ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • Sala ya Ijuma | Khatibu - Samahat Sheikh Dkt. Reihan Yasin: "Maisha ya Imam Khomeini (RA) na Mchango wake katika kuikomboa Iran na Uislamu kwa ujumla"

    Sala ya Ijuma | Khatibu - Samahat Sheikh Dkt. Reihan Yasin: "Maisha ya Imam Khomeini (RA) na Mchango wake katika kuikomboa Iran na Uislamu kwa ujumla"

    Samahat Sheikh Dkt. Reihan Yasin katika Khutba yake, alionyesha kuwa Imam Khomeini (RA) alikuwa mfano halisi wa Kiongozi aliyefanikisha Mapinduzi makubwa kwa msingi wa dini. Ujasiri wake, elimu yake, na utiifu kwa Allah vilimfanya awe nuru ya mabadiliko – si kwa Iran tu, bali kwa Ulimwengu mzima wa Kiislamu.

    2025-06-06 22:16
  • Mamilioni ya Waislamu nchini Iran na duniani kote waadhimisha Sikukuu ya  Idul Adh'ha

    Mamilioni ya Waislamu nchini Iran na duniani kote waadhimisha Sikukuu ya Idul Adh'ha

    Mamilioni ya Waislamu nchini Iran na sehemu mbalimbali za dunia leo wameaadhimisha Sikukuu ya  Idul Adh'ha , moja ya sikukuu muhimu zaidi katika kalenda ya Kiislamu ,kwa sala, sadaka, na desturi ya kuchinja kwa ajili ya kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu.

    2025-06-06 21:37
  • Zaidi ya watoto 40,000 wabakia mayatima Gaza kutokana na vita vya Israel

    Zaidi ya watoto 40,000 wabakia mayatima Gaza kutokana na vita vya Israel

    Zaidi ya watoto 40,000 wanaripotiwa kuabakia mayatima katika Ukanda wa Gaza kutokana na hujuma na vita vya utawala haramu wa Israel katika Ukanda huo.

    2025-06-06 21:37
  • Wanamapambano wa Palestina Gaza waua makomandoo watano wa jeshi la Israel

    Wanamapambano wa Palestina Gaza waua makomandoo watano wa jeshi la Israel

    Wanamapambano watano wanaopigania ukombozi wa Palestina huko Gaza wamewaua na kuwajeruhi makomandoo kadhaa wa jeshi katili la Israel katika shambulio la kushtukiza dhidi ya vikosi vya utawala uvamizi wa Israel, mashariki mwa mji wa Khan Yunis, katika Ukanda wa Gaza.

    2025-06-06 21:36
  • Marais wa Iran na Misri watangaza dhamira ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Marais wa Iran na Misri watangaza dhamira ya kuimarisha uhusiano wa pande mbili

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, na Rais wa Misri, Abdel Fattah el-Sisi, wametangaza azma ya kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na ushirikiano baina ya mataifa yao mawili.

    2025-06-06 21:35
  • Pezeshkian: Iran ina nia ya kweli ya kuimarisha ushirikiano na nchi zote za Kiislamu

    Pezeshkian: Iran ina nia ya kweli ya kuimarisha ushirikiano na nchi zote za Kiislamu

    Rais Masoud Pezeshkian amefanya mazungumzo ya simu na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia, na sambamba na kumpa mkono wa Idi kwa mnasaba wa sikukuu ya Idul Adh’ha amesisitizia udharura wa kuendelezwa uhusiano wa kidugu kati ya nchi hizi mbili za Kiislamu, kuzidisha ushirikiano wa kieneo na kuimarisha umoja na mshikamano wa mataifa yote ya Waislamu.

    2025-06-06 21:35
  • Iran yaishtaki IAEA kwa madai yake yasiyo na msingi

    Iran yaishtaki IAEA kwa madai yake yasiyo na msingi

    Iran imetoa hati ya kisheria kupinga madai ya “ujasusi” ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA na kuyataja kuwa ni ya kichochezi na yasiyo na msingi. Tehran inaamini kuwa shirika hilo limevuka mipaka yake na linatoa matamshi dhidi ya Iran kwa kutegemea ushahidi bandia.

    2025-06-06 21:34
  • Baqaei: Kujaribu kuhalalisha jinai za kutisha za Israel ni janga kubwa zaidi duniani leo

    Baqaei: Kujaribu kuhalalisha jinai za kutisha za Israel ni janga kubwa zaidi duniani leo

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema: Kujaribu kuhalalisha jinai za kutisha na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya wananchi wasio na ulinzi wa Palestina, ni janga kubwa zaidi duniani leo, na kwamba waungaji mkono wa jinai hizo na wahalalishaji wa uhalifu wa kuchupa mipaka wa utawala wa Kizayuni ni washirika wa moja kwa moja wa jinai za Israel.

