Main Title

source : Abna
Jumatano

18 Desemba 2024

21:03:38
1514853

Video | Kuuma Kitambaa kwa sababu ya kukosekana kwa dawa za kutuliza maumivu huko Gaza

Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahl -ul- Bayt (a.s) - ABNA - Kutokana na kukosekana kwa dawa za kutuliza maumivu, Mpalestina huyo (katika video) aliyejeruhiwa, anaonekana alipokuwa akijifunga jeraha katika Hospitali ya Kamal Adwan Kaskazini mwa Mkoa wa Gaza, huku akichukua kipande cha kitambaa na kukiuma kwa meno yake (kupunguza maumivu) kutokana na maumivu makali anayoyahisi.