ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • Hafla ya Ndoa Yadhihirisha Umoja na Mshikamano wa Waumini Jijini Arusha | Sheikh Hemed Jalala Atoa Nasaha Adhimu kwa Wanandoa +Picha

    Hafla ya Ndoa Yadhihirisha Umoja na Mshikamano wa Waumini Jijini Arusha | Sheikh Hemed Jalala Atoa Nasaha Adhimu kwa Wanandoa +Picha

    Katika nasaha zake kwa wanandoa, Sheikh Jalala amewahimiza kujenga ndoa yenye misingi ya utulivu, mapenzi, heshima, subira, huruma na mawasiliano mema, akisisitiza kushikamana na maadili ya Kiislamu kama nguzo kuu ya ndoa yenye baraka na mafanikio.

    2025-12-06 21:40
  • Sheikh Hemed Jalala Aimarisha Umoja wa Mashia Kupitia Ziara ya Kihistoria Jijini Arusha +Picha

    Sheikh Hemed Jalala Aimarisha Umoja wa Mashia Kupitia Ziara ya Kihistoria Jijini Arusha +Picha

    Ziara hiyo imelenga kuhuisha uhusiano wa kitaasisi, kuimarisha umoja, na kuongeza ushirikiano kati ya taasisi za Kiislamu za Shia. Sheikh Jalala ameipongeza Taasisi ya Sayyid Shuhadaa kwa mchango wake mkubwa katika kueneza elimu, maadili mema na huduma za kijamii kwa jamii.

    2025-12-06 21:13
  • Je, Senario ya Maafa ya Al-Fasher Inarejelewa Tena Katika Mji wa Babanusa, Sudan?

    Je, Senario ya Maafa ya Al-Fasher Inarejelewa Tena Katika Mji wa Babanusa, Sudan?

    Shirika la Umoja wa Mataifa limeonya kuwa hali ya kibinadamu katika mji wa Babanusa, uliopo katika jimbo la West Kordofan nchini Sudan, iko katika hatari kubwa ya kushuhudia janga kama lililotokea katika mji wa Al-Fasher, Kaskazini mwa Darfur, endapo hali ya sasa itaendelea kuzorota.

    2025-12-06 11:10
  • Sala ya Ijumaa | Nakuru – Kenya Mada ya Khutba: “Uongozi na nafasi yake katika mustakbali wa Ummah wetu” | Khatibu: Sheikh Abdul Ghani Khatibu +Picha

    Sala ya Ijumaa | Nakuru – Kenya Mada ya Khutba: “Uongozi na nafasi yake katika mustakbali wa Ummah wetu” | Khatibu: Sheikh Abdul Ghani Khatibu +Picha

    Katika mawaidha yake, Sheikh Abdul Ghani alisisitiza kuwa uongozi ni mhimili mkuu wa kusimama au kuporomoka kwa jamii yoyote. Alibainisha kuwa uongozi wa haki huijenga jamii, lakini uongozi wa dhulma huiangamiza.

    2025-12-05 18:09
  • Malawi | Sala ya Ijumaa yajadili kuhusu Moto wa Jahannam na Sifa Zake + Picha

    Malawi | Sala ya Ijumaa yajadili kuhusu Moto wa Jahannam na Sifa Zake + Picha

    Katika maelezo yaliyojaa mazingatio, khatibu alibainisha kuwa Moto wa Jahannamu una mawe yanayochoma hadi kufikia ubongo wa waliomo ndani yake, na kwamba kila aina ya moto ni adhabu maalumu kwa aina fulani ya dhambi, kama zilivyobainishwa katika Hadithi za Mtume.

