ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, China na Saudi Arabia Wafanyika Tehran +Picha

    Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, China na Saudi Arabia Wafanyika Tehran +Picha

    Mkutano kati ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Mawaziri wenzake wa China na Saudi Arabia imefanyika Jijini Tehran.

    2025-12-10 18:48
  • Picha: Haram Tukufu ya Maimamu Wawili Jawadain (a.s) Yapambwa kwa Maua Kwa Furaha ya Kusubiri Kuzaliwa kwa Bibi Fatima Zahra (s.a)

    Picha: Haram Tukufu ya Maimamu Wawili Jawadain (a.s) Yapambwa kwa Maua Kwa Furaha ya Kusubiri Kuzaliwa kwa Bibi Fatima Zahra (s.a)

    Mapambo hayo yamewekwa katika uga wa haram, njia za waumini, na maeneo ya ibada kama ishara ya: 1_Furaha ya Kiislamu, 2_Upendo kwa Ahlul-Bayt (a.s), 3_Na heshima kubwa kwa binti wa Mtume Muhammad (s.a.w.w).

    2025-12-08 00:00
  • Matukio mbalimbali yaliyojiri katika Maulid ya Mtume (saww) Mjini Nakuru +Picha

    Matukio mbalimbali yaliyojiri katika Maulid ya Mtume (saww) Mjini Nakuru +Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume (saww) imefanyika wiki Mjini Nakuru - Kenya. Waumini kutoka maeneo mbalimbali ya Kenya na Tanzania walihudhuria katika Hafla hiyo adhimu ya kusherehekea Kuzaliwa kwa Mtume wetu Muhammad (saww) na kujifunza Mafunzo Mengi mazuri kutoka Kwake(Rehma na Amani ziwe juu yake Ahlul-Bayt wake Watoharifu).

    2025-12-04 12:27
  • Habari Pichani | Kauli Muhimu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan Inayostahili kuandikwa kwa Wino wa Dhahabu +Picha

    Habari Pichani | Kauli Muhimu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan Inayostahili kuandikwa kwa Wino wa Dhahabu +Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt as -ABNA- linanukuu: “Hatuendeshwi na Madhehebu ya Dini. Madhehebu ya Dini na wafuasi wao… Ubora wa Dini upo mioyoni mwetu. Wale wanaoamini ndio wanajua ubora wa Dini yao. Hakuna 'overriding' hapa - kwamba Dini yangu itakuwa ndiyo ‘inayooverride’ Tanzania, na tamko nitakalolitoa ndilo lifuatwe. Hapana. Hata wao wenyewe wanatofautiana.” Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam | 2 December / 2025.

    2025-12-02 22:44
  • Hotuba ya Televisheni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kwa Wananchi wa Iran +Picha

    Hotuba ya Televisheni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kwa Wananchi wa Iran +Picha

    Shirika la Habai la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, siku ya Alhamisi tarehe 27, alitoa hotuba iliyoelekezwa kwa wananchi wa Iran kuhusu masuala ya kisasa ya nchi, eneo la kikanda na dunia kwa ujumla.

    2025-11-30 16:01
  • Habari Pichani | Mkutano wa Wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Kongamano la Kitaifa la Kumuenzi Ayatollah Yazdi na Ayatollah Ramezani

    Habari Pichani | Mkutano wa Wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Kongamano la Kitaifa la Kumuenzi Ayatollah Yazdi na Ayatollah Ramezani

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Wajumbe wa kamati ya maandalizi ya Kongamano la Kitaifa la Kumuenzi Ayatollah Yazdi lenye mada: “Kiongozi wa Wanaharakati wa Mapinduzi ya Kiislamu; Ayatollah Muhammad Yazdi” Siku ya Jumamosi (29/11/2025) wamekutana na kufanya mazungumzo na Ayatollah RamEzani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s).

