-
Habari Pichani | Sherehe za Kuanzishwa kwa Mwaka Mpya wa Masomo katika chuo cha Jami'at al-Zahra (s.a) na Vyuo vya Dini vya Wanawake - Iran
Shirika la Habari la Kimataida la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Sherehe za kuanza mwaka mpya wa masomo katika Chuo cha Kidini cha Jami'at al-Zahra (s.a) na Vyuo vya Dini vya Wanawake zimefanyika leo hii, Jumanne tarehe tarehe 16-09-2025, zikiongozwa na hotuba ya Ayatollah Araafi, Rais wa Baraza la Sera la Vyuo vya Dini vya Wanawake.
-
Hadhara ya Maulid ya Mtume (saww) Mjini Arusha +Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Jana tarehe 13/09/2025 imefanyika Maulid adhimu ya Kuzaliwa kwa Mtume Wetu Muhammad (s.a.w.w) chini ya Taasisi ya Ahlul-Bayt (as) Jijini Arusha. Waumini wengi wamejitokeza Katika hadhara hii kusikiliza Sifa na Mafundisho bora ya Mtume Muhammad (saww). Mwenyezi Mungu awaangazi maisha yao wale wote walioandaa Majlisi hii na wote walishiriki katika Majlisi hii kwa ajili ya kuhuisha kumbukumbu ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (s.a.w.w).
-
Maadhimisho ya Kuzaliwa kwa Heri ya Mtume Mtukufu Muhammad (s.a.w.w)
Kilichoongeza nuru na baraka zaidi katika sherehe hii ya Kuzaliwa kwa Mtume Muhammad (s a.w.w) ni ushiriki wa ndugu zetu Waislamu wa Madhehebu ya Kisunni, hususan wafuasi wa Madhehebu ya Shafi‘i, ambao walihudhuria kwa heshima kubwa na kushirikiana katika hafla hii ya umoja na mapenzi kwa Mtume wa Uislamu wote.
-
Jamiat Al-Mustafa - Malawi | Sherehe ya Kuzaliwa kwa Mtume Mtukufu Muhammad (s.a.w.w) na Imam Ja‘far as-Sadiq (a.s) +Picha
Sherehe hii ilihitimishwa kwa hali ya kiroho, upendo na nuru, na kwa mara nyingine tena, nyoyo za wapenzi wa Mtume wa Rehema (s.a.w.w) na Imam as-Sadiq (a.s) ziliunganishwa pamoja. Tunatarajia kwamba sherehe kama hizi ziendelee kuwa chachu ya kuimarisha imani, mshikamano na hamasa ya elimu katika jamii ya Kiislamu.
-
Picha: Sherehe za Kuzaliwa Mtume na Kumbukumbu ya Viongozi wa Kishia wa Pakistan Waliokuwa Marehemu Qom
Ayatollah Reza Ramezani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul_Bayt (AS), alitoa hotuba muhimu katika mkusanyiko huo iliyohusiana na Mnasaba huo.
-
Habari Picha: Maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran wakutana na wageni wa Kongamano la Umoja wa Kiislamu Jijini Tehran
Kwa Mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Jana kulifanyika kikao kati ya maafisa wa Wizara ya Mambo ya Nje na wanazuoni na wanafikra walioshiriki katika Kongamano la 39 la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu lililohudhuriwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Abbas Araqchi.
-
Ripoti kwa Picha | Mkutano wa 39 wa Kimataifa wa Umoja wa Kiislamu - Tehran, Iran
Mkutano huo unasimamiwa na Baraza la Kuleta Maelewano kati ya Madhehebu za Kiislamu, na kauli mbiu ya mwaka huu ni: "Mtume wa Rehma na Umma Mmoja."
-
Chuo cha Al-Mustafa Tanzania Chasherehekea Wiki ya Umoja wa Kiislamu na Maulidi ya Mtume Muhammad (saww) na Imam Ja'far Sadiq (as) + Picha
Tunawashukuru sana washiriki wote wa tukio hili tukufu. Mwenyezi Mungu awabariki nyote kwa kuonyesha Mapenzi yenu makubwa kwa Mtume Muhammad (Rehma na Amani ziwe juu yake) na Aali zake Muhammad.
-
Picha nzuri za Gwaride la Kijeshi | Kuanzia Mashujaa hadi Makombora ya Kasi ya juu – China yaadhimisha miaka 80 tangu Vita vya Pili vya Dunia
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Kiongozi wa China Xi Jinping, Rais wa Urusi Vladimir Putin, na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un wamesimama pamoja hadharani kwa mara ya kwanza katika gwaride la kijeshi lililofanyika katika Uwanja wa Tiananmen, kuadhimisha mwisho wa Vita vya Pili vya Dunia.
-
Ripoti ya Picha | Hafla ya Tatu ya Kitaifa ya Kuwatambua na Kuwapongeza Wafanyakazi na Wadau wa Misikiti Nchini +Picha
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) –ABNA– Mkutano wa Tatu wa Kitaifa wa Kuwatambua na Kuwapongeza Wahudumu na Waendeshaji wa Misikiti kote nchini, ukiwa na kauli mbiu ya “Kama Nusrullah”, umefanyika asubuhi ya leo Jumatano, tarehe 20 Agosti, 2025 katika ukumbi wa Shabistan ya Imam Ali (a.s) ndani ya Msikiti Mtukufu wa Jamkaran (Nchini Iran), kwa kuhudhuriwa na viongozi wa kitaifa na wa kijeshi.
-
Jamiatul-Mustafa (s) - Dar-es-Salaam | Sehemu Kuu za Kiwanda cha Umeme wa Nyuklia (Nuclear Power Plant Components) +Picha
Mitambo ya nyuklia ni mifumo changamano inayotumia mgawanyiko wa atomu kuzalisha joto, ambalo baadaye hubadilishwa kuwa umeme. Usalama na udhibiti ni vipengele muhimu sana kwa kuhakikisha hakuna mionzi inayoathiri mazingira.
-
Habari Pichani | Usiku wa Arubaini Huko Karbala: Kilele cha Shauku na Mapenzi kwa Imamu Hussein (a.s) – Sehemu ya 1
Usiku wa Arubaini ya Imam Hussein (as) si tu ni kumbukumbu ya huzuni, bali pia ni mlipuko (uongezekaji) wa imani, mshikamano, na mapenzi ya dhati na ya haki kwa Mjukuu wa Mtume wetu Muhammad(s.a.w.w), Al-Imam Al-Hussein (as). Karbala, kwa mara nyingine tena, imekuwa kitovu cha umma wa Kiislamu duniani.
-
Majlisi ya Arubaini ya Aba Abdillāh al-Ḥusayn (a.s) na Mashahidi wa Karbala yafanyika Mjini Moshi +Picha
Sheikh Suleiman Abdul, ambaye alihutubia waumini kuhusu mafundisho na thamani za kudumu za mapambano ya Imam Hussein (a.s).
-
Taasisi za Kijamii Nchini Tanzania Zaandaa Tukio la Uchangiaji Damu kwa Heshima ya Arubaini ya Imam Hussein (as) +Picha
Bw. Xavery Kapinga, Mtaalamu wa Maabara: "Damu huhitajika zaidi na wakina mama wakati wa kujifungua, waathirika wa ajali, na wagonjwa wa selimundu (sickle cell)".
-
Mkutano wa Wanazuoni na Wasomi wa Nchi Mbalimbali na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) katika Mji wa Karbala + Picha
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) –ABNA – Sambamba na maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) na uwepo wa Ayatullah Reza Ramezani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) katika mji mtukufu wa Karbala, kundi la wanazuoni, wasomi na wanaharakati wa kidini na kiutamaduni kutoka nchi mbalimbali walikutana naye kwa nyakati tofauti na kufanya mazungumzo.
-
Majlisi ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) Yafanyika Katika Msikiti Mkubwa wa Burundi +Picha
Tunajifunza somo la kutetea Ukweli na Haki, na kuitokomeza batili kupitia Harakati ya Mapinduzi ya Imam Hussein (as), kiasi kwamba kila Muislamu na kila Mwanadamu aliye huru anapopinga batili, basi anakuwa anahuisha somo hilo la kihusseini.
-
Ziara ya Arubaini: Sahaba wa Mtume (s.a.w.w) Jabir bin Abdillah Al-Ansar na Kumbukumbu ya Mashahidi wa Karbala + Picha
Waislamu duniani kote wanaendelea kumzuru Imam Hussein (AS) na kufuata Njia yake ya kupigania Haki na Ukweli. Katika majlisi hizi, waumini huomba dua kwa Mwenyezi Mungu awaondolee shida, maradhi na dhiki, na awafungulie milango ya riziki na baraka.
-
Habari Pichani | Uwepo wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (a.s) Katika Njia ya Matembezi ya Arbaeen ya Hussein(as) +Picha
Ayatollah Ramezani alitembelea baadhi ya Mawkib za kimataifa katika njia hii na kutoa shukrani kwa wale wote wanaoshiriki katika utumishi na Huruma kwa Mazuwwari wa Aba Abdillah al-Hussein (a.s).
-
Katibu Mkuu katika Mawkib na Husainiya ya Watu wa Kuwait kwenye Msambazo wa 799 kutoka Najaf hadi Karbala
Mawkib ya Kuwait kwa ukarimu na moyo mkunjufu, wamesaidia kuunda mazingira ya kiroho yaliyojaa upendo kwa Mazuwwari, na Husainiya yao imegeuka kuwa moja ya sehemu zenye shughuli nyingi zaidi katika njia ya Matembezi ya Arubaini.
-
Ushiriki wa Ayatollah Bashir Hussein Najafi katika MatembezI ya Arbaeen Husseini + Picha
Katika tukio hilo, amesisitiza juu ya umuhimu wa kufanya ziara ya Imam Hussein (a.s) katika siku za Arbaeen na kudumisha thamani za kujitolea, uthabiti na imani.
-
Picha | Harufu Nzuri ya Bara Jeusi Kwenye Njia ya Mapenzi; Maukibu ya Kitamaduni ya Wapenzi wa Hussein as Yawakaribisha Mazuwwari wa 40 Nguzo No: 379
Maukibu hii, iliyoanzishwa kwa jitihada za Sheikh Ismail Bokassa pamoja na kundi la wanaharakati wa kitamaduni, imepokea kwa shangwe kubwa wageni wa ziara na familia, na inasimulia uhusiano wa kina kati ya Afrika na harakati ya Ashura.
-
Taarifa kwa Picha | Mkutano wa Kimataifa wa Arubaini, Umoja wa Kiislamu na Masuala ya Uislamu Duniani + Picha
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA- Mkutano wa Kimataifa wenye mada ya “Arubaini, Umoja wa Kiislamu na Masuala ya Uislamu Duniani” umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa *Bwana Mtukufu Khātam al-Awsiyaa (s.a) ndani ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (a.s), mjini Karbala al-Muqaddasah, kwa ushiriki wa kundi la wanazuoni kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu, siku chache kabla ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s).
-
Darasa la Kompyuta lafanyika katika Shule ya Imam Zainul-Abidina (as) Nchini Burundi - Chini ya Usimamizi wa Jamiat Al-Mustafa (s) +Picha
Shule ya Imam Zaynul Aabidin (A.S) imekuwa mstari wa mbele katika kutoa elimu yenye mchanganyiko wa mafunzo ya dini na maarifa ya kisasa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya vijana wa Kiislamu kuikabili dunia ya leo kwa maarifa na imani.
-
Maadhimisho ya Siku ya Arubaini ya Mashahidi wa Astaneh Ashrafieh waliouawa katika mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni + Picha
Katika hafla hiyo, Ayatullah Reza Ramezani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s), alikuwa mzungumzaji mkuu. Aidha, kabla ya kuanza kwa hafla hiyo, Ayatullah Ramazani alitembelea mahali walipouawa mashahidi hao wa thamani.
-
Habari Pichani | Hatua inayofuata ya mwisho wa mashindano ya wakfu wa Qur’an katika mwezi wa Shiraz
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Hatua ya Mkoa ya Mashindano ya 48 ya Qur'an Tukufu ya Jumuiya ya Wakfu ilifanyika katika Haram ya Sayyid Alauddin Hussein (AS) katika Mji wa Shiraz.
-
Mazungumzo ya wataalam na ABNA katika mkutano "Harakati za Husseini na Mhimili wa Upinzani: Kufanana na Tofauti za Machafuko ya Milele + Picha
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul Bayt (as) -ABNA-, Wataalam wa kike Dkt. Unsiyya Khazali, Naibu wa Rais wa zamani wa masuala ya wanawake na familia, Dkt. Tayyiba Rabbani, Profesa wa seminari na Chuo Kikuu na Mmisionari (Mwana Tabligh) wa Kimataifa, na Fatima Jaiwani, Mhadhiri na Mwanaharakati wa Kimataifa kutoka Pakistan, waliwasilisha maoni yao katika kikao cha "Harakati za Hussein (as) na Mhimili wa Upinzani: Kufanana na Tofauti za Intifada ya Milele" katika Shirika la Habari la ABNA.
-
Masira ya Tasu'a Jijini Arusha yalifanyika kwa hamasa kubwa na Waumini walijitokeza Kwa wingi kuhuisha Shahada ya Imam Hussein (as) + Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Sheikh Abdallah Khamis Salum akiwahutubia waumini na wale wote waliokua wakiyaona na kuyasikia maandamano ya amani katika kumbukizi ya Shahada ya Imamu Hussein (a.s) jijini Arusha. Ni Masira ya tarehe 9 Muharam 1447H sawa na tar 5 /7/2025. Waumini wengi Wafuasi na Wapenzi wa Ahlul-Bayt (as) walijitokeza Kwa wingi katika Maandamano haya.
-
Maadhimisho ya Shahadat ya Imam Hussein (as) Singida | Singida yote ni: Labayka ya Hussein! Labayka ya Hussein! Labayka ya Hussein! + Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA- Imamu Hussein alayhi Salamu aliposema; هل من ناصر ينصررنا! هل عمغيث يغيثنا Eheee Je kuna yeyote anayetaka kitunusuru atumusuru? Eheee Je kuna yeyote anayetaka kutusaidia aje atusaidie? Singida wakasema Labayka ya Hussein! Labayka ya Hussein! Labayka ya Hussein! Yazid na udanganyifu wake Singida hana nafasi
-
Matembezi ya Amani ya kumbukumbu ya Shahada ya Imam Hussein (as) yamefanyika kwa mafanikio makubwa Jijini Arusha- Tanzania + Picha
Muharram - Arusha - 1447H / 2025 Matembezi ya Amani ya A'shura - Jijini Arusha - Tanzania katika Kumbukumbu ya Shahada ya Imam Hussein (a.s) yalifanyika Jana Tarehe 06-07-2025 yakibeba kauli Mbiu: "KARBALA, SIRI YA USHINDI WETU"
-
Taasisi ya Sayyid Al_Shuhadaa | Yafanikisha Matembezi Makubwa ya Amani ya A'shura Jijini Arusha - Tanzania + Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt(as) -ABNA- Matembezi ya Amani ya A'shura Jijini Arusha - Tanzania Yalioandaliwa na Taasisi ya Sayyid Al_Shuhadaa yalifanikiwa kwa mafanikio makubwa yakiambatana na Kauli Mbiu: (Amani ni Msingi wa Maisha).