ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • Ayatollah Khamenei Akutana na Familia za Mashahidi, Aisisitiza Thamani ya Damu Tukufu za Mashahidi na Sadaka yao kwa Taifa +Picha

    Ayatollah Khamenei Akutana na Familia za Mashahidi, Aisisitiza Thamani ya Damu Tukufu za Mashahidi na Sadaka yao kwa Taifa +Picha

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, amekutana na familia za mashahidi katika mkutano uliojaa heshima na hisia za kina, akithibitisha mshikamano wa uongozi wa Jamhuri ya Kiislamu na kuthamini sadaka na nafasi ya mashahidi pamoja na familia zao.

    2026-01-03 16:04
  • Maandamano ya Kitaifa Iran: Wananchi Waonesha Uzalendo na Kuiunga Mkono Serikali ya Kiislamu +Picha

    Maandamano ya Kitaifa Iran: Wananchi Waonesha Uzalendo na Kuiunga Mkono Serikali ya Kiislamu +Picha

    Wananchi wa Iran wamefanya maandamano ya amani kote nchini kuadhimisha Dey 9, wakionyesha mshikamano wa kitaifa na uungaji mkono wao kwa serikali ya Kiislamu chini ya uongozi wa Ayatollah Ali Khamenei, huku wakikataa propaganda na njama za maadui wa Jamhuri ya Kiislamu.

    2026-01-02 23:55
  • Afrika Mashariki Yaaga Mwanachuoni Mkubwa: Mazishi ya Sheikh Ali Jumaa Mayunga Yafanyika Jijini  Dar es Salaam +Picha

    Afrika Mashariki Yaaga Mwanachuoni Mkubwa: Mazishi ya Sheikh Ali Jumaa Mayunga Yafanyika Jijini Dar es Salaam +Picha

    Kwa kuondokewa na Sheikh Ali Jumaa Mayunga, jamii ya Kiislamu Afrika Mashariki imepoteza hazina kubwa ya elimu na hekima. Hata hivyo, elimu yake, maandiko yake na athari zake zitaendelea kuishi na kuwanufaisha vizazi vijavyo, kama sadaka jariya isiyokatika matunda yake. Mwenyezi Mungu amsamehe madhambi yake, ampanulie kaburi lake, na amjaalie daraja za juu katika Pepo pamoja na waja Wake wema.

    2026-01-02 22:55
  • Hafla ya Kutimiza Maonyesho ya Orchestra ya "Iranmard" kwa Heshima ya Askari Qasem Soleimani +Picha

    Hafla ya Kutimiza Maonyesho ya Orchestra ya "Iranmard" kwa Heshima ya Askari Qasem Soleimani +Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Hafla ya kutimiza maonyesho ya Orchestra ya Iranmard, iliyopangwa kuenzi kumbukumbu ya askari shujaa wa Uislamu, Marehemu Jenerali Qasem Soleimani, kwa mtazamo wa kuhifadhi utambulisho wa taifa, kujitolea, na mshikamano wa kitamaduni, ilifanyika asubuhi ya siku Jumanne (30 Desewmba, 2025) katika Ukumbi wa Vahdat. Katika sherehe hii, Seyed Abbas Salehi, Waziri wa Utamaduni na Elimu ya Sanaa ya Uislamu, alikuwa miongoni mwa waliohudhuria na kutoa hotuba.

    2026-01-01 01:04
  • Maadhimisho Makubwa ya Siku ya Mwenyezi Mungu (Yawmullah) 9 Dey (30 Desemba) huko Isfahan +Picha

    Maadhimisho Makubwa ya Siku ya Mwenyezi Mungu (Yawmullah) 9 Dey (30 Desemba) huko Isfahan +Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Hafla ya maadhimisho ya Siku ya Mwenyezi Mungu (Yawmullah) 9 Dey (30 Desemba), iliyojikita katika kuimarisha uelewa (basira) na kulinda thamani za Mapinduzi ya Kiislamu, ilifanyika leo asubuhi, Jumanne, kwa ushiriki mkubwa wa wananchi wa mapinduzi pamoja na viongozi na maafisa, katika Uwanja wa Mapinduzi (Meydan-e Enqelab) jijini Isfahan.

    2025-12-31 23:39
  • Mkutano wa Diplomasia na Muqawama katika Msingi wa Shule ya Haji Qasem SoleimanI

    Mkutano wa Diplomasia na Muqawama katika Msingi wa Shule ya Haji Qasem SoleimanI

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Mkutano wa Kimataifa wa Diplomasia na Muqawama katika Shule ya HajI Qasem ulifanyika kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka sita tangu kuuawa shahidi Luteni Jenerali Haj Qasem Soleimani, siku ya Jumatatu tarehe 29 Desemba 2025, kwa ushiriki wa Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje, pamoja na idadi ya viongozi waandamizi wa kisiasa, wataalamu wa taasisi za utafiti (think tanks), na wasomi wa vyuo vikuu. Mkutano huo ulifanyika katika Kituo cha Tafiti za Kisiasa na Kimataifa cha Wizara ya Mambo ya Nje.

    2025-12-31 23:32
  • Kundi la Handala Ladai Kudukua Taarifa Nyeti Katika Simu ya Mkuu wa Ofisi ya Netanyahu na Kufichua Nyaraka Zenye Usiri Mkubwa +Picha

    Kundi la Handala Ladai Kudukua Taarifa Nyeti Katika Simu ya Mkuu wa Ofisi ya Netanyahu na Kufichua Nyaraka Zenye Usiri Mkubwa +Picha

    Handala hivi karibuni pia walidukua simu ya waziri mkuu wa zamani wa Israel, Naftali Bennett, na kutoa nyaraka na picha za kiongozi huyo, hatua inayoongeza wasiwasi kuhusu usalama wa mawasiliano ya viongozi wa Israel.

    2025-12-29 00:46
  • Wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Kongamano la Kumuenzi Ayatollah Sayyid Mohammad Hadi Milani Wakutana na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu +Picha

    Wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Kongamano la Kumuenzi Ayatollah Sayyid Mohammad Hadi Milani Wakutana na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu +Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Wajumbe wa kamati ya maandalizi ya kongamano la kumbukumbu kwa heshima ya Ayatollah Sayyid Mohammad Hadi Milani wamekutana na Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei, ambapo walijadili umuhimu wa kongamano hilo katika kuhifadhi na kuendeleza urithi wa kielimu, kidini na kijamii wa mwanazuoni huyo mashuhuri.

    2025-12-25 12:51
  • Marasimu ya Kumbukumbu ya Ayatullah Sayyid Muhammad Shahcheraghi huko Qom +Picha

    Marasimu ya Kumbukumbu ya Ayatullah Sayyid Muhammad Shahcheraghi huko Qom +Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Marasimu ya kumbukumbu ya Marehemu Ayatullah Sayyid Muhammad Shahcheraghi, aliyekuwa mwakilishi wa awali wa Wilayat al-Faqih na Imam wa Ijumaa wa zamani wa Semnan, ilifanyika Jumapili, 22 Desemba 2025 baada ya Sala ya Magharibi na Isha, katika Msikiti wa Imam Hasan Askari (A.S), kwa kuhudhuriwa na waalimu, viongozi mbalimbali wa kijamii, na makundi tofauti ya wananchi.

    2025-12-22 22:05
  • Kongamano la Kiislamu Kibaha Latoa Mafunzo ya Kina juu ya Uislamu wa Mtume Muhammad (s.a.w.w) +Picha

    Kongamano la Kiislamu Kibaha Latoa Mafunzo ya Kina juu ya Uislamu wa Mtume Muhammad (s.a.w.w) +Picha

    Kongamano hilo limeelezwa kuwa ni hatua muhimu ya kuimarisha uamsho wa kielimu na kiroho, huku Waandaji wakiahidi kuendelea kuratibu programu kama hizi ili kuendeleza malezi bora ya Kiislamu na kuimarisha umoja miongoni mwa Waumini.

