-
Iran Yafanikisha Kutengeneza Chanjo Mbili Ndani ya Nchi, Ikiimarisha Afya na Kuokoa Dola Milioni 100
Iran imejitegemea katika afya kwa kutengeneza chanjo mbili za ndani, ikipunguza gharama, kuongeza usalama wa taifa na kuonyesha ukuaji wa teknolojia ya bioteknolojia.
-
Iran Yatilia Mkazo Uwezo wa Kijasusi na Kijeshi: Shambulio Lolote Litajibiwa kwa Haraka na Kwa Nguvu Kubwa
Iran imesisitiza kuwa uwezo wake wa makombora na ulinzi hauzuiliki, na shambulio lolote litapokelewa kwa majibu makali zaidi ya matarajio ya wapangaji.
-
Mhadhiri wa Masomo ya Ngazi ya Juu katika Hawza ya Qom asisitiza:
Lengo kuu la utawala wa Amirul-Mu’minin (a.s) ni kuwaongoza wanadamu / mpaka kati ya uhuru wa kujieleza na vitendo dhidi ya usalama wa umma
Mheshimiwa Sayyid Mujtaba Nourmofidi, Rais wa Taasisi ya Utafiti wa Fiqhi ya Kisasa, alipohudhuria Shirika la Habari la ABNA, alichambua mada ya: “Fiqhi ya kisiasa katika kuweka mipaka kati ya uhuru wa kujieleza na ukosoaji halali, dhidi ya uasi na vitendo vinavyohatarisha usalama wa umma katika utawala wa Imam Ali (a.s)”.
-
Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran lafichua mafanikio matatu makubwa ya nyuklia
Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran limetangaza mafanikio matatu makubwa ya nyuklia: kuzindua kichochezi cha kwanza cha viwandani kilichotengenezwa ndani ya nchi, kuanza uzalishaji wa hali ya juu wa Carbon-13, na kurejesha cyclotron kwa ajili ya uzalishaji wa dawa za mionzi licha ya vikwazo.
-
Sayyid Abdul_Qadir Alusi: Shahidi Soleimani na Shahidi Al-Muhandis walikuwa ngome imara ya Umma dhidi ya mradi wa kuuangamiza Uislamu
Rais wa Baraza la Wanazuoni wa Ribat Muhammadi nchini Iraq, akizungumzia nafasi ya mashahidi wa muqawama, alisisitiza kuwa Shahidi Luteni Jenerali Haj Qasem Soleimani na Shahidi shujaa Abu Mahdi Al-Muhandis walisimama katika wakati muafaka na kwenye hatua nyeti ya historia ili kuzuia miradi iliyolenga kuuangamiza Umma wa Muhammad (s.a.w.w).
-
Mazishi ya Katibu wa Baraza la Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (a.s) nchini Senegal yafanyika + Picha
Mazishi ya Hujjatul-Islam wal-Muslimin Sheikh Muhammad Niang, Katibu Mkuu wa Baraza la Wanazuoni wa Ahlul-Bayt (a.s) nchini Senegal, yamefanyika kwa ushiriki wa idadi kubwa ya wanaharakati wa kidini na wapenzi wa Ahlul-Bayt (a.s).
-
Taliban: Pakistan imemuua Jenerali Ikramuddin Saree kwa mauaji ya kulengwa Jijini Tehran
Taliban imedai kuwa Pakistan, kupitia shirika lake la ujasusi la ISI, ilihusika na mauaji ya kulengwa ya Jenerali Ikramuddin Saree Jijini Tehran. Kwa mujibu wa vyanzo vya kiusalama, mauaji hayo yalilenga kuvuruga uhusiano kati ya Kabul na Tehran, na tukio hilo bado linaendelea kuibua mjadala na tahadhari za kiusalama.
-
Osama Hamdan: Kuzungumzia kukabidhi silaha za Muqawama ni jambo lisilo na maana
Katika mwendelezo wa matamko yanayofichua malengo ya kweli ya utawala wa Kizayuni wa Israel, mwanachama mwandamizi wa Harakati ya Hamas, Osama Hamdan, amesisitiza kuwa mazungumzo kuhusu kukabidhi silaha za Muqawama hayana msingi wowote. Ameeleza kuwa wakati Israel inakiuka ahadi zake zote, lengo lake kuu linaendelea kuwa ni kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina kutoka Ukanda wa Gaza na Ukingo wa Magharibi.
-
Video | Tizama Mwili Mtukufu wa Shahidi Abu Ubaida, Rehema za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake - "Imma Ushindi au Shahada"
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Shahidi Abu Ubaidah alitumikia maisha yake yote akiwa Mujahidi dhidi ya dhulma na batili, akipigana katika Njia ya Mwenyezi Mungu, na hatimaye akastahiki zawadi Nono ya Shahada akiwa katika mapambano hayo ya kuitetea Haki. Mwenyezi Mungu Amrehemu, yeye pamoja na Mashahidi wote, hasa wale wa Mashahidi waliokufa Kishahidi wakiwa katika Njia ya Quds. Kauli ya Daima ya Shahidi Abu-Ubaida ilikuwa ni hii: "Imma Ushindi au Shahada". Alikuwa akisema kauli hiyo kila alizokuwa akifika Mwisho wa Hotuba yake kwamba hakuna Jambo la Tatu, Bali mambo ni Mawili: Imma kupata Ushindi au Kupata Shahada. Na alikuwa akijuwa kabisa kuwa Mwenyezi Mungu atamruzuku Shahada kama zawadi ya Mapambano yake Matukufu.
-
Hafla ya Kutimiza Maonyesho ya Orchestra ya "Iranmard" kwa Heshima ya Askari Qasem Soleimani +Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Hafla ya kutimiza maonyesho ya Orchestra ya Iranmard, iliyopangwa kuenzi kumbukumbu ya askari shujaa wa Uislamu, Marehemu Jenerali Qasem Soleimani, kwa mtazamo wa kuhifadhi utambulisho wa taifa, kujitolea, na mshikamano wa kitamaduni, ilifanyika asubuhi ya siku Jumanne (30 Desewmba, 2025) katika Ukumbi wa Vahdat. Katika sherehe hii, Seyed Abbas Salehi, Waziri wa Utamaduni na Elimu ya Sanaa ya Uislamu, alikuwa miongoni mwa waliohudhuria na kutoa hotuba.
-
Video | Maelfu ya watu walihudhuria mazishi ya Waziri Mkuu wa zamani wa Bangladesh
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA-, maelfu ya watu walikusanyika kushiriki katika mazishi ya Khaleda Zia, Waziri Mkuu wa zamani wa Bangladesh. Khaleda Zia alikuwa kiongozi wa kisiasa wa Bangladesh, aliyeshika nafasi ya Waziri Mkuu kuanzia 1991 hadi 1996, na tena kutoka 2001 hadi 2006 katika nchi hiyo ya Asia.
-
Video | Machozi ya Bloga wa Kimarekani katika Maombolezo ya Shahada ya Abu Ubaida
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (a.s) -ABNA-, “Hailey Rothschild”, Bloga wa Kimarekani, alilia mbele ya kamera katika maombolezo ya shahada ya Abu Ubaida, msemaji wa Brigedi za Izzuddin al-Qassam, tawi la kijeshi la harakati ya Hamas.
-
Theluthi moja ya Waisraeli wanahitaji msaada wa kitaalamu wa kisaikolojia
Matokeo ya utafiti mpya yanaonyesha kuwa takriban theluthi moja ya Waisraeli wanahitaji msaada wa kitaalamu wa kisaikolojia, huku athari za vita vya Gaza kwa zaidi ya miaka miwili sasa zikiendelea kuliweka jamii ya Israel chini ya shinikizo kubwa.
-
Maadhimisho Makubwa ya Siku ya Mwenyezi Mungu (Yawmullah) 9 Dey (30 Desemba) huko Isfahan +Picha
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Hafla ya maadhimisho ya Siku ya Mwenyezi Mungu (Yawmullah) 9 Dey (30 Desemba), iliyojikita katika kuimarisha uelewa (basira) na kulinda thamani za Mapinduzi ya Kiislamu, ilifanyika leo asubuhi, Jumanne, kwa ushiriki mkubwa wa wananchi wa mapinduzi pamoja na viongozi na maafisa, katika Uwanja wa Mapinduzi (Meydan-e Enqelab) jijini Isfahan.
-
Mkutano wa Diplomasia na Muqawama katika Msingi wa Shule ya Haji Qasem SoleimanI
Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Mkutano wa Kimataifa wa Diplomasia na Muqawama katika Shule ya HajI Qasem ulifanyika kwa mnasaba wa maadhimisho ya miaka sita tangu kuuawa shahidi Luteni Jenerali Haj Qasem Soleimani, siku ya Jumatatu tarehe 29 Desemba 2025, kwa ushiriki wa Sayyid Abbas Araghchi, Waziri wa Mambo ya Nje, pamoja na idadi ya viongozi waandamizi wa kisiasa, wataalamu wa taasisi za utafiti (think tanks), na wasomi wa vyuo vikuu. Mkutano huo ulifanyika katika Kituo cha Tafiti za Kisiasa na Kimataifa cha Wizara ya Mambo ya Nje.
-
Uvumilivu wa Kishujaa wa Imam Jawad (a.s); Mwingiliano na Mke Asiyeelewana
Migogoro ni fundo linaloweza kukalia maisha ya mtu binafsi na ya kijamii; lakini ufunguo wa kulitatua si nguvu, bali ni haki (uadilifu). Mwenendo wa Imam Jawad (a.s) unaonesha kuwa hata katika migongano mikali zaidi, inawezekana kubaki binadamu, kuhifadhi heshima na kufungua njia ya uadilifu.
-
Mtaalamu wa Kituruki katika mazungumzo na ABNA:
“Ukanda wa vizuizi wa Israel dhidi ya Uturuki kupitia makubaliano ya pande tatu Mediterania / Siku ngumu za kiuchumi kwa Uturuki zinakuja”
Ali Haidari, mtaalamu wa masuala ya Uturuki, amesema katika mazungumzo na ABNA kuwa Israel inajaribu kuunda ukanda wa vizuizi dhidi ya Uturuki ili kuizuia kuwasiliana na Afrika na Ulaya kupitia magharibi mwa Uturuki, na pia kuzuia Ankara kunufaika na rasilimali kubwa za Mediterania.
-
Hadhramaut; Moyo wa Mafuta wa Yemen na Kitovu cha Ushindani kati ya Saudi Arabia na Falme za Kiarabu (UAE)
Mkoa wa Hadhramaut, eneo kubwa zaidi na lenye utajiri mkubwa wa mafuta nchini Yemen, kwa sasa umegeuka kuwa kitovu cha ushindani kati ya Saudi Arabia na Falme za Kiarabu. Licha ya vita vilivyoendelea kwa zaidi ya muongo mmoja, Hadhramaut kwa kiasi kikubwa imeepuka mapigano ya moja kwa moja kati ya serikali ya Yemen iliyojiuzulu na serikali inayoungwa mkono na Harakati ya Ansarullah; hata hivyo, mkoa huu haujaepuka athari za vita na mashindano ya ushawishi wa ndani na kikanda.
-
Mwanasayansi wa Nyuklia wa Lebanon katika mazungumzo na ABNA:
Kuangamiza mpango wa nyuklia wa Iran ni ndoto / Tishio la kijeshi la Marekani dhidi ya Iran lina gharama kubwa kuliko uwezo wa Washington
Mkuu wa Kituo cha Ushauri wa Kimkakati cha Usalama wa Nishati ya Nyuklia nchini Lebanon amesisitiza kuwa Marekani—hasa katika kipindi cha Donald Trump—haina nia ya kuingia katika vita hatari dhidi ya Iran, huku Israel ikijaribu kuibebesha Washington mzigo wa gharama za makabiliano hayo.
-
Kuanzia mkusanyiko wa jana hadi hali ya utulivu leo;
waandamanaji wakataa wito wa wapinzani / juhudi za vyombo vya habari vya mapinduzi-pinzan i kupotosha madai halisi
Inaonekana wazi kuwa vyombo vya habari pinzani, hususan mitandao ya Kifarsi inayohusishwa na Wazayuni na Magharibi, kwa makusudi vimeepuka kuzingatia madai halisi ya wafanyabiashara na badala yake vinalenga kuchochea mivutano na machafuko ya kijamii.
-
-
Mwenyezi Mungu Akiwa Upande Wako, Hakuna Awezaye Kukudhuru
Lengo na makusudio ya kauli hii inayosapoti na Aya hizo Tukufu ni kuondoa hofu moyoni, kwa kutomwogopa yeyote anayenuia kuwa “juu yako” au kukudhuru kwa lolote, kwani Mwenyezi Mungu akiwa pamoja nawe, hakuna mwenye uwezo juu yako isipokuwa kwa idhini Yake.
-
Afisa wa Urusi: Marekani iache kuunga mkono wanaotaka kujitenga wa Taiwan
Afisa mmoja wa bunge la Urusi amesema kuwa Marekani na China zinaweza tu kuwa karibu ikiwa Washington itaacha kusaidia wanaotaka kujitenga wa Taiwan.
-
Afisa wa usalama wa Urusi: Zelensky lazima aishi mafichoni maisha yake yote
Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Usalama la Urusi amesema kuwa Rais wa Ukraine lazima aishi kwa siri maisha yake yote yaliyosalia.
-
Mbunge wa Belarus: Kyiv inaelekea kusambaratika kutokana na kuongeza mivutano
Mbunge mmoja wa Belarus amesema kuwa utawala wa Ukraine unaelekea kusambaratika kwa kuongeza mivutano na Moscow.
-
Trump: Mazoezi ya kijeshi ya China karibu na Taiwan hayatii wasiwasi
Rais wa Marekani amepuuzia uwezekano wa China kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya vikosi vya wanaotaka kujitenga wa Taiwan katika siku za usoni.
-
Mwitikio wa Ansarullah kwa harakati za Imarati na Saudi Arabia kusini mwa Yemen
Mmoja wa maafisa wa harakati ya Ansarullah ya Yemen amejibu maendeleo ya kusini mwa nchi hiyo na harakati za Imarati (UAE) na Saudi Arabia.
-
Mamluki wa Imarati: Shambulio la Saudi Arabia nchini Yemen lilikuwa la kichokozi
Naibu Mwenyekiti wa baraza linalofungamana na Imarati (UAE) nchini Yemen ameelezea shambulio la leo la muungano wa Saudia dhidi ya Hadramout kama uchokozi.
-
Axios: Trump na Netanyahu wakubaliana kutekeleza hatua ya pili ya usitishaji vita Gaza
Tovuti moja ya Marekani imeandika kuwa Netanyahu na Trump katika mkutano wao huko Florida, licha ya tofauti ndogo za kimaoni, wamekubaliana kutekeleza hatua ya pili ya usitishaji vita huko Gaza.
-
Mwitikio wa Ansarullah ya Yemen kuhusu kifo cha kishahidi cha Abu Obeida
Ofisi ya kisiasa ya Ansarullah nchini Yemen, ikisisitiza kuendeleza njia ya mashahidi mashujaa wa upinzani, imetoa pongezi na rambirambi kwa kuuawa kishahidi kwa kundi la makamanda wa Brigedi za Al-Qassam huko Gaza katika mashambulizi ya adui wa Kizayuni.