-
serviceHadhi Maarufu ya Maktab ya Imam Sadiq (AS)
Watu wote, wale wanaokubaliana naye na wale wasioafikiana naye, wamekiri kwamba Imam Ja’afar Sadiq (AS) ana nafasi kubwa katika sayansi na elimu, na hakuna anayeweza kukana hili.
Habari za hivi punde
-
special-issueShoigu: Russia inaweza kutumia silaha za nyuklia kukabiliana na mashambulio ya Magharibi
Katibu wa Baraza la Usalama la Russia Sergei Shoigu amesema, Moscow ina haki ya kutumia silaha za nyuklia katika kukabiliana na mashambulio ya nchi za Magharibi.
-
special-issue“Wewe ni Mwislamu? Mwisho wa Mazungumzo”: Kesi ya ubaguzi katika uuzaji wa gari Marekani
Mmarekani mwenye asili ya Kiarabu amefungua kesi ya ubaguzi dhidi ya Shirika la Big Jay’s Auto Sales huko Shelby Township, Michigan, Marekani akidai kwamba mfanyakazi wa shirika hilo alitoa matamshi ya udhalilishaji kuhusu imani yake ya Uislamu wakati wa mazungumzo ya uuzaji wa gari.
-
special-issueIsrael katika ghadhabu baada ya ICC kukataa kusitisha hati za kukamatwa Netanyahu na Gallant
Uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wa kukataa ombi la Israel la kusitisha utekelezaji wa hati za kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala huo, Benjamin Netanyahu na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Yoav Gallant umeikasirisha mno serikali ya Tel Aviv.
-
special-issueAl-Jolani: Syria iko tayari kuanzisha uhusiano rasmi na Israel 'kwa masharti sahihi'
Rais wa mpito wa Syria Al-Jolani amesema yuko tayari kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel. Hayo ni kwa mujibu wa barua inayoripotiwa kuwa ameituma kwa Rais wa Marekani Donald Trump.
-
serviceMsikiti mkubwa zaidi wa Ireland umefungwa kwa Muda
Msikiti mkubwa zaidi katika mji mkuu wa Ireland umefungwa kwa muda kufuatia mzozo wa ndani
-
special-issueMhariri Mkuu wa Middle East Eye: Harakati ya HAMAS katu haitasalimu amri
David Hearst, Mhariri Mkuu wa tovuti ya habari ya Middle East Eye amesema, Muqawama ndio njia pekee iliyobaki kwa ajili ya kukomesha ughasibu na kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
serviceBaqaei: Mashambulizi dhidi ya makazi ya muda ya wakimbizi ni mfano halisi wa uhalifu wa kivita
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali hujuma na vitendo vya kigaidi vya utawala wa Kizayuni wa Israel huko Gaza na Lebanon.
-
serviceHarakati za Kitabligh za Bilal Muslim Mission of Tanzania Moshi Branch (KIKAVU CENTER) + Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA - Bilal Muslim Mission of Tanzania Moshi Branch (KIKAVU CENTER), Leo hii (Ijumaa 25.04.2025) iliendelea na Harakati zake za Kitabligh na kueneza Maarifa ya Ahlul-Bayt (as) sambamba na Swala ya Ijumaa.
-
serviceHadhi Maarufu ya Maktab ya Imam Sadiq (AS)
Watu wote, wale wanaokubaliana naye na wale wasioafikiana naye, wamekiri kwamba Imam Ja’afar Sadiq (AS) ana nafasi kubwa katika sayansi na elimu, na hakuna anayeweza kukana hili.
-
serviceKhatibu wa Swala ya Ijumaa Tehran: Mazungumzo na Marekani yanaendelea kwa tahadhari
Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran, Hujjatul-Islam Sayyid Mohammad Hassan Abu-Torabi Fard amesisitiza kuwa mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Iran na Marekani yanafanyika kwa tahadhari na kutoka kwenye nafasi yenye nguvu na heshima.