ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
  • Mimbari ya Imam Hussein (as) - Nchini Malawi | "Tofauti kati ya Mtu anayemjua Imam Hussein (AS) na Asiyemjua Imam Hussein (as)"

    Mimbari ya Imam Hussein (as) - Nchini Malawi | "Tofauti kati ya Mtu anayemjua Imam Hussein (AS) na Asiyemjua Imam Hussein (as)"

    Sheikh Abdul Rahman Kachere: "Mtu anayemfahamu Imam Hussein (AS) daima ni jasiri katika kukabiliana na dhulma".Kumjua vizuri Imam Hussein (as) kutawafanya watu wa mataifa mbalimbali kumpinga adui na dhalimu, na kutambua njama za adui na dhalimu dhidi ya mataifa yao, na kuwa tayari kupambana kwa ajili ya kuinusuru Haki, kwa ajili ya kuondoa uistikbari, dhulma na unyonyaji wa mfumo mpya wa ukoloni unaoitwa: Ukoloni mambo leo.

    1 Julai 2025 - 17:44
  • Bilal Moshi | Waumini wengi wa Kiislamu wanaendelea kuifuatilia Misheni ya Imam Hussein(as)na kutofautisha baina ya Haki na Batili ya Yazid Bin Muawia

    Bilal Moshi | Waumini wengi wa Kiislamu wanaendelea kuifuatilia Misheni ya Imam Hussein(as)na kutofautisha baina ya Haki na Batili ya Yazid Bin Muawia

    Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Majlisi ya Imam Hussein (as) imefanyika katika kituo cha Bilal Muslim Mission of Tanzania - Moshi Mjini. Waumini mbalimbali wanajitokeza kwa wingi kila siku kushiriki katika Majalis za Aba Abdillah Al-Hussein zinazofanyika katika vituo mbalimbali vya Bilal Muslim Mission of Tanzania. Ujumbe wa Imam Hussein (as) na Mapinduzi yake ya Karbala vinazidi kueleweka zaidi kwa umma wa kiislamu na kuhuishwa zaidi kila mwaka na sasa waumini wengi wanaijua na kuendelea kuijua misheni ya Imam Hussein (as) na Falsafa yake.

    1 Julai 2025 - 17:16
  • Nafasi ya Mwanamke katika Harakati ya Mabadiliko ya Imam Hussein (a.s) | Madrasat Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni - Dar-es-salaam + Picha

    Nafasi ya Mwanamke katika Harakati ya Mabadiliko ya Imam Hussein (a.s) | Madrasat Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni - Dar-es-salaam + Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Majlisi ya Siku ya 6 ya Maombolezo ya Shahadat ya Imam Hussein (as) imefanyika katika Madrasat ya Wasichana wa Kiislamu ya Hazrat Zainab (sa), iliyopo Kigamboni Jijini Dar-es-salaam. Ushiriki Mzuri wa Mabanati wa Kiislamu katika kuhuisha Ujumbe wa Mapinduzi ya Imam Hussein (as), ni katika muendelezo wa ukweli ule halisi kwamba Mwanamke wa Kiislamu alikuwa mshirika wa msingi katika kuendeleza na kuhifadhi mafanikio ya harakati ya Imam Hussein (a.s). Kwa maana kwamba: Uwepo wa Wanawake katika tukio la Karbala haukuwa wa bahati (au wa kubahatisha) au jambo la ghafla, bali ulikuwa sehemu ya mpango wa kimkakati uliopangwa na Imam Hussein (a.s) mwenyewe - ili kuonyesha ulimwengu kuwa Mwanamke ana nafasi ya kuchukua maamuzi muhimu na kuyatetea kwa ujasiri mkubwa.

    1 Julai 2025 - 00:45
  • Mimbari ya Imam Hussein (as) - Nchini Malawi | "Tofauti kati ya Mtu anayemjua Imam Hussein (AS) na Asiyemjua Imam Hussein (as)"

    Mimbari ya Imam Hussein (as) - Nchini Malawi | "Tofauti kati ya Mtu anayemjua Imam Hussein (AS) na Asiyemjua Imam Hussein (as)"

    Sheikh Abdul Rahman Kachere: "Mtu anayemfahamu Imam Hussein (AS) daima ni jasiri katika kukabiliana…

    1 Julai 2025 - 17:44
  • Bilal Moshi | Waumini wengi wa Kiislamu wanaendelea kuifuatilia Misheni ya Imam Hussein(as)na kutofautisha baina ya Haki na Batili ya Yazid Bin Muawia

    Bilal Moshi | Waumini wengi wa Kiislamu wanaendelea kuifuatilia Misheni ya Imam Hussein(as)na kutofautisha baina ya Haki na Batili ya Yazid Bin Muawia

    Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Majlisi ya Imam Hussein (as) imefanyika katika…

    1 Julai 2025 - 17:16
  • Nafasi ya Mwanamke katika Harakati ya Mabadiliko ya Imam Hussein (a.s) | Madrasat Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni - Dar-es-salaam + Picha

    Nafasi ya Mwanamke katika Harakati ya Mabadiliko ya Imam Hussein (a.s) | Madrasat Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni - Dar-es-salaam + Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Majlisi ya Siku ya 6 ya Maombolezo…

    1 Julai 2025 - 00:45
  • Muendelezo wa Majlisi za Imam Hussein(as) - Madrasat Hazrat Zainab(sa) Kigamboni - Dar-es-Salaam | Mada: "Masomo Tunayojifunza Kutoka Karbala"

    Muendelezo wa Majlisi za Imam Hussein(as) - Madrasat Hazrat Zainab(sa) Kigamboni - Dar-es-Salaam | Mada: "Masomo Tunayojifunza Kutoka Karbala"

    Khatiba wa Majlis hii, (Fatima Mauga) alizungumzia mada muhimu iliyoitwa: "Masomo tunayojifunza…

    30 Juni 2025 - 18:36
  • Maulana Sayyid Arif Naqvi: "Tumjue zaidi Imam Hussein (as) Kupitia Usomaji, Tafakuri, na Kuhudhuria Majlisi za Muharram" + Picha

    Maulana Sayyid Arif Naqvi: "Tumjue zaidi Imam Hussein (as) Kupitia Usomaji, Tafakuri, na Kuhudhuria Majlisi za Muharram" + Picha

    Majlisi hii muhimu ilihudhuriwa na Waumini takriban 300 kutoka maeneo mbalimbali, waliokusanyika…

    30 Juni 2025 - 18:01
  • Ripoti ya Picha | Marasimu (Hafla) ya Maombolezo ya Usiku wa nne wa Muharram katika Haram ya Sayyid Alauddin Hussein (AS)

    Ripoti ya Picha | Marasimu (Hafla) ya Maombolezo ya Usiku wa nne wa Muharram katika Haram ya Sayyid Alauddin Hussein (AS)

    Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul Bayt (AS) - ABNA - Marasimu ya maombolezo ya Mazuwwari…

    30 Juni 2025 - 17:25
  • Mbauda - Arusha, Tanzania | Waumini wa Kiislamu wakiwa katika Majlis ya Maombolezi ya Shahada ya Imam Hussein (as) + Picha

    Mbauda - Arusha, Tanzania | Waumini wa Kiislamu wakiwa katika Majlis ya Maombolezi ya Shahada ya Imam Hussein (as) + Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Majalisi za Maombolezo ya Shahada…

    30 Juni 2025 - 17:03
  • Mfululizo wa Majlisi za Muharram Zinaendelea katika Chuo cha Al-Mustafa (s), Dar es Salaam | Mafunzo Kuhusu John, Sahaba Mtiifu wa Imam Hussein(as)

    Mfululizo wa Majlisi za Muharram Zinaendelea katika Chuo cha Al-Mustafa (s), Dar es Salaam | Mafunzo Kuhusu John, Sahaba Mtiifu wa Imam Hussein(as)

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA- Majalis za Maombolezo ya Mwezi wa…

    29 Juni 2025 - 20:16
  • Arusha Mjini | Majalis za Maombolezo ya Muharram Katika kuenzi Mapinduzi ya Karbala zinaendelea Jijini Arusha

    Arusha Mjini | Majalis za Maombolezo ya Muharram Katika kuenzi Mapinduzi ya Karbala zinaendelea Jijini Arusha

    Kwa Mujibu wa Ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Vikao mbalimbali…

    29 Juni 2025 - 16:09
  • Malawi | Majlisi za Muharram na Maombolezo ya Shahadat ya Imam Hussein (as) zikiendelea chini ya Usimamizi wa Jamiat Al-Mustafa (s) - Malawi

    Malawi | Majlisi za Muharram na Maombolezo ya Shahadat ya Imam Hussein (as) zikiendelea chini ya Usimamizi wa Jamiat Al-Mustafa (s) - Malawi

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Vikao (Majalis) mbalimbali za Maombolezo…

    29 Juni 2025 - 15:48
  • Majlisi za Maombolezo ya Muharram - Zinaendelea Mkoani Kigoma, Tanzania

    Majlisi za Maombolezo ya Muharram - Zinaendelea Mkoani Kigoma, Tanzania

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA- Katika Picha ni Majlisi ya Pili ya…

    29 Juni 2025 - 14:35
  • Sala ya Ijumaa, Jamiat Al-Mustafa (s)- Dar-es-salaam, Tanzania |  "Jinsi ya kuishi Katika Mwezi wa Muharram Kulingana na Matukio Muhimu ya Mwezi huu"

    Sala ya Ijumaa, Jamiat Al-Mustafa (s)- Dar-es-salaam, Tanzania | "Jinsi ya kuishi Katika Mwezi wa Muharram Kulingana na Matukio Muhimu ya Mwezi huu"

    Mada hii kwa hakika ni yenye umuhimu mkubwa kwani inawasaidia Waislamu kufahamu jinsi ya kuishi…

    27 Juni 2025 - 16:35
  • Majlisi ya Muharram - Madrasat Hazrat Zaynab (SA): "Muslim bin Aqil (RA) na mchango wake muhimu katika historia ya Uislamu" + Picha

    Majlisi ya Muharram - Madrasat Hazrat Zaynab (SA): "Muslim bin Aqil (RA) na mchango wake muhimu katika historia ya Uislamu" + Picha

    Majlisi hii imeandaliwa na kuratibiwa na Madrasat ya Mabinti ya Hazrat Zainab (sa) iliyopo…

    27 Juni 2025 - 15:21
  • Majlis ya Muharram - Jamiat Al-Mustafa - Dar-es-salaam | Mada ya Leo: "Umuhimu wa Muslim bin Aqil (RA) na tukio la kihistoria la Karbala" + Picha

    Majlis ya Muharram - Jamiat Al-Mustafa - Dar-es-salaam | Mada ya Leo: "Umuhimu wa Muslim bin Aqil (RA) na tukio la kihistoria la Karbala" + Picha

    Khatibu, Sheikh Khalfan Katundu, katika Khutba yake ametanabahisha kuwa matukio kama vile tukio…

    27 Juni 2025 - 14:37
  • Pezeshkian: Shambulio kwenye taasisi za nyuklia ni kielelezo tosha kuwa Marekani ni msababishaji mkuu wa hatua za uhasama za Kizayuni dhidi ya Iran

    Pezeshkian: Shambulio kwenye taasisi za nyuklia ni kielelezo tosha kuwa Marekani ni msababishaji mkuu wa hatua za uhasama za Kizayuni dhidi ya Iran

    Jibu kali la Iran lilikuwa ujumbe wa wazi kwa wahalifu wa Kizayuni. Marekani, baada ya majibu…

    22 Juni 2025 - 16:58
  • Kwa mara ya kwanza, Iran imeshambulia Utawala wa Israel kwa kutumia kombora hatari la Khaibar lenye kutumia Lenzi + Video

    Kwa mara ya kwanza, Iran imeshambulia Utawala wa Israel kwa kutumia kombora hatari la Khaibar lenye kutumia Lenzi + Video

    Shirikja la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA- Jeshi la IRGC limethibitishia kuwa…

    22 Juni 2025 - 15:41
  • Hapa ni Israel sio Ghaza! | Tizama Makombora ya Iran leo hii asubuhi yalivyoichakaza Israel na kuigeuza kichwa chini miguu juu + Video

    Hapa ni Israel sio Ghaza! | Tizama Makombora ya Iran leo hii asubuhi yalivyoichakaza Israel na kuigeuza kichwa chini miguu juu + Video

    Shirika la Habari la Kimatifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Leo hii asubuhi, Jamhuri ya kiislamu…

    22 Juni 2025 - 15:21
  • Haram ya Imam Hussein (as) yapambwa kwa vitambaa vyeusi sambamba na kukaribia Mwezi wa Huzuni wa Muharram + Picha

    Haram ya Imam Hussein (as) yapambwa kwa vitambaa vyeusi sambamba na kukaribia Mwezi wa Huzuni wa Muharram + Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Haram Tukufu ya Imam Hussein (as)…

    22 Juni 2025 - 01:41
  • Jenerali Naeini: Makombora ya IRGC yaligonga pointi 14 za kijeshi za Kizayuni jana usiku + Picha

    Jenerali Naeini: Makombora ya IRGC yaligonga pointi 14 za kijeshi za Kizayuni jana usiku + Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Msemaji na Naibu Mkuu wa Mahusiano…

    22 Juni 2025 - 01:32
  • Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini | "Tunasimama bega kwa bega na Iran"

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini | "Tunasimama bega kwa bega na Iran"

    Amesisitiza kuwa: Serikali na wananchi wa Afrika Kusini wanalaani vitendo vya kinyama vya utawala…

    22 Juni 2025 - 00:59
Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s); Abna Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom