ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • Kwa nini droni ya Shahed-161 ya inaashiria hatua kubwa ya Iran katika teknolojia ya ulinzi ya kujitegemea

    Kwa nini droni ya Shahed-161 ya inaashiria hatua kubwa ya Iran katika teknolojia ya ulinzi ya kujitegemea

    Droni hii inaonekana kama ishara ya kuruka kwa teknolojia ya ulinzi ya Iran, ikionyesha kuwa nchi imepiga hatua kubwa katika kutengeneza mifumo ya kijeshi ya kisasa kwa kutumia ujuzi na rasilimali zake za ndani.

    2025-11-19 18:09
  • Habari Pichani | Ziara ya Naibu Mwenyekiti wa Majlisi ya Wahdatul Muslimin Pakistan katika Shirika la Habari la Kimataifa la ABNA

    Habari Pichani | Ziara ya Naibu Mwenyekiti wa Majlisi ya Wahdatul Muslimin Pakistan katika Shirika la Habari la Kimataifa la ABNA

    Hujjatul-Islam Sayyid Ahmad Iqbal Rizvi, Naibu Mwenyekiti wa Majlisi ya Wahdatul Muslimin Pakistan, katika Ziara yake alikagua idara mbalimbali za shirika hilo la ABNA na kisha kufanya mahojiano na waandishi wa habari wa ABNA.

    2025-11-19 17:42
  • Kuendelea kwa Mapigano Makali kati ya Jeshi la Sudan na Vikosi vya Mwitikio wa Haraka Kaskazini mwa Kordofan

    Kuendelea kwa Mapigano Makali kati ya Jeshi la Sudan na Vikosi vya Mwitikio wa Haraka Kaskazini mwa Kordofan

    Mapigano makali kati ya jeshi la Sudan na Vikosi vya Mwitikio wa Haraka (RSF) yanaendelea katika maeneo mbalimbali ya jimbo la Kordofan Kaskazini.

    2025-11-19 17:32
  • Gavana wa Texas Atangaza Ikhwanul Muslimin na Taasisi Kubwa ya Kiislamu Marekani kuwa Mashirika ya Kigaidi

    Gavana wa Texas Atangaza Ikhwanul Muslimin na Taasisi Kubwa ya Kiislamu Marekani kuwa Mashirika ya Kigaidi

    Katika taarifa aliyotoa, Abbott pia ametangaza kizuizi cha umiliki wa ardhi ndani ya Texas kwa Baraza la CAIR. Haya yanajiri huku serikali ya shirikisho ya Marekani ikiwa haijawahi kuiweka Ikhwanul Muslimin au CAIR katika orodha ya mashirika ya kigaidi.

    2025-11-19 17:25
  • Mkutano wa Fedha za Saudia na Madai ya Marekani Ikulu ya White House / Trump Arudia Maneno ya Kutishia dhidi ya Iran

    Mkutano wa Fedha za Saudia na Madai ya Marekani Ikulu ya White House / Trump Arudia Maneno ya Kutishia dhidi ya Iran

    Katika jitihada za kuimarisha uhusiano wa kifedha na kisiasa na Riyadh, Trump alimpongeza Bin Salman na hata kugusia mauaji ya mwandishi wa habari Jamal Khashoggi, akidai bila ushahidi kwamba: “Ben Salman hakuwa na taarifa yoyote kuhusu tukio hilo!”

    2025-11-19 17:15
  • Mazishi ya Mashahidi 300 Wasiojulikana Kufanyika Siku ya Kumbukumbu ya Shahada ya Bi.Fatima(sa); Dalili ya Umoja wa Kitaifa Baada ya Vita vya Siku 12

    Mazishi ya Mashahidi 300 Wasiojulikana Kufanyika Siku ya Kumbukumbu ya Shahada ya Bi.Fatima(sa); Dalili ya Umoja wa Kitaifa Baada ya Vita vya Siku 12

    Kamanda wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi (IRGC) wa Mkoa Mkuu wa Tehran, Sardar Hassanzadeh, amesema kuwa miili ya mashahidi 300 wasiojulikana—ikiwa ni pamoja na 200 kwa mikoa mbalimbali na 100 kwa jiji la Tehran—iko tayari kwa ajili ya mazishi ya kitaifa. Mazishi haya yatafanyika Jumatatu tarehe 3 Azar, sambamba na kumbukumbu ya shahada ya Bibi Fatima Zahra (a.s), ambapo msafara maalumu wa “Lale za Fatima” utaanza saa 2:00 asubuhi mbele ya Chuo Kikuu cha Tehran kuelekea kwenye kituo cha "Meraje’ Shohada".

    2025-11-19 17:07
  • Putin: Ushirikiano wa Urusi na China Haupingani na Upande Wowote wa Tatu

    Putin: Ushirikiano wa Urusi na China Haupingani na Upande Wowote wa Tatu

    Rais wa Urusi alitangaza katika mkutano wake na Waziri Mkuu wa China: "Ushirikiano kati ya Moscow na Beijing hauendi kinyume na upande wowote wa tatu."

    2025-11-19 11:13
  • Msimamo wa Tusk Kuhusu Waliosababisha Mlipuko wa Reli nchini Poland

    Msimamo wa Tusk Kuhusu Waliosababisha Mlipuko wa Reli nchini Poland

    Waziri Mkuu wa Poland amefichua kuwa raia kadhaa wa Ukraine walilipua reli katika nchi hiyo.

    2025-11-19 11:13
  • White House: Trump Atatia Saini Muswada wa Kufichua Nyaraka za Epstein

    White House: Trump Atatia Saini Muswada wa Kufichua Nyaraka za Epstein

    White House imetangaza kuwa Rais wa Marekani, Donald Trump, atatia saini muswada wa kufichua nyaraka za kesi ya Jeffrey Epstein (bilionea aliyelaaniwa na mfanyabiashara wa ngono haramu).

    2025-11-19 11:12
  • Marekani: Mkataba wa Ushirikiano wa Nyuklia na Uuzaji wa F-35 kwa Saudi Arabia Umekamilika

    Marekani: Mkataba wa Ushirikiano wa Nyuklia na Uuzaji wa F-35 kwa Saudi Arabia Umekamilika

    Ikulu ya White House imetangaza kuwa Rais wa Marekani Donald Trump na Mwanamfalme wa Saudi Arabia Mohammed bin Salman wamekamilisha mfululizo wa mikataba, ikiwemo ushirikiano wa nyuklia na uuzaji wa ndege za kivita za F-35 kwa Riyadh.

    2025-11-19 11:12
  • Yemen: Azimio la Marekani ni Kuhalalisha Ulezi wa Nje Juu ya Watu wa Palestina

    Yemen: Azimio la Marekani ni Kuhalalisha Ulezi wa Nje Juu ya Watu wa Palestina

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Yemen imetangaza kuwa azimio la Marekani kuhusu Gaza ni kuhalalisha ulezi wa nje juu ya watu wa Palestina.

    2025-11-19 11:11
  • Hamas: Ulimwengu Umuunge Mkono Mwathirika Badala ya Kuungana na Mtesaji

    Hamas: Ulimwengu Umuunge Mkono Mwathirika Badala ya Kuungana na Mtesaji

    Hamas, katika taarifa yake, imepongeza operesheni ya kupinga Uzayuni huko "Gush Etzion" kusini mwa Bethlehem, na kutangaza: "Ulimwengu unapaswa kumuunga mkono mwathirika, badala ya kuambatana na mtesaji."

    2025-11-19 11:10
  • Majigambo ya Netanyahu: Tumeipiga Mhimili wa Iran kutoka Pande Zote

    Majigambo ya Netanyahu: Tumeipiga Mhimili wa Iran kutoka Pande Zote

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni, akidai kuwa utawala wake umepiga mhimili wa Iran kutoka pande zote, alijigamba: “Mkono wetu uko wazi kwa mashambulizi zaidi.”

