-
Ripoti Pichani | Marasimu ya Mkeshi wa Mwezi 19, katika Hawza ya Imam Sadiq (a.s), Kigogo, Dar-es-Salam, Tanzania
Waumini wa Madhehebu ya Shia Ithna Ashari, wamejitokeza kwa wingi katika Mkesha wa Usiku wa 19 wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan, uliofanyika Katika Hawza ya Imam Sadiq (a.s), ndani ya Masjidul Ghadir, Kigogo, Post, Dar-es-Salam, Tanzania.
-
Ripoti ya Picha | Kuhuishwa kwa Usiku wa 19 Ramadhan, Jijini Arusha-Tanzania, ambao ni Usiku wa Mwanzo wa Kifo cha Kishahidi cha Sayyidna Ali (a.s)
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA-: Waumini na wafuasi wa Ahlul-Bayt (a.s) Jijini Arusha, Tanzania, wamehuisha Usiku Mtukufu wa wa 19 wa Ramadhan katika Husseiniyya ya Imam Ridha (as). Usiku huu ndio Usiku ambao Amirul Muuminina Ali (a.s) alipigwa upanga kichwani akiwa ndani ya Msikiti na akiswali Swala ya Al-fajiri. Laana iwe juu ya Ibn Muljim aliyefanya tukio hili lenye kuziumiza nyoyo za Waumini. Katika picha ni Mkesha wa Kwanza wa Lailatul-Qadr ambao umeambatana na Dua mbalimbali za Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.
-
Ripoti ya Picha | Marasimu ya hisia kuhuisha Usiku wa 19 wa Ramadhani huko Mazar-i-Sharif
Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (A.S) - Abna - Hafla ya ya kuhuisha Usiku wa 19 wa Ramadhan imefanyika kwa hisia na shauku kubwa ya wafuasi wa Amirul Momineen (a.s) katika Msikiti wa Soltanieh huko Mazar-e-Sharif, Afghanistan.
-
Ripoti ya Picha | Usomaji wa Qur'an Tukufu huko Kandahar, Afghanistan
Kwa mujibu wa ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahl al-Bayt (A.S.) - Abna - Programu ya kisomo cha Qur'an Tukufu hufanyika kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika Msikiti wa Sadeghieh wa Kandahar, Afghanistan.
-
Ufunguzi wa Husseiniyyah Mpya - Jijini Arusha, Tanzania
Kwa mujibu wa Ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA-: Leo hii (jana 17/3/2025) kumefanyika tukio muhimu kwa wafuasi wa Madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s) Jijini Arusha, nalo ni ufunguzi wa Husseiniyyah Mpya kwa jina la Imamu Ridha (a.s), chini ya Usimamizi wa Taasisi ya Sayyid al-Shuhadaa (a.s), inayoongozwa na Samahat Sheikh Maulid Hussein Kundya.
-
Darul-Qur'an yafunguliwa Arusha
Kwa mujibu wa ripoti ta Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) - ABNA -: Leo hii tarehe 16 Machi, 2025, Taasisi ya Sayyid al-Shuhadaa Jijini Arusha, Tanzania, imezindua Kituo muhimu cha Qur'an Tukufu katika maeneo ya Ngarinaro.
-
Imam Khamenei: Kitendo chochote kibaya cha kijeshi cha Marekani na Mawakala wake, kitapata jibu thabiti na la uhakika
Imam Khamenei, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, alikutana na maelfu ya Wanafunzi wa vyuo vikuu, wawakilishi kutoka Jumuiya za Wanafunzi wa Kisiasa, Kijamii na Kiutamaduni na makundi mbalimbali ya Jihadi. Mkutano huo ulifanyika katika Husseiniyyah ya Imamu Khomeini (MA), mnamo Machi 12, 2025.