    2025-11-30 15:48
  • Picha: Kaimu Rais wa Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu atembelea Shirika la Habari la ABNA

    Picha: Kaimu Rais wa Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu atembelea Shirika la Habari la ABNA

    Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (as)-ABNA-; Hujjatul-Islam Dkt. Mostafa Jafartayyar, Kaimu Rais wa Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu, akiwa na ujumbe wa maafisa wa chuo hicho, wametembelea Shirika la Habari la ABNA katika mji wa Qom. Wakati wa ziara hiyo, ujumbe huo ulitembelea idara mbalimbali za shirika. Baadaye, kikao cha pande mbili kilifanyika kati ya ujumbe wa chuo na wakurugenzi wa sehemu mbalimbali za ABNA ili kujadili maeneo ya ushirikiano na mipango ya pamoja kati ya chuo na shirika hilo la habari.

    2025-11-29 23:27
  • Habari Pichani | Mazoezi Makubwa ya Uonyeshaji wa Uwezo wa Basiji Jijini Tehran

    Habari Pichani | Mazoezi Makubwa ya Uonyeshaji wa Uwezo wa Basiji Jijini Tehran

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA- Mazoezi makubwa ya kuonyesha uwezo wa vikosi vya Basiji yalifanyika asubuhi ya Alhamisi (27 -12- 2025), kwa ushiriki wa vikosi vya Basiji vya Sepah ya Hazrat Muhammad Rasulullah (s.a.w.w) katika Chuo cha Maafisa wa Kijeshi cha Imam Hussein (a.s) jijini Tehran.

    2025-11-28 23:45
  • Habari Pichani | Mazishi ya Miili Mitukufu ya Mashahidi 100 Wasiojulikana wa Kujihami Kutukufu (Sacred Defense) huko Tehran - Sehemu ya 2

    Habari Pichani | Mazishi ya Miili Mitukufu ya Mashahidi 100 Wasiojulikana wa Kujihami Kutukufu (Sacred Defense) huko Tehran - Sehemu ya 2

    Hafla ya mazishi ya miili mitukufu ya mashahidi 100 wasiojulikana wa Kujihami Kutukufu (Sacred Defense) ilifanyika asubuhi ya leo, Jumatatu, tarehe 24 Novemba 2025, ik coincidia na siku ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa Bibi Fatima Zahra (Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake). Hafla hii, ambayo pia ni “Siku ya Kitaifa ya Kuwaenzi Mashahidi Wasiojulikana”, ilianza katika Chuo Kikuu cha Tehran na kuelekea Makao ya Meraj-e Shohadaa mjini Tehran.

    2025-11-28 17:19
  • Habari Pichani | Hafla ya Siku ya Basiji katika Husseiniyyah ya Imam Khomeini (r.a)

    Habari Pichani | Hafla ya Siku ya Basiji katika Husseiniyyah ya Imam Khomeini (r.a)

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - Hafla ya Siku ya Basiji ilifanyika leo asubuhi Jumatano (26-11-2025) kwa kuhudhuriwa na maelfu ya wanabasiji kutoka maeneo mbalimbali ya nchi, ikiambatana na kumbukumbu ya kuundwa kwa Basiji ya Wanyonge, katika Husayniyya ya Imam Khomeini (r.a.)

    2025-11-28 17:09
  • Majlis ya Shahada ya Sayyidat Fatima (sa) Yafanyika Arusha; Sheikh Haidary Mshele Aainisha Masaibu na Dhulma Zilizompata Binti wa Mtume (saww) +Picha

    Majlis ya Shahada ya Sayyidat Fatima (sa) Yafanyika Arusha; Sheikh Haidary Mshele Aainisha Masaibu na Dhulma Zilizompata Binti wa Mtume (saww) +Picha

    Sheikh Mshele alieleza kwa kina tukio la kunyang’anywa Fadak, ardhi ambayo ilikuwa haki na zawadi halali ya Sayyidat Fatima (sa) aliyopewa na Mtume (saww). Alibainisha kuwa tukio hilo limeorodheshwa na wanahistoria wengi na limeacha doa lisilofutika katika historia ya mwanzo wa Uislamu.

