MAKALA
-
MakalaKama tukio la Ashura lingetokea leo, ni simulizi gani lingekuwa gumzo zaidi kwenye mitandao ya kijamii?
Ashura haikuwa tu vita ya kijeshi iliyopiganwa katika jangwa, bali ilikuwa uwanja mkubwa wa mapambano kati ya ukweli mtupu na uongo uliopambwa kwa sura ya kuvutia. Ikiwa tukio hili lingetokea katika zama za mawasiliano…
-
MakalaSheikh Dr.Reihan Yasin: Sayyidat Zainab (sa) na Jukumu Lake la Kimawasiliano Baada ya Tukio la Karbala +Picha
Kwa mujibu wa shirika la habari la kimataifa la ahlul-bayt (as) - ABNA- Sayyidat Zainab (as) alitekeleza jukumu muhimu la kimawasiliano na uhamasishaji baada ya tukio la Karbala, kwa kufichua upotoshaji wa propaganda…
-
MakalaKumbukumbu ya Shahidi Sayyid Ali Khamenei | Ikhlasi kwa Mwenyezi Mungu Ndiyo Siri ya Athari ya Kudumu
Ujumbe huu unaotolewa katika mnasaba wa kumbukumbu ya Shahidi Ali Khamenei unasema hivi kuwa "Ikhlasi kwa Mwenyezi Mungu ndiyo msingi wa kudumu kwa matendo mema", huku ukisisitiza kwamba athari ya kweli huzaliwa…
-
MakalaKwa nini Muumini Anapaswa Kujifanyia Kazi (juu ya nafsi yake) Kila Siku?
Ole wao wale ambao hawajifanyii kazi juu ya nafsi zao katika upande wa elimu na matendo mema, kisha wakaondoka duniani wakiwa kama walivyoingia, pamoja na kuoza, kasoro, uharibifu na maovu yote yanayompata mwanadamu…
-
MakalaSauti ya Imam Ali (AS) na tukio la kusikitisha la Kufa baada ya Karbala: Mazishi ya mashahidi na kuanza kwa mateso ya Ahlul-Bayt (AS)
Baada ya tukio la Karbala katika siku ya 11 ya Muharram, mji wa Kufa ulianza kushuhudia hatua ya pili ya ukandamizaji dhidi ya Ahlul-Bayt (AS), ambapo miili ya mashahidi iliachwa bila mazishi huku msafara wa mateka…
-
MakalaSheikh Jalala: Imam Hussein (a.s) Alijitolea kwa ajili ya Amani, Umoja na Utu wa Binadamu +Picha
Sheikh Jalala amesema kuwa Imam Hussein (a.s) alipigania utu wa binadamu, umoja wa Waislamu na maadili ya amani, upendo na mshikamano, akibainisha kwamba ujumbe wa Karbala unaendelea kuwa nuru ya uhuru wa fikra…
-
MakalaWito wa Hekima na Umoja Watolewa kwa Umma wa Kiislamu, Uislamu Wahimizwa Kujengwa juu ya Elimu na Uadilifu
Wito wa kuimarisha hekima, uadilifu na umoja ndani ya Umma wa Kiislamu umetolewa, ukisisitiza kuwa tofauti za kimtazamo na kimadhehebu hazipaswi kuwa chanzo cha chuki bali fursa ya majadiliano ya kielimu na kuheshimiana.
-
MakalaMaqamu ya Tall al-Zaynabiyyah katika Karbala Tukufu Yafunguliwa Rasmi Baada ya Miaka ya Ujenzi
Baada ya miaka kadhaa ya ujenzi na ukarabati, Maqam ya Tall al-Zaynabiyyah katika mji mtukufu wa Karbala imefunguliwa rasmi, na waumini wengi wamepokea kwa furaha kufunguliwa kwa eneo hili lenye umuhimu mkubwa katika…
-
MakalaHujjatul-Islam wal-muslimin, Dkt. Taqavi Aongoza Majlisi ya Maombolezo ya Imam Hussein (a.s.) katika Shule ya Hazrat Zaynab (a.s.) Tanzania +Picha
Dkt.Taqavi, Mkurugenzi na Mwakilishi wa Jamiat al-Mustafa (s.a.w.w) nchini Tanzania, amehutubia Majlisi ya Maombolezo ya Imam Hussein (a.s.) katika Shule ya Hazrat Zaynab (s.a), akizungumzia Mapinduzi ya Karbala…
-
MakalaChuo cha Kiislamu cha Wafuasi wa Ahlul-Bayt (a.s) Chafanya Majlisi ya Maombolezo ya Muharram - Dar es Salaam
Jamiatul Mustafa International Foundation - Chuo cha Kiislamu cha Wafuasi wa Ahlul-Bayt (a.s.) jijini Dar es Salaam kimefanya majlisi ya maombolezo ya Muharram, ambapo mhadhiri alikuwa Dkt. Reihan Yasin.
-
MakalaMajlisi ya Maombolezo ya Muharram Yafanyika Jamiat Al-Mustafa, Dar es Salaam
Majlisi ya maombolezo ya mwezi wa Muharram imefanyika katika Jamiat Al-Mustafa, Dar es Salaam, Tanzania, ambapo mhadhiri alikuwa Sheikh Taqee Zacharia Athumani, akizungumzia sababu za kuhuishwa kwa kumbukumbu ya…
-
MakalaJohn bin Huway (r.a): Mtumwa Mweusi Aliyeandika Historia ya Uaminifu kwa Imam Hussein (a.s)
Miongoni mwa mashujaa waliotukuka katika tukio la Karbala yupo John bin Huway (r.a.), ambaye historia yake inaonyesha wazi kwamba mbele ya Mwenyezi Mungu heshima ya mtu haipimwi kwa rangi, kabila wala hadhi ya kijamii,…