    2025-06-06 21:33
  • Trump: Biden alitia saini maelfu ya hati bila ya kujielewa

    Trump: Biden alitia saini maelfu ya hati bila ya kujielewa

    Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa ameanzisha uchunguzi kuhusu utendaji kazi wa Joe Biden akidai kuwa maelfu ya hati na maagizo ya kiutendaji yalitolewa kwa kutumia saini zilizoandikwa na mashine na bila umma kujua.

    2025-06-06 21:33
  • Abu Torabi Fard: Imam Khomeini ameugeuza Umma wa Kiislamu kuwa nguvu mpya duniani

    Abu Torabi Fard: Imam Khomeini ameugeuza Umma wa Kiislamu kuwa nguvu mpya duniani

    iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema: Imam Khomeini (MA) alifanikiwa kuleta mageuzi makubwa nchini Iran na pia kuugeuza Umma wa Kiislamu kuwa nguvu mpya inayozidi kunawiri kwenye ulimwengu wa leo.

    2025-06-06 21:32
  • Infografia | Utambulisho wa Qā’im wa Aal Muhammad (s.a.w.w) katika Khutba ya Ghadir (9)

    Infografia | Utambulisho wa Qā’im wa Aal Muhammad (s.a.w.w) katika Khutba ya Ghadir (9)

    "Tambueni! Hakika mwisho wa Maimamu kutoka kwetu ni Qā’im al-Mahdi...Hakika yeye ndiye Hujja aliyebakia, na baada yake hakuna hujja mwingine".

    2025-06-06 15:39
  • Mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza yaendelea wakati Waislamu wakiadhimisha Eid al-Adha huku ikinukia harufu ya damu

    Mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza yaendelea wakati Waislamu wakiadhimisha Eid al-Adha huku ikinukia harufu ya damu

    Sambamba na maadhimisho ya Sikukuu ya Eid al-Adha, Ukanda wa Gaza kwa mara nyingine umeshuhudia mashambulizi makali na ya umwagaji damu kutoka kwa jeshi la utawala wa Kizayuni.

    2025-06-06 15:15
  • Waziri Mkuu wa Uingereza ametuma salamu za pongezi kwa Waislamu kwa mnasaba wa Sikukuu ya Eid al-Adha

    Waziri Mkuu wa Uingereza ametuma salamu za pongezi kwa Waislamu kwa mnasaba wa Sikukuu ya Eid al-Adha

    Baadhi ya viongozi wa kisiasa wa Uingereza, wakiwemo Waziri Mkuu wa nchi hiyo, wametuma salamu za pongezi kwa Waislamu wa Uingereza na ulimwenguni kote kwa mnasaba wa Sikukuu ya Eid al-Adha.

    2025-06-06 15:06
  • Madrasat Imam Jawad (as) - Tanzania

    Madrasat Imam Jawad (as) - Tanzania

    Khitma ya Pamoja Kumrehemu Mmoja wa Waumini Wafuasi wa Ahlul-Bayt (as).

    2025-06-05 23:59
  • Falsafa ya ‘Iddil Hajj (Eid al-Adha) kwa Mtazamo wa Ahlul Bayt (a.s)

    Falsafa ya ‘Iddil Hajj (Eid al-Adha) kwa Mtazamo wa Ahlul Bayt (a.s)

    Eid al-Adha ni zaidi ya kusherehekea; ni ishara ya kujisalimisha kwa Mwenyezi Mungu kwa moyo wote, kujenga jamii ya huruma na mshikamano, na kuhuisha roho ya kujitolea. Ni nafasi ya kila Mwislamu kujiangalia upya na kuimarisha uhusiano wake na Muumba na viumbe wenzake.

    2025-06-05 20:09
  • Habari Pichani | Kongamano la “Ahlul-Bayt (a.s), Haki na Heshima ya Kibinadamu” nchini Ivory Coast kwa kuhudhuriwa na Ayatollah Ramezani

    Habari Pichani | Kongamano la “Ahlul-Bayt (a.s), Haki na Heshima ya Kibinadamu” nchini Ivory Coast kwa kuhudhuriwa na Ayatollah Ramezani

    Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA- Kongamano lenye kubeba anuani hii: “AhlulBayt (a.s), Haki na Heshima ya Kibinadamu” limefanyika katika mji wa Abidjan, nchini Ivory Coast, likihudhuriwa na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s), Ayatollah Reza Ramezani.

    2025-06-05 17:04
  • Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Haki za Nyuklia za Iran Lazima Ziheshimiwe Katika Mazungumzo

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Haki za Nyuklia za Iran Lazima Ziheshimiwe Katika Mazungumzo

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Uhuru wa Kisiasa ni Asili ya Sera ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu – Haki za Nyuklia Lazima Zihifadhiwe Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mazungumzo maalum amesisitiza kuwa uhuru wa kisiasa ni nguzo kuu ya sera ya kigeni ya Iran, akieleza kuwa taifa hilo limekuwa likijitahidi daima kujiepusha na utegemezi au kuingiliwa na madola ya kigeni.

    2025-06-05 16:50
  • “Nunua Pepo kwa Matendo Haya Machache” – Kwa Mujibu wa Qur’an na Hadithi

    “Nunua Pepo kwa Matendo Haya Machache” – Kwa Mujibu wa Qur’an na Hadithi

    Qur’an (Al-Israa: 23): “Na watendee wema wazazi wawili.” Hili ni agizo la moja kwa moja kutoka kwa Allah - ni njia ya hakika ya kuelekea Peponi.

    2025-06-05 16:34
  • Radiamali ya Wapalestina kuhusu Kura ya Veto juu ya Azimio la Baraza la Usalama: Hatua ya Marekani ni Kutoa Uhalali wa Mauaji ya Kimbari huko Gaza

    Radiamali ya Wapalestina kuhusu Kura ya Veto juu ya Azimio la Baraza la Usalama: Hatua ya Marekani ni Kutoa Uhalali wa Mauaji ya Kimbari huko Gaza

    Ofisi ya Habari ya Serikali ya Palestina katika Ukanda wa Gaza imelaani vikali kura ya veto iliyowekwa na Marekani dhidi ya azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, na kuitaja kama ishara ya wazi ya uungaji mkono wa Washington kwa uhalifu unaotekelezwa na utawala wa Kizayuni. Taasisi hiyo imesisitiza kuwa hatua hiyo itaongeza mgogoro wa kibinadamu huko Gaza na kusababisha kuongezeka kwa mauaji ya raia wasio na hatia. Imeyataka jumuiya ya kimataifa kuchukua hatua za haraka na madhubuti ili kuokoa maisha ya watu wasiokuwa na hatia katika eneo hilo.

    2025-06-05 16:22
  • Mwakilishi wa Palestina katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa: "Fanikisha kuwasukuma Waisraeli kusitisha mauaji ya kimbari yanayoendelea"

    Mwakilishi wa Palestina katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa: "Fanikisha kuwasukuma Waisraeli kusitisha mauaji ya kimbari yanayoendelea"

    Mwakilishi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amemshitaki utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ukiukaji wa sheria za kimataifa na hukumu za Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICC), na kuhimiza hatua madhubuti kutoka kwa nchi za dunia ili kuzuia uhalifu unaoendelea wa utawala huo katika Ukanda wa Gaza. Ametoa msisitizo kuwa mashambulizi yanayofanywa mara kwa mara na Israel dhidi ya raia wasio na hatia na kuzuia misaada ya kibinadamu kuingia, ni hali inayotakiwa kupokelewa kwa uzito mkubwa na jamii ya kimataifa.

    2025-06-05 16:07
  • Kwa nini Trump ameshindwa kutatua migogoro ya kimataifa licha ya ahadi zote alizotoa?

    Kwa nini Trump ameshindwa kutatua migogoro ya kimataifa licha ya ahadi zote alizotoa?

    Katika makala yake iliyopitia miezi minne ya kwanza ya utawala wa pili wa Donald Trump, tovuti ya CNN imeandika kwamba kabla ya kuingia madarakani, rais huyo alijigamba kwamba alikuwa na uwezo wa kutatua matatizo na migogoro mikubwa ya dunia, lakini hali ya sasa sio nzuri hata kidogo, ingawa yeye si rais pekee wa Marekani kutoa ahadi za uongo kuhusu suala hilo.

    2025-06-05 15:58
  • Imamu Khomeini alilitambua adui mkuu wa Umma wa Kiislamu; vita vya vyombo vya habari dhidi ya Iran vimeanzishwa

    Katika mazungumzo na daktari kutoka Yemen:

    Imamu Khomeini alilitambua adui mkuu wa Umma wa Kiislamu; vita vya vyombo vya habari dhidi ya Iran vimeanzishwa

    Daktari mwanamke kutoka Yemen alisema: Maadui walijitahidi kuionesha Iran kuwa adui wa Umma wa Kiislamu na mbadala wa adui wa kweli, ilhali maadui wakubwa na wa kihasama zaidi wa Umma wa Kiislamu ni Mayahudi wanaopinga Uislamu.

    2025-06-05 15:57
  • Iran: Tutaendelea kuiunga mkono Lebanon kwa hali na mali

    Iran: Tutaendelea kuiunga mkono Lebanon kwa hali na mali

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesisitiza utayarifu wa Jamhuri ya Kiislamu kuimarisha ushirikiano na Lebanon, alipokutana na Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah, Sheikh Naim Qassem mjini Beirut.

