Main Title

source : Abna
Jumatano

4 Desemba 2024

19:35:32
1511063

Video | Wanaharakati wa Kiyahudi dhidi ya Utawala Haram wa Kizayuni waliingia katika Bunge la Canada

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul_Bayt (a.s) - ABNA - Wanaharakati wa Kiyahudi nchini Canada, wanaopinga vita dhidi ya Gaza, jana walishambulia moja ya majengo ya Bunge la Canada Mjini Ottawa na kutaka kuwekewa vikwazo vya silaha Utawala Haram wa Kizayuni.