ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • Kuanzia Panama 1989 hadi Venezuela 2025; Kurudiwa kwa Sera ya Uingiliaji wa Marekani katika Amerika ya Kusini

    Kuanzia Panama 1989 hadi Venezuela 2025; Kurudiwa kwa Sera ya Uingiliaji wa Marekani katika Amerika ya Kusini

    Uingiliaji huu, ambao mara nyingi umelaaniwa na jumuiya ya kimataifa, umezaa matokeo ya kudumu kama vile ukosefu wa utulivu, ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na kudhoofishwa kwa uhuru wa mataifa - hali inayosisitiza tena umuhimu wa kuheshimu sheria za kimataifa na kupinga sera za upande mmoja zinazoathiri amani ya kikanda.

    2025-12-21 22:45
  • Afichua kuhusu Mpango wa Kuangamiza Silaha za Muqawama / Hakuna Uthibitisho wa Safari ya Afisa wa Mahusiano ya Kigeni wa Hezbollah kwenda Saudi Arabia

    Mbunge wa Lebanon;

    Afichua kuhusu Mpango wa Kuangamiza Silaha za Muqawama / Hakuna Uthibitisho wa Safari ya Afisa wa Mahusiano ya Kigeni wa Hezbollah kwenda Saudi Arabia

    Ikumbukwe kuwa jarida moja la Lebanon lilidai hivi karibuni kuwa Ammar Al-Moussawi, afisa wa mahusiano ya kigeni wa Hezbollah, amekuwa kwa siku tatu katika safari ya siri nchini Saudi Arabia kwa upatanishi wa Uturuki, madai ambayo hadi sasa hayajathibitishwa rasmi.

    2025-12-21 22:28
  • Sheikh Ahmad Haji Atoa Mafunzo Muhimu ya Kujenga Utu na Kukemea Dhulma katika Jamii | "Dhulma huondoa Baraka na Kuleta Majuto"

    Sheikh Ahmad Haji Atoa Mafunzo Muhimu ya Kujenga Utu na Kukemea Dhulma katika Jamii | "Dhulma huondoa Baraka na Kuleta Majuto"

    "Unaweza kumdhulumu mtu na ukalala usingizi mzito, lakini yule uliyemdhulumu halali kamwe. Anakumbuka dhulma yako kila siku na humlalamikia Mwenyezi Mungu dhidi yako. Na ikumbukwe kuwa macho ya Mwenyezi Mungu hayalali,” amesema Sheikh Ahmad Haji, akisisitiza hatari ya dua ya aliyedhulumiwa.

    2025-12-21 20:27
  • Rabi wa Kiyahudi kwa Tovuti ya “Arabi21”: Tuliishi Siku Zetu Bora Zaidi Chini ya Utawala wa Kiislamu na Nawataka Vijana wa “Israel” Waondoke

    Rabi wa Kiyahudi kwa Tovuti ya “Arabi21”: Tuliishi Siku Zetu Bora Zaidi Chini ya Utawala wa Kiislamu na Nawataka Vijana wa “Israel” Waondoke

    Rabi David Feldman aliuelekeza ujumbe wa moja kwa moja kwa vijana wa Kiyahudi wanaoishi chini ya uvamizi wa Israel, akiwataka wakimbie katika dola hilo, akionya kuwa kuendelea kwa vita vya mauaji ya kimbari hakuwahatarishi Wapalestina na Waislamu pekee, bali pia kunaongeza hatari ya chuki na vurugu dhidi ya Wayahudi katika nchi mbalimbali duniani. Pia alieleza msimamo wake kuhusu mjadala wa sasa wa suluhisho la mataifa mawili.

    2025-12-21 18:45
  • Usijivune kwa Maneno Maneno na Kujiona Mwenye Fadhila | Ibada na Jema lolote bila Unyenyekevu, ni Njia ya kupoteza kila Kheri

    Usijivune kwa Maneno Maneno na Kujiona Mwenye Fadhila | Ibada na Jema lolote bila Unyenyekevu, ni Njia ya kupoteza kila Kheri

    Baadhi ya Mabedui walikuwa wakimfanyia Mtume (s.a.w.a) madai ya fadhila kwa kusilimu kwao, kama Qur’ani inavyosema: “Wanakuonea fadhila kwa kusilimu kwao.” Basi Qur’ani ikawafunza adabu kwa kusema: “Sema: Msinionee fadhila kwa Uislamu wenu; bali Allah ndiye anayekuoneeni fadhila kwa kuwaongoza kwenye imani, ikiwa nyinyi ni wakweli.” (Al-Hujurāt: 17).

    2025-12-21 14:06
  • Balozi Matinyi Auvunja Msimamo wa Kibeberu: Tanzania Si Taifa la Huruma, Bali Nguvu Inayoinuka Kiuchumi

    Balozi Matinyi Auvunja Msimamo wa Kibeberu: Tanzania Si Taifa la Huruma, Bali Nguvu Inayoinuka Kiuchumi

    Katika ujumbe wake mzito kwa jumuiya ya kimataifa, Balozi Matinyi alisisitiza kuwa Tanzania ya sasa inatafuta wafanyabiashara na wawekezaji, si wafadhili. Taifa linaendelea kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati ikiwemo Reli ya Kisasa (SGR), pamoja na mradi wa gesi asilia unaokadiriwa kugharimu dola bilioni 42, miradi inayolenga kuimarisha uchumi wa taifa na nafasi yake katika uchumi wa kikanda na kimataifa.

    2025-12-21 12:54
  • Luiz Roberto Alves Afariki Dunia; Nguzo ya Elimu ya Umma na Haki ya Kijamii Nchini Brazili

    Luiz Roberto Alves Afariki Dunia; Nguzo ya Elimu ya Umma na Haki ya Kijamii Nchini Brazili

    Luiz Roberto Alves, profesa mashuhuri wa Chuo Kikuu cha São Paulo (USP), mwanazuoni wa elimu na mtetezi mahiri wa haki ya kijamii, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 78 katika mji wa São Paulo. Kifo chake kimeacha pengo kubwa katika nyanja ya elimu ya umma, usomeshaji na sera za kijamii nchini Brazili.

    2025-12-21 11:59
  • Mamilioni ya Wayemeni Wafurika Barabarani Kuitetea Qur’ani Tukufu Baada ya Kudharauliwa Nchini Marekani

    Mamilioni ya Wayemeni Wafurika Barabarani Kuitetea Qur’ani Tukufu Baada ya Kudharauliwa Nchini Marekani

    Qur’ani Tukufu ni Kitabu Kitakatifu kisichoguswa, na kitendo chochote cha kuidharau kitapokelewa kwa upinzani na laana kali kutoka kwa Waislamu duniani kote.

    2025-12-21 11:31
  • Falah Islamic Development Yaendesha Kikao Maalumu cha Elimu ya Afya Kuhusu Hepatitis B na Umuhimu wa Chanjo

    Falah Islamic Development Yaendesha Kikao Maalumu cha Elimu ya Afya Kuhusu Hepatitis B na Umuhimu wa Chanjo

    Kwa ujumla, kikao hicho kilikuwa cha kuelimisha, kuvutia na chenye athari chanya, kikiwapa washiriki maarifa sahihi ya kitabibu pamoja na hamasa ya kuchukua hatua za kinga kwa ajili ya kulinda afya zao, familia zao na jamii kwa ujumla. Falah Islamic Development ilipongezwa kwa mchango wake katika kuhamasisha elimu ya afya na ustawi wa jamii.

    2025-12-21 11:07
  • Kremlin yajibu matamshi ya Zelensky dhidi ya Putin

    Kremlin yajibu matamshi ya Zelensky dhidi ya Putin

    Msemaji wa ikulu ya rais wa Urusi (Kremlin) amesema matamshi ya rais wa Ukraine dhidi ya Putin yanatokana na kuchanganyikiwa kwake.

    2025-12-21 10:36
  • Waziri wa Ulinzi wa Venezuela: Tunapigana na uongo, kusingiziwa na vitisho vya kijeshi vya Marekani

    Waziri wa Ulinzi wa Venezuela: Tunapigana na uongo, kusingiziwa na vitisho vya kijeshi vya Marekani

    Waziri wa Ulinzi wa Venezuela akijibu vitisho vya maafisa wa Marekani na hatua za Washington amesema kuwa nchi yake inapambana na vitisho vya kijeshi.

    2025-12-21 10:36
  • Uturuki: Israel inafanya mpito kuelekea awamu ya pili ya kusitisha mapigano kuwa mgumu

    Uturuki: Israel inafanya mpito kuelekea awamu ya pili ya kusitisha mapigano kuwa mgumu

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki ameeleza kuwa vitendo vya ukiukaji vya Israel ndivyo kizuizi kikuu cha kuingia katika awamu ya pili ya kusitisha mapigano huko Gaza.

    2025-12-21 10:35
  • Harakati za "Al-Nujaba" zasisitiza kuendelea kwa mapambano dhidi ya Marekani

    Harakati za "Al-Nujaba" zasisitiza kuendelea kwa mapambano dhidi ya Marekani

    Mmoja wa makamanda wa harakati za Al-Nujaba nchini Iraq amesisitiza usiku wa Jumamosi kuendelea kwa mapambano ya harakati hiyo dhidi ya majeshi ya Marekani kwa njia zote.

    2025-12-21 10:35
  • Mjumbe Maalum wa UN: Cairo inaunga mkono mauaji ya kimbari ya Wapalestina

    Mjumbe Maalum wa UN: Cairo inaunga mkono mauaji ya kimbari ya Wapalestina

    Francesca Albanese ameutaja uidhinishaji wa Cairo wa makubaliano ya kununua gesi kutoka kwa utawala wa Kizayuni kama msaada wa nchi hiyo kwa mauaji ya kimbari ya Wazayuni huko Gaza.

    2025-12-21 10:34
  • Maneno ya kivita ya waziri wa Kizayuni dhidi ya Gaza na Lebanon

    Maneno ya kivita ya waziri wa Kizayuni dhidi ya Gaza na Lebanon

    Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni ametoa matamshi ya kivita dhidi ya Gaza na Lebanon.

    2025-12-21 10:34
  • Mwitikio wa Kata'ib Hezbollah ya Iraq kuhusu madai ya kupokonya silaha upinzani

    Mwitikio wa Kata'ib Hezbollah ya Iraq kuhusu madai ya kupokonya silaha upinzani

    Vikosi vya Kata'ib Hezbollah nchini Iraq vimesisitiza upinzani wao mkali dhidi ya mazungumzo yoyote yanayohusu kupokonywa silaha kwa vikosi hivyo.

    2025-12-21 10:33
  • Mbunge wa Iraq: Hashd al-Shaabi ni dhamana ya usalama wa nchi dhidi ya vitisho vya kigaidi

    Mbunge wa Iraq: Hashd al-Shaabi ni dhamana ya usalama wa nchi dhidi ya vitisho vya kigaidi

    Mbunge wa Iraq amesisitiza umuhimu wa jukumu la vikosi vya Hashd al-Shaabi katika kulinda usalama wa nchi hiyo.

    2025-12-21 10:33
  • Ujumbe wa heri kutoka kwa Rais wa Pakistan kwenda kwa Kiongozi Muadhamu wa Iran

    Ujumbe wa heri kutoka kwa Rais wa Pakistan kwenda kwa Kiongozi Muadhamu wa Iran

    Rais wa Pakistan, akiwa njiani kuelekea nchini Iraq, alipotua katika anga ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, alituma ujumbe wa heshima kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu na Rais wa Iran, akielezea mshikamano wake na taifa la Iran.

    2025-12-21 10:32
  • Mazungumzo ya simu kati ya Araghchi na Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela

    Mazungumzo ya simu kati ya Araghchi na Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo ya simu na Waziri wa Mambo ya Nje wa Venezuela.

    2025-12-21 10:30
  • Darsa za Kielimu na Maarifa | Mafunzo ya Ahlul-Bayt (a.s) Yaendelea kuwaangazia Waumini Kila Alhamisi Mjini Moshi +Picha

    Darsa za Kielimu na Maarifa | Mafunzo ya Ahlul-Bayt (a.s) Yaendelea kuwaangazia Waumini Kila Alhamisi Mjini Moshi +Picha

    Kupitia mihadhara hii, waumini hupata fursa ya kujifunza misingi ya itikadi, maadili ya Kiislamu, na mwongozo wa maisha unaojengwa juu ya haki, uadilifu na kumcha Mwenyezi Mungu.

    2025-12-20 23:40
  • Mwenyekiti wa JMAT–TAIFA: Tukipendana na Kusaidiana Tutajenga Amani ya Taifa Letu

    Mwenyekiti wa JMAT–TAIFA: Tukipendana na Kusaidiana Tutajenga Amani ya Taifa Letu

    Akizungumza kuhusu msingi wa amani, Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania alibainisha kuwa amani ya kweli huanzia katika mahusiano mema yanayojengwa kwa kujali, kuthaminiana na kusaidiana. Alieleza kuwa kitendo cha kusaidiana huondoa chuki na uhasama, kwani mtu anaposaidiwa huhisi kukubalika na kuheshimiwa, hali inayojenga imani na kuimarisha mshikamano wa kijamii.

    2025-12-20 21:30
  • Darsa ya Akhlaq kwa Wanafunzi wa Hawza Imam Sadiq (a.s), Kigogo Post – Dar es Salaam, kuhusu: Kibri na Athari Zake kwa Mwanadamu

    Darsa ya Akhlaq kwa Wanafunzi wa Hawza Imam Sadiq (a.s), Kigogo Post – Dar es Salaam, kuhusu: Kibri na Athari Zake kwa Mwanadamu

    Kibri ni ugonjwa wa moyo unaoharibu uhusiano wa mwanadamu na Allah, watu, na hata nafsi yake. Kwa mwanafunzi wa Hawza, kibri ni hatari zaidi kwani huua baraka ya elimu na huzuia nuru ya maarifa kuingia moyoni. Njia ya wokovu ni unyenyekevu (tawadhu’), kwani Mwenyezi Mungu huwanyanyua walio wanyenyekevu na kuwashusha wenye kibri.

    2025-12-20 20:49
  • "Chanzo cha dosari katika mchakato wa kisiasa wa Iraq ni kutanguliza maslahi binafsi na kujisalimisha kwa mashinikizo ya nje"

    Imam wa Sala ya Ijumaa wa Baghdad:

    "Chanzo cha dosari katika mchakato wa kisiasa wa Iraq ni kutanguliza maslahi binafsi na kujisalimisha kwa mashinikizo ya nje"

    Imamu wa Swala ya Ijumaa wa Baghdad: Chanzo cha dosari katika mchakato wa kisiasa wa Iraq ni kutanguliza maslahi binafsi na kujisalimisha kwa shinikizo za nje

    2025-12-20 20:27
  • Mkutano wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon: Kutukana Qur’ani Tukufu ni kuwashambulia Waislamu wote

    Mkutano wa Wanazuoni wa Kiislamu wa Lebanon: Kutukana Qur’ani Tukufu ni kuwashambulia Waislamu wote

    Wanazuoni hao walionya kuwa tabia kama hiyo hufungua mlango kwa wenye misimamo mikali wa dini nyingine kushambulia matakatifu ya watu wengine, na hata Huongeza uwezekano wa vitendo vya kulipiza kisasi, jambo ambalo jamii ya Marekani inaweza kuathirika nalo kwa kiwango kikubwa.

    2025-12-20 20:17
  • Baghdad yafuatilia kuongezeka kwa uwepo wa ISIS

    Baghdad yafuatilia kuongezeka kwa uwepo wa ISIS

    Wasiwasi wa kiusalama nchini Iraq kuhusu shughuli za ISIS mpakani na Syria umeongezeka, licha ya hatua kali za kiusalama, huku kukiwa na maonyo ya kiintelijensia na ongezeko la tahadhari.

    2025-12-20 20:08
  • Uingereza dhidi ya Ubinadamu / Kuajiri mamluki wa Colombia nchini Uingereza kwa ajili ya vita nchini Sudan

    Gazeti la Guardian limeandika:

    Uingereza dhidi ya Ubinadamu / Kuajiri mamluki wa Colombia nchini Uingereza kwa ajili ya vita nchini Sudan

    Serikali ya Uingereza hivi karibuni imeweka taratibu kali zaidi za kuchunguza uhalali wa wakurugenzi wa makampuni, imeweka vikwazo dhidi ya viongozi wa RSF, na imerudia wito wake wa kusitishwa mara moja kwa uhalifu, kulindwa kwa raia, na kuhakikisha upatikanaji wa misaada ya kibinadamu nchini Sudan.

    2025-12-20 19:56
  • Harusi ya Umwagaji Damu Gaza: Mashahidi 6 na Majeruhi 5 katika Shambulio la Mizinga la Israel

    Harusi ya Umwagaji Damu Gaza: Mashahidi 6 na Majeruhi 5 katika Shambulio la Mizinga la Israel

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limeua mashahidi 6 Wapalestina na kuwajeruhi watu 5 wengine, baada ya kulipua kwa mizinga kituo cha hifadhi kilichopo mashariki mwa Jiji la Gaza, wakati wa hafla ya harusi.

    2025-12-20 19:46
  • Malawi | Darsa ya Maadili yafanyika katika Madrasa ya Al-Hadi (as)

    Malawi | Darsa ya Maadili yafanyika katika Madrasa ya Al-Hadi (as)

    Miongoni mwa Aina za Tabligh ni: Tablighi ya vitendo (tabia na mwenendo): Kwa maana: Kuonyesha maadili ya Kiislamu kwa matendo mema na mfano mwema.

    2025-12-20 19:34
  • Urusi yabatilisha mikataba ya kijeshi na nchi kadhaa za Ulaya

    Urusi yabatilisha mikataba ya kijeshi na nchi kadhaa za Ulaya

    Wizara ya Ulinzi ya Urusi imetangaza kuwa mfululizo wa mikataba na makubaliano ya kimataifa ya nchi hiyo na nchi kadhaa za Ulaya, zikiwemo Uingereza na Poland, utafutwa rasmi.

    2025-12-20 09:10
  • Rubio: Uwezekano wa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Trump na Maduro haujafutika

    Rubio: Uwezekano wa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Trump na Maduro haujafutika

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani hajapinga uwezekano wa kufanyika kwa mazungumzo ya moja kwa moja kati ya Rais wa Marekani na mwenzake wa Venezuela.

    2025-12-20 09:10
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • Next
Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom