Main Title

source : Abna
Jumanne

10 Desemba 2024

19:26:37
1512751

Video | Uharibifu wa mnara wa Msikiti huko Rafah

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul_Bayt (a.s) - ABNA - Vyombo vya Habari vya Palestina vilichapisha picha ya kuharibiwa kwa Mnara wa Msikiti katika Mji wa Rafah Kusini mwa Ukanda wa Gaza kwa kutumia tingatinga za Utawala Haram wa Kizayuni.