MAKALA
-
MakalaSimulizi ya kweli kuhusu Barack Obama na Mke wake Michelle Obama -Msimulizi: Sheikh Abdallah Amani,akifikisha ujumbe wa maadili na Heshima katika ndoa
Simulizi hili, kama anavyosisitiza Sheikh Abdallah Amani, linabeba funzo kubwa kwa jamii kwamba: Heshima ya kweli haianzi mbele ya watu, bali huanzia ndani ya nyumba, katika namna mume na mke wanavyothaminiana.
-
MakalaUsijivune kwa Maneno Maneno na Kujiona Mwenye Fadhila | Ibada na Jema lolote bila Unyenyekevu, ni Njia ya kupoteza kila Kheri
Baadhi ya Mabedui walikuwa wakimfanyia Mtume (s.a.w.a) madai ya fadhila kwa kusilimu kwao, kama Qur’ani inavyosema: “Wanakuonea fadhila kwa kusilimu kwao.” Basi Qur’ani ikawafunza adabu kwa kusema: “Sema: Msinionee…
-
MakalaNasaha za Ustadhi Abdallah Amani: Hatari ya Kifungo cha Uchovu Katika Maisha ya Ndoa
Ustadhi Abdallah Amani amesisitiza kuwa: “Maisha ya ndoa yanahitaji uhai, ubunifu, mabadiliko madogo, na msisimko wa pamoja ili yasigeuke kuwa kifungo cha uchovu.”
-
MakalaAfrika Kusini kwenye Njia Panda | Kutoka Mapambano ya Ubaguzi Hadi Siasa za Utaifa na Ubaguzi - Simulizi Mpya ya Afrika Kusini +Video
Je, harakati ya “Mwafrika Kusini Kwanza” ni mwendelezo wa mapambano ya kihistoria dhidi ya ubaguzi, au ni mwelekeo mpya unaoelekea kurudia misingi ile ile ya ubaguzi dhidi ya Mwafrika mwenyewe?.
-
MakalaMuujiza wa Qur’an kuhusu moto usiounguza
Katika kisa cha Nabii Ibrahim (a.s.), Qur’ani Tukufu inasimulia kuwa alitupwa ndani ya moto ambao haukumchoma. Baadhi ya watu wenye mashaka hudai kuwa jambo hilo haliwezekani, kwa sababu moto kwa kawaida huchoma…
-
MakalaRiziki na kipato kwa hakika kiko mikononi mwa nani?
Kwa mtazamo wa Tauhidi, kila kitu kiko mikononi mwa Mwenyezi Mungu; lakini katika maisha ya kila siku, inaonekana kana kwamba ni wanadamu wanaoamua riziki za wao kwa wao: mfanyakazi humtegemea mwajiri, mtumishi…
-
MakalaKuomba Mvua katika Fikra za Kiislamu na Kishia / Sehemu ya Kumi; Nafasi ya Uimamu katika Kushuka kwa Mvua ya Rehema
Sala ya kuomba mvua ya Imam Reza (a.s) ni miongoni mwa matukio maarufu ya kihistoria ambayo ndani yake, mbali na kusisitiza juu ya kuomba na kumlilia Mwenyezi Mungu, pia imebainishwa nafasi maalumu ya Uimamu na…
-
MakalaFadhila za Sayyidat Fatima Zahraa (s.a): Mlinzi Mshikamanifu wa Mtume wa Uislamu (s.a.w.w)
Katika tukio maarufu lililonukuliwa na vitabu vya historia na hadith, Bibi Fatima (a.s) alienda kwa uchungu mkubwa kuondoa matumbo ya ngamia yaliyowekwa na washirikina kichwani mwa Mtume (s.a.w.w) wakati akiwa katika…
-
-
MakalaMarafiki wa Ukweli Wako Wengi Zaidi Upande wa Pili | Kifo cha Kishahidi kwao hakileti upweke kwao Bali ni Daraja la kukutana na Msafara wa Waumini
"Katika ugeni hakuna hofu ya upweke; marafiki wapendwa wako wengi zaidi upande ule mwingine.” Kwa maana kwamba: Shahidi anapovuka kutoka dunia hii, haogopi kutengwa, kwa sababu anatambua wazi kuwa upande wa pili…
-
MakalaJibu la Ayatollah Al-Udhma Sistani Kuhusu Kufuata Maimam wa Sala ya Jamaa Wanaopokea Malipo (Mishahara) za Kiserikali
Ayatollah Al-udhma Al-Sistani, kiongozi mkuu wa Shi’a, katika jibu lake kwa swali kuhusu kufuata maimamu wa sala ya jamaa (imam wa jamaa) wanaopokea haki (ya mishahara) kutoka serikali za Kiislamu, alishauri waumini…
-
MakalaKufariki au Kuuawa Shahidi: Ripoti ya Mdahalo / Uhakiki wa Kitaaluma wa Masuala ya Itikadi kwa Kuzuia Uvunjaji na Upotoshaji
Mdahalo kuhusu riwaya za shahada ya Bibi Fatima (a.s) ulifanyika kati ya Hamed Kashani na Abdulrahim Soleimani; Soleimani aliona baadhi ya riwaya hazina uthibitisho, lakini Kashani, akirejelea vyanzo vya kuaminika,…