    2025-11-19 11:10
  • Upinzani wa Palestina: Mlipuko wa Lebanon ni Pigo Kali kwa Wafuasi wa Amani na Israel

    Upinzani wa Palestina: Mlipuko wa Lebanon ni Pigo Kali kwa Wafuasi wa Amani na Israel

    Kamati za Upinzani wa Palestina zimeelezea shambulio la Israel dhidi ya kambi ya wakimbizi ya Palestina kuwa ni pigo kubwa kwa wale wote walioegemea kwenye amani na utawala wa Kizayuni.

    2025-11-19 11:08
  • Maelezo ya Rasimu ya Azimio la Ulaya Dhidi ya Iran Katika Shirika la Nguvu za Atomiki

    Maelezo ya Rasimu ya Azimio la Ulaya Dhidi ya Iran Katika Shirika la Nguvu za Atomiki

    Chombo kimoja cha habari cha Magharibi kimetangaza maelezo mapya ya rasimu ya azimio la Marekani na Troika ya Ulaya dhidi ya Iran katika Shirika la Kimataifa la Nguvu za Atomiki (IAEA).

    2025-11-19 11:08
  • Sehemu Kubwa ya Azimio la Baraza la Usalama kuhusu Gaza Inapingana na Haki za Watu wa Palestina

    Sehemu Kubwa ya Azimio la Baraza la Usalama kuhusu Gaza Inapingana na Haki za Watu wa Palestina

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaona uhalalishaji wowote wa uvamizi wa Ukanda wa Gaza na utawala dhalimu wa Kizayuni, kugawanywa kwa Gaza, na kuitenga kutoka kwenye jiografia moja ya Palestina, kuwa kinyume na matarajio ya watu wa Palestina na inaonya juu ya matokeo yake hatari.

    2025-11-19 11:07
  • Ripoti ya Mitihani ya Mwisho wa Mwaka 2025 - Hujjatul Asr Society of Tanzania +Picha

    Ripoti ya Mitihani ya Mwisho wa Mwaka 2025 - Hujjatul Asr Society of Tanzania +Picha

    Kwa taufiki ya Mwenyezi Mungu (s.w.t), mitihani yote imeendeshwa kwa utaratibu uliopangwa na kukamilika kwa mafanikio. Uongozi wa madrasa mbalimbali umeonyesha ushirikiano mkubwa, huku walimu na wasimamizi wakifanya kazi kwa uadilifu na bidii kuhakikisha kwamba kila hatua ya zoezi hili inafanikishwa kwa ufanisi.

    2025-11-18 23:24
  • Habari Pichani | Mkutano wa Habari wa Maadhimisho ya Wiki ya Basij ya Mwaka wa 46

    Habari Pichani | Mkutano wa Habari wa Maadhimisho ya Wiki ya Basij ya Mwaka wa 46

    Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA-, Mkutano wa habari wa maadhimisho ya Wiki ya Basij ya mwaka wa 46 pamoja na uzinduzi wa kampeni ya “Khat Amin 2” ulifanyika leo Jumanne, tarehe 18 Novemba 2025, katika Jengo la Utamaduni na Mafunzo ya Hazrat Zahra (S) mjini Tehran. Mkutano huu ulihudhuriwa na Sardar Hossein Maroufi, Naibu Mratibu wa Shirika la Basij la Wanyonge, pamoja na waandishi wa habari kutoka vyombo vya ndani na nje ya nchi.

    2025-11-18 22:20
  • Kuendelea kwa Mjadala Mkali Kuhusu Mbio ya Hisani ya Msikiti wa East London; Wito Watolewa kwa Mapitio ya Sera ya Utenganisho wa Jinsia

    Kuendelea kwa Mjadala Mkali Kuhusu Mbio ya Hisani ya Msikiti wa East London; Wito Watolewa kwa Mapitio ya Sera ya Utenganisho wa Jinsia

    Baada ya mashambulizi makubwa ya vyombo vya habari vya Uingereza dhidi ya mbio ya hisani iliyoandaliwa na Msikiti wa East London kwa sababu ya utenganishaji wa kijinsia, Tume ya Usawa na Haki za Kibinadamu ya Uingereza imeitangaza kwamba waandaaji wa tukio hilo wamekubali kupitia upya sera zake kabla ya awamu ijayo ya mashindano. Hata hivyo, msikiti huo umeeleza kwamba matukio kama hayo yapo kwa wingi katika maeneo mbalimbali ya Uingereza-ikiwemo mashindano maalumu ya wanawake na vipindi vya kuogelea vinavyoandaliwa katika vituo vya jamii ya Kiyahudi-lakini hakuna hata moja kati ya matukio hayo yaliyowahi kusababisha mjadala au msukosuko kama huu.

    2025-11-18 21:43
  • Mtindo wa Maisha | Ushauri / Wasia wa Kutoa Chakula Kuwalisha Watu

    Mtindo wa Maisha | Ushauri / Wasia wa Kutoa Chakula Kuwalisha Watu

    “Iwapo nyinyi mmekula na hamuhitaji, basi kuna watu wanaohitaji. Wapeni wao haya matunda badala ya kuyapoteza".

    2025-11-18 21:02
  • Nafasi ya Kupuuzia Mambo ya Kimaada na Thamani za Uongo katika Ndoa

    Nafasi ya Kupuuzia Mambo ya Kimaada na Thamani za Uongo katika Ndoa

    Ndoa ya Bibi Fatima (a.s) na Amirul-Mu’minin Ali (a.s) ni kigezo cha pekee kinachoonyesha jinsi ambavyo mambo ya kimaada na thamani za uongo yalipuuzwa kabisa. Uteuzi wa mwenzi wa maisha ulitokana na taqwa, imani na maadili, si utajiri wala muonekano wa nje. Kwa kuishi kwa urahisi, unyenyekevu na mbali na anasa, walijenga nyumba iliyojaa utulivu, baraka na uimara wa kiroho. Mtindo huu wa maisha unatupa ujumbe wazi: ukombozi kutoka katika pupa ya mali na mapambo ndiyo njia ya kufikia furaha ya kweli katika maisha ya ndoa.

    2025-11-18 20:40
  • Imamu wa Ijumaa wa Michigan:Dunia imejifunza kutokana na uongozi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi /Ushindi wa kuvutia wa Iran katika vita vya siku 12

    Imamu wa Ijumaa wa Michigan:Dunia imejifunza kutokana na uongozi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi /Ushindi wa kuvutia wa Iran katika vita vya siku 12

    Hujjatul-Islam wal-Muslimin Basim Al-Shar’i amesema kuwa hatari kuu kwa Jamhuri ya Kiislamuinatokana na mambo ya ndani, na akaongeza: “Nguvu ya wananchi wa Iran imo katika umoja wao na kushikamana kwao na uongozi wenye busara wa Ayatullah Khamenei. Umoja huu ndio heshima na mtaji halisi wa Jamhuri ya Kiislamu.”

    2025-11-18 20:32
  • Malawi | Majlis ya Kuadhimisha Kifo cha Abdul-Muttalib (a.s) +Picha

    Malawi | Majlis ya Kuadhimisha Kifo cha Abdul-Muttalib (a.s) +Picha

    Utambulisho wa Abdul-Muttalib (a.s): Alikuwa kiongozi mashuhuri wa Quraysh, mwenye hekima, heshima na hadhi kubwa katika jamii ya wakati wake. Alisimama kama nembo ya uadilifu na busara miongoni mwa Waarabu wa zama za kabla ya Uislamu.

    2025-11-18 17:28
  • Hawzat Imam Zainul Aabidin (as) - Burundi | Mitihani ya Mwisho wa Muhula wa Pili -2025 +Picha

    Hawzat Imam Zainul Aabidin (as) - Burundi | Mitihani ya Mwisho wa Muhula wa Pili -2025 +Picha

    Kwa ujumla, mitihani ya leo imeendeshwa kwa mafanikio makubwa. Waalimu wameeleza kuridhika kwao na juhudi za wanafunzi, huku wakitarajia matokeo mazuri yatakayoendana na bidii waliyoionyesha wakati wa maandalizi.

    2025-11-18 17:00
  • Kifo cha Mwanafunzi (Jabir Madua) wa Jamiatul Mustafa - Dar-es-salaam, Tanzania | Na Hadithi ya Mtume(saww) kuhusu Vifo vya Watafutaji wa Elimu +Picha

    Kifo cha Mwanafunzi (Jabir Madua) wa Jamiatul Mustafa - Dar-es-salaam, Tanzania | Na Hadithi ya Mtume(saww) kuhusu Vifo vya Watafutaji wa Elimu +Picha

    Mtume wa Darja Muhammad (rehema na amani zimshukie yeye na Ahlulbayt wake watoharifu) anasema kuhusiana na Mwanafunzi atakafariki akiwa katika Harakati za kuitafuta Elimu ya Dini: “Itakapomjia mauti Mwanafunzi wa Elimu akiwa katika hali hii, hufa akiwa shahidi.” Hadithi hii inaonyesha utukufu wa elimu na cheo kikubwa alichopewa anayejitolea kwa dhati katika kuijua dini na kuitumikia jamii kwa mwanga wa Qur’ani na mafundisho Safi ya Ahlul-Bayt (a.s).

    2025-11-18 15:50
  • Trump Adai: Azimio la Gaza Litasaidia Amani Ulimwenguni!

    Trump Adai: Azimio la Gaza Litasaidia Amani Ulimwenguni!

    Rais wa Marekani alidai kuwa kupitishwa kwa azimio la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Gaza kutapelekea kuenea kwa amani ulimwenguni.

    2025-11-18 11:46
  • Trump: Sijafurahishwa na Mexico; Naweza Kulenga na Huko pia

    Trump: Sijafurahishwa na Mexico; Naweza Kulenga na Huko pia

    Rais wa Marekani alisema kuwa hajaridhishwa na utendaji wa serikali ya Mexico na anaweza kulenga nchi hiyo pia ili kuzuia usafirishaji wa dawa za kulevya.

    2025-11-18 11:45
  • Russia Yasema Mazungumzo na Ukraine Hayajamalizika

    Russia Yasema Mazungumzo na Ukraine Hayajamalizika

    Afisa wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia alitangaza kuwa mchakato wa mazungumzo na Ukraine wa kusimamisha vita haujamalizika.

    2025-11-18 11:45
  • Mwakilishi wa Russia Aitaja Azimio la Marekani Kuhusu Gaza Kuwa 'La Udanganyifu'

    Mwakilishi wa Russia Aitaja Azimio la Marekani Kuhusu Gaza Kuwa 'La Udanganyifu'

    Mwakilishi wa Russia katika Umoja wa Mataifa alitaja azimio la Marekani kuhusu Gaza kuwa la udanganyifu.

    2025-11-18 11:44
  • Orban Aitaja Kauli za Wazungu Kuhusu Vita na Urusi Kuwa ‘Kukiri Hatari’

    Orban Aitaja Kauli za Wazungu Kuhusu Vita na Urusi Kuwa ‘Kukiri Hatari’

    Waziri Mkuu wa Hungary alisema kuwa maneno ya wanasiasa wa Ulaya kuhusu “maandalizi ya vita mnamo 2030” ni kukiri hatari.

    2025-11-18 11:44
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • Next
Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom