Shirika la Habari la ABNA limeripokuwa kuwa: Katika shambulio la wimbi la 20 la Iran dhidi ya Israeli, maafisa wa usalama wa Iran walithibitisha kushambulia kwa makombora yenye teknolojia ya lenzi, ambayo ni aina ya makombora hatari zaidi ya Khaibar, ambapo yamefanikiwa kulenga maeneo muhimu sana ya kijeshi na Kiistratejia ndani ya Israel.
Sehemu ya Matokeo ya Kombora la Khaibar lisiloweza kuzuilika na mfumo wowote ule wa kuzuia Makombora.
Utawala haram na ghasibu wa Kizayuni, unaendelea kuvuna kile ulichopanda kwa kupokea malipo ya kisasi adabishi cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Your Comment