiana na Muamala wa Karne
Juni 26, 2019 - 1:29 alasiri
HRW: Saudi Arabia inapanga kumnyonga mtafiti Hassan al Maliki
Juni 26, 2019 - 1:27 alasiri
Jumuiya ya waandishi magazeti wa Kiarabu yalalamikia kualikwa vyombo vya habari vya Kizayuni huko Bahrain
Juni 26, 2019 - 1:22 alasiri
Mazungumzo ya Mkuu wa Jumuiya ya Mabunge ya Dunia mjini Tehran
Juni 26, 2019 - 12:59 alasiri
Iran ni miongoni mwa nchi zinazoshirikiana zaidi kimataifa kuhusu suala la haki za binadamu
Juni 26, 2019 - 12:53 alasiri
Matokeo hasi ya kiuchumi ya siasa za vita za watawala wa Saudia
Juni 22, 2019 - 10:58 asubuhi
Marekani yaficha jinai za Saudia Yemen, ni kuhusu watoto jeshini
Juni 20, 2019 - 12:37 alasiri
Meja Jenerali Bagheri: Mafuta ya nchi nyingine hayatauzwa nje kwa amani mpaka ya Iran yauzwe
Juni 19, 2019 - 2:12 alasiri
Kumbukumbu ya kubomolewa makaburi ya Ahlul Bayt wa Mtume SAW ya Jannatul Baqii mjini Madina
Juni 18, 2019 - 11:41 asubuhi
Haki zote zimehifadhiwa

All Content by AhlulBayt (a.s.) News Agency - ABNA is licensed under a Creative Commons Attribution 4.0 International License