MAKALA
-
MakalaNi ipi maana ya Meditation (Tafakuri - Kutafakari)?. Je, ni Dini au sio Dini? Samahat Sheikh Dr. Abdur-Razak Amiri anafafanua zaidi kuhusu hilo
"Meditation" ni aina fulani ya utaratibu unaofuatwa Duniani kote sasa hivi. Na baadhi ya watu ili waweze kutafuta namna fulani ya kupumzika na kupunguza shinikizo na mifadhaiko yao, ili wajisikie vizuri na kutibu…
-
MakalaUmuhimu wa Hijab kwa Mwanamke: Ni kwa nini Hijab ni Wajibu kwa Mwanamke wa Kiislamu?
Katika zama hizi, Hijabu imelinganishwa na kutoendelea kwa jamii na inafikiriwa kuwa ni ishara ya kifungo cha wanawake. Wahubiri wengi wanafikiria kuwa ni bora kutolizungumzia jambo hili katika majlisi zao. Lakini…
-
MakalaJinsi ya kuthibitisha Isma ya Maimamu 9 (a.s) kutoka ndani ya Qur’an Tukufu
“Na (Kumbukeni) Ibrahim alipojaribiwa na Mola wake kwa matamko, naye akayatimiza. Akasema: Hakika mimi nitakufanya kuwa Imam wa watu. Ibrahim akasema: Je,na Kizazi changu (pia)?.(Ndiyo, lakini) ahadi yangu haiwafikii…
-
MakalaUmuhimu wa Qur'an Tukufu katika Maisha yetu kama Wanadamu
Kila Aya katika Aya za Qur’an ni chimbuko la mwangaza, muongozo na rahma, kwa hiyo mwenye kutaka mafanikio ya milele na kuokoka katika dunia yake, basi ni juu yake kushikamana na kitabu cha Mwenyeezi Mungu (s.w)…
-
Majukumu ya Mwalimu na Mwanafunzi:
MakalaMajukumu ya Mwanafunzi yamegawanyika katika sehemu kuu tatu (2)
Amesema Mtume (s.a.w.w): “Mfano wa anaye jifunza akiwa mdogo ni kama Anaye nakishi (anaye chora) katika jiwe, na anaye jifunza ukubwani ni kama na anayeandika katika maji”. Japokuwa kutafuta elimu ni vizuri na…
-
Fiqh Na Hukumu Zake:
MakalaNamna ya Kutoharisha vitu vilivyo najisika kwa kutumia Maji
Anuani ya makala yetu inasema: "Kwa kutumia Maji" kwa kuwa maji ndio yaliyochukua nafasi kubwa katika kutoharisha vilivyonajisika kuliko vingine vyote vyenye kutoharisha.Tutamia herufi (S) kuashiria swali na herufi…
-
MakalaMajukumu ya Mwanalimu na Mwanafunzi (1)
Majukumu ya Mwalimu yamegawanyika katika sehemu kuu tatu :- Majukumu yake binafsi, majukumu juu ya wanafunzi wake, na majukumu yake akiwa darasani.
-
MakalaVideo + Mwanachuoni huyu wa Kisunni anasema "Sisi tunajikurubisha kwa Allah kwa kumpenda Hassan, na Hussein, na Fatima na Ali"
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA- Mwanachuoni huyu wa Kisunni anasema "Sisi tunajikurubisha kwa Allah kwa kumpenda Hassan, na Hussein, na Fatima na Ali. Ama Ali bin Abi Talib (a.s) kumzungumzia…
-
MakalaNi ipi kati ya ibara hizi mbili iliyo sahihi? "Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Itrah wangu, Ahlul-Bayt wangu au Kitabu cha Mwenyezi Mungu na Sunna yangu"
Hadithi sahihi na iliyothibitishwa kutoka kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w) ni yenye lafdhi hii isemayo: «وأهل بیتي» / "Na Ahlul-Bayt wangu”, ama riwaya ile ambayo imepachikwa lafdhi au neno «وسنّتي» / “Na Sunna yangu”…
-
MakalaNjia ya Dhambi Huanza na Dakika ya Uzembe
Tunamuomba Mwenyezi Mungu atujaalie sote tupate taufiki ya kushikamana na Ahlul-Bayt (a.s) wa Mtume Muhammad (s.a.w.w), kwani wao ndio Njia iliyonyooka, na atakayeshikamana nao wao na Qur'an Tukufu, huyo ataepukana…
-
Ahkam za Kisheria kwa Mujibu Ahlul-Bayt (a.s):
MakalaHukumu za Kisheria zitakazomfanya Mwanadamu afaulu Kesho Siku ya Kiyama
Hukumu za Kiislamu zinakutaka Muislamu Itikadi yako iwe ni Itikadi sahihi. Na Uislamu unatufndisha kuwa haijuzu kwa Muislamu yeyote kumfuata (Kumqalid) mtu kuhusiana na suala la Kiitikadi, kwa maana kwamba: Lolote…
-
MakalaVideo | Usiku wa Upweke na wa Kustaajabisha wa Lailatul-Qadr Katika Haram Tukufu ya Hazrat Zainab (s.a)
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahl al-Bayt (AS) - Abna -; Wakati katika miaka ya nyuma Hafla za kuhuisha Usiku wa Lailatul Qadr zilikuwa zikifanyika katika Madhabahu (Haram) ya Hazrat Zainab (s.a) kwa kuwepo…