    2025-11-27 20:58
  • Habari Pichani | Kikao Maalumu cha Kubadilishana Mtazamo Kuhusu Turathi za Basra

    Habari Pichani | Kikao Maalumu cha Kubadilishana Mtazamo Kuhusu Turathi za Basra

    Shirika la Habari la Kimatafa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Kikao maalumu cha kujadili mitazamo na fikra zinazofanana kuhusu turathi za Basra kimefanyika leo asubuhi, Jumanne (25-11-2025), kwa ushiriki wa wakurugenzi kutoka Idara ya Masuala ya Maarifa ya Kiislamu na Kibinadamu ya Ataba ya Abbasiyya, wakurugenzi wa Kituo cha Turathi za Basra, pamoja na viongozi wa vituo vya utafiti vya kielimu kutoka vyuo vikuu na Hawza. Kikao hiki, ambacho kimeandaliwa kwa ushirikiano wa Ataba ya Abbasiyya, Kituo cha Turathi za Basra, na idadi ya taasisi za kielimu za Hawza na Chuo Kikuu cha Qom, kimefanyika katika ukumbi wa mikutano ya kimataifa wa Kituo cha Fiqhi cha Maimamu Watoharifu (a.s.) mjini Qom.

    2025-11-26 23:25
  • Burundi | Msikiti wa Imam Zaynul Aabidin (a.s) Buyenzi, waandaa Majlisi ya Maombolezo ya Shahada ya Bibi Fatima Zahra (s.a) +Picha

    Burundi | Msikiti wa Imam Zaynul Aabidin (a.s) Buyenzi, waandaa Majlisi ya Maombolezo ya Shahada ya Bibi Fatima Zahra (s.a) +Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Majlisi ya Maombolezo kwa mnasaba wa kukumbuka na kuhuisha siku ya kuuwawa kishahidi Bibi Fatima Zahra (a.s), lilifanyika katika Msikiti wa Imam Zaynul Aabidin (a.s) uliopo Buyenzi, katika Jiji la Bujumbura, upande wa Magharibi mwa Burundi. Nchini Burundi. Tukio hilo lilihudhuriwa na waumini wengi wa kiume na wa kike ambao walikusanyika kuhuisha kumbukumbu hii chungu na kujifunza mafunzo muhimu kutokana na maisha ya Mwanamke huyu bora zaidi kuliko Wanawake wa ulimwengu mzima, bali mbora wa Wanawake wote wa Peponi. Majlisi ilianza kwa kisomo kitukufu cha Qur’ani Tukufu, kisha zikasomwa marsia na Maatam, na mashairi ya maombolezo yaliyoelezea kwa uchungu sehemu ya dhulma na mateso aliyoyapitia Sayyidat Fatima Zahra (a.s). Baadaye, khatibu alitoa hotuba yenye mwanga wa kiroho iliyoangazia fadhila za Bibi Zahra (a.s), nafasi yake ya kitablighi katika Uislamu, na msimamo wake wa kuutetea Uislamu na Uimamu. Baada ya hotuba, waumini walinyanyua mikono yao kwa dua na kuomba huruma za Mwenyezi Mungu, na Baraza (Majlis) likahitimishwa kwa kumswalia na kumuombea rehma na Amani Mtume wetu Muhammad na Aali zake Muhammad, sambamba na Dua ya kuomba kuruzukiwa Shafaa (Maombezi) ya Bibi Zahra (a.s) Siku ambayo mali wala watoto havitofaa chochote.

    2025-11-25 18:53
  • Malawi | Maadhimisho ya Shahada ya Bibi Fatima Zahra (sa) Yafanyika katika Shule (Hawzah) ya Al-Imam Al-Hadi (as) +Picha

    Malawi | Maadhimisho ya Shahada ya Bibi Fatima Zahra (sa) Yafanyika katika Shule (Hawzah) ya Al-Imam Al-Hadi (as) +Picha

    Msiba wa Bibi Fatima (sa) ni miongoni mwa misiba mikubwa zaidi katika historia ya Uislamu.Msiba huu unafichua watu waliopotoka na kusimama dhidi ya haki.

    2025-11-24 18:31
  • Maombolezo ya Shahada ya Bibi Fatima Zahra (a) Yakihudhuriwa na Ayatollah Karimi Jahromi Huko Isfahan -Iran +Picha

    Maombolezo ya Shahada ya Bibi Fatima Zahra (a) Yakihudhuriwa na Ayatollah Karimi Jahromi Huko Isfahan -Iran +Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Sambamba na maadhimisho ya siku ya shahada ya Bibi Fatima Zahra (a), Ayatollah Karimi Jahromi leo mchana, siku ya Jumatatu (3 Azar 1404), aliungana na kundi la waombolezaji wa mjini Isfahan katika matembezi ya maombolezo. Hafla hiyo ilianza kutoka nyumbani kwa marehemu Ayatollah Tajwidi na kuelekea Msikiti wa marehemu Ayatollah Imami uliopo katika barabara ya Abdul-Razzaq, ambako waombolezaji waliendelea na kusoma maombolezo na kuomboleza kumbukumbu ya Bibi Zahra (a).