    2025-06-05 15:57
  • Jeshi la Iran latoa tahadhari: Tuko tayari kukabiliana na "Makosa ya Kimkakati" ya maadui

    Jeshi la Iran latoa tahadhari: Tuko tayari kukabiliana na "Makosa ya Kimkakati" ya maadui

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limesisitiza utayari wake kamili wa kukabiliana na vitendo vyovyote vya uchokozi au makosa ya kimkakati kutoka kwa maadui wa taifa la Iran, kwa wakati wowote na kwa kiwango chochote.

    2025-06-05 15:56
  • Trump na matakwa ya kupindukia kwa Iran: Je, Washington inataka kufikia makubaliano au kutwisha matakwa?

    Trump na matakwa ya kupindukia kwa Iran: Je, Washington inataka kufikia makubaliano au kutwisha matakwa?

    Rais Donald Trump wa Marekani amekariri matakwa ya kupindukia mipaka ya Washington kuhusu mpango wa amani wa nyuklia wa Iran kwa ajili ya kufikiwa mapatano ya pande mbili.

    2025-06-05 15:56
  • Pezeshkian: Umoja wa mataifa ya Kiislamu ni wajibu wa kidini na kistratajia

    Pezeshkian: Umoja wa mataifa ya Kiislamu ni wajibu wa kidini na kistratajia

    Rais Masoud Pezeshkian wa Iran, amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu inatazama umoja na mshikamano miongoni mwa mataifa ya Kiislamu kuwa ni wajibu wa kidini na wa kimkakati.

    2025-06-05 15:55
  • Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Mahujaji: "Ulimwengu wa Kiislamu wahitaji kutekeleza mafundisho ya Hija ili kusitisha maafa ya Gaza"

    Ujumbe wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu kwa Mahujaji: "Ulimwengu wa Kiislamu wahitaji kutekeleza mafundisho ya Hija ili kusitisha maafa ya Gaza"

    Ayatullah Ali Khamenei amesema kuwa Ulimwengu wa Kiislamu kwa sasa unayahitaji zaidi kuliko wakati mwingine wowote mafundisho ya Hija, na akibainisha kuwa Hija ya mwaka huu ni msimu wa pili unaofanyika sambamba na jinai za utawala wa Kizayuni huko Gaza, ameuliza swali lifuatalo:“Ni nani anapaswa kusimama dhidi ya janga hili la kibinadamu?” Kisha ameongeza kwa kusisitiza: “Bila shaka yoyote, serikali za Kiislamu ndizo zinazobeba wajibu wa kwanza wa jukumu hili, na mataifa ya Kiislamu yana haki ya kudai utekelezaji wa wajibu huo kutoka kwa serikali zao.”

    2025-06-05 15:45
  • Imam Khomeini: Urithi wa uongozi wa kidini na kimapinduzi

    Imam Khomeini: Urithi wa uongozi wa kidini na kimapinduzi

    Katika mwaka wa 36 wa maadhimisho ya kuaga dunia Imam Ruhollah Khomeini (MA), mwanzilishi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya mwaka 1979 nchini Iran, fikra zake zingali zinaendelea kuathiri sio tu mwelekeo wa kisiasa wa Jamhuri ya Kiislamu bali pia mijadala mipana zaidi kuhusu mahusiano kati ya Uislamu na siasa katika ulimwengu wa Kiislamu.

    2025-06-05 14:59
  • Hawza ya Hazrat Zainab (SA) - Kigamboni, Dar-es-salaam - Imekuwa Kitovu cha Kumbukumbu ya Shahada ya Imam Muhammad Baqir (A.S) + Picha

    Hawza ya Hazrat Zainab (SA) - Kigamboni, Dar-es-salaam - Imekuwa Kitovu cha Kumbukumbu ya Shahada ya Imam Muhammad Baqir (A.S) + Picha

    Majlisi hiyo ilijumuisha usomaji wa Aya za Qur’an Tukufu, Hotuba za Maombolezo zilizozungumzia Historia ya Maisha ya Imam Baqir(as), pamoja na Mashairi ya Maombolezo yaliyodhihirisha huzuni kubwa ya tukio hilo.

    2025-06-04 15:28
  • Saumu ya Arafa | Kwa Mujibu wa Madhehebu ya Shia Ithna Ashari: "Kufunga Siku ya Arafa ni Sunna na si wajibu"

    Saumu ya Arafa | Kwa Mujibu wa Madhehebu ya Shia Ithna Ashari: "Kufunga Siku ya Arafa ni Sunna na si wajibu"

    Hoja na Dalili Juu ya Sunna ya Saumu ya Siku ya Arafa: Riwaya kadhaa za Kishia zinaelezea fadhila za kufunga Siku ya Arafa, kama vile riwaya ya Abdur_Rahman bin Abi Abdillah kutoka kwa Abul Hassan (as).

    2025-06-04 14:27
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • Next
Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s); Abna Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom