MAKALA
-
Makala“Ikiwa riziki imeamuliwa, kwa nini tunapaswa kufanya kazi?”
Mara nyingi huulizwa: “Ikiwa riziki ya kila mtu imehakikishwa na imepangwa na Mwenyezi Mungu, basi nafasi ya kazi, jitihada, na kupanga mipango ni ipi?” Je, imani kwa takdiri ya Mungu inamaanisha kuacha kutumia…
-
Swala ya Jamaa ni Mkusanyiko wa Kiroho Uliojaa Fadhila za Dunia na Akhera:
MakalaKwa nini Swala ya Jamaa ni mkusanyiko bora kabisa wa kiroho duniani?
Swala ya jamaa ni mkusanyiko wa kifahari zaidi, bora zaidi, safi zaidi, na wa kiroho zaidi duniani. Kwa sababu hiyo, ina fadhila na thawabu nyingi. Kwa kila hatua anayopiga mtu kuelekea swala ya jamaa, huandikiwa…
-
MakalaJe, Kuandika Maombi (Barua ya Mkono) Kuna Msingi wa Kidini? | Je, kutupa barua kwenye kisima cha Msikiti wa Jamkaran kuna msingi wa kisharia au uzushi
Barua na maandiko ya mkono ni aina ya kuelekea na kutawassali (kuomba msaada) kwa watu wa nyumba ya Mtume | Maasumina -(amani iwe juu yao).
-
MakalaKazi yako ni ibada yako ya kila siku
Je, unafikiri kufanya kazi ni njia tu ya kupata pesa? Hapana! Kulingana na Qur’ani, kazi ni ibada ya kijamii inayokuza uchumi wako na kukuza utu wako pia. Hebu tuchunguze kanuni kadhaa na muhimu kwa pamoja ili kazi…
-
Maneno Mafupi, Yenye Maana Pana:
MakalaHotuba ya 21 ya Nahjul Balagha: "Kuwa na mzigo mwepesi ili mfike (kwenye safari yenu)!"
تَخَفَّفُوا تَلْحَقُوا، فَإِنَّمَا يُنْتَظَرُ بِأَوَّلِكُمْ آخِرُكُمْ "Punguzeni mizigo ili mfike (kwenye malengo ya safari yenu), kwa maana waliotangulia wanawasubiri mlio nyuma." Hotuba ya 21 ya Nahjul Balagha…
-
MakalaKumbukumbu ya Shahada ya Imam Hasan al-Askari (AS)
Mojawapo ya malengo ya Mitume na Maimam (amani iwe juu yao), ni kusimamisha uadilifu na usawa katika jamii. Kwa mujibu wa Qur'an na hadithi za Maimamu, jamii haiwezi kusimama bila ya uongozi wa Imam Mwadilifu atakayeongo…
-
MakalaArubaini: Jukwaa la Haki, Amani na Uadilifu, na ni Taa ya Uongofu na Jahazi la Uokovu
Historia inaonyesha kuwa jukwaa hili lina mizizi imara katika imani, haki na uadilifu. Lilianza na mtu mmoja au wawili zaidi ya karne kumi zilizopita. Pamoja na changamoto nyingi zilizowakumba waliolipanda, idadi…
-
MakalaWaraka wa “Siri Iliyo Hifadhiwa” ni nini?
Mtume Mtukufu (s.a.w.w) katika ubora na thawabu ya kumswalia Bibi Fatimah Zahra (a.s) amesema: “Ewe Fatimah! Yeyote atakayekuswalia na kukutumia salamu, Mwenyezi Mungu atamsamehe na popote nitakapokuwa katika Pepo…
-
MakalaKwa nini Wafuasi wa Madhehebu ya Kisunni (Masunni) huswali wakiwa wameweka mikono juu ya tumbo (wanafunga mikono tumboni katika Swala)?!
Katika fiqhi ya Kisunni, tendo hili linajulikana kwa majina kama "Qabdh al-Yadayn" (kukamata mikono miwili), "Takattuf" au "Takfir".
-
MakalaBarua ya 18 ya Nahjul Balagha / Onyo kwa Viongozi wote wa Serikali ya Kiislamu
Barua ya kumi na nane (18) ya Nahjul Balagha, ingawa imeandikwa kwa jina la Abdullah bin Abbas, gavana wa Basra wakati huo, lakini inapaswa kuchukuliwa kama onyo kwa viongozi wote wa serikali katika historia yote.…
-
MakalaMapendekezo Manne Muhimu Kutoka kwa Imam Hasan al-Mujtaba (a.s)
Hii ndiyo kanuni ya dhahabu ya uadilifu. Ikiwa tungekuwa tunapenda kutendewa kwa heshima, haki na upendo, basi nasi pia tuwape wengine hivyo.
-
Makala"Wema Hauozi, Dhambi Haisahauliki, Allah Hafi, Utalipwa kama Ulivyotenda" | Ni Maneno Mazito kutoka katika Vyanzo vya Kiislamu
Maneno haya ni wito wa kutuweka kwenye mstari wa Ucha Mungu, uwajibikaji wa nafsi, na kujiepusha na dhambi kwa kutambua kuwa hakuna kisichojulikana mbele ya Mwenyezi Mungu (swt).