MAKALA
-
MakalaArubaini: Jukwaa la Haki, Amani na Uadilifu, na ni Taa ya Uongofu na Jahazi la Uokovu
Historia inaonyesha kuwa jukwaa hili lina mizizi imara katika imani, haki na uadilifu. Lilianza na mtu mmoja au wawili zaidi ya karne kumi zilizopita. Pamoja na changamoto nyingi zilizowakumba waliolipanda, idadi…
-
MakalaWaraka wa “Siri Iliyo Hifadhiwa” ni nini?
Mtume Mtukufu (s.a.w.w) katika ubora na thawabu ya kumswalia Bibi Fatimah Zahra (a.s) amesema: “Ewe Fatimah! Yeyote atakayekuswalia na kukutumia salamu, Mwenyezi Mungu atamsamehe na popote nitakapokuwa katika Pepo…
-
MakalaKwa nini Wafuasi wa Madhehebu ya Kisunni (Masunni) huswali wakiwa wameweka mikono juu ya tumbo (wanafunga mikono tumboni katika Swala)?!
Katika fiqhi ya Kisunni, tendo hili linajulikana kwa majina kama "Qabdh al-Yadayn" (kukamata mikono miwili), "Takattuf" au "Takfir".
-
MakalaBarua ya 18 ya Nahjul Balagha / Onyo kwa Viongozi wote wa Serikali ya Kiislamu
Barua ya kumi na nane (18) ya Nahjul Balagha, ingawa imeandikwa kwa jina la Abdullah bin Abbas, gavana wa Basra wakati huo, lakini inapaswa kuchukuliwa kama onyo kwa viongozi wote wa serikali katika historia yote.…
-
MakalaMapendekezo Manne Muhimu Kutoka kwa Imam Hasan al-Mujtaba (a.s)
Hii ndiyo kanuni ya dhahabu ya uadilifu. Ikiwa tungekuwa tunapenda kutendewa kwa heshima, haki na upendo, basi nasi pia tuwape wengine hivyo.
-
Makala"Wema Hauozi, Dhambi Haisahauliki, Allah Hafi, Utalipwa kama Ulivyotenda" | Ni Maneno Mazito kutoka katika Vyanzo vya Kiislamu
Maneno haya ni wito wa kutuweka kwenye mstari wa Ucha Mungu, uwajibikaji wa nafsi, na kujiepusha na dhambi kwa kutambua kuwa hakuna kisichojulikana mbele ya Mwenyezi Mungu (swt).
-
MakalaTafsiri ya Surat Al_Baqarah, Aya ya 200-202 | Mushrikina walirithi Ibada ya Hijja kutoka kwa Nabii Ibrahim(as) lakini walitia uzushi mwingi ndani yake
Wanaotaka Starehe za Dunia, humuabudu Mwenyezi Mungu kwa ajili ya Dunia. Hao ndio wale wasiokuwa na lolote katika Akhera.
-
MakalaUislamu na Mwanamke: Mwanamke wa Kiislamu Kama Mama Mwenye Upendo
Mama wa Kiislamu si tu mlezi wa watoto bali ni msingi wa jamii yenye maadili.Uislamu umempa heshima ya kipekee kwa nafasi yake, ukimtukuza kama kielelezo cha upendo, subira, na hekima.Kwa hivyo, ni wajibu wa jamii…
-
MakalaInfografia | Utambulisho wa Qā’im wa Aal Muhammad (s.a.w.w) katika Khutba ya Ghadir (9)
"Tambueni! Hakika mwisho wa Maimamu kutoka kwetu ni Qā’im al-Mahdi...Hakika yeye ndiye Hujja aliyebakia, na baada yake hakuna hujja mwingine".
-
MakalaImam Baqir (a.s): Kutoka Machozi hadi Fikra
"Ninapokusoma jina lako, nakushukuru kwa ukubwa wa maarifa yako, na pia nakumbuka machozi yako ya utotoni huko Karbala...". Maisha ya Imam Muhammad Baqir (a.s) yamejazwa na mafundisho ya kina na nyakati za tafakari…
-
MakalaMbinu za Mwisho za Shetani Katika Sekunde za Mwisho za Maisha
Katika sekunde za mwisho za kuaga dunia, shetani hachoki kujaribu kumdanganya mtu na ana matumaini ya kuharibu imani ya mtu kwa maisha yote katika wakati wa mwisho. Ikiwa mtu hana imani thabiti, kuna hatari kwamba…
-
MakalaNguvu ya Maamuzi Inashinda Haja na Matamanio ya Mwanadamu | Matamanio hukutaka uishi kwa sasa; Maamuzi hukutaka uishi kwa heshima
“Watu wengi wanataka kubadilika katika maisha yao na kuwa na maendeleo mazuri, lakini ni wachache kati yao wanaofanya hivyo, kwa sababu Nguvu ya Maamuzi ndani yao ni ndogo, na ukizingatia Nguvu ya Maamuzi ndio inayobeba…