    2025-11-24 15:32
  • Usiku wa Kwanza wa Maombolezo ya Kuadhimisha Shahada ya Bibi Fatimah (a.s), Kwa Uongozi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Khamenei +Picha

    Usiku wa Kwanza wa Maombolezo ya Kuadhimisha Shahada ya Bibi Fatimah (a.s), Kwa Uongozi wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatollah Khamenei +Picha

    Marasimu hiyo ni sehemu ya mfululizo wa maombolezo yanayotarajiwa kuendelea kwa siku kadhaa katika maeneo mbalimbali ya Iran, ambapo waumini hujitokeza kumuenzi Bibi Fatimah (a.s) kwa ibada, matamko ya huzuni na ufafanuzi wa mafundisho yake.

    2025-11-23 22:46
  • Usiku wa Pili wa Majlisi ya Kumbukumbu ya Shahada ya Hazrat Fatima Fatima al-Zahra (SA) wahuishwa Jijini Baghdad +Picha

    Usiku wa Pili wa Majlisi ya Kumbukumbu ya Shahada ya Hazrat Fatima Fatima al-Zahra (SA) wahuishwa Jijini Baghdad +Picha

    Waombolezaji walijitokeza kwa wingi huku wakionesha mapenzi yao kwa Mtume (s.a.w.w) na kizazi chake kitoharifu, na kusisitiza umuhimu wa kuhuisha kumbukumbu hii katika kila mwaka.

    2025-11-23 20:29
  • Ndoa ni Baraka | Hafla ya Ndoa Kigoma: Sheikh Hussein Moshi Abdullah Awahimiza Waislamu Kuheshimu Sunna ya Ndoa +Picha

    Ndoa ni Baraka | Hafla ya Ndoa Kigoma: Sheikh Hussein Moshi Abdullah Awahimiza Waislamu Kuheshimu Sunna ya Ndoa +Picha

    Sheikh Hussein Mosh Abdullah i alieleza kuwa, kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, ndoa inaleta baraka, upendo, na mshikamano wa familia, na ni njia ya kujiepusha na maovu katika jamii. Aidha, aliwahimiza wanandoa kuijenga misingi ya ndoa yao juu ya heshima, subira, mawasiliano mazuri, na kumcha Mungu katika kila hatua ya maisha yao.

    2025-11-23 20:07
  • Warsha ya Siku 2 kwa Wakuu na Wasimamizi wa Elimu, Utamaduni wa Shule Zinazohusiana na kushirikiana za Tanzania, Malawi, Burundi na Zanzibar yafanyika

    Warsha ya Siku 2 kwa Wakuu na Wasimamizi wa Elimu, Utamaduni wa Shule Zinazohusiana na kushirikiana za Tanzania, Malawi, Burundi na Zanzibar yafanyika

    Hujjatul Islam Taqavi, katika Hotuba yake aligusia fursa, changamoto na mikakati ya kukabiliana nazo katika nyanja za elimu, utafiti na utamaduni, na kusisitiza umuhimu wa kupanga kwa umakini na ufanisi.

    2025-11-23 19:39
  • Habari Pichani | Uchambuzi wa Utafiti Kuhusu Nafasi ya Mwanamke katika Kuandaa Njia ya Kufufuka kwa Imam

    Habari Pichani | Uchambuzi wa Utafiti Kuhusu Nafasi ya Mwanamke katika Kuandaa Njia ya Kufufuka kwa Imam

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Jumuiya ya Kimataifa ya Hazrat Ali Asghar (a.s) kwa mara ya kwanza imewasilisha na kuchambua matokeo mapya ya utafiti wake kuhusu (mchango au) jukumu la malezi na maandalizi la Mwanamke katika kufanikisha kudhihiri kwa Imam wa zama (atfs), pamoja na matokeo mapya ya utafiti kuhusu Kanzu ya Imam Hussein (a.s). Hafla hiyo ilifanyika asubuhi ya leo Ijumaa, 21 Novemba 2025, katika chumba cha ibada cha Hazrat Zahra (sa), katika Haram ya Hazrat Fatima Masoumeh (sa), kwa ushiriki wa wanawake wenye elimu na maarifa pamoja na heshima kubwa.

    2025-11-21 13:56
  • Kwa nini droni ya Shahed-161 ya inaashiria hatua kubwa ya Iran katika teknolojia ya ulinzi ya kujitegemea

    Kwa nini droni ya Shahed-161 ya inaashiria hatua kubwa ya Iran katika teknolojia ya ulinzi ya kujitegemea

    Droni hii inaonekana kama ishara ya kuruka kwa teknolojia ya ulinzi ya Iran, ikionyesha kuwa nchi imepiga hatua kubwa katika kutengeneza mifumo ya kijeshi ya kisasa kwa kutumia ujuzi na rasilimali zake za ndani.

    2025-11-19 18:09
  • Habari Pichani | Ziara ya Naibu Mwenyekiti wa Majlisi ya Wahdatul Muslimin Pakistan katika Shirika la Habari la Kimataifa la ABNA

    Habari Pichani | Ziara ya Naibu Mwenyekiti wa Majlisi ya Wahdatul Muslimin Pakistan katika Shirika la Habari la Kimataifa la ABNA

    Hujjatul-Islam Sayyid Ahmad Iqbal Rizvi, Naibu Mwenyekiti wa Majlisi ya Wahdatul Muslimin Pakistan, katika Ziara yake alikagua idara mbalimbali za shirika hilo la ABNA na kisha kufanya mahojiano na waandishi wa habari wa ABNA.

    2025-11-19 17:42
  • Ripoti ya Mitihani ya Mwisho wa Mwaka 2025 - Hujjatul Asr Society of Tanzania +Picha

    Ripoti ya Mitihani ya Mwisho wa Mwaka 2025 - Hujjatul Asr Society of Tanzania +Picha

    Kwa taufiki ya Mwenyezi Mungu (s.w.t), mitihani yote imeendeshwa kwa utaratibu uliopangwa na kukamilika kwa mafanikio. Uongozi wa madrasa mbalimbali umeonyesha ushirikiano mkubwa, huku walimu na wasimamizi wakifanya kazi kwa uadilifu na bidii kuhakikisha kwamba kila hatua ya zoezi hili inafanikishwa kwa ufanisi.

    2025-11-18 23:24
  • Habari Pichani | Mkutano wa Habari wa Maadhimisho ya Wiki ya Basij ya Mwaka wa 46

    Habari Pichani | Mkutano wa Habari wa Maadhimisho ya Wiki ya Basij ya Mwaka wa 46

    Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA-, Mkutano wa habari wa maadhimisho ya Wiki ya Basij ya mwaka wa 46 pamoja na uzinduzi wa kampeni ya “Khat Amin 2” ulifanyika leo Jumanne, tarehe 18 Novemba 2025, katika Jengo la Utamaduni na Mafunzo ya Hazrat Zahra (S) mjini Tehran. Mkutano huu ulihudhuriwa na Sardar Hossein Maroufi, Naibu Mratibu wa Shirika la Basij la Wanyonge, pamoja na waandishi wa habari kutoka vyombo vya ndani na nje ya nchi.

    2025-11-18 22:20
  • Malawi | Majlis ya Kuadhimisha Kifo cha Abdul-Muttalib (a.s) +Picha

    Malawi | Majlis ya Kuadhimisha Kifo cha Abdul-Muttalib (a.s) +Picha

    Utambulisho wa Abdul-Muttalib (a.s): Alikuwa kiongozi mashuhuri wa Quraysh, mwenye hekima, heshima na hadhi kubwa katika jamii ya wakati wake. Alisimama kama nembo ya uadilifu na busara miongoni mwa Waarabu wa zama za kabla ya Uislamu.

    2025-11-18 17:28
  • Hawzat Imam Zainul Aabidin (as) - Burundi | Mitihani ya Mwisho wa Muhula wa Pili -2025 +Picha

    Hawzat Imam Zainul Aabidin (as) - Burundi | Mitihani ya Mwisho wa Muhula wa Pili -2025 +Picha

    Kwa ujumla, mitihani ya leo imeendeshwa kwa mafanikio makubwa. Waalimu wameeleza kuridhika kwao na juhudi za wanafunzi, huku wakitarajia matokeo mazuri yatakayoendana na bidii waliyoionyesha wakati wa maandalizi.

    2025-11-18 17:00
  • Kifo cha Mwanafunzi (Jabir Madua) wa Jamiatul Mustafa - Dar-es-salaam, Tanzania | Na Hadithi ya Mtume(saww) kuhusu Vifo vya Watafutaji wa Elimu +Picha

    Kifo cha Mwanafunzi (Jabir Madua) wa Jamiatul Mustafa - Dar-es-salaam, Tanzania | Na Hadithi ya Mtume(saww) kuhusu Vifo vya Watafutaji wa Elimu +Picha

    Mtume wa Darja Muhammad (rehema na amani zimshukie yeye na Ahlulbayt wake watoharifu) anasema kuhusiana na Mwanafunzi atakafariki akiwa katika Harakati za kuitafuta Elimu ya Dini: “Itakapomjia mauti Mwanafunzi wa Elimu akiwa katika hali hii, hufa akiwa shahidi.” Hadithi hii inaonyesha utukufu wa elimu na cheo kikubwa alichopewa anayejitolea kwa dhati katika kuijua dini na kuitumikia jamii kwa mwanga wa Qur’ani na mafundisho Safi ya Ahlul-Bayt (a.s).

    2025-11-18 15:50
  • Habari Pichani | Maonyesho ya “Basirat Fatimiyya” huko Qom

    Habari Pichani | Maonyesho ya “Basirat Fatimiyya” huko Qom

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Sambamba na kuadhimisha siku za Fatimiyya, maonyesho ya kumi na tano ya “Basirat Fatimiyya” yameanza kufanyika kwa kuonesha tamthilia kuhusu dhulma, madhila, masaibu na upweke wa Bibi Fatima Zahra (S.A). Maonyesho haya yameandaliwa na kundi la kijihadi la “Roshd” kwa ajili ya kueneza elimu na maarifa sahihi ya kidini.

    2025-11-17 21:15
  • Habari Pichani: Hizbullah na Wafuasi wa Muqawama Wamzika Shujaa Samir Faqih katika Kijiji cha Srifa

    Habari Pichani: Hizbullah na Wafuasi wa Muqawama Wamzika Shujaa Samir Faqih katika Kijiji cha Srifa

    Harakati ya Hizbullah pamoja na wakazi wa kijiji cha Srifa, Kusini mwa Lebanon, wamefanya mazishi makubwa ya kishujaa kwa mwanamapambano Samir Faqih. Mazishi hayo yaliambatana na kaulimbiu kali dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, huku umma ukitoa uungaji mkono wao kwa Gaza na Palestina. Katika matembezi ya mazishi, kulikuwepo makundi ya Skauti, viongozi wa dini, na maelfu ya waombolezaji walioandamana hadi makaburi ya kijiji hicho, ambako mwili wa shujaa Samir Faqih ulipelekwa kwa heshima na kuzikwa katika ardhi ya kwao.

    2025-11-17 17:53
  • Habari Pichani | Mashabiki 50,000 wa Uhispania Wabadilisha Uwanja wa Michezo Kuunga Mkono Palestina

    Habari Pichani | Mashabiki 50,000 wa Uhispania Wabadilisha Uwanja wa Michezo Kuunga Mkono Palestina

    Kulingana na Shirika la Habari la AhlulBayt (as) -ABNA-, zaidi ya mashabiki 50,000 waliokuwepo katika mechi ya kirafiki kati ya timu ya Palestina na timu ya Basque ya Uhispania, walibadilisha uwanja wa michezo kuwa jukwaa la kuonyesha msaada wao kwa Wapalestina. Waliokuwepo, wakipiga kelele na kuimba kauli za kuunga mkono Palestina na wakiwa na mabango na bendera za Palestina, walionyesha mshikamano wao na wananchi wa Ghaza.

    2025-11-16 20:21
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • Next
Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom