Tukio hilo lilitokea baada ya kumaliza mechi kati ya Manchester United na Fulham katika Uwanja wa Old Trafford ambapo timu mbili hizo ziligawana pointi baada ya kutoka sare ya 1-1.
Wachezaji hao ambao wote ni Waislamu wameungana na wachezaji na wapenda haki wengine kote ulimwenguni ambao wamekuwa wakionyesha kwa namna mbalimbali himaya na uungaji mkono wao kwa Wapalestina.
342/