Main Title

source : Abna
Jumapili

17 Novemba 2024

19:40:35
1505480

Video | Damu ikimwagika mbele ya Ubalozi mdogo wa Israel huko Toronto

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Idadi kadhaa ya Wanaharakati wa Kiyahudi walifunika ngapi za Ubalozi mdogo wa Israel huko Toronto, Canada kwa damu, na kuutaka Utawala huo kukomesha mauaji yake ya halaiki huko Gaza. Wanaharakati wa Kiyahudi walisema katika taarifa yao: "Sisi kama Wayahudi wa Canada, tunaitaka Canada kukomesha hatua yake ya kuipatia Israel silaha na kuifadhili."