source : Abna
Jumamosi
14 Desemba 2024
15:44:45
1513717
Video | Kusimamishwa kwa Swala ya Ijumaa katika Eneo la ibada la ndani ya Haram Tukufu ya Sayyidat Zainab (s.a)

Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA -, Swala ya Ijumaa imesaliwa Siku ya Ijumaa, Disemba 13, 2024, huku kukiwa na mahudhurio makubwa ya Mashia kutoka eneo la Zainabiyyah la Damascus, katika Eneo la Sala la Haram Tukufu ya Hazrat Zainab (s.a) katika viunga vya Kusini mwa Mji Mkuu wa Syria. Swala ya Ijumaa iliswaliwa katika Haram hii Tukufu kwa usalama kamili na bila kizuizi chochote kutoka kwa makundi ya upinzani yenye silaha.