source : Abna
Alhamisi
28 Novemba 2024
18:15:31
1509142
Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA - Maandamano makubwa yamefanyika huko Amsterdam, Uholanzi kwa ajili ya kuonyesha mshikamano kwa watu madhulumu wa Palestina na Lebanon.