22 Juni 2025 - 15:41
Kwa mara ya kwanza, Iran imeshambulia Utawala wa Israel kwa kutumia kombora hatari la Khaibar lenye kutumia Lenzi + Video

Shirikja la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA- Jeshi la IRGC limethibitishia kuwa limetumia makombora yenye kutumia teknolojia ya lenzi, aina ya Khaibar, asubuhi ya leo (22 - 06- 2025). Makombora hayo hatari yenye uawezo wa kubeba ndani yake rekoti zaidi ya 26, yameyatwanga maeneo mbalimbali na muhimu ndani ya Israel. 

Kwa mara ya kwanza, Iran imeshambulia Utawala wa Israel kwa kutumia kombora hatari la Khaibar lenye kutumia Lenzi + Video

Shirika la Habari la ABNA limeripokuwa kuwa: Katika shambulio la wimbi la 20 la Iran dhidi ya Israeli, maafisa wa usalama wa Iran walithibitisha kushambulia kwa makombora yenye teknolojia ya lenzi, ambayo ni aina ya makombora hatari zaidi ya Khaibar, ambapo yamefanikiwa kulenga maeneo muhimu sana ya kijeshi na Kiistratejia ndani ya Israel.

Kwa mara ya kwanza, Iran imeshambulia Utawala wa Israel kwa kutumia kombora hatari la Khaibar lenye kutumia Lenzi + Video

Sehemu ya Matokeo ya Kombora la Khaibar lisiloweza kuzuilika na mfumo wowote ule wa kuzuia Makombora.

Kwa mara ya kwanza, Iran imeshambulia Utawala wa Israel kwa kutumia kombora hatari la Khaibar lenye kutumia Lenzi + Video

Utawala haram na ghasibu wa Kizayuni, unaendelea kuvuna kile ulichopanda kwa kupokea malipo ya kisasi adabishi cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.


Kwa mara ya kwanza, Iran imeshambulia Utawala wa Israel kwa kutumia kombora hatari la Khaibar lenye kutumia Lenzi + Video


Your Comment

You are replying to: .
captcha