-
Ujumbe wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu - Ayatollah Khamenei (Allah Amhifadhi) Kuhusu Harakati ya Imam Hussein (a.s)
Imam Hussein (a.s) ni lazima abaki kuwa bendera ya haki milele.Na bendera ya Haki haiwezi kusimama upande wa batili (uovu), wala haiwezi kuchukua rangi ya batili.
-
Majlisi ya Tasu’a – Chuo cha Al-Mustafa(s), Tawi la Malawi Sababu ya Imam Hussein (a.s) Kukataa Kumuunga Mkono Yazid + Picha
Imam Hussein (a.s) hakukubali kusalimu amri mbele ya mtu mtu muovu kama huyo, kwa sababu Uislamu hauwezi kamwe kuongozwa na Kiongozi mwovu na fasiki kama Yazid bin Muawia (la).
-
Mfumo wa Utambuzi na wa Mauaji ya Kigaidi wa Israel: Unategemea Makadirio ya Akili Bandia
Baada ya uchambuzi wa mfumo huo wa Akili Bandia, jengo hupewa "kiwango cha hatari (uwiano wa hatari)" (risk coefficient). Mfumo huo haufanyi maamuzi kwa uhakika, bali hufanya kwa msingi wa makadirio. Kwa mfano: Hata kama kuna asilimia 50 tu ya uwezekano kuwa jengo linahifadhi silaha, linaweza kulengwa na kushambuliwa.
-
Majlisi ya Tasu'a -Muharram- Madrasa Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni - Dare-es-Salam | "Nafasi ya Imam Hussein (a.s) kwa Masahaba wake" +Picha
Khatibu wa Majlisi hii, Ukhti Maimuna, ametoa funzo muhimu la "Imani na Uaminifu" kutoka kwa Masahaba wa Imam Hussein (as) katika Ardhi ya Karbala. Jamii ya Mwanadamu yenye kufuata misingi na maelekezo ya Mwenyezi Mungu (swt) na Mtume wake Muhammad (s.a.w.w), ina kila sababu ya kujipamba kwa imani kama hiyo na uaminifu huo wa Masahaba hao wema wa Imam Hussein (as).
-
Imam Hussein (as):“Atakayeungana nami basi atakuwa Shahidi,na asiyeungana nami hatofikia ushindi" | Taasisi ya Hujjatul Asr Society Of Tanzania +Video
Kila mtu atafufuliwa na kile anachokipenda, hata kama mtu atapenda jiwe na kulifanya kuwa ndio kiongozi wake, basi atafufuliwa pamoja na jiwe hilo. Wafuasi wa Muovu Yazid bin Muawia na Bani Umaiyya, Mwenyezi Mungu awafufue pamoja na muovu huyo na Kizazi hicho cha Bani Umaiyya, na Wafuasi na wapenzi wote wa Imam Hussein (as) na Ahlul-Bayt (as), awafufue pamoja na Imam Hussein (as) na Kizazi Kitukufu cha Ahlul-Bayt (as) kwa ujumla.
-
Majlisi ya Muharram: Wanafunzi wa Madrasa ya Hazrat Zainab (sa), Waonyesha Mapenzi Makubwa kwa Ahlul-Bayt (a.s) katika Maombolezo ya Muharram + Picha
Majlisi hii ilifanyika kwa hali ya utulivu, huzuni na mapenzi makubwa kwa Imam Hussein (a.s), ikiwa ni njia ya kudumisha ujumbe wa Karbala na kushikamana na njia ya haki.
-
Nafasi Tukufu ya Ali Akbar (a.s) - Kijana wa Imam Hussein (a.s) - Mcha Mungu, Jasiri, na Mwenye Kufanana zaidi na Mtume Muhammad (s.a.w.w) + Picha
Majlis hii iliambatana na Mashairi ya Maombolezo, Masimulizi ya historia ya Karbala, na ujumbe wa kusimama imara kwa ajili ya Haki, kama wanavyotufundisha Ahlul-Bayt (a.s) wa Mtume Muhammad (s.a.w.w).
-
Sala ya Ijumaa - Madrasat Hazrat Zainab (sa) | Mada: "Umuhimu na Taq'wa + Jihadi ya Kidijitali (Jangwa la Vita Baridi vya Kisaikolojia)" + Picha
Samahat Sheikh aliwahimiza Waumini kuwa makini na waangalifu, kuwa wenye hekima, na waadilifu, wakijilinda dhidi ya athari za tamaduni na mitazamo ya kimagharibi inayopingana na misingi ya Kiislamu. Lengo ni kuilinda jamii kwa msingi wa Maarifa, Taq'wa, na ufuasi wa kweli wa Ahlul-Bayt (a.s).
-
Mabanati wa Madrasa ya Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni, Dar-es-salaam, Wapatiwa Vyeti vya (ICDL) Baada ya Kukamilisha Kozi hiyo ya Mafunzo ya Kompyuta
Tunawapongeza waalimu waliowafundisha wasichana hawa wa Kiislamu kwa bidii na uaminifu, na pia Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kimataifa ya Jamiatul Mustafa (s) - Tanzania, Hojjatul Wal Muslimin, Dr.Ali Taqavi aliyekuja na wazo hili muhimu na kulisimamia kwa hekima na juhudi kubwa.
-
Ali Akbar (a.s) – Kijana wa Imam Hussein (a.s) ambaye alitoa maisha yake kwa ajili ya dini ya Mwenyezi Mungu katika ardhi ya Karbala + Picha
Maombolezo haya, yalijumuisha pia Mashairi ya Maombolezo ya huzuni, na kuangazia sifa za kipekee za Ali Akbar (a.s) – Kijana wa Imam Hussein (a.s) ambaye alitoa maisha yake kwa ajili ya dini ya Mwenyezi Mungu katika ardhi ya Karbala.
-
Iran - Tehran | Picha kutoka katika Maombolezo ya Shahada ya Imam Hussein (a.s) katika Husayniyya ya Imam Khomeini (r.a)
Majlisi ilijaa hisia za Mapenzi kwa Ahlul-Bayt (a.s) na huzuni kubwa ya kuuawa Kishahidi kwa Imam Hussein (a.s) na wafuasi wake katika Ardhi ya Karbala, kupitia muovu na mlaaniwa Yazid bin Muawia (la) na majeshi yake.
-
Bondia Muhammad Ali: "Ikiwa unataka kuuelewa Uislamu, basi kwanza jifunze uelewe tukio la Karbala"
Muhammad Ali - Bondia maarufu wa wakati wote alitoa kauli hiyo mwaka 1993 katika Mwezi kama huu wa Muharram ambapo naye alishiriki katika Maombolezo ya Shahada ya Imam Hussein (as).
-
Qom - Iran: Kwa nini watu wa Iran ni Majasiri? Wametoa Wapi Ushujaa? | Je, Unampenda sana Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu (Khamenei) au la? + Video
Wananchi wa Iran katika Mji wa Qom, wamefanya maandamano ya amani katika Mji wa Qom, kwa ajili ya kumhami Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Sayyid Al-Qaid, Ayatollah Ali Khamenei (Allah Amhifadhi, na kwa ajili ya kulaani vitendo vya uchokozi vya utawala haram wa kizayuni, katika kuishambulia jamhuri ya kiislamu ya Iran
-
Dr. Ali Taqavi , Rais wa Jamiat Al-Mustafa (s) Tanzania, Aainisha Nafasi ya Mwanamke Katika Kuhifadhi na Kuitangaza Historia ya Karbala + Picha
Alibainisha kwamba: "Wanawake wa Kiislamu wanayo nafasi muhimu sana katika kusambaza ujumbe wa Imam Hussein (a.s). Katika tukio la Karbala, Wanawake kwa ushiriki wao wa moja kwa moja na kwa kustahimili mateso na majonzi, waliufikisha ulimwenguni ujumbe wa dhulma aliyoipata Imam Hussein (a.s) na msimamo wake wa Haki". Alitoa mfano kwa Bi. Zainab (sa) akisema: "Nafasi ya Bibi Zainab (s.a) kama Mwanamke na kama msemaji mkuu wa tukio la Karbala na mjumbe mashuhuri wa ujumbe wa A'shura, ni ya kipekee na haina mfano".
-
Majlis za Maombolezo ya Shahada ya Imam Hussein (as) | Mada ni: Ali Asghar (as) - Shahidi mdogo kuliko wote katika Ardhi ya Karbaka + Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Leo, Alhamisi, tarehe 3 Julai 2025 ni mwendelezo wa Majlisi za Maombolezo kwa ajili ya kuadhimisha Shahada ya Imam Hussein (a.s) katika Taasisi ya Kimataifa Al-Mustafa (s), Dar es Salaam, Tanzania. Mzungumzaji: Sheikh Khamis Mpili. Mada ni kuhusiana na: "Ali Asghar (a.s)"
-
Ulinzi Madhubuti wa Allamah Sajid Naqvi kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi/Ayatollah Khamenei ni Kiongozi wa Kimataifa na Mheshimiwa katika Ulimwengu Mzim
Akikosoa matamshi ya hivi karibuni ya matusi dhidi ya Ayatollah Seyyed Ali Khamenei, alisema kuwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni mtu mwenye hadhi ya kimataifa ndani ya Umma wa Kiislamu na kwamba kumtukana kunaweza kusababisha matokeo mabaya.
-
Araqchi: Kiwango cha Uharibifu Katika Tovuti ya Fordow Kilikuwa Kikubwa na Mbaya
Waziri wa Mambo ya Nje, akirejelea tathmini ya Shirika la Nishati ya Atomiki kuhusu uharibifu uliopatikana katika vifaa, alisema kuhusu kiwango cha uharibifu huo katika tovuti ya Fordow: "Kiwango cha uharibifu kilikuwa kikubwa sana na mbaya sana, na Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran linaendelea kuchunguza na kutathmini hali hiyo, na matokeo ya kazi hiyo yatatangazwa kwa serikali."
-
Tishio kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu Litaleta Matokeo Hatari
Mmoja wa wanazuoni mashuhuri wa Pakistan, akijibu tishio la Donald Trump dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, alieleza kitendo hiki kuwa cha matusi na uchochezi, akisisitiza kwamba, kwa kuzingatia maadili ya Kiislamu, ni muhimu kutoa jibu kali na lenye nguvu kwa vitisho kama hivyo na kwamba Umma wa Kiislamu hautanyamaza kimya mbele ya uchokozi au tishio lolote.
-
Baqaei: Watu wa Iran Wamekasirika na Misimamo ya Shirika
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran alisema kwamba Iran haina uadui na shirika lolote la kimataifa, lakini watu wa Iran "wamekasirika kweli na wamefadhaika" na msimamo wa Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki (IAEA).
-
Taliban Wabomoa na Kuondoa Vituo vya Maombolezo huko Herat
Baadhi ya ripoti kutoka vyanzo vya ndani vya Herat zinaonyesha kwamba jana usiku (Jumanne, Julai 1) idadi ya Mawākib (vituo vya maombolezo) na bendera za maombolezo ya Husayn katika mji huu zilibomolewa na kuondolewa na Taliban.
-
Mlipuko Pakistan Waacha Wanne Wakiwa Wamekufa na 11 Kujeruhiwa
Mlipuko wa bomu kaskazini-magharibi mwa Pakistan umesababisha vifo vya watu wanne na kujeruhiwa 11.
-
Uwezekano wa Kuvunja Mkataba wa Kusitisha Mapigano: Je, Vita Vitaanza Tena?
Je, vita kati ya Iran na Israel vitaanza tena? Hili ni swali ambalo limekuwa likizungumzwa sana siku za hivi karibuni. Pamoja na uwezekano wa kuvunjwa kwa mkataba wa kusitisha mapigano, inaonekana uwezekano wa kutokea kwa vita vikubwa katika siku za usoni ni mdogo, lakini mvutano kati ya pande hizo bado unaendelea na unaweza kusababisha mkwamo katika mpango wa nyuklia wa Iran.
-
Associated Press: Wakaguzi wa IAEA Bado Wapo Iran
Shirika la habari la Marekani limemnukuu mwanadiplomasia akisema kwamba wakaguzi wa Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki (IAEA) bado wapo Iran na Tehran bado haijawaomba kuondoka nchini humo.
-
Qalibaf: Katika Vita vya Siku 12 Tulifanya Anga na Nchi Kuangukia Juu ya Adui
Spika wa Bunge la Kiislamu, akisema kwamba nguvu za makombora za Iran ziliifanya Iron Dome kutokuwa na ufanisi, alisema: "Adui wa Kizayuni hataweza kamwe kusimama dhidi ya haki na ukweli, na kamwe hataweza kuzima nuru ya Mungu."
-
Kukashifiwa kwa Mashambulizi dhidi ya Vifaa vya Petrokimia na Kemikali za Iran
Katika kikao maalum cha Baraza Kuu la Shirika la Kuzuia Silaha za Kemikali (OPCW) huko The Hague, shambulio la utawala wa Kizayuni dhidi ya vifaa vya kemikali vya nchi yetu lililaaniwa.
-
Moja ya Matukio Muhimu Katika Ratiba za Mwezi wa Muharram Katika Masjidul Ghadir ni Hafla ya Kupandisha Bendera ya Imam Hussein (as) + Picha
Kupandishwa kwa Bendera hiyo ni ishara ya msimamo wa milele wa haki dhidi ya dhulma, na ni mwaliko kwa Waumini kujiandaa kuhudhuria katika Majalisi, kushiriki katika kuandaa Mashairi, na khutba mbalimbali zinazobainisha ujumbe wa Karbala na mafundisho ya Imam Husein (a.s).
-
Majlis za Maombolezo ya Shahada ya Imam Hussein(as) kwa Kina Mama wa Kiislamu nchini Tanzania zinaendelea kufikisha Ujumbe wa Imam Hussein (as) +Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Majlis ya Imam Husein (as) ikiendeshwa makhsusi kwa Kinamama inaendelea kila siku ikiongozwa na Ustadhati Zainab Ndete.Waumini mbalimbali Wanawake wa Kiislamu wanajitokekeza kutoka maeneo mbalimbali na kukusanyika kwa Pamoja kwa ajili ya kupata Darsa mbalimbali zilizomo ndani ya Mapinduzi Matukufu ya Kiislamu ya Karbala, yaliyosimamiwa kikamilifu na Imam Hussein (as) Katika Ardhi ya Karbala.
-
Uanzishwaji wa Mawkib ya Aba Abdillah Al-Hussein(as) - Ulongoni B, Dar es Salaam, Tanzania ikiendeshwa na Husseiniyyah ya Hazrat Qamar Bani Hashim(as)
Mawkib hii, huduma mbalimbali za kijamii zinatolewa kwa Wananchi wa maeneo hayo, sambamba na kusambaza ujumbe wa Aba Abdillah Al-Hussein (as) wa kuhuisha maadili na misingi ya Kiislamu; kuhimiza kusema ukweli na haki, pamoja na kueneza uadilifu kwa ajili ya ustawi na maendeleo ya Binadamu.
-
Madrasat Hazarat Zainab (sa) - Kigamboni ni kielelezo cha Nafasi ya Wanawake Katika Kuhifadhi Utamaduni wa Muharram
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Majalisi na vikao mbalimbali vya kuhuisha Shahada ya Imam Hussein (as) vinaendelea katika Madrasa ya Kidini ya Wasichana wa Kiisalamu inayoitwa: Madrasat Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni, Dar-es-Salam - Tanzania.
-
Himaya thabiti ya Allama Sajid Naqvi kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi/Syed Khamenei Shkhsia wa Kimataifa anayeheshimika katika Ulimwengu wa Kiislamu
Akikosoa matamshi ya hivi karibuni ya kimatusi dhidi ya Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni Shakhsia mwenye hadhi ya Kimataifa katika Umma wa Kiislamu, na kauli yoyote ya kumtusi inaweza kuwa na matokeo mabaya na ya kutia wasiwasi.