shirika la habari la abna
-
UNICEF: Maisha ya watoto milioni moja huko Gaza yako hatarini
Wakati huo huo hujuma zikiendelea na ugavi wa misaada kwa Gaza ukikatizwa, Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto lilionya kuhusu hali mbaya ya kibinadamu katika eneo hili na kutangaza kwamba maisha ya watoto wapatao milioni moja katika ukanda huu yako chini ya hatari na tishio kubwa.
-
Wall Street Journal: Wanajeshi wa Kizayuni wateka nyara raia wa Syria!
Ripoti za vyombo vya habari zinarejelea mienendo ya jeshi la Kizayuni Kusini mwa Syria na utekaji nyara raia wa nchi hii.
-
Fat'wa Mpya: Kuitetea Palestina na Jihad dhidi ya Utawala wa Kizayuni ni Wajibu Ayn (jambo la faradhi kwa kila Mtu)
Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Ulimwenguni umetoa Fat'wa kuhusu Wajibu wa Jihadi katika kuunga mkono Ghaza na kusisitiza kuwa, Jihadi dhidi ya utawala wa Kizayuni na mamluki na askari wake wanaohusika na mauaji ya halaiki ya watu wa Ghaza katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ni wajibu mutlaki (unaomgusa kila mtu).
-
Semina ya Mubaghilina wa Mkoa wa Kagera - Wilaya ya Muleba - Tanzania
Kauli mbio yetu ni: Kama Mubalighina ni kuhakikisha malengo ya Mtume (s.a.w.w) yanatimia kwa njia safi ya kuleta umoja, upendo na amani.
-
Fiqh Na Hukumu Zake:
Namna ya Kutoharisha vitu vilivyo najisika kwa kutumia Maji
Anuani ya makala yetu inasema: "Kwa kutumia Maji" kwa kuwa maji ndio yaliyochukua nafasi kubwa katika kutoharisha vilivyonajisika kuliko vingine vyote vyenye kutoharisha.Tutamia herufi (S) kuashiria swali na herufi (J) kuashiria jibu lake.
-
Majukumu ya Mwanalimu na Mwanafunzi (1)
Majukumu ya Mwalimu yamegawanyika katika sehemu kuu tatu :- Majukumu yake binafsi, majukumu juu ya wanafunzi wake, na majukumu yake akiwa darasani.
-
Mazungumzo ya Biashara Kati ya Kenya na Iran
Mazungumzo makubwa na muhimu ya Iran na Kenya kuhusu kuimarisha uhusiano wa kibiashara baina ya nchi mbili.
-
Tunajifunza nini baada ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan?
Aliyekuwa akifanya Ibada za Usiku ndani ya Ramadhani na mwendo wake ukabadilika na tabia zake kuwa nzuri ndani ya Ramadhan, basi aendelee kuwa na tabia nzuri hivyo hivyo hata baada ya Ramadhan. Na hii ni sehemu ya wito na funzo zuri toka kwa Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w).
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahl al-Bayt (A.S) akutana na Msimamizi wa Atabat Hosseini | Tangazo la utayari wa kushirikiana kiutamaduni
Ayatollah "Reza Ramezani" alikutana na Hojjat al-Islam na Waislamu Sheikh "Abdul Mahdi Karbalai".
-
Kuuawa Shahidi na Kujeruhiwa kwa Wapalestina 373 ndani ya masaa 24
Wizara ya Afya ya Gaza imetangaza kuuawa Shahidi na kujeruhiwa Wapalestina 373 katika muda wa saa 24 zilizopita na kuongezeka kwa idadi ya Mashahidi wa mauaji ya kimbari na kufikia zaidi ya watu 50,600.
-
Kielezo cha Maandishi cha Hotuba ya Kiongozi wa Mapinduzi katika Khutba zake mbili za Sala ya Eid al-Fitr
Kiongozi Muadhamu alieleza msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na vitisho vya maadui katika Khutba za Sala ya Eid al-Fitr.
-
Kuuawa Shahidi kwa Wapalestina 15 wakati wa Shambulio la bomu kwenye jengo moja huko Gaza / Hakuna mahali salama huko Gaza
Mashambulio ya kikatili ya utawala wa Kizayuni huko Ghaza yameendelea hivi leo, na kwa sababu hiyo Wapalestina wengi zaidi wameuawa Shahidi.
-
Ujumbe wa Ayatollah Ramezani wa rambirambi kwa Katibu Mkuu Jumuiya ya Kimataifa ya Ukaribu wa Madhehebu za Kiislamu
Katika ujumbe wake, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (AS) ametoa salamu za rambirambi kufuatia Kifo cha Baba yake Hojat al-Islam Wal-Muslimin, Dakta Hamid Shahriari.
-
Shambulio baya la jeshi la Kizayuni kwenye Kliniki (Zahanati) ya Umoja wa Mataifa Kaskazini mwa Gaza
Shambulio la Wazayuni katika Zahanati moja katika Ukanda wa Gaza limepelekea kuuawa Shahidi watu kadhaa wakiwemo watoto.
-
Taasisi ya SHIDO - Bukoba, Kagera, Tanzania yafanya mafunzo ya ufundishaji kwa kutumia Syllabus kwa Walimu
Twende pamoja mkono kwa mkono katika Harakati za Tabligh za kueneza Mafunzo na Maarifa Safi ya Ahlul-Bayt(a.s).
-
Hassan Badir, Afisa wa Dawati la Palestina la Hezbollah ya Lebanon auawa Shahidi
Utawala wa Kizayuni ulilenga nyumba ya makazi na baadhi ya watu wa familia ya Hassan Badir pia walikuwa ndani ya nyumba hiyo wakati wa jinai hiyo ya Wazayuni.
-
Mashambulizi ya roketi kutoka Ukanda wa Gaza kuelekea maeneo yanayokaliwa kwa mabavu
Makazi ya Wazayuni ya "Sadirot" yalilengwa kwa shambulio la roketi.
-
Mchakato wa kuwatimua wahamiaji wa Afghanistan walioko Pakistan unaanza leo hii
Vyombo vya Habari vya Pakistan vimeripoti kuwa mchakato wa kuwatimua wahamiaji wa Afghanistan bila hati za ukazi wa kisheria kutoka nchi hii umepangwa kuanza leo Jumanne (Aprili 1).
-
Mmoja wa Maafisa wa Dawati la Palestina la Hezbollah ya Lebanon ameuawa Shahidi
Jana usiku utawala wa Kizayuni ulishambulia jengo la makazi kwa mashambulizi ya anga bila ya kutoa tahadhari ya awali.
-
Ndege nyingine isiyo na rubani ya Marekani imetunguliwa ndani anga la Yemen
Ndege ya kijeshi isiyo na rubani ya Marekani imdunguliwa katika mMkoa wa Marib.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Ikiwa Amerika itafanya jambo lolote ovu, litajibiwa vikali
Ayatollah Khamenei amesema kuhusu misimamo ya vitisho ya hivi karibuni ya Marekani: Kwanza, iwapo uovu utafanywa kutoka nje, jambo ambalo bila shaka halina uwezekano mkubwa, kwa hakika watajibiwa kwa kupigwa kwa pigo kali , na pili, ikiwa adui anafikiria kuzusha mpasuko (fitna) kwa ndani, kama ilivyokuwa katika baadhi ya miaka ya nyuma, Taifa litatoa jibu kali kwa waasi (wapenzi wa fitna) kama ilivyokuwa kwa miaka hiyo.
-
Tangazo la Dua ya Khitma:
Dua ya Khitma ya Kumrehemu Marhuma Ukhti Fatima Ali Mwiru
Dua hii na visomo mbalimbali vitaanza rasmi baada ya Swala ya Eid -ul- Fitr.
-
Tabligh - Tanzania:
Baadhi ya harakati za Kidini za Taasisi ya Kiislamu ya S.D.O - Bukoba, Tanzania
Kwa mtu yeyote, anayetaka thawabu na malipo mema toka kwa Allah (s.w.t), kupitia kusapoti na kusaidia Harakati hizi za Kidini za S.D.O Bukoba, Tanzania, basi anakaribishwa na mlango upo wazi.
-
Sheikh Izzud_Din wa Kenya:
Nakiri kwa sababu nilipotezwa na hisia zangu, naomba radhi na msamaha
"Natumia fursa hii kumuomba radhi Rais wa Tanzania, Dr.Samia Suluhu Hassan kwa kumhusisha katika mazungumzo yangu".
-
Eidul _ Fitr:
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania awatangazia Waislamu wa Tanzania kuonekana kwa Mwezi
Natumia fursa hii kuthibitisha kuwa Mwezi umeonekana, na Kesho Jumatatu ni Siku ya Eidul - Fitri
-
Salam za Rambirambi:
Wasifu na salam za rambirambi kutoka kwa Masheikh na Taasisi mbalimbali katika Mazishi ya Marhuma Fatima Ali Mwiru
"Nimemfahamu Fatima Mwiru zaidi ya Miaka 20 iliyopita katika Harakati mbali mbali za Kidini".
-
Siku ya Quds Duniani:
Kongamano la Siku ya Quds Duniani lilifanyika Jijini Tanga, Tanzania
Kuna umuhimu Mkubwa kwa Waislamu na Watu wote huru na wapenda Haki Duniani, kuzidi kusimama pamoja na wadhulumiwa wa Palestina na kutetea Haki za watu wote wanyonge popote pale walipo Duniani. Watu mbalimbali kutoka Jiji la Tanga walihudhuria katika Mkusanyiko huu wa kuhuisha Siku ya Kimataifa ya Quds, wakiwemo Viongozi wa Taasisi mbalimbali za Kidini na Madhehebu mbalimbali.
-
Takriban watu 20 Wameuawa baada Wanajeshi wa Nigeria kushambulia Maandamano ya Siku ya Quds Mjini Abuja
Makumi ya waandamanaji wanaounga mkono Palestina wameuawa na kujeruhiwa baada ya vikosi vya usalama kuwafyatulia risasi wakiwa kwenye Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds katika Mji Mkuu wa Nigeria.
-
Ilitajwa katika Salamu ya Eid al-Fitr:
Kiongozi wa Ansarullah: Watu wa Yemen wanashikamana na kadhia ya Palestina
Akitoa salamu za pongezi za Eid al-Fitr, Sayyid Abdul Malik al-Houthi alisema: "Watu wa Gaza hawakufunga tu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, bali pia walipata heshima ya Jihadi na Upinzani (Muqawamah) dhidi ya wavamizi."
-
Kulaani Ukandamizaji na Mauaji ya watu wa Nigeria Katika Siku ya Al-Quds | Moto wa Mwamko wa Kiislamu Hautazimika
Baraza la Uratibu wa Tabligh za Kiislamu, limelaani ukandamizaji wa Maandamano ya Siku ya Quds Duniani nchini Nigeria, na limetangaza kuwa: Jinai hizo za kipofu zitazidisha azma ya Mataifa ya Kiislamu kukabiliana ipasavyo na mfumo wa ukoloni na uistikbari.