MAKALA
-
MakalaKumbukumbu ya Kuzaliwa kwa Imam Hussein (a.s)
Imam Hussein (a.s) anajulikana kwa kun'ya ya Abu ‘Abdillah, na miongoni mwa lakabu zake ni: As-Sayyid, Az-Zakiy, Al-Mubarak na As-Sibt. Mtume (s.a.w.w) alisema kuhusu yeye na kaka yake: “Wao ni mabwana wa vijana…
-
MakalaHaya na Heshima: Kitu Kilichopotea Kinachoshirikiana Kati ya Tamaduni
Haya na Heshima ni dhana za kimataifa ambazo zinaonekana katika msingi wa mafundisho ya dini za Mbingu na tamaduni za binadamu. Thamani hizi hutoa mstari wa utatuzi kati ya ubinadamu na tabia za wanyama, zikibainisha…
-
MakalaMabomu ya Atomiki ya Marekani: Historia ya Maangamizi na Maafa ya Kibinadamu | Msimulizi: Al-Muhtaram Salum Bendera +Video
Mashambulizi ya atomiki ya Marekani dhidi ya Hiroshima na Nagasaki mwaka 1945 yalisababisha vifo vya papo kwa papo vya zaidi ya watu laki mbili, uharibifu mkubwa wa mazingira na madhara ya kiafya yaliyoendelea kuathiri…
-
MakalaMwenyezi Mungu Akiwa Upande Wako, Hakuna Awezaye Kukudhuru
Lengo na makusudio ya kauli hii inayosapoti na Aya hizo Tukufu ni kuondoa hofu moyoni, kwa kutomwogopa yeyote anayenuia kuwa “juu yako” au kukudhuru kwa lolote, kwani Mwenyezi Mungu akiwa pamoja nawe, hakuna mwenye…
-
MakalaSimulizi ya kweli kuhusu Barack Obama na Mke wake Michelle Obama -Msimulizi: Sheikh Abdallah Amani,akifikisha ujumbe wa maadili na Heshima katika ndoa
Simulizi hili, kama anavyosisitiza Sheikh Abdallah Amani, linabeba funzo kubwa kwa jamii kwamba: Heshima ya kweli haianzi mbele ya watu, bali huanzia ndani ya nyumba, katika namna mume na mke wanavyothaminiana.
-
MakalaUsijivune kwa Maneno Maneno na Kujiona Mwenye Fadhila | Ibada na Jema lolote bila Unyenyekevu, ni Njia ya kupoteza kila Kheri
Baadhi ya Mabedui walikuwa wakimfanyia Mtume (s.a.w.a) madai ya fadhila kwa kusilimu kwao, kama Qur’ani inavyosema: “Wanakuonea fadhila kwa kusilimu kwao.” Basi Qur’ani ikawafunza adabu kwa kusema: “Sema: Msinionee…
-
MakalaNasaha za Ustadhi Abdallah Amani: Hatari ya Kifungo cha Uchovu Katika Maisha ya Ndoa
Ustadhi Abdallah Amani amesisitiza kuwa: “Maisha ya ndoa yanahitaji uhai, ubunifu, mabadiliko madogo, na msisimko wa pamoja ili yasigeuke kuwa kifungo cha uchovu.”
-
MakalaAfrika Kusini kwenye Njia Panda | Kutoka Mapambano ya Ubaguzi Hadi Siasa za Utaifa na Ubaguzi - Simulizi Mpya ya Afrika Kusini +Video
Je, harakati ya “Mwafrika Kusini Kwanza” ni mwendelezo wa mapambano ya kihistoria dhidi ya ubaguzi, au ni mwelekeo mpya unaoelekea kurudia misingi ile ile ya ubaguzi dhidi ya Mwafrika mwenyewe?.
-
MakalaMuujiza wa Qur’an kuhusu moto usiounguza
Katika kisa cha Nabii Ibrahim (a.s.), Qur’ani Tukufu inasimulia kuwa alitupwa ndani ya moto ambao haukumchoma. Baadhi ya watu wenye mashaka hudai kuwa jambo hilo haliwezekani, kwa sababu moto kwa kawaida huchoma…
-
MakalaRiziki na kipato kwa hakika kiko mikononi mwa nani?
Kwa mtazamo wa Tauhidi, kila kitu kiko mikononi mwa Mwenyezi Mungu; lakini katika maisha ya kila siku, inaonekana kana kwamba ni wanadamu wanaoamua riziki za wao kwa wao: mfanyakazi humtegemea mwajiri, mtumishi…
-
MakalaKuomba Mvua katika Fikra za Kiislamu na Kishia / Sehemu ya Kumi; Nafasi ya Uimamu katika Kushuka kwa Mvua ya Rehema
Sala ya kuomba mvua ya Imam Reza (a.s) ni miongoni mwa matukio maarufu ya kihistoria ambayo ndani yake, mbali na kusisitiza juu ya kuomba na kumlilia Mwenyezi Mungu, pia imebainishwa nafasi maalumu ya Uimamu na…
-
MakalaFadhila za Sayyidat Fatima Zahraa (s.a): Mlinzi Mshikamanifu wa Mtume wa Uislamu (s.a.w.w)
Katika tukio maarufu lililonukuliwa na vitabu vya historia na hadith, Bibi Fatima (a.s) alienda kwa uchungu mkubwa kuondoa matumbo ya ngamia yaliyowekwa na washirikina kichwani mwa Mtume (s.a.w.w) wakati akiwa katika…