    2025-12-05 16:48
  • Kusainiwa kwa Mkataba wa Amani kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Rwanda | Pichani ni Rais wa Congo na Rais wa Rwanda - Nyuzo za Furaha

    Kusainiwa kwa Mkataba wa Amani kati ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Rwanda | Pichani ni Rais wa Congo na Rais wa Rwanda - Nyuzo za Furaha

    DRC na Rwanda Zasaini Mkataba wa Amani: Hatua Mpya ya Kidiplomasia Kuelekea Utulivu wa Kikanda

    2025-12-04 22:29
  • Ustadhi Rajai Ayoub na Wasomi wa Qur'an kutoka Tanzania Wawasili Salama Bangladesh kwa Ajili ya Mahfali Makubwa ya Kimataifa ya Qur'an +Picha

    Ustadhi Rajai Ayoub na Wasomi wa Qur'an kutoka Tanzania Wawasili Salama Bangladesh kwa Ajili ya Mahfali Makubwa ya Kimataifa ya Qur'an +Picha

    Mahfali hayo ya kimataifa yanakusudiwa kuwa jukwaa muhimu la kiroho na kielimu, ambapo wasomaji bingwa na mahiri wa Qur'an Tukufu kutoka Tanzania watapata fursa ya kuonesha vipaji vyao katika kusoma Aya Tukufu za Mwenyezi Mungu (SWT), kwa mapito na mitindo mbalimbali ya usomaji wa Qur'an (Qira’at).

    2025-12-04 22:09
  • Uzinduzi wa Kozi ya Mafunzo ya Utaalamu wa Habari na Mitandao ya Kijamii kwa Wanagenzi na Wakufunzi wa Dini wa Bara la Afrika – Qom, Iran +Picha

    Uzinduzi wa Kozi ya Mafunzo ya Utaalamu wa Habari na Mitandao ya Kijamii kwa Wanagenzi na Wakufunzi wa Dini wa Bara la Afrika – Qom, Iran +Picha

    Mwisho wa kozi hii, inatarajiwa kuwa washiriki watahitimu kama Wataalamu wa Habari na Mitandao ya Kijamii, wakiwa tayari kutoa huduma zao katika vituo vya kitamaduni, vyombo vya habari, taasisi za Kiislamu na katika ulingo wa da‘wah na malezi ya jamii katika nchi zao.

    2025-12-04 21:39
  • JMAT Yatoa Wito wa Maridhiano na Amani, Funga ya Siku Tatu na Maombi ya Kitaifa kwa ajili ya Umoja wa Kitaifa

    JMAT Yatoa Wito wa Maridhiano na Amani, Funga ya Siku Tatu na Maombi ya Kitaifa kwa ajili ya Umoja wa Kitaifa

    Mwenyekiti wa JMAT, Sheikh Dkt. Alhad Mussa Salum, amesema: "Matukio ya baada ya Uchaguzi yameacha majeraha ya kisaikolojia na kuchochea hisia za kidini, hivyo kunahitajika hatua za haraka kuimarisha umoja wa kitaifa. Amehimiza maombi hayo yashirikishe waumini wa madhehebu zote na kufanyika kwa mfumo mmoja na Kwa siku moja kitaifa".

    2025-12-04 14:17
  • Chuo cha Dini cha Imam Reza (a.s) nchini Tanzania kimefanya sherehe ya mahafali ya saba ya wahitimu wake +Picha

    Chuo cha Dini cha Imam Reza (a.s) nchini Tanzania kimefanya sherehe ya mahafali ya saba ya wahitimu wake +Picha

    Hawza ya Imam Reza (a.s) nchini Tanzania inaendelea kusisitiza katika mipango yake juu ya malezi ya kizazi chenye uelewa, maadili na uwezo wa kuleta mabadiliko chanya katika jamii.

    2025-12-03 16:54
  • Kikao cha Kamati ya Elimu cha Jamiat Al-Mustafa – Dar es Salaam, Tanzania +Picha

    Kikao cha Kamati ya Elimu cha Jamiat Al-Mustafa – Dar es Salaam, Tanzania +Picha

    Kikao hiki kimeweka msingi muhimu kwa mustakabali wa elimu na malezi ndani ya Jamiat Al-Mustafa (s) - Dar-es-salaam-Tanzania, huku wajumbe wakiahidi kuendelea kushirikiana kwa karibu katika kuboresha mwelekeo wa kielimu na kijamii kwa manufaa ya wanafunzi na jamii kwa ujumla.

    2025-12-03 13:44
  • Sheikh Dkt. Al-Had M. Salum Atoa Wito wa Amani:“Tutatue tofauti zetu kwa kukaa katika meza ya mazungumzo, Tuzungumze na Tuilinde Tanzania Yetu”+Picha

    Sheikh Dkt. Al-Had M. Salum Atoa Wito wa Amani:“Tutatue tofauti zetu kwa kukaa katika meza ya mazungumzo, Tuzungumze na Tuilinde Tanzania Yetu”+Picha

    Kuhusu Tanzania: Sheikh Dkt. Al-Had Mussa Salum alisisitiza Watanzania kuzingatia funzo la Ghaza na Palestina kwa ujumla: 1-Kulinda amani ni kipaumbele cha juu. 2-Ukosefu wa amani huleta madhila, uharibifu, na umwagaji wa damu. 3-Watanzania wanashauriwa kutatua tofauti zao kwa mazungumzo na makubaliano ili Tanzania iendelee kuwa salama.

    2025-12-02 20:32
  • Rais Samia Awaongoza Wazee wa Dar es Salaam Kujadili Mustakabali wa Taifa Baada ya Uchaguzi 2025 +Picha

    Rais Samia Awaongoza Wazee wa Dar es Salaam Kujadili Mustakabali wa Taifa Baada ya Uchaguzi 2025 +Picha

    Rais Samia alisisitiza kuwa matukio ya maandamano hayo-ngawa yalikuwa na athari za muda mfupi-hayakubadili misingi ya umoja wa nchi, bali yalitoa nafasi ya kujifunza, kuimarisha mifumo ya mawasiliano, ushirikishwaji wa wananchi, na kuendelea kujenga demokrasia yenye uwiano na utulivu.

    2025-12-02 17:37
  • Falah Islamic Development Yatoa Mafunzo Muhimu Kuhusu Amani na Uwajibikaji | Kuwekeza Katika Amani na Uongozi Bora Ndiyo Suluhisho

    Falah Islamic Development Yatoa Mafunzo Muhimu Kuhusu Amani na Uwajibikaji | Kuwekeza Katika Amani na Uongozi Bora Ndiyo Suluhisho

    Katika hotuba yake, Dkt. Kamal Sheriff alitumia methali mashuhuri, “Tembo wawili wanapopigana, ni nyasi zinazoumia,” kufafanua changamoto zinazojitokeza katika familia, jamii, na hata katika uongozi wa kitaifa na kimataifa. Ufafanuzi wake uliweka wazi namna migogoro ya juu inavyoathiri watu wa kawaida na umuhimu wa kujenga nafasi endelevu za amani na uwajibikaji.

    2025-12-02 14:55
  • Pendekezo Lisilo la Kawaida la Sudan la Kutoa Nafasi ya Kimkakati kwa Urusi

    Pendekezo Lisilo la Kawaida la Sudan la Kutoa Nafasi ya Kimkakati kwa Urusi

    Gazeti la Marekani la Wall Street Journal lilitangaza kwamba Sudan imeipendekezea Urusi ujenzi wa kambi yake ya kwanza ya wanamaji barani Afrika na kupata nafasi ya kimkakati isiyo ya kawaida nchini mwake.

    2025-12-02 14:20
  • Rehma ya Mtume (saww) Yawakutanisha na kuwaunganisha Waislamu Mjini Nakuru | Ni Maulid Adhimu Iliyowavutia Waumini kutoka Kenya na Tanzania +Picha

    Rehma ya Mtume (saww) Yawakutanisha na kuwaunganisha Waislamu Mjini Nakuru | Ni Maulid Adhimu Iliyowavutia Waumini kutoka Kenya na Tanzania +Picha

    Hakika, aliyewakusanya pamoja waumini hawa katika mji huu si mwingine bali ni Mtume wetu Mtwaharifu Muhammad Mustafa (saww) – yule ambaye Allah amemuelezea kama Rehma kwa walimwengu wote: وَمَا أَرْسَلْنَاكَ إِلَّا رَحْمَةً لِّلْعَالَمِينَ “Wala hatukukutuma isipokuwa uwe rehema kwa walimwengu.” (Al-Anbiyaa: 107)

    2025-12-01 15:14
  • Maulid Yang’ara Nakuru: Waumini Wamiminika Kutoka Kenya na Tanzania, Sherehe ya Ndoa Yaambatana na Kumbukumbu ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (saww) +Picha

    Maulid Yang’ara Nakuru: Waumini Wamiminika Kutoka Kenya na Tanzania, Sherehe ya Ndoa Yaambatana na Kumbukumbu ya Kuzaliwa Mtume Muhammad (saww) +Picha

    Allah Mtukufu anasema kuhusu umuhimu wa kumtukuza Mtume (saww):  ﴿ قُلْ بِفَضْلِ اللَّهِ وَبِرَحْمَتِهِ فَبِذَٰلِكَ فَلْيَفْرَحُوا ﴾ “Sema: Kwa fadhila ya Mwenyezi Mungu na kwa rehema Yake; basi kwa hayo waumini na wafurahie.” (Yunus: 58) Waumini walifurahia siku hiyo kwa dhikri, qaswida, mawaidha na kusoma historia ya Mtume (saww), kwa kutambua kwamba yeye ni neema iliyo kubwa kwa walimwengu.

    2025-12-01 12:51
  • Adabu Muhimu Miongoni mwa Adabu za Kusoma Qur’an Tukufu

    Adabu Muhimu Miongoni mwa Adabu za Kusoma Qur’an Tukufu

    Qur’ani si kitabu cha kusomwa kwa macho na kufahamika kwa fikra pekee. Qur’ani ni minong’ono ya Mola kwa nyoyo zilizo na masikio ya roho. Adabu ya tilawa si sura za nje tu; adabu ya kusoma Qur’ani ni kutambua kuwa umeingia katika uwepo wa Allah, na kwamba kila aya ni pumzi kutoka kwa Mola wa walimwengu, na wewe ndiye unayeambiwa.

    2025-11-29 15:24
  • Kifo cha Kishahidi Klcha Kijana Msyria Usiku wa Harusi Yake Akiwa Anapambana na Uvamizi wa Israel katika Mji wa Bayt Jinn

    Kifo cha Kishahidi Klcha Kijana Msyria Usiku wa Harusi Yake Akiwa Anapambana na Uvamizi wa Israel katika Mji wa Bayt Jinn

    Kijana mmoja Msyria ameuliwa shahid usiku wa harusi yake wakati akipambana na uvamizi wa jeshi la Israel katika mji wa Bayt Jinn, ulioko katika vitongoji vya kusini mwa Damascus.

    2025-11-29 14:47
  • Hali Zisizo za Kibinadamu Gaza: Janga Linalozidi Kuwa Kubwa na Uhitaji wa Haraka wa Msaada wa Kimataifa / Mauaji ya Kimbari Yanaendelea

    Hali Zisizo za Kibinadamu Gaza: Janga Linalozidi Kuwa Kubwa na Uhitaji wa Haraka wa Msaada wa Kimataifa / Mauaji ya Kimbari Yanaendelea

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu Palestina (Hamas) amesema kuwa mazingira haya mabaya ni matokeo ya kuendelea kwa mzingiro, kuzuia ujenzi upya, uharibifu wa miundombinu na hali mbaya ya hewa. Ameitaka Jumuiya ya Kimataifa, ikiwemo Jumuiya ya Nchi za Kiarabu, OIC na Umoja wa Mataifa, kuchukua hatua za haraka za kutoa makazi na misaada ya kibinadamu.

    2025-11-29 14:36
  • Swala ya Ijumaa katika Shule ya Al-Hadi(as) Nchini Malawi | Msisitizo wa Fadhila za Uwanachuoni na Umaarufu wa Elimu na Maarifa +Picha

    Swala ya Ijumaa katika Shule ya Al-Hadi(as) Nchini Malawi | Msisitizo wa Fadhila za Uwanachuoni na Umaarufu wa Elimu na Maarifa +Picha

    Katika sehemu ya kwanza ya khutba, Khatibu wa Ijumaa, Sheikh Abdul Rashid alikumbusha kuwa Utume wa Mtume Muhammad (saww) ulianza kwa elimu, kwani aya za kwanza za wahyi zilishuka kwa amri ya "Soma" (Iqra), jambo linalodhihirisha thamani ya elimu katika kuongoa jamii ya wanadamu.

    2025-11-29 13:40
  • Mapinduzi Guinea-Bissau: Rais Umaro Sissoco Embaló Apinduliwa na kukamatwa, Jeshi Lachukua Madaraka

    Mapinduzi Guinea-Bissau: Rais Umaro Sissoco Embaló Apinduliwa na kukamatwa, Jeshi Lachukua Madaraka

    Baada ya sintofahamu hiyo, Brigedia Jenerali Denis N’Canha, Mkuu wa Brigedi ya Kijeshi mjini Bissau, alitokea katika televisheni ya taifa na kutangaza rasmi kwamba jeshi limechukua madaraka ya nchi.

    2025-11-27 23:09
  • Hawza ya Imam Ridha (a.s) Yaendesha Usaili kwa Wanafunzi wake Wanaojiandaa Kuendelea na Masomo ya Juu Al-Mustafa (s) International Foundation +Picha

    Hawza ya Imam Ridha (a.s) Yaendesha Usaili kwa Wanafunzi wake Wanaojiandaa Kuendelea na Masomo ya Juu Al-Mustafa (s) International Foundation +Picha

    Uongozi wa Hawza ya Imam Ridha (a.s.) unawapongeza washiriki wote wa usaili na unatoa shukrani za dhati kwa Chuo Kikuu cha Al-Mustafa (s) pamoja na Maulana Sayyid Arif Naqvi kwa usimamizi na mwongozo wao muhimu. Usaili huu ni sehemu ya juhudi endelevu za Jumuiya ya Hujjatul-Asr Society of Tanzania katika kuimarisha elimu ya dini na kukuza maendeleo ya kielimu nchini.

    2025-11-25 21:41
  • Majlisi ya Maombolezo ya Shahada ya Bibi Fatima Zahra (a.s.) Yafanyika Ngomboloni - Rufiji Kwa Usimamizi wa Hujjatul Asr Society Of Tanzania +Picha

    Majlisi ya Maombolezo ya Shahada ya Bibi Fatima Zahra (a.s.) Yafanyika Ngomboloni - Rufiji Kwa Usimamizi wa Hujjatul Asr Society Of Tanzania +Picha

    Katika hotuba ya mwisho, Maulana Sayyid Arif Naqvi aliwakumbusha waumini umuhimu wa kuwaelekeza watoto wao kwenye kutafuta elimu, akisisitiza kuwa elimu ndiyo msingi wa kuwajenga vijana bora wanaonufaisha wazazi, jamii na Ummah mzima.

    2025-11-25 21:17
  • Afrika Kusini: Kutokuwepo kwa Marekani Hakuathiri Mkutano wa G20

    Afrika Kusini: Kutokuwepo kwa Marekani Hakuathiri Mkutano wa G20

    Chanzo kimoja katika serikali ya Afrika Kusini kimetoa maoni kuhusu kutoshiriki kwa Marekani katika mkutano wa G20.

    2025-11-22 14:19
  • Dar-es-salaam | Kikao cha kufunga mwaka wa 2025 cha Jamiat Al-Mustafa International Foundation baina ya Wanafunzi na Mkuu wa Chuo

    Dar-es-salaam | Kikao cha kufunga mwaka wa 2025 cha Jamiat Al-Mustafa International Foundation baina ya Wanafunzi na Mkuu wa Chuo

    Washiriki walipata nafasi ya kutoa maoni na mapendekezo ya kuboresha utendaji wa Taasisi. Mazungumzo yalikuwa ya kujenga baina ya Mkuu wa Chuo na Wanafunzi, na yalilenga kuweka mikakati madhubuti kwa ajili ya mwaka mpya wa masomo unaofuata.

    2025-11-20 15:04
  • Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Atoa Maagizo Mazito: Wajawazito Kuhudumiwa Kwa Haraka na Dawa Kupatikana Hospitalini

    Waziri Mkuu wa Tanzania Dkt. Mwigulu Atoa Maagizo Mazito: Wajawazito Kuhudumiwa Kwa Haraka na Dawa Kupatikana Hospitalini

    Waziri Mkuu amewahakikishia wananchi kuwa Serikali imewekeza fedha nyingi kupitia Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa ajili ya: a) Vifaa tiba, b) Dawa, c) Na maboresho ya miundombinu ya afya.

    2025-11-15 22:01
  • Jamiat Al-Mustafa Tanzania Yaandika Historia: Wanafunzi wake  Kupeperusha Bendera ya Tanzania Nchini India katika Mchezo wa Zurkhaneh +Picha

    Jamiat Al-Mustafa Tanzania Yaandika Historia: Wanafunzi wake Kupeperusha Bendera ya Tanzania Nchini India katika Mchezo wa Zurkhaneh +Picha

    Uongozi wa Chuo cha Al-Mustafa umepongeza matokeo hayo na kusisitiza kuwa michezo ni sehemu muhimu ya kujenga nidhamu, ukakamavu, maadili na afya ya Mwanafunzi. Uongozi umesema kwamba mafanikio haya ni ushahidi kwamba taasisi za kielimu za Kiislamu zina uwezo wa kutoa mabingwa katika nyanja mbalimbali, si tu elimu na utafiti bali pia michezo na utamaduni.

    2025-11-15 20:18
  • Majlis Kuhusu Historia na Fadhila za Bibi Fatimah (SA) | Chuo cha Kidini cha Mabinti wa Kiislamu cha Hazrat Zainab (sa) – Kigamboni, Dar-es-s +Picha

    Majlis Kuhusu Historia na Fadhila za Bibi Fatimah (SA) | Chuo cha Kidini cha Mabinti wa Kiislamu cha Hazrat Zainab (sa) – Kigamboni, Dar-es-s +Picha

    Kadhia ya Fadak na Haki za Imam Ali (AS): Katika hotuba yake, alibainisha kuhusu Kadhia ya Fadak, ardhi aliyopewa na Mtume Muhammad (SAW) ambayo baadaye ilichukuliwa kwa dhulma. Pia alifafanua jinsi Bibi Fatimah (SA) alivyoshiriki kikamilifu na kwa ujasiri katika kupinga unyang'anyi huo na kupinga waporaji wa ukhalifa wa Imam Ali (AS), akasimama kidete kulinda haki kwa ajili ya kuzipata Radhi za Allah (SWT).

    2025-11-15 17:42
  • Somo  muhimu la Maadili Matukufu ya Kiislamu na Umuhimu wa Elimu limefanyika katika Hawza ya Al-Hadi (as), nchini Malawi +Picha

    Somo muhimu la Maadili Matukufu ya Kiislamu na Umuhimu wa Elimu limefanyika katika Hawza ya Al-Hadi (as), nchini Malawi +Picha

    Katika somo hili, Sheikh Azhar aliwaeleza wanafunzi umuhimu wa elimu na nafasi yake katika kukuza utu wa binadamu na maendeleo ya jamii. Alisisitiza kwamba elimu siyo tu zana ya maendeleo ya kibinafsi, bali pia ni kiini cha maendeleo ya kijamii na ukuaji wa maadili.

    2025-11-15 17:00
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • Next
Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom