-
Ripoti ya Picha | Hafla ya Tatu ya Kitaifa ya Kuwatambua na Kuwapongeza Wafanyakazi na Wadau wa Misikiti Nchini +Picha
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) –ABNA– Mkutano wa Tatu wa Kitaifa wa Kuwatambua na Kuwapongeza Wahudumu na Waendeshaji wa Misikiti kote nchini, ukiwa na kauli mbiu ya “Kama Nusrullah”, umefanyika asubuhi ya leo Jumatano, tarehe 20 Agosti, 2025 katika ukumbi wa Shabistan ya Imam Ali (a.s) ndani ya Msikiti Mtukufu wa Jamkaran (Nchini Iran), kwa kuhudhuriwa na viongozi wa kitaifa na wa kijeshi.
-
Jamiatul-Mustafa (s) - Dar-es-Salaam | Sehemu Kuu za Kiwanda cha Umeme wa Nyuklia (Nuclear Power Plant Components) +Picha
Mitambo ya nyuklia ni mifumo changamano inayotumia mgawanyiko wa atomu kuzalisha joto, ambalo baadaye hubadilishwa kuwa umeme. Usalama na udhibiti ni vipengele muhimu sana kwa kuhakikisha hakuna mionzi inayoathiri mazingira.
-
Habari Pichani | Usiku wa Arubaini Huko Karbala: Kilele cha Shauku na Mapenzi kwa Imamu Hussein (a.s) – Sehemu ya 1
Usiku wa Arubaini ya Imam Hussein (as) si tu ni kumbukumbu ya huzuni, bali pia ni mlipuko (uongezekaji) wa imani, mshikamano, na mapenzi ya dhati na ya haki kwa Mjukuu wa Mtume wetu Muhammad(s.a.w.w), Al-Imam Al-Hussein (as). Karbala, kwa mara nyingine tena, imekuwa kitovu cha umma wa Kiislamu duniani.
-
Majlisi ya Arubaini ya Aba Abdillāh al-Ḥusayn (a.s) na Mashahidi wa Karbala yafanyika Mjini Moshi +Picha
Sheikh Suleiman Abdul, ambaye alihutubia waumini kuhusu mafundisho na thamani za kudumu za mapambano ya Imam Hussein (a.s).
-
Taasisi za Kijamii Nchini Tanzania Zaandaa Tukio la Uchangiaji Damu kwa Heshima ya Arubaini ya Imam Hussein (as) +Picha
Bw. Xavery Kapinga, Mtaalamu wa Maabara: "Damu huhitajika zaidi na wakina mama wakati wa kujifungua, waathirika wa ajali, na wagonjwa wa selimundu (sickle cell)".
-
Mkutano wa Wanazuoni na Wasomi wa Nchi Mbalimbali na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) katika Mji wa Karbala + Picha
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s) –ABNA – Sambamba na maadhimisho ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) na uwepo wa Ayatullah Reza Ramezani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) katika mji mtukufu wa Karbala, kundi la wanazuoni, wasomi na wanaharakati wa kidini na kiutamaduni kutoka nchi mbalimbali walikutana naye kwa nyakati tofauti na kufanya mazungumzo.
-
Majlisi ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s) Yafanyika Katika Msikiti Mkubwa wa Burundi +Picha
Tunajifunza somo la kutetea Ukweli na Haki, na kuitokomeza batili kupitia Harakati ya Mapinduzi ya Imam Hussein (as), kiasi kwamba kila Muislamu na kila Mwanadamu aliye huru anapopinga batili, basi anakuwa anahuisha somo hilo la kihusseini.
-
Ziara ya Arubaini: Sahaba wa Mtume (s.a.w.w) Jabir bin Abdillah Al-Ansar na Kumbukumbu ya Mashahidi wa Karbala + Picha
Waislamu duniani kote wanaendelea kumzuru Imam Hussein (AS) na kufuata Njia yake ya kupigania Haki na Ukweli. Katika majlisi hizi, waumini huomba dua kwa Mwenyezi Mungu awaondolee shida, maradhi na dhiki, na awafungulie milango ya riziki na baraka.
-
Habari Pichani | Uwepo wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul Bayt (a.s) Katika Njia ya Matembezi ya Arbaeen ya Hussein(as) +Picha
Ayatollah Ramezani alitembelea baadhi ya Mawkib za kimataifa katika njia hii na kutoa shukrani kwa wale wote wanaoshiriki katika utumishi na Huruma kwa Mazuwwari wa Aba Abdillah al-Hussein (a.s).
-
Katibu Mkuu katika Mawkib na Husainiya ya Watu wa Kuwait kwenye Msambazo wa 799 kutoka Najaf hadi Karbala
Mawkib ya Kuwait kwa ukarimu na moyo mkunjufu, wamesaidia kuunda mazingira ya kiroho yaliyojaa upendo kwa Mazuwwari, na Husainiya yao imegeuka kuwa moja ya sehemu zenye shughuli nyingi zaidi katika njia ya Matembezi ya Arubaini.
-
Ushiriki wa Ayatollah Bashir Hussein Najafi katika MatembezI ya Arbaeen Husseini + Picha
Katika tukio hilo, amesisitiza juu ya umuhimu wa kufanya ziara ya Imam Hussein (a.s) katika siku za Arbaeen na kudumisha thamani za kujitolea, uthabiti na imani.
-
Picha | Harufu Nzuri ya Bara Jeusi Kwenye Njia ya Mapenzi; Maukibu ya Kitamaduni ya Wapenzi wa Hussein as Yawakaribisha Mazuwwari wa 40 Nguzo No: 379
Maukibu hii, iliyoanzishwa kwa jitihada za Sheikh Ismail Bokassa pamoja na kundi la wanaharakati wa kitamaduni, imepokea kwa shangwe kubwa wageni wa ziara na familia, na inasimulia uhusiano wa kina kati ya Afrika na harakati ya Ashura.
-
Taarifa kwa Picha | Mkutano wa Kimataifa wa Arubaini, Umoja wa Kiislamu na Masuala ya Uislamu Duniani + Picha
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA- Mkutano wa Kimataifa wenye mada ya “Arubaini, Umoja wa Kiislamu na Masuala ya Uislamu Duniani” umefanyika katika ukumbi wa mikutano wa *Bwana Mtukufu Khātam al-Awsiyaa (s.a) ndani ya Haram Tukufu ya Imam Hussein (a.s), mjini Karbala al-Muqaddasah, kwa ushiriki wa kundi la wanazuoni kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu, siku chache kabla ya Arubaini ya Imam Hussein (a.s).
-
Darasa la Kompyuta lafanyika katika Shule ya Imam Zainul-Abidina (as) Nchini Burundi - Chini ya Usimamizi wa Jamiat Al-Mustafa (s) +Picha
Shule ya Imam Zaynul Aabidin (A.S) imekuwa mstari wa mbele katika kutoa elimu yenye mchanganyiko wa mafunzo ya dini na maarifa ya kisasa, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya vijana wa Kiislamu kuikabili dunia ya leo kwa maarifa na imani.
-
Maadhimisho ya Siku ya Arubaini ya Mashahidi wa Astaneh Ashrafieh waliouawa katika mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni + Picha
Katika hafla hiyo, Ayatullah Reza Ramezani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s), alikuwa mzungumzaji mkuu. Aidha, kabla ya kuanza kwa hafla hiyo, Ayatullah Ramazani alitembelea mahali walipouawa mashahidi hao wa thamani.
-
Habari Pichani | Hatua inayofuata ya mwisho wa mashindano ya wakfu wa Qur’an katika mwezi wa Shiraz
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Hatua ya Mkoa ya Mashindano ya 48 ya Qur'an Tukufu ya Jumuiya ya Wakfu ilifanyika katika Haram ya Sayyid Alauddin Hussein (AS) katika Mji wa Shiraz.
-
Mazungumzo ya wataalam na ABNA katika mkutano "Harakati za Husseini na Mhimili wa Upinzani: Kufanana na Tofauti za Machafuko ya Milele + Picha
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul Bayt (as) -ABNA-, Wataalam wa kike Dkt. Unsiyya Khazali, Naibu wa Rais wa zamani wa masuala ya wanawake na familia, Dkt. Tayyiba Rabbani, Profesa wa seminari na Chuo Kikuu na Mmisionari (Mwana Tabligh) wa Kimataifa, na Fatima Jaiwani, Mhadhiri na Mwanaharakati wa Kimataifa kutoka Pakistan, waliwasilisha maoni yao katika kikao cha "Harakati za Hussein (as) na Mhimili wa Upinzani: Kufanana na Tofauti za Intifada ya Milele" katika Shirika la Habari la ABNA.
-
Masira ya Tasu'a Jijini Arusha yalifanyika kwa hamasa kubwa na Waumini walijitokeza Kwa wingi kuhuisha Shahada ya Imam Hussein (as) + Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Sheikh Abdallah Khamis Salum akiwahutubia waumini na wale wote waliokua wakiyaona na kuyasikia maandamano ya amani katika kumbukizi ya Shahada ya Imamu Hussein (a.s) jijini Arusha. Ni Masira ya tarehe 9 Muharam 1447H sawa na tar 5 /7/2025. Waumini wengi Wafuasi na Wapenzi wa Ahlul-Bayt (as) walijitokeza Kwa wingi katika Maandamano haya.
-
Maadhimisho ya Shahadat ya Imam Hussein (as) Singida | Singida yote ni: Labayka ya Hussein! Labayka ya Hussein! Labayka ya Hussein! + Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) - ABNA- Imamu Hussein alayhi Salamu aliposema; هل من ناصر ينصررنا! هل عمغيث يغيثنا Eheee Je kuna yeyote anayetaka kitunusuru atumusuru? Eheee Je kuna yeyote anayetaka kutusaidia aje atusaidie? Singida wakasema Labayka ya Hussein! Labayka ya Hussein! Labayka ya Hussein! Yazid na udanganyifu wake Singida hana nafasi
-
Matembezi ya Amani ya kumbukumbu ya Shahada ya Imam Hussein (as) yamefanyika kwa mafanikio makubwa Jijini Arusha- Tanzania + Picha
Muharram - Arusha - 1447H / 2025 Matembezi ya Amani ya A'shura - Jijini Arusha - Tanzania katika Kumbukumbu ya Shahada ya Imam Hussein (a.s) yalifanyika Jana Tarehe 06-07-2025 yakibeba kauli Mbiu: "KARBALA, SIRI YA USHINDI WETU"
-
Taasisi ya Sayyid Al_Shuhadaa | Yafanikisha Matembezi Makubwa ya Amani ya A'shura Jijini Arusha - Tanzania + Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt(as) -ABNA- Matembezi ya Amani ya A'shura Jijini Arusha - Tanzania Yalioandaliwa na Taasisi ya Sayyid Al_Shuhadaa yalifanikiwa kwa mafanikio makubwa yakiambatana na Kauli Mbiu: (Amani ni Msingi wa Maisha).
-
Habari Pichani | Masira ya A'shura ya kumuezi Imam Hussein (as) Yafanyika kwa Hamasa kubwa Jijini Dar-es-salaam - Tanzania
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Viongozi mbalimbali wa Taasisi mbalimbali za Kiislamu na Kiserikali wamehudhuria katika Maandamano ya Amani ya Maombolezo ya A'shura Nchini Tanzania, ambayo yamefanyika kwa mafanikio makubwa katika mwaka huu wa 1447 Hijria wa Maombolezo ya Muharram. Masira haya yamefanyika katika Mitaa ya Posta Jijini Dar-es-salaam - Tanzania, yakihudhuriwa na Viongozi hao ambao ni pamoja na: Hojjat al-Islam wal-Muslimin, Dr. Ali Taqavi - Rais wa Jamiat Al-Mustafa (s), Tanzania. Wengine ni Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Mussa Azan Zungu na Viongozi wengine wa Kiserikali na Kiroho.
-
Masira ya kuadhimisha Siku ya A'shura Yafanyika kwa mafanikio makubwa Jijini Dar-es-salaam - Tanzania. Waumini wengi Washiriki kwa Hamasa kubwa +Picha
A'shura ni Tukio Kubwa la kihistoria ambalo kamwe haliwezi kusahaulika katika kurasa za Kihistoria kutokana na Mauaji makubwa yaliyotenswa na Muovu Yazid bin Muawia Siku hiyo, kwa kuchinja Mjukuu wa Mtume Muhammad (saww) - Al-Imam Al-Hussein (as) na Masahaba wake katika Ardhi ya Karbala. Damu yake ilimwagwa kwa dhulma Ardhini na Siku ya Kiyama watajua ni mgeuko gani wanaogeuka madhalimu hao.
-
Nchini Burundi | Mimbari ya Imam Hussein(as) inamtambua Hussein(as) kama ishara ya ujasiri, uadilifu, uhuru na upinzani dhidi ya Dhulma na Uistikbari
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Majlisi (Vikao) mbalimbali vya Maombolezo ya Shahada ya Imam Hussein (as) vinaendelea nchini Burundi, ambapo Imam Hussein (as) anazungumziwa katika eneo hilo na duniani kote kwa ujumla kuwa: Yeye ni ishara ya ujasiri, uadilifu, uhuru na upinzani dhidi ya dhulma na uistikbari. Yeye ndiye kielelezo cha dhabihu na kujitolea kwa ajili ya maadili bora ya kibinadamu.
-
Muharram - 1447H, Arusha - Tanzania | Imam Hussein (as) hakuchagua Kifo bali alichagua Haki hata kama Haki hiyo itagharimu Maisha yake
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Majlis mbalimbali zinaendelea katika Husseiniyya Jijini Arusha katika kuomboleza na kutoa masomo mbalimbali juu ya malengo ya harakati ya kimapinduzi ya Imam Hussein (as) aliyoifanya katika Ardhi ya Karbala, Mapinduzi ambayo hadi leo hii yanaendelea kutoa matunda yake mazuri kwa walimwengu wote, hususan kwa ulimwengu wa Kiislamu. Waumini mbalimbali wanajitokea katika Majalis hizi kwa ajili ya kujifunza masomo mbalimbali yaliyomo katika Mapinduzi ya Karbala yaliyoongozwa na Imam Hussein (as), Mjukuu Kipenzi wa Mtume wetu Muhammad (s.a.w.w).
-
Mimbari ya Imam Hussein (as), Arusha- Tanzania | "Mapinduzi ya Haki ya Imam Hussein (as) dhidi ya Batili ya Muovu Yazid bin Muawiya"
Shirika la Habari la Kimatifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Majalis za Muharram zinaendelea katika mimbari mbalimbali za Imam Hussein (as) katika Jiji la Arusha. Waumini wengi wanajitokeza kutoka maeneo mbalimbali na kushiriki katika Vikao vya Kielimu kuhusiana na Mapinduzi ya Kiislamu ya Imam Hussein (as) katika Ardhi ya Karbala. Katika picha ni Majlisi ya Darsa kuhusiana na Mapinduzi ya Karbala, waumini wa Kiislamu wakiwa katika mkao wa kusikiliza historia ya Mapinduzi ya Haki ya Imam Hussein (as) dhidi ya Batili ya Yazid bin Muawiya(la), ikiwa ni mada iliyotolewa na Samahat Sheikh Bashir Bar'wan katika Husseiniyya ya Ahlul-Bayt (as) Jijini Arusha - Tanzania.
-
Majalis za Muharram na Maombolezo ya A'shura Zinaendelea kila Siku katika vituo vya Taasisi ya Kiislamu ya S.D.O Bukoba - Tanzania + Picha na Video
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA-Majalis za Muharram Zinaendelea kufanyika katika Mji wa Bukoba kwenye vituo vya Taasisi ya Kiislamu ya S.D.O ambavyo ni: Nshambya Center - Bukoba Mjini, Kemondo, Katobago, Muleba n.k). Majlisi hizi zinaendelea kwa muda wa Siku 12 za Mwezi wa Muharram katika kuhuisha Mapinduzi ya Imam Hussein (as) na kutoa mafunzo mbalimbali kwa Jamii ya Kiislamu yaliyomo ndani ya Harakati ya kihistoria ya Imam Hussein (as) iliyotengeneza Mapinduzi Makubwa yanayoendelea kutoa matunda yake hadi Leo hii.
-
Majlisi ya 2 Maombolezo ya Muharram | Katika Chuo cha Mabinti cha Hazrat Zainab (SA), Kigamboni - Dar-es-salaam+ Picha
Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Majalis za Maombolezo na Kumbukumbu ya Shahada ya Ava Abdillah Al_Hussein (as), zinaendelea kila Siku katika Mwezi huu Mtukufu wa Muharram katika Madarasa ya Hazrat Zainab (sa) Kigamboni- Dar-es-salaam.
-
Majalis (Vikao) vya Kuadhimisha Shahada ya Imam Hussein (AS) katika Chuo Cha Jamiat Al-Mustafa - Dar-es-salaam - Tanzania + Picha
Majalis / Vikao hivi vitaendelea kutoa fursa ya kutafakari kuhusu ujumbe wa A'shura kwa Wanafunzi na jamii ya kielimu bali Umma mzima wa Kiislamu wenye kiu kubwa ya kujua ukweli na uhakika, na kufuata Haki na Uadilifu.
-
Ripoti ya Picha | Mazishi ya Shahidi Kanali Mehdi Rezazadeh, mlinzi wa Taifa, huko Tabriz
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as_ -ABNA- Hafla ya mazishi ya mlinzi aliyeuawa shahidi wa nchi hiyo, Kanali Mehdi Rezazadeh, shahidi wa kitengo maalum cha jeshi la polisi la mkoa wa Azerbaijan Mashariki aliyeuawa shahidi katika mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni huko Tabriz, ilifanyika kuanzia Msikiti wa Imam Khomeini hadi uwanja wa Saa wa Tabriz baada ya kuswaliwa swala ya kuuombea mwili wa shahidi huyo. Mazishi yalifanyika na watu wa Tabriz's Shahid Parvar.