ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • Malawi | Hafla ya Usomaji wa Qur’an Tukufu +Picha

    Malawi | Hafla ya Usomaji wa Qur’an Tukufu +Picha

    Hafla hii ya kiroho imehudhuriwa na talaba / Wanafunzi pamoja na walimu wa Hawza na inalenga kukuza maadili ya Kiislamu, kuimarisha ibada, na kuongeza mapenzi na mshikamano kupitia kukaa pamoja chini ya kivuli cha Qur’ani Tukufu.

    2025-12-18 23:56
  • Baridi Kali ya Hewa Gaza Yachukua Maisha ya Mtoto Mchanga

    Baridi Kali ya Hewa Gaza Yachukua Maisha ya Mtoto Mchanga

    Taarifa hiyo imeeleza kuwa kwa kurekodiwa kwa kisa hiki, idadi ya watu waliofariki dunia kutokana na baridi kali na athari za mfumo huo wa hali ya hewa, baada ya kuhamishiwa katika hospitali za Gaza, imefikia watu 13.

    2025-12-18 23:42
  • Al-Mustafa na Chuo Kikuu cha Félix Houphouët-Boigny katika Njia ya Kuimarisha Ushirikiano wa Kitaaluma

    Al-Mustafa na Chuo Kikuu cha Félix Houphouët-Boigny katika Njia ya Kuimarisha Ushirikiano wa Kitaaluma

    Mkutano huu unaakisi nia ya dhati ya pamoja ya vyuo hivyo viwili katika kuinua ubora wa elimu ya juu, kupanua ushirikiano wa baina ya vyuo vikuu, na kubadilishana uzoefu wa kielimu nchini Côte d’Ivoire.

    2025-12-18 23:34
  • Hafla ya Uzinduzi wa "Mausu‘ah ya Maarifa ya Kishia" Yafanyika / Mfumo wa Kimaarifa wa Kuutambulisha Ushia kwa Msingi wa Akili na Uelewa wa Pamoja

    Hafla ya Uzinduzi wa "Mausu‘ah ya Maarifa ya Kishia" Yafanyika / Mfumo wa Kimaarifa wa Kuutambulisha Ushia kwa Msingi wa Akili na Uelewa wa Pamoja

    Hafla ya Uzinduzi wa “Mausu‘ah ya Maarifa ya Kishia” Yafanyika / Mfumo wa Kimaarifa wa Kuutambulisha Ushia kwa Msingi wa Akili na Uelewa wa Pamoja wa Kibinadamu

    2025-12-18 23:25
  • Mfululizo wa Mwitikio dhidi ya Kudharau Qur’ani Tukufu; Hizbullah:Marekani na Lobi ya Kizayuni Ndio Wahusika Wakuu wa Kuitukana Mitakatifu ya Waislamu

    Mfululizo wa Mwitikio dhidi ya Kudharau Qur’ani Tukufu; Hizbullah:Marekani na Lobi ya Kizayuni Ndio Wahusika Wakuu wa Kuitukana Mitakatifu ya Waislamu

    Hizbullah ya Lebanon katika tamko lake imesisitiza kuwa: “Utamaduni wa ubaguzi wa rangi na hotuba za chuki, ambazo zimekuwa zikichochewa na mikondo ya kisiasa na vyombo vya habari vya Magharibi kwa msukumo wa tawala mfululizo za Marekani na lobi za Kizayuni kwa miongo kadhaa, zimefanya juhudi za makusudi za kupotosha taswira ya Uislamu. Hatua hizi zinafanywa kwa ajili ya kutumikia miradi ya fitna, ukoloni na uharibifu, na ndizo sababu kuu zilizowapa ujasiri watu wenye misimamo mikali kufanya vitendo hivi vya aibu.”

    2025-12-18 22:59
  • Vikosi vya Urusi Vadai Kuuteka Kikamilifu Mji wa Kupyansk Huko Ukraine - Ukraine Yakanusha!

    Vikosi vya Urusi Vadai Kuuteka Kikamilifu Mji wa Kupyansk Huko Ukraine - Ukraine Yakanusha!

    Kwa sasa, hali ya Kupyansk inaelezwa kuwa bado ni ya mvutano mkubwa, huku mashambulizi ya mabomu, droni na silaha nzito yakiendelea kuripotiwa katika maeneo ya karibu.

    2025-12-17 22:15
  • Msikiti wa Haram ya Imam Reza (a.s) - Mashhad, Iran, Unashikilia Rekodi ya Dunia kwa kuwa na Eneo Kubwa Zaidi Kuliko Misikiti Yote Duniani

    Msikiti wa Haram ya Imam Reza (a.s) - Mashhad, Iran, Unashikilia Rekodi ya Dunia kwa kuwa na Eneo Kubwa Zaidi Kuliko Misikiti Yote Duniani

    Misikiti 10 Yenye Maeneo Makubwa Zaidi Duniani (Tanbihi: Ukubwa unakusudiwa ni Eneo zima la Msikiti - Sio Uwezo wa Idadi ya Waumini wanaingia ndani yake, kwa kutizama uwezo Msikiti wa Kwanza uwezo inakuwa ni Masjid Al-Haram, ndio unaongoza kwa kubeba watu wengi zaidi kuliko Misikiti mingine, kwa Mantiki Masjid Imam Reza a.s inakuwa ya Tatu Duniani kwa kutizama uwezo na Ukubwa wa eneo, lakini inakuwa ya kwanza Duniani kwa kutizama Ukubwa wa eneo tu).

    2025-12-17 19:15
  • Waziri Mkuu wa Hungary, Viktor Orban  Awatuhumu Viongozi wa EU Kuhusu Mpango wa Kutwaa Mali za Russia: “Hii Ni Sawasawa na Tangazo la Vita”

    Waziri Mkuu wa Hungary, Viktor Orban Awatuhumu Viongozi wa EU Kuhusu Mpango wa Kutwaa Mali za Russia: “Hii Ni Sawasawa na Tangazo la Vita”

    Orban ameonya kuwa tishio la Vita Vikuu vya Tatu vya Dunia linazidi, na kwamba “waliberali wa Ulaya wanaounga mkono vita” wanapinga mazungumzo ya amani kati ya Marekani na Russia.

    2025-12-17 18:09
  • Taasisi ya Furqan Foundation yafungua Kisima cha Maji Namba 8 Katika Kijiji cha Mgomba, Ikwiriri, Rufiji +Picha

    Taasisi ya Furqan Foundation yafungua Kisima cha Maji Namba 8 Katika Kijiji cha Mgomba, Ikwiriri, Rufiji +Picha

    Taasisi ya Furqan Foundation imetoa shukrani za dhati kwa wafadhili waliowezesha mradi huu, na pia imetoa wito kwa wanakijiji kutunza na kusimamia kisima hiki, ili mradi huo uendelee kutoa manufaa ya muda mrefu na kuondoa adha ya ukosefu wa maji kama ilivyokuwa awali.

    2025-12-17 16:13
  • Urefu wa Rais Chapo wa Msumbiji Wazua Gumzo Nchini Italia: Waziri Mkuu wa Italia Georgia Meloni Abatizwa “Mini Meloni” Mitandaoni +Picha

    Urefu wa Rais Chapo wa Msumbiji Wazua Gumzo Nchini Italia: Waziri Mkuu wa Italia Georgia Meloni Abatizwa “Mini Meloni” Mitandaoni +Picha

    Licha ya mshangao wa Waziri Mkuu Meloni kutokana na umbo na urefu wa mgeni wake, wapigapicha nao walijikuta katika wakati mgumu, huku baadhi yao wakilazimika kulala chini ili kuwakamata viongozi hao wawili katika fremu moja ya picha.

    2025-12-17 15:21
  • Kiongozi Sheikh Ibrahim Zakzaky (M.A) ametembelea Haram ya Imam Khomeini (RA) Siku ya Jumanne Jijini Tehran +Picha

    Kiongozi Sheikh Ibrahim Zakzaky (M.A) ametembelea Haram ya Imam Khomeini (RA) Siku ya Jumanne Jijini Tehran +Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA-; Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu Nchini Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky (Allah Amhifadhi) ametembelea Haram ya Imam Khomeini (RA) Siku ya Jumanne katika Jiji la Tehran. Katika ziara hiyo, Sheikh Zakzaky (M.A) alitoa heshima zake katika Haram ya Mwanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Ruhollah Khomeini (RA), huku akitafakari urithi wake wa mapambano, uadilifu na kusimamia haki za wanyonge. Ziara hiyo inaashiria mshikamano wa kifikra na kiroho pamoja na kuthamini mchango wa Imam Khomeini (RA) katika historia ya Uislamu na harakati za Kiislamu duniani.

    2025-12-17 15:12
  • Baraza la Utamaduni la Ubalozi wa Iran Nairobi Laadhimisha Maulid ya Sayyidat Fatima Zahra (s.a), Siku ya Mama na Heshima ya Mwanamke +Picha

    Baraza la Utamaduni la Ubalozi wa Iran Nairobi Laadhimisha Maulid ya Sayyidat Fatima Zahra (s.a), Siku ya Mama na Heshima ya Mwanamke +Picha

    Maadhimisho hayo yalionesha urithi mkubwa na wa kina wa Sayyida Fatima Zahra (a.s) katika Uislamu, pamoja na umuhimu wake wa kudumu kama kielelezo bora katika maisha ya kidini ya kizazi cha sasa. Siku hii pia huadhimishwa kama Siku ya Mama, kuwakumbuka na kuwaheshimu akina mama, mabibi, dada na wanawake kwa ujumla.

    2025-12-17 14:16
  • Nasaha za Ustadhi Abdallah Amani: Hatari ya Kifungo cha Uchovu Katika Maisha ya Ndoa

    Nasaha za Ustadhi Abdallah Amani: Hatari ya Kifungo cha Uchovu Katika Maisha ya Ndoa

    Ustadhi Abdallah Amani amesisitiza kuwa: “Maisha ya ndoa yanahitaji uhai, ubunifu, mabadiliko madogo, na msisimko wa pamoja ili yasigeuke kuwa kifungo cha uchovu.”

    2025-12-17 13:32
  • Araghchi: Marekani inaulazimisha ulimwengu kuelekea kwenye uvunjifu wa sheria na sheria ya msituni

    Araghchi: Marekani inaulazimisha ulimwengu kuelekea kwenye uvunjifu wa sheria na sheria ya msituni

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Seyed Abbas Araghchi, akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha MGIMO nchini Urusi, alisema: "Tishio kubwa ni kwamba Marekani inaupeleka ulimwengu kwenye machafuko na sheria ya msituni, jambo ambalo litaifanya dunia kuwa mahali hatari zaidi."

    2025-12-17 13:31
  • Vikosi vya Hashd al-Shaabi vyapelekwa kwenye mpaka wa Syria

    Vikosi vya Hashd al-Shaabi vyapelekwa kwenye mpaka wa Syria

    Vikosi vya Hashd al-Shaabi nchini Iraq vimepelekwa karibu na mpaka wa pamoja na Syria kama sehemu ya hatua za usalama kuzuia kupenya kwa magaidi wa Daesh (ISIS).

    2025-12-17 13:30
  • Mmoja wa viongozi hatari zaidi wa Daesh anaswa na vikosi vya Iraq

    Mmoja wa viongozi hatari zaidi wa Daesh anaswa na vikosi vya Iraq

    Vikosi vya usalama nchini Iraq vimefanikiwa kumtambua na kumkamata mmoja wa viongozi hatari zaidi wa Daesh baada ya operesheni kubwa ya ufuatiliaji.

    2025-12-17 13:30
  • Mwanajeshi mwingine wa Kizayuni ajiua katika kambi ya jeshi

    Mwanajeshi mwingine wa Kizayuni ajiua katika kambi ya jeshi

    Mwanajeshi mwingine wa utawala wa Kizayuni amejiua katika kambi ya jeshi la utawala huo.

    2025-12-17 13:30
  • ISIS nchini Syria: "Tutarudi hivi karibuni!"

    ISIS nchini Syria: "Tutarudi hivi karibuni!"

    Kuenea kwa ujumbe wa Daesh (ISIS) katika mitaa ya Idlib kunaashiria kuwa kundi hilo la kigaidi linafufuka upya baada ya kuanguka kwa serikali ya Bashar al-Assad na kuingia madarakani kwa utawala wa Jolani.

    2025-12-17 13:29
  • Haaretz: Matokeo ya mauaji ya kimbari huko Gaza bado yanaisumbua Israel

    Haaretz: Matokeo ya mauaji ya kimbari huko Gaza bado yanaisumbua Israel

    Gazeti moja la Kizayuni limeandika kuwa matokeo ya mauaji ya kimbari ya utawala wa Kizayuni huko Gaza, licha ya kutangazwa kwa usitishaji vita, bado yanaendelea kuiathiri Israel katika nyanja za utamaduni, siasa, na kitaaluma.

    2025-12-17 13:28
  • Harakati za Israel nchini Yemen kupitia mamluki wa Imarati (UAE)

    Harakati za Israel nchini Yemen kupitia mamluki wa Imarati (UAE)

    Mwanaharakati wa kisiasa wa Yemen ameonya dhidi ya harakati za utawala wa Kizayuni nchini humo kupitia mkono wake wa Imarati ili kufikia maslahi yake.

    2025-12-17 13:27
  • Trump: "Nitabaki kuwa rafiki na shujaa wa Wayahudi daima"

    Trump: "Nitabaki kuwa rafiki na shujaa wa Wayahudi daima"

    Donald Trump amekiita Bunge la Marekani kuwa linachochea chuki dhidi ya Wayahudi (antisemitic) na kusema: "Nitabaki kuwa rafiki na shujaa wa watu wa Kiyahudi milele."

    2025-12-17 13:27
  • Ukiri wa afisa wa White House: Lengo la kushambulia boti ni kuipindua serikali ya Venezuela

    Ukiri wa afisa wa White House: Lengo la kushambulia boti ni kuipindua serikali ya Venezuela

    Afisa mkuu wa White House amekiri kuwa lengo la kushambulia boti si kupambana na dawa za kulevya pekee, bali ni kuipindua serikali ya Venezuela.

    2025-12-17 13:26
  • Msemaji wa serikali ya China: Marekani lazima izingatie kanuni ya 'China Moja'

    Msemaji wa serikali ya China: Marekani lazima izingatie kanuni ya 'China Moja'

    Msemaji wa Ofisi ya Masuala ya Taiwan ya Baraza la Serikali la China amesema kuwa Marekani inapaswa kuendelea kushikilia kanuni ya "China Moja".

    2025-12-17 13:26
  • Afrika Kusini kwenye Njia Panda | Kutoka Mapambano ya Ubaguzi Hadi Siasa za Utaifa na Ubaguzi - Simulizi Mpya ya Afrika Kusini +Video

    Afrika Kusini kwenye Njia Panda | Kutoka Mapambano ya Ubaguzi Hadi Siasa za Utaifa na Ubaguzi - Simulizi Mpya ya Afrika Kusini +Video

    Je, harakati ya “Mwafrika Kusini Kwanza” ni mwendelezo wa mapambano ya kihistoria dhidi ya ubaguzi, au ni mwelekeo mpya unaoelekea kurudia misingi ile ile ya ubaguzi dhidi ya Mwafrika mwenyewe?.

    2025-12-16 21:20
  • Muujiza wa Qur’an kuhusu moto usiounguza

    Muujiza wa Qur’an kuhusu moto usiounguza

    Katika kisa cha Nabii Ibrahim (a.s.), Qur’ani Tukufu inasimulia kuwa alitupwa ndani ya moto ambao haukumchoma. Baadhi ya watu wenye mashaka hudai kuwa jambo hilo haliwezekani, kwa sababu moto kwa kawaida huchoma kila kitu. Hata hivyo, sayansi ya kisasa imegundua aina ya moto unaojulikana kama plasma baridi (cold plasma), ambao hauchomi, bali katika hali fulani unaweza hata kugandisha vitu.

    2025-12-16 15:07
  • Uingereza iko mbioni kupitisha ufafanuzi rasmi wa “chuki dhidi ya Waislamu”

    Uingereza iko mbioni kupitisha ufafanuzi rasmi wa “chuki dhidi ya Waislamu”

    Kwa mujibu wa mtandao wa BBC, ufafanuzi huo umeandaliwa na Kikosi Kazi cha Islamophobia/Chuki dhidi ya Waislamu, na tayari umewasilishwa serikalini, huku sasa ukiwekwa katika mchakato wa mashauriano na wadau mbalimbali. Serikali ya Uingereza iliunda kikosi kazi hicho mwezi Februari mwaka huu, na pendekezo lake la mwisho liliwasilishwa mwezi Oktoba.

    2025-12-16 13:46
  • Naibu Kamanda wa Vikosi vya Nchi Kavu vya Jeshi la Iran: Hatutakuwa waanzilishi wa mashambulizi kamwe

    Naibu Kamanda wa Vikosi vya Nchi Kavu vya Jeshi la Iran: Hatutakuwa waanzilishi wa mashambulizi kamwe

    Naibu Kamanda wa Vikosi vya Nchi Kavu vya Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa jeshi halitakuwa kamwe mwanzilishi wa mashambulizi, akieleza kuwa lengo la kuimarisha jeshi sio vita, bali ni kuzuia vita na kujenga uwezo wa kuzuia (deterrence).

    2025-12-16 13:28
  • Sherehe ya Taklifu ya maelfu ya wasichana wa Iraq katika Haram ya Maimamu Wawili Askariyayn (a.s)

    Sherehe ya Taklifu ya maelfu ya wasichana wa Iraq katika Haram ya Maimamu Wawili Askariyayn (a.s)

    Hafla hiyo ilitawaliwa na hali ya kiroho, furaha na fahari, ikionyesha umuhimu wa malezi ya kidini na kimaadili kwa kizazi kipya cha jamii ya Iraq, kwa kuzingatia mfano bora wa Sayyida Fatima Zahra (a.s) katika maisha, maadili na utiifu kwa Mwenyezi Mungu.

    2025-12-16 12:39
  • Kwa mwaka wa tatu mfululizo; Sudan yaongoza orodha ya migogoro ya kibinadamu duniani

    Kwa mwaka wa tatu mfululizo; Sudan yaongoza orodha ya migogoro ya kibinadamu duniani

    Sudan kwa mwaka wa tatu mfululizo imeorodheshwa juu kabisa katika orodha ya migogoro ya kibinadamu duniani.Nchi nyingine zilizoorodheshwa katika ripoti hiyo ni pamoja na: Myanmar, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mali, Burkina Faso, Lebanon, Afghanistan, Cameroon, Chad, Colombia, Niger, Nigeria, Somalia, Syria, Ukraine na Yemen.

    2025-12-16 12:31
  • Riziki na kipato kwa hakika kiko mikononi mwa nani?

    Riziki na kipato kwa hakika kiko mikononi mwa nani?

    Kwa mtazamo wa Tauhidi, kila kitu kiko mikononi mwa Mwenyezi Mungu; lakini katika maisha ya kila siku, inaonekana kana kwamba ni wanadamu wanaoamua riziki za wao kwa wao: mfanyakazi humtegemea mwajiri, mtumishi wa umma hulitegemea dola, na mtoto huwategemea wazazi. Basi ukweli wa jambo hili ni upi? Mtazamo sahihi na wa kina kuhusu suala hili ni upi?

    2025-12-16 12:23
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • Next
Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom