-
serviceAraghchi: Raia wa Marekani Hawapaswi Kulipia Gharama za Vita vya Utawala wa Kizayuni
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema wananchi wa Marekani hawapaswi kubeba gharama za vita vya utawala wa Kizayuni, akirejea kauli ya Kaimu Waziri wa Jeshi la Wanamaji la Marekani…
Habari za hivi punde
-
serviceAraghchi: Raia wa Marekani Hawapaswi Kulipia Gharama za Vita vya Utawala wa Kizayuni
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema wananchi wa Marekani hawapaswi kubeba gharama za vita vya utawala wa Kizayuni, akirejea kauli ya Kaimu Waziri wa Jeshi la Wanamaji la Marekani kuhusu kuvunjwa kwa makao ya majeshi ya Marekani nchini Bahrain.
-
serviceIran: Baghai Amshutumu Grossi kwa Kudhoofisha Uaminifu wa IAEA
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Ismail Baghai, amemshutumu Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA), Rafael Grossi, kwa kutumia ripoti za kitaalamu za wakala huo katika muktadha wa kisiasa, akidai kuwa hali hiyo inahatarisha uaminifu, uhuru na kutokuegemea upande wowote kwa taasisi hiyo.
-
serviceKauli ya Jenerali Qaani Kuhusu “Ukanda Mpya wa Kiusalama wa Muqawama” Yarejea Katika Mwelekeo wa Matukio ya Yemen na Iran
Katika kauli yake ya tarehe 8 Juni 2026, Kamanda wa Kikosi cha Quds, Meja Jenerali Ismail Qaani, alieleza kuhusu uwepo wa “ukanda mpya wa kiusalama wa Muqawama” kuanzia Mlango wa Hormuz hadi Bab al-Mandab na kutoka Ghuba ya Uajemi hadi Bahari Nyekundu. Kwa mujibu wa mtazamo wa waandishi wa kauli hiyo, maendeleo ya sasa katika Yemen na Iran yanaifanya kauli hiyo kurejea katika mjadala kuhusu mabadiliko ya mizani ya kiusalama katika Mashariki ya Kati.
-
serviceMbunge Suleiman Jafo Ahudhuria Hadhara ya Maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (SAWW) Kariakoo +Picha
Mbunge wa Jimbo la Kisarawe, Mhe. Alhaj Suleiman Jafo, amehudhuria hadhara kubwa ya Maulid katika Madrasat Abbasiya, Kariakoo jijini Dar es Salaam, iliyowakutanisha viongozi wa dini, waumini na wananchi kwa ajili ya kuadhimisha mazazi matukufu ya Mtume Muhammad (SAWW) na kusisitiza maadili, upendo na mafundisho yake mema.
-
serviceAnsarullah Yaongeza Ushawishi Bab al-Mandab, Bei ya Mafuta ya Brent Yapanda Zaidi ya Asilimia 5 %
Kwa mujibu wa taarifa ya France 24, Ansarullah ya Yemen imeongeza ushawishi wake katika Mlango wa Bab al-Mandab, mojawapo ya njia muhimu zaidi za usafirishaji duniani, huku bei ya mafuta ghafi aina ya Brent ikipanda kwa zaidi ya asilimia 5 na kuvuka dola 106 kwa pipa.
-
serviceHormuz na Bab al-Mandab: Mabadiliko ya Njia za Biashara na Nishati Yaweza Kuongeza Mvutano wa Kikanda
Mwandishi wa habari Fadi Boudia ameonya kuhusu mabadiliko ya kimkakati katika Mashariki ya Kati, akieleza kuwa shinikizo katika Mlango wa Hormuz na Bab al-Mandab linaweza kuathiri njia muhimu za biashara na nishati duniani na kuongeza uwezekano wa kupanuka kwa vita katika eneo hilo.
-
serviceHotuba ya Ijumaa | Malawi: Sheikh Kachera Aeleza Njia za Kufikia Uongofu wa Mwenyezi Mungu +Picha
Katika hotuba ya Ijumaa - nchini Malawi, Sheikh Abdulrahman Kachera ameeleza aina mbalimbali za uongofu na kusisitiza kuwa imani, kutafakari Qur’ani, kumfuata Mtume (saww) na Ahlul-Bayt (as), kutekeleza wajibu na kujiepusha na madhambi ni miongoni mwa njia za kufikia uongofu wa Mwenyezi Mungu.
-
serviceMajlisi ya Fatiha na Kumbukumbu ya Sheikh Mkuu wa Kwanza wa Shia Tanzania Yafanyika Lindi
Majlisi ya Fatiha na kumbukumbu ya Sheikh Marehemu Abdullah Seif Linganaweka, Sheikh Mkuu wa kwanza wa Jumuiya ya Shia Ithna Ashari Tanzania (T.I.C), imefanyika katika Kijiji cha Mnan'gole, Mkoa wa Lindi, kwa kuhudhuriwa na wanazuoni, viongozi na waumini, wakikumbuka mchango wake wa kidini na kielimu.
-
serviceAnsarullah Yathibitisha Udhibiti wa Mlango wa Bab al-Mandab Baada ya Kutwaa Visiwa vya Mwisho Vinavyouzunguka
Ansarullah imethibitisha kuwa imedhibiti rasmi Mlango wa Bab al-Mandab baada ya kuchukua udhibiti wa visiwa vya mwisho vinavyoangalia njia hiyo muhimu ya kimkakati.
-
serviceAnsarullah: Msimamo Wetu ni wa Kujihami, Tunataka Vizuizi Dhidi ya Yemen Viondolewe
Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Ansarullah (Kundi la Houthi), Zam Al-Assad, amesema kuwa msimamo wa kundi hilo ni wa kujihami, akisisitiza umuhimu wa kuondolewa kwa vizuizi dhidi ya Yemen. Amesema pia hakuna uadui kati ya Ansarullah na Saudi Arabia katika utekelezaji wa hatua hiyo.