-
serviceKiongozi wa Mapinduzi: Ikiwa Amerika itafanya jambo lolote ovu, litajibiwa vikali
Ayatollah Khamenei amesema kuhusu misimamo ya vitisho ya hivi karibuni ya Marekani: Kwanza, iwapo uovu utafanywa kutoka nje, jambo ambalo bila shaka halina uwezekano mkubwa, kwa hakika watajibiwa…
Habari za hivi punde
-
serviceHabari Pichani | Waislamu wafuasi wa Ahlul-Bayt (a.s) wakisherehekea kwa pamoja Sikukuu ya Eid -ul- Fitri, Nakuru - Kenya
Kwa kujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA- Waislamu Wapenzi na Wafuasi wa Ahlul-Bayt (a.s) walikutana kwa ajili ya kusherehekea kwa pamoja Sikukuu ya Eid -ul- Fitri, Nakuru nchini Kenya.
-
serviceHabari Pichani | Swala ya Eid al-Fitr nchini Burundi
Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA-: Waislamu wapenzi na wa Madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s) nchini Burundi, walitokeza kwa wingi katika Swala ya Eid al-Fitri iliyoongozwa na Sheikh Sajjad Fauzi.
-
serviceHabari Pichani | Swala ya Eid-ul- Fitr, (Masjid Ahlu-Bayt a.s), Arusha, Tanzania
Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA- Swala ya Eid-ul- Fitr, iliswali Mjini Arusha ndani ya Masjid Ahlu-Bayt (a.s) ikiongozwa na Samahat Sheikh Dkt. Abdul Razak Amiri.
-
servicePicha | Taasisi ya SHIDO - Bukoba, Kagera, Tanzania na Harakati zake za Tabligh katika kueneza Mafunzo na Maarifa Safi ya Ahlul-Bayt(a.s)
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA-; Uongozi wa Shiat Development Organization (SHIDO) umeendesha mafunzo ya ufundishaji kwa kutumia muongozo / Syllabus na kufanya maandalizi kabla ya kuingia Darasani kwa Walimu wa Vituo vyake Vitatu (3) vya Kidini vilivyopo Katobago, Kemondo na Bukoba Mjini.
-
serviceTaasisi ya SHIDO - Bukoba, Kagera, Tanzania yafanya mafunzo ya ufundishaji kwa kutumia Syllabus kwa Walimu
Twende pamoja mkono kwa mkono katika Harakati za Tabligh za kueneza Mafunzo na Maarifa Safi ya Ahlul-Bayt(a.s).
-
special-issueHassan Badir, Afisa wa Dawati la Palestina la Hezbollah ya Lebanon auawa Shahidi
Utawala wa Kizayuni ulilenga nyumba ya makazi na baadhi ya watu wa familia ya Hassan Badir pia walikuwa ndani ya nyumba hiyo wakati wa jinai hiyo ya Wazayuni.
-
servicePicha | Swala la Eid al Fitr iliswaliwa katika Kijiji cha Ushirombo Geita, Tanzania, na huo ndio Msikiti ulivyo, Nyumba ya Mwenyezi
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA-: Swala la Eid al Fitr iliswaliwa katika Kijiji cha Ushirombo Geita, Tanzania, na huo ndio Msikiti, Nyumba ya Mwenyezi Mungu. Hakika Misikiti yote ni ya Mwenyezi Mungu. Ukitaka Mwenyezi Mungu akujengee Kasri na Nyumba ya Kifahari Peponi, basi kuwa tayari kuijenga Misikiti Duniani ili Waja wa Allah wafanye Ibada ndanimwe, wewe utakuwa umeacha Sadaka ya kubwa mno na thawabu zake zitakufuata ukiwa hapa Duniani na hata baada ya Duniani, na mpaka Peponi Biidhnillah Taala.
-
serviceVideo | Falah Islamic Development yafanya Semina Morogoro kuhusu "Wajibu wa Msomi wa Kishia katika Jamii"
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA-; Leo hii Jumanne tarehe 1/4/2025 Falah Islamic Development imefanikisha kuendesga Semina Maalumu na Wanafunzi wa Kishia wanaosoma Chuo kikuu Cha Waislamu Morogoro - MUM. Semina ilibeba mada ifuatayo: "Wajibu wa Msomi wa Kishia Katika Jamii". Semina hiyo imefanyika huko Mafisa katikati ya Manispaa ya Morogoro.Wazungumzaji katika Semina hiyo ni: Sheikh Issa Hassan na Brother Muslim Bakari Hongera sana kwa wote waliojitokeza kushiriki katika Semina hii na kujipatia Maarifa hayo.
-
special-issuePicha na Video | Dua katika Siku ya Eid -ul-Fitr Mkumbara, Tanga
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA-: Falah Islamic Development Mkumbara Tanga ilifanya dua Maalum katika Siku ya Eid al Fitr.
-
special-issueHabari Pichani | Sala ya Eid Ngomboloni Ikwiriri - Rufiji (Tanzania)
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a s) -ABNA-: Swala ya Eid -ul-Fitr katika Msikiti wa Sayyidat Fatima (s.a) uliopo: NGOMBOLONI IKWIRIRI -RUFIJI