    2025-12-22 00:06
  • Falah Islamic Development Yaendesha Kikao Maalumu cha Elimu ya Afya Kuhusu Hepatitis B na Umuhimu wa Chanjo

    Falah Islamic Development Yaendesha Kikao Maalumu cha Elimu ya Afya Kuhusu Hepatitis B na Umuhimu wa Chanjo

    Kwa ujumla, kikao hicho kilikuwa cha kuelimisha, kuvutia na chenye athari chanya, kikiwapa washiriki maarifa sahihi ya kitabibu pamoja na hamasa ya kuchukua hatua za kinga kwa ajili ya kulinda afya zao, familia zao na jamii kwa ujumla. Falah Islamic Development ilipongezwa kwa mchango wake katika kuhamasisha elimu ya afya na ustawi wa jamii.

    2025-12-21 11:07
  • Malawi | Hafla ya Usomaji wa Qur’an Tukufu +Picha

    Malawi | Hafla ya Usomaji wa Qur’an Tukufu +Picha

    Hafla hii ya kiroho imehudhuriwa na talaba / Wanafunzi pamoja na walimu wa Hawza na inalenga kukuza maadili ya Kiislamu, kuimarisha ibada, na kuongeza mapenzi na mshikamano kupitia kukaa pamoja chini ya kivuli cha Qur’ani Tukufu.

    2025-12-18 23:56
  • Taasisi ya Furqan Foundation yafungua Kisima cha Maji Namba 8 Katika Kijiji cha Mgomba, Ikwiriri, Rufiji +Picha

    Taasisi ya Furqan Foundation yafungua Kisima cha Maji Namba 8 Katika Kijiji cha Mgomba, Ikwiriri, Rufiji +Picha

    Taasisi ya Furqan Foundation imetoa shukrani za dhati kwa wafadhili waliowezesha mradi huu, na pia imetoa wito kwa wanakijiji kutunza na kusimamia kisima hiki, ili mradi huo uendelee kutoa manufaa ya muda mrefu na kuondoa adha ya ukosefu wa maji kama ilivyokuwa awali.

    2025-12-17 16:13
  • Urefu wa Rais Chapo wa Msumbiji Wazua Gumzo Nchini Italia: Waziri Mkuu wa Italia Georgia Meloni Abatizwa “Mini Meloni” Mitandaoni +Picha

    Urefu wa Rais Chapo wa Msumbiji Wazua Gumzo Nchini Italia: Waziri Mkuu wa Italia Georgia Meloni Abatizwa “Mini Meloni” Mitandaoni +Picha

    Licha ya mshangao wa Waziri Mkuu Meloni kutokana na umbo na urefu wa mgeni wake, wapigapicha nao walijikuta katika wakati mgumu, huku baadhi yao wakilazimika kulala chini ili kuwakamata viongozi hao wawili katika fremu moja ya picha.

    2025-12-17 15:21
  • Kiongozi Sheikh Ibrahim Zakzaky (M.A) ametembelea Haram ya Imam Khomeini (RA) Siku ya Jumanne Jijini Tehran +Picha

    Kiongozi Sheikh Ibrahim Zakzaky (M.A) ametembelea Haram ya Imam Khomeini (RA) Siku ya Jumanne Jijini Tehran +Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA-; Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Nchini Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky (Allah Amhifadhi) ametembelea Haram ya Imam Khomeini (RA) Siku ya Jumanne katika Jiji la Tehran. Katika ziara hiyo, Sheikh Zakzaky (M.A) alitoa heshima zake katika Haram ya Mwanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Ruhollah Khomeini (RA), huku akitafakari urithi wake wa mapambano, uadilifu na kusimamia haki za wanyonge. Ziara hiyo inaashiria mshikamano wa kifikra na kiroho pamoja na kuthamini mchango wa Imam Khomeini (RA) katika historia ya Uislamu na harakati za Kiislamu duniani.

    2025-12-17 15:12
  • Baraza la Utamaduni la Ubalozi wa Iran Nairobi Laadhimisha Maulid ya Sayyidat Fatima Zahra (s.a), Siku ya Mama na Heshima ya Mwanamke +Picha

    Baraza la Utamaduni la Ubalozi wa Iran Nairobi Laadhimisha Maulid ya Sayyidat Fatima Zahra (s.a), Siku ya Mama na Heshima ya Mwanamke +Picha

    Maadhimisho hayo yalionesha urithi mkubwa na wa kina wa Sayyida Fatima Zahra (a.s) katika Uislamu, pamoja na umuhimu wake wa kudumu kama kielelezo bora katika maisha ya kidini ya kizazi cha sasa. Siku hii pia huadhimishwa kama Siku ya Mama, kuwakumbuka na kuwaheshimu akina mama, mabibi, dada na wanawake kwa ujumla.

    2025-12-17 14:16
  • Sherehe ya Taklifu ya maelfu ya wasichana wa Iraq katika Haram ya Maimamu Wawili Askariyayn (a.s)

    Sherehe ya Taklifu ya maelfu ya wasichana wa Iraq katika Haram ya Maimamu Wawili Askariyayn (a.s)

    Hafla hiyo ilitawaliwa na hali ya kiroho, furaha na fahari, ikionyesha umuhimu wa malezi ya kidini na kimaadili kwa kizazi kipya cha jamii ya Iraq, kwa kuzingatia mfano bora wa Sayyida Fatima Zahra (a.s) katika maisha, maadili na utiifu kwa Mwenyezi Mungu.

    2025-12-16 12:39
  • Dodoma - Darul - Muslimeen | Sherehe ya Kuhitimu kwa Wanafunzi (Watoto) wa Thaqalayn Nursery School (2025) +Picha

    Dodoma - Darul - Muslimeen | Sherehe ya Kuhitimu kwa Wanafunzi (Watoto) wa Thaqalayn Nursery School (2025) +Picha

    Dar-ul-Muslimeen inajivunia kuona wanafunzi wake wakisoma na kukua kwa heshima, huku wakikuza kujiamini kuchunguza mawazo mapya, kuuliza maswali yenye maana, na kufuatilia Elimu na Maarifa kwa shauku kubwa. Tunaamini kuwa kulea maarifa tangu utotoni kunawawezesha watoto si tu kufanikiwa kishule na kitaaluma, bali pia kuchangia kwa njia chanya katika jamii na taifa kwa ujumla.

    2025-12-15 00:41
  • Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, China na Saudi Arabia Wafanyika Tehran +Picha

    Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, China na Saudi Arabia Wafanyika Tehran +Picha

    Mkutano kati ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Mawaziri wenzake wa China na Saudi Arabia imefanyika Jijini Tehran.

    2025-12-10 18:48
  • Picha: Haram Tukufu ya Maimamu Wawili Jawadain (a.s) Yapambwa kwa Maua Kwa Furaha ya Kusubiri Kuzaliwa kwa Bibi Fatima Zahra (s.a)

    Picha: Haram Tukufu ya Maimamu Wawili Jawadain (a.s) Yapambwa kwa Maua Kwa Furaha ya Kusubiri Kuzaliwa kwa Bibi Fatima Zahra (s.a)

    Mapambo hayo yamewekwa katika uga wa haram, njia za waumini, na maeneo ya ibada kama ishara ya: 1_Furaha ya Kiislamu, 2_Upendo kwa Ahlul-Bayt (a.s), 3_Na heshima kubwa kwa binti wa Mtume Muhammad (s.a.w.w).

    2025-12-08 00:00
  • Matukio mbalimbali yaliyojiri katika Maulid ya Mtume (saww) Mjini Nakuru +Picha

    Matukio mbalimbali yaliyojiri katika Maulid ya Mtume (saww) Mjini Nakuru +Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Maulid ya Kuzaliwa kwa Mtume (saww) imefanyika wiki Mjini Nakuru - Kenya. Waumini kutoka maeneo mbalimbali ya Kenya na Tanzania walihudhuria katika Hafla hiyo adhimu ya kusherehekea Kuzaliwa kwa Mtume wetu Muhammad (saww) na kujifunza Mafunzo Mengi mazuri kutoka Kwake(Rehma na Amani ziwe juu yake Ahlul-Bayt wake Watoharifu).

    2025-12-04 12:27
  • Habari Pichani | Kauli Muhimu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan Inayostahili kuandikwa kwa Wino wa Dhahabu +Picha

    Habari Pichani | Kauli Muhimu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassan Inayostahili kuandikwa kwa Wino wa Dhahabu +Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt as -ABNA- linanukuu: “Hatuendeshwi na Madhehebu ya Dini. Madhehebu ya Dini na wafuasi wao… Ubora wa Dini upo mioyoni mwetu. Wale wanaoamini ndio wanajua ubora wa Dini yao. Hakuna 'overriding' hapa - kwamba Dini yangu itakuwa ndiyo ‘inayooverride’ Tanzania, na tamko nitakalolitoa ndilo lifuatwe. Hapana. Hata wao wenyewe wanatofautiana.” Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam | 2 December / 2025.

    2025-12-02 22:44
  • Hotuba ya Televisheni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kwa Wananchi wa Iran +Picha

    Hotuba ya Televisheni ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi kwa Wananchi wa Iran +Picha

    Shirika la Habai la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Ayatollah Al-Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, siku ya Alhamisi tarehe 27, alitoa hotuba iliyoelekezwa kwa wananchi wa Iran kuhusu masuala ya kisasa ya nchi, eneo la kikanda na dunia kwa ujumla.

    2025-11-30 16:01
  • Habari Pichani | Mkutano wa Wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Kongamano la Kitaifa la Kumuenzi Ayatollah Yazdi na Ayatollah Ramezani

    Habari Pichani | Mkutano wa Wajumbe wa Kamati ya Maandalizi ya Kongamano la Kitaifa la Kumuenzi Ayatollah Yazdi na Ayatollah Ramezani

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Wajumbe wa kamati ya maandalizi ya Kongamano la Kitaifa la Kumuenzi Ayatollah Yazdi lenye mada: “Kiongozi wa Wanaharakati wa Mapinduzi ya Kiislamu; Ayatollah Muhammad Yazdi” Siku ya Jumamosi (29/11/2025) wamekutana na kufanya mazungumzo na Ayatollah RamEzani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s).

    2025-11-30 15:48
  • Picha: Kaimu Rais wa Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu atembelea Shirika la Habari la ABNA

    Picha: Kaimu Rais wa Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu atembelea Shirika la Habari la ABNA

    Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (as)-ABNA-; Hujjatul-Islam Dkt. Mostafa Jafartayyar, Kaimu Rais wa Chuo Kikuu cha Dini na Madhehebu, akiwa na ujumbe wa maafisa wa chuo hicho, wametembelea Shirika la Habari la ABNA katika mji wa Qom. Wakati wa ziara hiyo, ujumbe huo ulitembelea idara mbalimbali za shirika. Baadaye, kikao cha pande mbili kilifanyika kati ya ujumbe wa chuo na wakurugenzi wa sehemu mbalimbali za ABNA ili kujadili maeneo ya ushirikiano na mipango ya pamoja kati ya chuo na shirika hilo la habari.

    2025-11-29 23:27
  • Habari Pichani | Mazoezi Makubwa ya Uonyeshaji wa Uwezo wa Basiji Jijini Tehran

    Habari Pichani | Mazoezi Makubwa ya Uonyeshaji wa Uwezo wa Basiji Jijini Tehran

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA- Mazoezi makubwa ya kuonyesha uwezo wa vikosi vya Basiji yalifanyika asubuhi ya Alhamisi (27 -12- 2025), kwa ushiriki wa vikosi vya Basiji vya Sepah ya Hazrat Muhammad Rasulullah (s.a.w.w) katika Chuo cha Maafisa wa Kijeshi cha Imam Hussein (a.s) jijini Tehran.

    2025-11-28 23:45
  • Habari Pichani | Mazishi ya Miili Mitukufu ya Mashahidi 100 Wasiojulikana wa Kujihami Kutukufu (Sacred Defense) huko Tehran - Sehemu ya 2

    Habari Pichani | Mazishi ya Miili Mitukufu ya Mashahidi 100 Wasiojulikana wa Kujihami Kutukufu (Sacred Defense) huko Tehran - Sehemu ya 2

    Hafla ya mazishi ya miili mitukufu ya mashahidi 100 wasiojulikana wa Kujihami Kutukufu (Sacred Defense) ilifanyika asubuhi ya leo, Jumatatu, tarehe 24 Novemba 2025, ik coincidia na siku ya kumbukumbu ya kuuawa shahidi kwa Bibi Fatima Zahra (Amani ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake). Hafla hii, ambayo pia ni “Siku ya Kitaifa ya Kuwaenzi Mashahidi Wasiojulikana”, ilianza katika Chuo Kikuu cha Tehran na kuelekea Makao ya Meraj-e Shohadaa mjini Tehran.

    2025-11-28 17:19
  • Habari Pichani | Hafla ya Siku ya Basiji katika Husseiniyyah ya Imam Khomeini (r.a)

    Habari Pichani | Hafla ya Siku ya Basiji katika Husseiniyyah ya Imam Khomeini (r.a)

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - Hafla ya Siku ya Basiji ilifanyika leo asubuhi Jumatano (26-11-2025) kwa kuhudhuriwa na maelfu ya wanabasiji kutoka maeneo mbalimbali ya nchi, ikiambatana na kumbukumbu ya kuundwa kwa Basiji ya Wanyonge, katika Husayniyya ya Imam Khomeini (r.a.)

    2025-11-28 17:09
  • Majlis ya Shahada ya Sayyidat Fatima (sa) Yafanyika Arusha; Sheikh Haidary Mshele Aainisha Masaibu na Dhulma Zilizompata Binti wa Mtume (saww) +Picha

    Majlis ya Shahada ya Sayyidat Fatima (sa) Yafanyika Arusha; Sheikh Haidary Mshele Aainisha Masaibu na Dhulma Zilizompata Binti wa Mtume (saww) +Picha

    Sheikh Mshele alieleza kwa kina tukio la kunyang’anywa Fadak, ardhi ambayo ilikuwa haki na zawadi halali ya Sayyidat Fatima (sa) aliyopewa na Mtume (saww). Alibainisha kuwa tukio hilo limeorodheshwa na wanahistoria wengi na limeacha doa lisilofutika katika historia ya mwanzo wa Uislamu.

    2025-11-27 20:58
  • Habari Pichani | Kikao Maalumu cha Kubadilishana Mtazamo Kuhusu Turathi za Basra

    Habari Pichani | Kikao Maalumu cha Kubadilishana Mtazamo Kuhusu Turathi za Basra

    Shirika la Habari la Kimatafa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Kikao maalumu cha kujadili mitazamo na fikra zinazofanana kuhusu turathi za Basra kimefanyika leo asubuhi, Jumanne (25-11-2025), kwa ushiriki wa wakurugenzi kutoka Idara ya Masuala ya Maarifa ya Kiislamu na Kibinadamu ya Ataba ya Abbasiyya, wakurugenzi wa Kituo cha Turathi za Basra, pamoja na viongozi wa vituo vya utafiti vya kielimu kutoka vyuo vikuu na Hawza. Kikao hiki, ambacho kimeandaliwa kwa ushirikiano wa Ataba ya Abbasiyya, Kituo cha Turathi za Basra, na idadi ya taasisi za kielimu za Hawza na Chuo Kikuu cha Qom, kimefanyika katika ukumbi wa mikutano ya kimataifa wa Kituo cha Fiqhi cha Maimamu Watoharifu (a.s.) mjini Qom.

    2025-11-26 23:25
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • Next
Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom