ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterHabari za leo
  • Maulana Sheikh Jalala Ahimiza Waumini Kuendeleza Utamaduni wa Dua na Mshikamano - Ikwiriri +Picha

    Maulana Sheikh Jalala Ahimiza Waumini Kuendeleza Utamaduni wa Dua na Mshikamano - Ikwiriri +Picha

    Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, amewataka waumini kuendeleza utamaduni wa kukusanyika kwa ajili ya Dua, akisisitiza kuwa mshikamano na dua ni nguzo muhimu za kudumisha Amani, Upendo na Umoja katika Jamii.

    2026-07-21 08:25
  • Maulana Sheikh Hemed Jalala Atoa Mafunzo Matano Muhimu Kutokana na Mazishi ya Sayyid Ali Khamenei

    Maulana Sheikh Hemed Jalala Atoa Mafunzo Matano Muhimu Kutokana na Mazishi ya Sayyid Ali Khamenei

    Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania (TIC), Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge, amesisitiza umuhimu wa umoja wa Mashia, Waislamu na watu wa dini mbalimbali, pamoja na uzalendo na kuheshimu viongozi wanaolitumikia taifa na jamii kwa uadilifu.

    2026-07-21 08:25
  • Qur’an Tukufu Mbele ya Kila Jambo: Wanafunzi wa Hawzah ya Hazrat Zainab (s.a) Huanza Siku Yao kwa Nuru ya Qur'an na Dua +Picha

    Qur’an Tukufu Mbele ya Kila Jambo: Wanafunzi wa Hawzah ya Hazrat Zainab (s.a) Huanza Siku Yao kwa Nuru ya Qur'an na Dua +Picha

    Wanafunzi 144 wa Hawzah ya Wasichana ya Hazrat Zainab (s.a) pamoja na wasimamizi wao huanza kila siku yao kwa kusoma Qur’an Tukufu na dua, katika juhudi za kuhuisha nafasi ya Qur’an na Dua katika maisha ya kila siku ya Muislamu.

    2026-07-20 15:05
  • Wanafunzi wa Hawzah ya Hazrat Zainab (sa) Wahuisha Dua ya Kumail; Wakuzwa Katika Malezi ya Kiroho na Ukaribu kwa Mwenyezi Mungu +Picha

    Wanafunzi wa Hawzah ya Hazrat Zainab (sa) Wahuisha Dua ya Kumail; Wakuzwa Katika Malezi ya Kiroho na Ukaribu kwa Mwenyezi Mungu +Picha

    Wanafunzi wa kike wa Hawzah ya Hazrat Zainab (sa) Kigamboni, Dar es Salaam, wameendelea kuhuisha kisomo cha Dua ya Kumail bin Ziyad, wakijengwa katika malezi ya kiroho, unyenyekevu mbele ya Mwenyezi Mungu na umuhimu wa dua katika maisha ya kila siku.

    2026-07-17 14:04
  • Kamishna wa Polisi Jamii CP Alex Mkama Apokelewa Katika Makao Makuu ya JMAT-TAIFA

    Kamishna wa Polisi Jamii CP Alex Mkama Apokelewa Katika Makao Makuu ya JMAT-TAIFA

    Kamishna wa Polisi Jamii CP Alex Mkama amepokelewa katika Makao Makuu ya JMAT-TAIFA na Mwenyekiti wake Sheikh Profesa Alhad Mussa Salum, ambapo wamejadili umuhimu wa ushirikiano katika kuimarisha amani, maridhiano na mshikamano wa kitaifa.

    2026-07-14 21:42
  • Baraza la Ulamaa BAKWATA Lamsimamisha Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Lateua Kaimu Katika Nafasi Hiyo

    Baraza la Ulamaa BAKWATA Lamsimamisha Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Lateua Kaimu Katika Nafasi Hiyo

    Baraza la Ulamaa la BAKWATA, katika kikao chake cha dharura kilichoongozwa na Kaimu Mufti wa Tanzania, Sheikh Ali Khamis Ngeruko, limeazimia kumsimamisha Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam na kumteua Sheikh Abbas Ramadhani kukaimu nafasi hiyo.

