Rais Vladimir Putin wa Russia amesema nchi yake itaendeleza vita dhidi ya ugaidi katika maeneo ya mbali kama vile Syria na kuongeza kuwa: "Ugaidi ni tishio hatari zaidi kwa dunia." Endelea ...
-
-
Biden asoma ripoti ya CIA kuhusu mauaji ya Khashoggi, kuzunguza na Mfalme Salman wa Saudia
Februari 26, 2021 - 12:40 alasiriRais Joe Biden wa Marekani amesema kuwa, amepitia ripoti vya vyombo vya ujasusi vya nchi hiyo kuhusu mauaji ya mwandishi wa habari wa Saudi Arabia, Jamal Khashoggi na kwamba kuna uwezekano ripoti hiyo ikatolewa hii leo Alkhamisi. Endelea ...
-
'Kulifufua genge la kigaidi la Daesh ndilo lengo la kiistratijia la Marekani'
Februari 26, 2021 - 12:39 alasiriMbunge wa zamani wa Lebanon amesisitiza kuwa, suala la kulifufua genge la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) ndilo lengo la kiistratijia la Marekani kwani inaamini kwamba genge hilo ni turufu ya kufanikisha malengo yake haramu katika eneo hili. Endelea ...
-
Brigedia Jenerali Dehqan: Uwezo wa kiulinzi wa Iran hautegemei silaha za nyuklia
Februari 26, 2021 - 12:38 alasiriMshauri wa Amirijeshi Mkuu wa Majeshi ya Iran katika masuala ya sekta ya viwanda vya ulinzi amezungumzia fatwa ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu juu ya kuwa haramu kuunda na kutumia silaha za nyuklia na kusisitiza kuwa, uwezo wa kiulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katu hautegemea na hautategemea silaha za nyuklia. Endelea ...
-
Takht-Ravanchi: Vikwazo dhidi ya Iran vinapaswa kuondolewa katika kipindi cha miezi mitatu ijayo
Februari 26, 2021 - 12:37 alasiriMwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kuwa, vikwazo dhidi ya taifa hili vinapaswa kuondolewa katika kipindi cha miezi mitatu ijayo. Endelea ...
-
Ulaya na JCPOA; sharti la Iran la kurudi kwenye Protokali ya Ziada
Februari 26, 2021 - 12:37 alasiriJibu na radiamali ya pande za Ulaya na Marekani kwa hatua ya Iran ya kusimamisha utekelezaji wa hiari wa Protokali ya Ziada ya Mkataba unaopiga marufuku uundaji na uenezaji silaha za nyuklia y NPT ni ya kutafakariwa na inaonesha muelekeo na mtazamo usio wa kimantiki wa pande hizo. Endelea ...
-
Oparesheni ya Maʼrib, mapambano muhimu katika vita vya Yemen
Februari 26, 2021 - 12:35 alasiriMaʼrib ni eneo ambalo liko kaskazini mashariki mwa mji mkuu wa Yemen Sanaʽa na hivi sasa ni kitovu na medani kubwa ya mapigano biana ya wanajeshi wa muungano vamizi unaoongozwa na Saudia na Serikali ya Uwokozi wa Kitaifa ya Yemen Endelea ...
-
Umoja wa Mataifa: Israel inapaswa kukomesha hatua zake za kubomoa nyumba za Wapalestina
Februari 26, 2021 - 12:35 alasiriUmoja wa Mataifa umeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe hatua zake zilizoratibiwa na kubomoa nyumba za Wapalestina. Endelea ...
-
Maulamaa wa Muqawama: Ushindi katika kuikomboa Quds hauna shaka
Februari 26, 2021 - 12:34 alasiriMkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Muqawama amesisitiza kuwa, kwa kudumisha Waislamu umoja na mshikamano, mapamban ya kuuikomboa Baytul- Muqaddas yatapa ushindi. Endelea ...
-
Rouhani: Kuzinduliwa Barabara Kuu yu ya Ghadir ni ishara ya kufeli mashinikizo ya adui
Februari 26, 2021 - 12:33 alasiriRais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, kuzinduliwa Barabara Kuu ya Ghadir ni ishara ya wazi ya kufeli 'mashinikizo ya juu kabisa' ya adui dhidi ya Iran. Endelea ...
-
Serikali ya Somalia yapiga marufuku maandamano ya wapinzani
Februari 24, 2021 - 3:33 alasiriSerikali ya Somalia imetangaza kupiga marufuku maandamano ya wapinzani katika mji mkuu Mogadishu kutokana na ongezeko la maambukizi ya ya corona na tishio la usalama. Endelea ...
-
UN yapongeza uchaguzi Niger, Bazoum ashinda urais
Februari 24, 2021 - 3:32 alasiriKatibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ameipongeza serikali ya Niger na wananchi wake kwa kuwezesha kufanyika kwa awamu ya pili ya uchaguzi wa rais nchini humo pamoja na kuwepo changamoto za kiusalama na kibinadamu. Endelea ...
-
Borrell akiri kuwa Iran inafungamana na mapatano ya JCPOA na kwamba Ulaya ndio inayoyakiuka
Februari 24, 2021 - 3:31 alasiriBaada ya kujiondoa Marekani katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA, Umoja wa Ulaya na Troika ya Ulaya (Ujerumani, Ufaransa na Uingereza) zimekuwa na utendajikazi hasi katika uga wa kulinda mapatano hayo na pia katika kutekeleza ahadi zao. Hii ni Katika hali ambayo Iran imetekeleza ahadi zake kikamilifu katika mapatano ya JCPOA. Hivi sasa afisa wa ngazi za juu wa sera za kigeni katika Umoja wa Ulaya amekiri ukweli huo. Endelea ...
-
Grossi: Iwapo vikwazo vya Iran havitaondolewa, jitihada zote zitaambulia patupu
Februari 24, 2021 - 3:30 alasiriMkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amejibu swali kuhusu hatua ya Iran ya kusitisha utekelezwaji Protokali Ziada na kusema, iwapo vikwazo havitaondolewa, basi jitihada zote zitaambulia patupu. Endelea ...
-
Zarif: Iran italiunga mkono taifa linalodhulumiwa la Yemen
Februari 24, 2021 - 3:29 alasiriWaziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Tehran inaunga mkono harakati yoyote ambayo itapelekea kuhitimishwa hujuma dhidi ya taifa la Iran. Endelea ...
-
Chanjo ya pili iliyotegenezwa Iran kufanyiwa majaribio ya mwanadamu wiki ijayo
Februari 24, 2021 - 3:28 alasiriChanjo ya pili ya Corona au COVID-19 iliyotengenezwa Iran ambayo inajulikana kama COV-Pars itaanza kufanyiwa majaribio ya mwanadamu wiki ijayo. Endelea ...
-
Takht-Ravanchi: Vikwazo vinashadidisha matatizo katika mabadiliko ya tabianchi
Februari 24, 2021 - 3:28 alasiriMwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa, vikwazo vya kiuchumi vya upande mmoja ni moja ya vizuizi vikuu vinavyokwamisha juhudi za kukabiliana ipasavyo na athari mbaya za mabadiliko ya hali ya hewa na tabia nchi, hivyo lazima viondolewe. Endelea ...
-
HAMAS: Quds ni mji mkuu wa milele wa Palestina
Februari 24, 2021 - 3:27 alasiriHarakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesisitiza kuwa, siasa za utawala wa Kizayuni wa Israel za kuiyahudisha Quds zimeshindwa na kugonga mwamba na kwamba, Quds utabakia kuwa mji mkuu wa milele wa Palestina. Endelea ...
-
Jumuiya ya Maulamaa Iraq: Mossad inaongoza kambi za magaidi wa Daesh huko Syria
Februari 24, 2021 - 3:26 alasiriMkuu wa Jumuiya ya Maulamaa wa Kiislamu katika mkoa wa Diyala huko Iraq amesema kuwa shirika la ujasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel (Mossad) linasimamia kambi mbalimbali za magaidi wa kundi la ukufurishaji la Daesh huko Syria. Endelea ...
-
Wahanga nusu milioni wa virusi vya corona nchini Marekani, sababu na taathira zake
Februari 24, 2021 - 3:24 alasiriBaada ya kupita mwaka mmoja sasa tangu kulipotokea mlipukowa ugonjwa wa Covid-19 nchini Marekani na kufeli kwa serikali ya nchi hiyo katika kukabiliana na janga hilo, sasa idadi ya wahanga wa corona imepindukia watu nusu milioni kwa kadiri kwamba, Rais Joe Biden amemuru bendera za nchi hiyo zipepee nusu mlingoti. Endelea ...
-
UNHCR yahimiza kuokolewa haraka wakimbizi Waislamu Warohingya waliokwama majini
Februari 23, 2021 - 3:53 alasiriShirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR, limetoa wito wa kutafutwa na kuokolewa haraka kundi la wakimbizi Waislamu Warohingya ambao wamekwama katika meli kwenye eneo la maji la Andaman kwa zaidi ya wiki moja. Endelea ...
-
Raisi: Marekani na Wamagharibi zimekanyaga haki za binadamu katika vita vya kulazimishwa
Februari 23, 2021 - 3:52 alasiriMkuu wa Idara ya Mahakama ya Iran amesisitiza kuwa, Marekani na Wamagharibi walikanyaga haki za binadamu katika vita vya kulazimishwa vilivyoanzishwa na utawala wa Saddam dhidi ya Iran. Endelea ...
-
WHO: Nchi tajiri zinadhoofisha mpango wa kugawa chanjo ya corona kwa usawa
Februari 23, 2021 - 3:51 alasiriMkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani WHO amezishutumu 'baadhi ya nchi tajiri' kuwa zinadhoofisha mpango wa COVAX na ugawaji wa chanjo ya corona kwa usawa. Endelea ...
-
The Observer yahoji: Walikuwa wapi waandamanaji wa sasa huko Myanmar wakati wa mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu wa Rohingya?
Februari 23, 2021 - 3:50 alasiriGazeti la The Observer linalochapishwa nchini Uingereza limeandika makala kuhusu maandamano makubwa yanayoendelea nchini Myanmar kupinga mapinduzi ya kijeshi yaliyoiondoa madarakani serikali iliyochaguliwa kwa njia za kidemokrasia na kuhoji kuwa, walikuwa wapi waandamanaji hao katika kipindi chote cha miaka minne ya mauaji ya kimbari yanayofanywa na jeshi la nchi hiyo likishirikiana na Mabudha wenye misimamo mikali dhdi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya? Endelea ...
-
Sisitizo la Kiongozi Muadhamu la Iran kusimama kidete kuhusu suala la nyuklia
Februari 23, 2021 - 3:46 alasiriKama ilivyo hali kuhusu masuala mengine, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitalegeza msimamo wake kuhusu kadhia ya nyuklia, na itaendelea kusimamam imara na kutetea suala hilo kwa nguvu zake zote kwa ajili ya kulinda maslahi ya leo na ya kesho ya taifa hili. Endelea ...
-
Rais wa Afghanistan atoa onyo kwa Taliban kuhusiana na kushupalia kuendeleza vita
Februari 23, 2021 - 3:45 alasiriRais Ashraf Ghani wa Afghanistan ametoa onyo kwa kundi la Taliban kuhusiana na msimamo wake wa kuendeleza vita nchini humo. Endelea ...
-
Biden na machaguo yaliyo mbele yake kuhusu Afghanistan
Februari 23, 2021 - 3:43 alasiriMullah Baradar, mkuu wa ujumbe wa Taliban katika mazungumzo ya amani ameitaka Marekani iheshimu mapatano iliyofikia na kundi hilo kuhusu kuwaondoa askari wake nchini Afghanistan na akaonya kuwa, Taliban haitavumilia uingiliaji wa majeshi ya kigeni nchini humo. Endelea ...
-
Israel yawakamata viongozi kadhaa wa HAMAS na mateka Wapalestina walioachiwa huru
Februari 23, 2021 - 3:42 alasiriUtawala haramu wa Kizayuni wa Israel umewatia nguvuni viongozi kadhaa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS katika maeneo ya Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan na Baitul Muqaddas pamoja na mateka Wapalestina waliochiwa huru. Endelea ...
-
Oxfam: Silaha za Uingereza zinazouzwa Saudia zinarefusha vita nchini Yemen
Februari 23, 2021 - 3:42 alasiriShirika la misaada ya kibinadamu la Oxfam limetangaza kuwa, uuzaji wa silaha za Uingereza kwa utawala wa Saudi Arabia unarefusha vita vya muungano unaoongozwa na serikali ya Riyadh dhidi ya taifa la Yemen. Endelea ...
-
Umoja wa Maulamaa wa Kiislamu: Sehemu kubwa ya Madaesh wa kujiripua wameingia Iraq kutokea Syria
Februari 23, 2021 - 3:41 alasiriMkuu wa Umoja wa Maulamaa wa Kiislamu katika mkoa wa Diyala nchini Iraq amesema kuwa, sehemu kubwa ya magaidi wa Daesh (ISIS) wa kujiripua kwa mabomu wameingia nchini Iraq wakitokea Syria. Endelea ...