-
Moscow Yasistiza Juu ya Lazima ya Kufikia Malengo ya Vita vya Ukraine Kupitia Diplomasia
Msemaji wa Kremlin ametangaza kuwa Russia iko tayari kwa mazungumzo ili kufikia malengo yake nchini Ukraine.
-
Macron Aasisitiza Kuhusu Kuhifadhi Nguvu ya Kuzuia ya Ulaya Dhidi ya Russia
Rais wa Ufaransa alisisitiza juu ya kuhifadhi nguvu ya kuzuia ya Ukraine na Umoja wa Ulaya dhidi ya Russia.
-
Masharti ya Mpango wa Amani wa Trump kwa Ukraine Yamepunguzwa hadi Vipengele 19
Chombo kimoja cha habari cha Uingereza kimeripoti kuhusu Ukraine kuondoa baadhi ya masharti kutoka kwa mpango wa amani wa Marekani.
-
Mazungumzo kati ya Marekani na Russia huko Abu Dhabi
Vyanzo vya Marekani vimeripoti mkutano kati ya Waziri wa Jeshi wa nchi hiyo na ujumbe wa Russia huko Abu Dhabi.
-
Mamlaka za Kizayuni Zimehisi Hatari kutokana na Kuongezeka kwa Hali Moja
Utawala wa Kizayuni umeingiwa na wasiwasi kutokana na kupungua kwa kiwango cha uhamiaji kwenye ardhi zinazokaliwa na kuongezeka kwa wimbi la Kizayuni kutoroka kutoka eneo hili.
-
Lengo la Utawala wa Kizayuni Kushambulia Viunga vya Kusini mwa Beirut
Afisa mkuu wa Lebanon ameelezea lengo la utawala wa Kizayuni katika kushambulia viunga vya kusini mwa Beirut (Dahieh).
-
Sehemu Hatari Zaidi ya Mashambulizi ya Kizayuni dhidi ya Lebanon Kwa mujibu wa Nabih Berri
Nabih Berri, akirejelea shambulio la hivi karibuni la utawala wa Kizayuni dhidi ya eneo la Haret Hreik huko Dahieh (viunga vya kusini mwa Beirut), alifichua vipengele hatari zaidi vya shambulio hili.
-
Jordan: Israel Imevunja Amani ya Gaza Zaidi ya Mara 500
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jordan ametangaza kurekodiwa kwa zaidi ya matukio 500 ya ukiukwaji wa amani ya Gaza na utawala wa Kizayuni.
-
Ofisi ya Habari ya Gaza: Nusu ya Watu wa Gaza Hawapati Chakula Chochote Kila Siku
Ofisi ya Habari ya Gaza ilitangaza kwamba, kulingana na takwimu zilizotolewa na utawala wa Kizayuni, angalau nusu ya watu wa Gaza karibu hawapati chakula chochote wakati wa mchana.
-
Larijani: Njia ya Biashara kati ya Iran na Pakistan Lazima Ifikie Lengo la Dola Bilioni 10
Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Kitaifa, katika mkutano na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Pakistan, alitaka kuondolewa kwa vikwazo vilivyopo na kuwezesha mwingiliano wa kiuchumi, na kuweka lengo la kuongeza biashara hadi kufikia Dola bilioni 10.
-
Majlis ya Kuhuisha Shahada ya Sayyidat Fatima Al-Zahra (sa) kwa Akina Mama Jijini Dar es Salaam +Picha
Katika khutba yake, Sheikh Ja'far Mwazoa alieleza kwa ufafanuzi wa kina fadhila zake nyingi, akibainisha namna ambavyo Bibi Fatima (sa) ni kigezo bora cha kuigwa na wanawake wote wa Kiislamu, na hata wanaume wa Umma wa Mtume Muhammad (saww), kutokana na uchamungu wake, hekima yake, na msimamo wake thabiti katika kutetea ukweli.
-
UNRWA Yatangaaza: Kuanzishwa kwa Vyumba 330 vya Muda vya Madarasa Huko Gaza Bila Vifaa vya Msingi.
Shirika la Umoja wa Mataifa la Misaada na Kazi kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA) limetangaza kuwa maeneo 330 ya kujifunzia ya muda yameanzishwa katika makazi 59 kwenye Ukanda wa Gaza.
