shirika la habari AhlulBayt (a.s) ABNA: Makombora kadhaa ya Iran yameshambulia ngome ya Marekani ya Ainul Asad iliyopo katika nchi ya Iraq.
Tukio hilo lilotokea alfajiri ya kuamkia leo Jumatano, ni katika kufanyia kazi kauli mbiu ya “Kisasi Kikali” inayoendeshwa na Iran baada ya kuuliwa kwa kamanda wake Qasem Soleimani.