Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (AS) - ABNA - "Meytham Al-Safi", msemaji wa Wizara ya Uchukuzi ya Iraq, alisema kuwa mradi huu umeonyesha maendeleo makubwa na makampuni kadhaa ya kimataifa yanashindana kwa ajili ya utekelezaji wake, na mapendekezo ya makampuni haya katika Shirika la Uwekezaji yapo katika hali ya kuchaguzwa (na kukaguliwa).
Aliongeza kuwa mradi huu unatekelezwa kwa lengo la kurahisisha usafiri wa abiria kati ya mikoa hiyo miwili. Treni hii itasitishwa / itasimamishwa kabisa, jambo ambalo linaonyesha kuwa inaendana na maendeleo ya Kimataifa na kusaidia kuimarisha miundombinu ya usafirishaji ya Iraq.