-
Majibu ya “Al-Qassam” Kufuatia Shahada ya Kamanda Mashuhuri wa Hizbullah
Brigedi za Izz ad-Din al-Qassam zimetoa majibu kwa shahada ya kamanda mashuhuri wa Hizbullah katika shambulio la kihalifu la utawala wa Israel dhidi ya Dahiya Kusini mwa Beirut.
-
Msimamo Mpya Zaidi wa Erdogan Dhidi ya Netanyahu
Rais wa Uturuki alisema: Kuongeza shinikizo la kidiplomasia kwa Tel Aviv na kuwezesha njia ya kuendelea kutuma misaada ya kibinadamu kwa Gaza ni jambo la lazima ambalo utekelezaji wake hauwezi kuahirishwa.
-
Saraya al-Quds: Shahidi “Haitham Ali Tabatabaei” Alikuwa Muungaji Mkono wa Muqawama wa Palestina
Saraya al-Quds, tawi la kijeshi la Harakati ya Jihad ya Kiislamu ya Palestina, imetoa pole kwa shahada ya kamanda wa jihadi wa Hizbullah, Shahidi “Haitham Ali Tabatabaei,” na kusifu jukumu lake katika kuunga mkono muqawama wa Palestina.
-
Mbunge wa Lebanon: Israel Imevuka Mistari Yote Myekundu
Mbunge anayehusishwa na Hizbullah ya Lebanon katika bunge la nchi hiyo ameonya kuhusu kuvuka kwa utawala wa Kizayuni mistari yote myekundu.
-
Hofu Katika Maeneo Yanayokaliwa; Malazi ya Dharura Yamefunguliwa Tena
Vyombo vya habari vya lugha ya Kiebrania vimekiri kuongezeka kwa wasiwasi miongoni mwa wakazi wa maeneo yanayokaliwa kuhusu uwezekano wa Jibu la Hizbullah ya Lebanon kwa shambulio la kinyama la jana la utawala wa Kizayuni.
-
Wapalestina 1003 Wameuawa na Wakaliaji Kimabavu Katika Ukingo wa Magharibi Tangu Oktoba 2023
Kituo cha Sheria cha "B'Tselem" kimetangaza kuwa utawala wa Kizayuni umewaua Wapalestina elfu moja na tatu (1003) katika Ukingo wa Magharibi tangu Oktoba 2023 na unafanya utakaso wa kikabila katika eneo hilo.
-
Asilimia 90 ya Wakazi wa Ukanda wa Gaza Wanakabiliwa na Utapiamlo
Afisa mmoja wa Palestina aligusia ukiukwaji wa masharti ya makubaliano ya kusitisha mapigano katika Ukanda wa Gaza na utawala wa Kizayuni.
-
Vyanzo vya Kisiasa: Ziara ya Larijani nchini Pakistan ni Hatua Muhimu Katika Kubadilisha Mizani ya Nguvu
Vyanzo vya kisiasa vimesisitiza umuhimu wa ziara ya Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Kitaifa wa nchi yetu nchini Pakistan.
-
Usiku wa Nne wa Maombolezo ya Shahada ya Hadhrat Zahra (s.a.) Umefanyika kwa Kuhudhuria Kiongozi wa Mapinduzi
Usiku wa nne wa maombolezo ya shahada ya Hadhrat Zahra (s.a.) ulifanyika usiku wa leo kwa kuhudhuria Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu na maelfu ya waombolezaji wa Fatimi na watu wa matabaka mbalimbali.
-
Maadhimisho ya Shahidi Mirza Kuchak Jangali na Mashahidi 34 wa Wanazuoni na Maulamaa wa Magharibi mwa Mkoa wa Gilan +Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Marasimu za kumkumbuka Shahidi Mirza Kuchak Jangali pamoja na mashahidi 34 wa wanachuoni na maulamaa wa upande wa magharibi wa mkoa wa Gilan zimefanyika leo, Jumanne (3 Azar 1404), katika mji wa Someh-Sara. Hafla hii imehudhuriwa na Ayatollah Ramazani, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s), ambaye pia alitoa hotuba kuu ya maadhimisho hayo.
-
Canada: Dunia huko Johannesburg Imeonyesha kuwa Inaweza Kuendelea Hata Bila Marekani
Kwa mujibu wa Bloomberg, Waziri Mkuu wa Canada alikumbusha kuwa nchi wanachama wa G20 zinajumuisha jumla ya asilimia 75 ya idadi ya watu duniani, sehemu mbili za tatu ya Pato la Taifa la Dunia (GDP) na asilimia 75 ya biashara ya kimataifa.
-
Mazishi ya Kamanda Mwandamizi wa Muqawama wa Lebanon yamefanyika katika eneo la Dhahiya;
"Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Uongozi wa Hizbullah: Kwa kuuawa kwa maagenti wetu, azma yetu inazidi kuwa imara kuliko hapo kabla”
Sheikh Ali Damuush amesema: “Kulegeza msimamo au kukubali mashinikizo na maagizo ya Marekani na Israel hakutaleta matokeo yoyote. Sisi hatutasalimu amri; hata ikiwa maadui wataweka juhudi zao zote kutuangamiza, kamwe hatutaacha njia ya muqawama (mapambano) wala kujitoa katika kuilinda nchi yetu.”
-
Malawi | Maadhimisho ya Shahada ya Bibi Fatima Zahra (sa) Yafanyika katika Shule (Hawzah) ya Al-Imam Al-Hadi (as) +Picha
Msiba wa Bibi Fatima (sa) ni miongoni mwa misiba mikubwa zaidi katika historia ya Uislamu.Msiba huu unafichua watu waliopotoka na kusimama dhidi ya haki.
-
Maombolezo ya Shahada ya Bibi Fatima Zahra (a) Yakihudhuriwa na Ayatollah Karimi Jahromi Huko Isfahan -Iran +Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Sambamba na maadhimisho ya siku ya shahada ya Bibi Fatima Zahra (a), Ayatollah Karimi Jahromi leo mchana, siku ya Jumatatu (3 Azar 1404), aliungana na kundi la waombolezaji wa mjini Isfahan katika matembezi ya maombolezo. Hafla hiyo ilianza kutoka nyumbani kwa marehemu Ayatollah Tajwidi na kuelekea Msikiti wa marehemu Ayatollah Imami uliopo katika barabara ya Abdul-Razzaq, ambako waombolezaji waliendelea na kusoma maombolezo na kuomboleza kumbukumbu ya Bibi Zahra (a).
-
Mwigizaji wa Australia Aukosoa Vikali Utawala wa Kizayuni kwa Kutojali Maisha ya Wapalestina
Amesema: “kila siku nashuhudia dharau na kutojali maisha ya Wapalestina kwa upande wa Waisraeli,” akieleza kuwa mwenendo huo ni “wa aibu” na kwamba wale wanaotekeleza “matendo haya mabaya” wanairudisha nyuma ubinadamu kila siku.
-
Kongamano la Waombolezaji wa Kike wa Fatimiyyah Kufanyika Mjini Qom - Iran
Wanawake waumini jijini Qom watafanya matembezi ya maombolezo hadi kwenye kaburi la Shahidi Asiyejulikana katika chuo cha Jami‘atu-z-Zahra (a), wakiomboleza kumbukumbu ya shahada ya Bibi Fatima Zahra (a), Mama wa Maimamu wa Ahlul-Bayt (as).
-
Ubalozi wa Iran Nairobi Waandaa Kumbukumbu ya Shahada ya Bibi Fatima Zahra (as)
Katika shughuli hiyo, Sheikh Raheel Khimji kutoka Taasisi ya Bab Al-Ridha mjini Qom - Iran, alitoa mhadhara mrefu kwa hadhira. Katika mawaidha yake alizungumzia vipengele mbalimbali vya maisha ya nuru ya Bibi Zahra (a), nafasi yake ndani ya Madhehebu ya Ahlul-Bayt (a), mchango wake wa kijamii na kielimu, pamoja na ujumbe muhimu wa shahada yake kwa jamii ya Kiislamu ya leo.
-
Mtume Muhammad (saww)anasema: "Upendo kwa Fatima unafaa (unamnufaisha muumini) katika sehemu mia - hususan wakati wa Mauti, kaburini na katika Sirati"
Mtume (saww) anatuambia: Ikiwa unampenda Fatima (a.s) kwa moyo wa kweli, basi upendo huo utakuwa mwanga, kinga, na msaada wako katika hatua ngumu zaidi za Akhera.