    2026-07-14 21:24
  • Kituo cha Imam Sajjad (as) Kigoma kinaendelea kuelimisha vijana na kueneza mafundisho ya Ahlul-Bayt (as)

    Kituo cha Imam Sajjad (as) Kigoma kinaendelea kuelimisha vijana na kueneza mafundisho ya Ahlul-Bayt (as)

    Chini ya usimamizi wa Mkurugenzi Mkuu, Sheikh Hussein Moshi Abdallah, Kituo cha Imam Sajjad (as) kilichopo Kasuko, mkoani Kigoma, kinaendelea kutoa elimu ya dini kwa vijana na kuinua bendera ya Ahlul-Bayt (as) nchini Tanzania.

    2026-07-14 10:06
  • Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri: Mradi wa "Israel Mkubwa" hautatekelezwa

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri: Mradi wa "Israel Mkubwa" hautatekelezwa

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri alisema kuwa mradi unaoitwa "Israel Mkubwa" na majaribio yoyote ya kuunda upya Mashariki ya Kati yamekataliwa kushindwa.

    2026-07-13 09:42
  • Kocha Mkuu wa Mpira wa Miguu wa Misri: Yeyote asiyeelewa mateso ya Palestina si binadamu!

    Kocha Mkuu wa Mpira wa Miguu wa Misri: Yeyote asiyeelewa mateso ya Palestina si binadamu!

    Hossam Hassan, kocha mkuu wa timu ya taifa ya Misri, katika mkutano na waandishi wa habari kabla ya mechi dhidi ya Argentina, alionyesha tena kuunga mkono Palestina.

    2026-07-07 16:57
  • Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran: Kuwawajibisha Wauaji wa Kigaidi Kutafanyika kwa Mkakati wa Busara

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Iran: Kuwawajibisha Wauaji wa Kigaidi Kutafanyika kwa Mkakati wa Busara

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohammad Reza Aref, amesema kuwa madai ya wananchi ya kuwawajibisha waliotekeleza mashambulizi ya kigaidi ni haki ya kisheria na yatatekelezwa kwa busara na mkakati wa kimkakati.

    2026-07-06 21:25
  • Hawza ya Hazrat Zainab (as) Kigamboni Yaandaa Khatmu ya Qur'an Tukufu kwa Ajili ya Shahidi Sayyid Ali Khamenei na Mashahidi wote wa Vita vya Ramadhan

    Hawza ya Hazrat Zainab (as) Kigamboni Yaandaa Khatmu ya Qur'an Tukufu kwa Ajili ya Shahidi Sayyid Ali Khamenei na Mashahidi wote wa Vita vya Ramadhan

    Wanafunzi wa Hawza ya Hazrat Zainab (as) Kigamboni, wameshiriki katika Khatmu ya Qur'an Tukufu kwa ajili ya kuwaombea Mashahidi wa vita vya Ramadhan, akiwemo Ayatollah Sayyid Ali Hussein Khamenei.

    2026-07-06 21:11
  • Wanafunzi na Walimu wa Al-Mustafa Zanzibar Wafanya Khatmu ya Qur'an kwa ajili ya Roho za Mashahidi

    Wanafunzi na Walimu wa Al-Mustafa Zanzibar Wafanya Khatmu ya Qur'an kwa ajili ya Roho za Mashahidi

    Kikao maalumu cha khatma ya Qur'ani Tukufu kimefanyika katika Ofisi ya Al-Mustafa Zanzibar kwa ushiriki wa walimu na wanafunzi, kwa ajili ya kumuombea rehema Kiongozi Shahidi wa Umma wa Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, pamoja na Mashahidi wote wa Vita vya Ramadhani.

    2026-07-06 20:08
  • Kocha mkuu wa Misri alitoa ushindi dhidi ya Australia kwa Palestina

    Kocha mkuu wa Misri alitoa ushindi dhidi ya Australia kwa Palestina

    Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Misri baada ya ushindi wa timu yake dhidi ya Australia alitokwa na machozi na akasema: Watu wa Palestina hawakukata tamaa katika kuunga mkono, na mimi natoa ushindi huu kwao.

    2026-07-04 22:40
  • Rais wa Kuba: Lengo la kizuizi cha Marekani ni kujenga machafuko ya kijamii

    Rais wa Kuba: Lengo la kizuizi cha Marekani ni kujenga machafuko ya kijamii

    Rais wa Kuba, akichambua kuendelea kwa vikwazo na kizuizi cha kiuchumi cha Marekani, alitangaza kwamba Havana itaibua tena suala la kufutwa kwa vikwazo hivi katika Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa.

    2026-07-02 11:36
  • Sheikh Mkuu wa TIC Ashiriki Matembezi ya Amani ya Kumuomboleza Imam Hussein (a.s) Temeke - Dar-es-salaam +Picha

    Sheikh Mkuu wa TIC Ashiriki Matembezi ya Amani ya Kumuomboleza Imam Hussein (a.s) Temeke - Dar-es-salaam +Picha

    Maulana Sheikh Hemed Jalala Mwakindenge ameungana na waumini na viongozi mbalimbali wa kidini katika matembezi ya amani yaliyofanyika Temeke, Dar es Salaam, kwa ajili ya kuenzi shahada ya Imam Hussein (a.s) na kusisitiza ujumbe wa haki, amani, umoja na utu kwa wanadamu wote.

    2026-06-28 18:51
  • Mamilioni ya Waombolezaji Washiriki Maandamano ya Ashura katika Zaidi ya Miji 60 nchini Nigeria

    Mamilioni ya Waombolezaji Washiriki Maandamano ya Ashura katika Zaidi ya Miji 60 nchini Nigeria

    Mamilioni ya Waislamu wa Kishia na wapenzi wa Ahlul-Bayt (as) walishiriki maandamano na majlisi za kuomboleza siku ya Ashura katika mji mkuu wa Nigeria, Abuja, pamoja na zaidi ya miji 60 nchini humo, wakisisitiza kuendeleza ujumbe wa Karbala na utamaduni wa kusimama dhidi ya dhulma.

    2026-06-27 16:34
  • Muharram 1448H: Wanafunzi Mabinti wa Jamiatul Mustafa Washiriki Majlisi ya Maombolezo katika Msikiti wa Amirul Muuminin (AS), Magomeni

    Muharram 1448H: Wanafunzi Mabinti wa Jamiatul Mustafa Washiriki Majlisi ya Maombolezo katika Msikiti wa Amirul Muuminin (AS), Magomeni

    Wanafunzi 144 wa Jamiatul Mustafa, wakiongozana na msimamizi wao, walishiriki majlisi ya maombolezo ya Muharram katika Msikiti wa Amirul Muuminin (AS) uliopo Mgomeni, Dar es Salaam. Majlisi hiyo ilijumuisha muhadhara wa Sheikh Hujjatul Islam wal-Muslimin Aydarus, kisomo cha Qur'ani Tukufu na maombolezo ya Imam Hussein (AS), ikiwa ni sehemu ya kuhuisha ujumbe wa Karbala wa haki, uadilifu na kujitolea katika njia ya Mwenyezi Mungu.

    2026-06-17 18:58
  • Wanafunzi wa Kike wa Madrasa ya Hazrat Zaynab (a.s.) Wafanya Safari ya Mapumziko na Burudani Fun City Dar es Salaam +Picha

    Wanafunzi wa Kike wa Madrasa ya Hazrat Zaynab (a.s.) Wafanya Safari ya Mapumziko na Burudani Fun City Dar es Salaam +Picha

    Wanafunzi wa kike wa Madrasa ya Hazrat Zaynab (a.s.), Kigamboni, Dar es Salaam, walifanya safari ya siku moja ya mapumziko katika kituo cha burudani cha Fun City tarehe 15 Juni 2026, ambapo walishiriki michezo mbalimbali, kula pamoja na kuswali Swala za Adhuhuri na Alasiri, kwa lengo la kurefresh akili, kuimarisha mshikamano na kujenga afya ya kiakili na kimwili.

    2026-06-16 01:30
  • Ubalozi wa Iran nchini Kenya: Kilichoharibiwa Pekee ni Sifa ya Jeshi la Marekani

    Ubalozi wa Iran nchini Kenya: Kilichoharibiwa Pekee ni Sifa ya Jeshi la Marekani

    Ubalozi wa Iran nchini Kenya umesema madai ya Marekani kuhusu kuzuia makombora yote ya Iran hayana msingi, ukidai kuwa mashambulizi ya Iran yaliharibu rada mbili muhimu za kijeshi za Marekani na kuathiri zaidi sifa ya jeshi la Marekani kuliko uwezo wa Iran.

    2026-06-14 13:26
  • Ijumaa | Sheikh Dkt. Swaleh Maulid Azungumzia Nafasi ya Mwanamke katika Uislamu, Ibada, na Ujenzi wa Jamii

    Ijumaa | Sheikh Dkt. Swaleh Maulid Azungumzia Nafasi ya Mwanamke katika Uislamu, Ibada, na Ujenzi wa Jamii

    Katika Swala ya Dhuhrain iliyoswaliwa katika Shule ya Wasichana ya Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni, Dar-es-salaam, Sheikh Dkt. Swaleh Maulid alisisitiza kuwa mwanamke katika Uislamu ana nafasi ya ibada, uwajibikaji na mchango mkubwa katika kujenga jamii yenye maadili na maadili mema.

    2026-06-12 16:29
  • Sheikh Khalifa Khamis: Dunia Sasa Yakiri Iran ni Taifa Kuu

    Sheikh Khalifa Khamis: Dunia Sasa Yakiri Iran ni Taifa Kuu

    Sheikh Khalifa Khamis amesema dunia sasa imeitambua Iran kama taifa kubwa, akisisitiza kuwa Imam Khomeini (ra) aliupa Uislamu nguvu katika nyanja za kidini, kisiasa na kijeshi.

    2026-06-06 22:58
  • Sheikh Pro.Alhad Mussa Salum:
Serikali Hupambana na Kuchukua Hatua dhidi ya Wanaotishia Maslahi Yake, Sio kwa Msingi wa Dini

    Sheikh Pro.Alhad Mussa Salum: Serikali Hupambana na Kuchukua Hatua dhidi ya Wanaotishia Maslahi Yake, Sio kwa Msingi wa Dini

    Sheikh Prof.Alhad Mussa Salum: "Nchi ya Tanzania ni nchi ya Amani na sisi sote ni Watanzania, tunaishi kwa Upendo na Amani na watu wote. Uislamu ni Amani na unatufundisha kuishi kwa wema na watu wote."

    2026-06-06 21:56
  • ABNA Yampongeza Sheikh Prof. Alhad Mussa Salum kwa Uongozi Wake wa Kuimarisha Amani na Maridhiano Nchini Tanzania

    ABNA Yampongeza Sheikh Prof. Alhad Mussa Salum kwa Uongozi Wake wa Kuimarisha Amani na Maridhiano Nchini Tanzania

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt News Agency (ABNA) limetoa pongezi kwa Sheikh Prof. Alhad Mussa Salum kwa mchango wake katika kukuza maridhiano ya kijamii, kuimarisha umoja wa kitaifa na kudumisha amani, akiwa kielelezo cha uongozi wenye hekima na busara, katika siku muhimu ya kuzaliwa kwake.

    2026-06-05 21:00
  • Mali Yatangaza Zawadi ya Mamilioni ya Dola kwa Taarifa za Viongozi wa Kigaidi wa JNIM

    Mali Yatangaza Zawadi ya Mamilioni ya Dola kwa Taarifa za Viongozi wa Kigaidi wa JNIM

    Serikali ya kijeshi ya Mali imetenga dola milioni 3.5 kwa taarifa zitakazowezesha kukamatwa au kuuawa kwa kiongozi wa JNIM, Iyad Ag Ghaly, na dola milioni 2.5 kwa taarifa kuhusu naibu wake, Amadou Kouffa.

    2026-06-05 18:38
  • Barrick Gold Yalipa Faranga za CFA Bilioni 275 kwa Mali Baada ya Mvutano wa Muda Mrefu

    Barrick Gold Yalipa Faranga za CFA Bilioni 275 kwa Mali Baada ya Mvutano wa Muda Mrefu

    Kampuni ya uchimbaji madini ya Barrick Gold imelipa Faranga za CFA bilioni 275 kwa Serikali ya Mali ikiwa ni sehemu ya fedha zilizokuwa zikidaiwa na mamlaka za nchi hiyo, hatua inayotajwa kuwa matokeo ya msimamo mkali wa Bamako katika kusimamia rasilimali zake za taifa.

    2026-05-31 14:56
  • Sheikh wa Mkoa wa Tabora (T I.C) Ahudhuria Baraza la Eid Lililoandaliwa na Wanawake wa Kiislamu wa BAKWATA +Picha

    Sheikh wa Mkoa wa Tabora (T I.C) Ahudhuria Baraza la Eid Lililoandaliwa na Wanawake wa Kiislamu wa BAKWATA +Picha

    Sheikh wa Mkoa wa Tabora (T.I.C), Sheikh Swahibu Shabani, amehudhuria Baraza la Eid lililoandaliwa na Jumuiya ya Wanawake wa BAKWATA Tabora, akisisitiza umuhimu wa umoja na ushirikiano miongoni mwa Waislamu.

    2026-05-30 16:00
  • Burkina Faso Yakanusha Taarifa za Machafuko; Serikali Yatetea Muswada wa Kudhibiti Maeneo ya Ibada

    Burkina Faso Yakanusha Taarifa za Machafuko; Serikali Yatetea Muswada wa Kudhibiti Maeneo ya Ibada

    Serikali ya Burkina Faso imetetea hatua ya kumkamata mwanazuoni wa Kiislamu Dk. Mohamed Kindou kufuatia hotuba yake kuhusu muswada wa maeneo ya ibada, huku ikisisitiza kuwa hakuna uasi dhidi ya Rais Ibrahim Traoré na kwamba wananchi bado wanaunga mkono uongozi wake.

    2026-05-29 19:36
  • Sheikh Prof. Alhad Mussa Salum Atoa Nasaha za Eid al-Adha na Hijja: Ibada Ifanywe kwa Ikhlasi na Si Kujionesha Mitandaoni

    Sheikh Prof. Alhad Mussa Salum Atoa Nasaha za Eid al-Adha na Hijja: Ibada Ifanywe kwa Ikhlasi na Si Kujionesha Mitandaoni

    Sheikh Profesa Alhad Mussa Salum amesisitiza umuhimu wa uelewa sahihi wa ibada za Eid al-Adha na Hijja. Ameeleza kuwa kondoo ni mnyama bora zaidi kwa kuchinjwa katika Eid al-Adha endapo anapatikana, na hata nyama yake ni bora zaidi Bali Kondoo Ndiye asili ya ibada hiyo. Kuhusu Hijja, amebainisha kuwa ni ibada ya kuitikia wito wa Mwenyezi Mungu kupitia Nabii Ibrahim (as), na huleta utakaso wa dhambi kwa mja. Ameonya baadhi ya mahujaji kukosa maandalizi ya kiroho na kurejea katika dhambi baada ya Hijja. Ameikosoa tabia ya kutumia ibada ya Hijja kwa kujionesha mitandaoni kupitia Picha za “selfie”, akisisitiza kuwa ibada ni kwa ajili ya Mwenyezi Mungu pekee. Amemalizia kwa kusisitiza msingi wa ikhlasi na kuepuka riyaa katika ibada zote.

    2026-05-28 19:01
  • Hafla ya Ugawaji Zawadi kwa Washindi wa Mashindano ya Uandishi wa Muhtasari "Summary Writing" Yafanyika Kigamboni - Dar-es-salaam

    Hafla ya Ugawaji Zawadi kwa Washindi wa Mashindano ya Uandishi wa Muhtasari "Summary Writing" Yafanyika Kigamboni - Dar-es-salaam

    Katika hafla iliyofanyika katika shule ya wasichana ya Kigamboni, washindi wa mashindano ya kuandika muhtasari kuhusu “Shahada ya Ayatollah Sayyid Ali Khamenei (ra)” walikabidhiwa zawadi maalum katika mwendelezo wa masomo ya Qur’an chini ya usimamizi wa Bi. Fatma Ma‘suma, ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha elimu, ubunifu na ushindani wenye tija kwa wanafunzi.

    2026-05-26 19:59
  • Msaada wa mwanafikra wa Algeria kwa Iran; Wafuasi wa utamaduni wa Alawi wanasimama dhidi ya udhalimu

    Msaada wa mwanafikra wa Algeria kwa Iran; Wafuasi wa utamaduni wa Alawi wanasimama dhidi ya udhalimu

    Yahya Abu Zakaria aliandika: Wote waliopata dini yao kutoka kwa zuriya safi na utamaduni wa Alawi wanasimama dhidi ya udhalimu, Amerika na Israel. Siri ya jambo hii ni nini?

    2026-03-23 18:41
  • Kabla
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • Baada
Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom