ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
filterToday News
  • Balozi wa Marekani nchini Israel: “Iran haikuelewa ujumbe wa shambulio la mabomu huko Fordow”

    Balozi wa Marekani nchini Israel: “Iran haikuelewa ujumbe wa shambulio la mabomu huko Fordow”

    Kauli hii imekuja katika kipindi cha kuongezeka kwa mvutano wa kisiasa na kiusalama kati ya Marekani, Israel na Iran, huku wachambuzi wakionya kuwa hali hiyo inaweza kusababisha hatua zaidi za kijeshi au vikwazo vya kisiasa endapo juhudi za kuizuia Iran hazitazaa matunda.

    2025-12-23 13:01
  • "Tetemeko la Vitisho" – Amiri Jeshi Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Atoa Onyo Kali dhidi ya “Ndoto” za Mashambulizi ya Israel!

    "Tetemeko la Vitisho" – Amiri Jeshi Mkuu wa Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Atoa Onyo Kali dhidi ya “Ndoto” za Mashambulizi ya Israel!

    Wachambuzi wa kijeshi wanasema lugha iliyotumiwa leo si vitisho vya kawaida, bali ni tamko rasmi kwamba Iran sasa inamiliki silaha “inayovunja mizani ya nguvu”, ambayo inaweza kufichuliwa moja kwa moja katika uwanja wa vita endapo Israel itathubutu kuchukua hatua. Ngoma za vita zinapigwa… na simba wa Iran ameonyesha meno yake!

    2025-12-23 12:29
  • Sheikh wa Al-Azhar: Haiwezekani kuwa upande wowote kuhusu mauaji ya kimbari huko Gaza

    Sheikh wa Al-Azhar: Haiwezekani kuwa upande wowote kuhusu mauaji ya kimbari huko Gaza

    Sheikh wa Al-Azhar katika mkutano na balozi wa Italia nchini Misri amesema kuwa mauaji ya kimbari na uhalifu wa utawala wa Kizayuni huko Gaza umefikia hatua ambayo haiwezekani kuwa upande wowote.

    2025-12-23 10:35
  • Chombo cha habari cha Marekani chadai familia za wanadiplomasia wa Urusi zinaondolewa Venezuela

    Chombo cha habari cha Marekani chadai familia za wanadiplomasia wa Urusi zinaondolewa Venezuela

    Chombo kimoja cha habari cha Marekani kimeidai kuwa Urusi imeanza mchakato wa kuwaondoa familia za wanadiplomasia wake kutoka nchini Venezuela.

    2025-12-23 10:34
  • Dai la Trump: Marekani inahitaji Greenland kwa usalama wake wa kitaifa

    Dai la Trump: Marekani inahitaji Greenland kwa usalama wake wa kitaifa

    Rais wa Marekani, ili kuhalalisha unyakuzi wa Greenland, amedai kuwa Marekani inahitaji eneo hilo kwa ajili ya usalama wa kitaifa wa nchi yake.

    2025-12-23 10:25
  • Uwezekano wa kushtakiwa kwa Trump ikiwa Wanademokrasia watashinda katika uchaguzi wa katikati ya muhula

    Uwezekano wa kushtakiwa kwa Trump ikiwa Wanademokrasia watashinda katika uchaguzi wa katikati ya muhula

    Spika wa Baraza la Wawakilishi la Marekani kutoka chama cha Republican ameonya kuwa Wanademokrasia watamshtaki rais (impeachment) ikiwa watashinda uchaguzi wa katikati ya muhula wa Congress.

    2025-12-23 10:25
  • Kuongezeka kwa mgogoro katika jeshi la Israel; Wazayuni waingia barabarani

    Kuongezeka kwa mgogoro katika jeshi la Israel; Wazayuni waingia barabarani

    Kuongezeka kwa mgogoro wa uhaba wa nguvu kazi katika jeshi la utawala wa Kizayuni na jitihada za Tel Aviv kuwasajili Waharedi (Wayahudi wenye msimamo mkali) jeshini kumewafanya waandamane tena kuonyesha upinzani wao kuhusu suala hili.

    2025-12-23 10:24
  • Hofu ya Tel Aviv kuhusu operesheni zinazoweza kufanywa na Wayemeni dhidi ya maeneo yanayokaliwa kwa mabavu

    Hofu ya Tel Aviv kuhusu operesheni zinazoweza kufanywa na Wayemeni dhidi ya maeneo yanayokaliwa kwa mabavu

    Jinamizi la mashambulizi ya mafanikio ya vikosi vya Ansarullah dhidi ya maeneo yanayokaliwa kwa mabavu linaendelea kuwaandama viongozi wa utawala wa Kizayuni.

    2025-12-23 10:24
  • Baraza la Usalama kufanya mkutano leo kuhusu makubaliano ya nyuklia ya Iran

    Baraza la Usalama kufanya mkutano leo kuhusu makubaliano ya nyuklia ya Iran

    Vyanzo vya habari vimetangaza kuwa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa linapanga kufanya mkutano leo kuhusu utekelezaji wa makubaliano ya nyuklia ya Iran.

    2025-12-23 10:19
  • Netanyahu anatafuta kuunda "muungano" dhidi ya Uturuki

    Netanyahu anatafuta kuunda "muungano" dhidi ya Uturuki

    Vyombo vya habari vya Kiebrania vimeashiria harakati za Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni kuunda "muungano" dhidi ya Uturuki.

    2025-12-23 10:18
  • Picha za satelaiti zafichua uhalifu wa Israel wakati wa kusitisha mapigano Gaza

    Picha za satelaiti zafichua uhalifu wa Israel wakati wa kusitisha mapigano Gaza

    Picha za satelaiti zilizopigwa katika Ukanda wa Gaza zinaonyesha uharibifu mkubwa wa nyumba za Wapalestina uliofanywa na wanajeshi wa Kizayuni wakati wa kipindi cha kusitisha mapigano.

    2025-12-23 10:18
  • Asaib Ahl al-Haq: Hatutakabidhi silaha wala kujiondoa katika mapambano

    Asaib Ahl al-Haq: Hatutakabidhi silaha wala kujiondoa katika mapambano

    Msemaji wa kijeshi wa harakati ya Asaib Ahl al-Haq, Jumatatu usiku akisisitiza kushikamana kwa harakati hiyo na "silaha na mapambano", alitangaza kuwa suala hili "si la kisiasa" na halitakuwa na mazungumzo kwa namna yoyote.

    2025-12-23 10:18
  • Nchini India | Tanzania Yang’ara Katika Mashindano ya Zurkhaneh, Ikiwashinda India na Belarus +Video

    Nchini India | Tanzania Yang’ara Katika Mashindano ya Zurkhaneh, Ikiwashinda India na Belarus +Video

    Mashindano haya ya kimataifa yamefanyika nchini India, huku vikundi vya michezo kutoka Iran, Iraq, Azerbaijan, Uganda, Tanzania, Belarus na India vikishiriki kikamilifu. Zurkhaneh ni mchezo wa jadi unaojulikana kwa kuunganisha mazoezi ya nguvu za mwili, ufasaha wa mikono, na mbinu za kihistoria zinazotokana na tamaduni za Kiarabu na Kihistoria ya Persia.

    2025-12-23 00:00
  • Mkuu wa Jeshi la Iran Amir Hatami Akikagua Ngome za Kijeshi za Mipakani pamoja na Brigedi za Jeshi la Ardhini

    Mkuu wa Jeshi la Iran Amir Hatami Akikagua Ngome za Kijeshi za Mipakani pamoja na Brigedi za Jeshi la Ardhini

    Ziara hii inakuja wakati Iran inasisitiza kuimarisha usalama wa mipaka yake na kuonyesha utayari wa jeshi katika kukabiliana na changamoto za kijeshi bila kukosa tahadhari ya kisiasa, hasa kutokana na mvutano uliopo katika eneo la Mashariki ya Kati.

    2025-12-22 23:29
  • Wasemaji walisisitiza kwamba mtindo wa maisha wa Ahlul-Bayt ni dhana inayobadilika na haipaswi kuangaliwa kwa mtazamo wa kutobadilika

    Mkutano wa “Mbinu za Kutoa Vipengele vya Mtindo wa Maisha wa Ahlul-Bayt (a.s)” umefanyika katika shirika la habari la ABNA:

    Wasemaji walisisitiza kwamba mtindo wa maisha wa Ahlul-Bayt ni dhana inayobadilika na haipaswi kuangaliwa kwa mtazamo wa kutobadilika

    Mkutano maalum wa kuchambua mbinu za kisayansi za kufanikisha viashiria vya kweli vya mtindo wa maisha ya Kiislamu umefanyika katika shirika la habari la ABNA, ukiwahusisha wasomi wa madarasa ya dini na vyuo vikuu. Katika mkutano huo, hatua za utekelezaji wa mradi mkubwa wa mtindo wa maisha wa Ahlul-Bayt (a.s) zilikaguliwa kwa kina, huku pia changamoto zinazojitokeza katika kushughulikia masuala mapya katika viwanja vya kimataifa zikijadiliwa kwa uchambuzi wa kitaalamu. Washiriki walisisitiza umuhimu wa mbinu za kisayansi, utafiti wa kimfumo, na tafsiri ya kisasa katika kutambua na kutekeleza vipengele vya mtindo wa maisha wa Ahlul-Bayt, ili kuhakikisha kuwa dhana hizi zinafanikisha maisha ya kiroho, kijamii na kitamaduni kwa njia inayofaa kwa muktadha wa sasa na mahitaji ya jamii za kisasa. Mkutano huu uliwezesha pia kubadilishana mawazo kati ya watafiti wa dini na wanasayansi, kwa lengo la kuunda vifaa vya kisayansi na miongozo thabiti kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa mtindo wa maisha wa Kiislamu na Ahlul-Bayt (as).

    2025-12-22 23:07
  • “Utawala wa Kizayuni huna mkakati; ufafanuzi wa rafiki na adui unategemea mawazo ya kupotosha ya kisiasa”

    Rais wa zamani wa Idara ya Utafiti wa Kijasusi ya Kijeshi ya Israel akisisitiza:

    “Utawala wa Kizayuni huna mkakati; ufafanuzi wa rafiki na adui unategemea mawazo ya kupotosha ya kisiasa”

    Michael Milstein, mtaalamu mkuu wa masuala ya Palestina na rais wa zamani wa Idara ya Utafiti wa Kijasusi ya Kijeshi ya Israel, ameweka wazi katika makala yenye lugha kali katika Yedioth Ahronoth kwamba serikali ya sasa ya Israel haina mkakati wa kuandaliwa vyema. Ametoa onyo kwamba kupita kiasi kwa masuala ya kisiasa, hasa baada ya tarehe 7 Oktoba, kumeathiri vibaya uwezo wa Israel wa kutofautisha kati ya washirika na maadui. Kauli hii inaashiria hatari kwamba maamuzi ya kijeshi na kiasilimia ya Israel yanaendeshwa zaidi na mitazamo ya kisiasa kuliko msingi thabiti wa kimkakati.

    2025-12-22 22:24
  • Marasimu ya Kumbukumbu ya Ayatullah Sayyid Muhammad Shahcheraghi huko Qom +Picha

    Marasimu ya Kumbukumbu ya Ayatullah Sayyid Muhammad Shahcheraghi huko Qom +Picha

    Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Marasimu ya kumbukumbu ya Marehemu Ayatullah Sayyid Muhammad Shahcheraghi, aliyekuwa mwakilishi wa awali wa Wilayat al-Faqih na Imam wa Ijumaa wa zamani wa Semnan, ilifanyika Jumapili, 22 Desemba 2025 baada ya Sala ya Magharibi na Isha, katika Msikiti wa Imam Hasan Askari (A.S), kwa kuhudhuriwa na waalimu, viongozi mbalimbali wa kijamii, na makundi tofauti ya wananchi.

    2025-12-22 22:05
  • Walinzi wa mipaka wa Iran waliweza kuokoa zaidi ya raia 2,000 wa Afghanistan waliokumbwa na theluji nzito na hali ya baridi kwenye mipaka

    Walinzi wa mipaka wa Iran waliweza kuokoa zaidi ya raia 2,000 wa Afghanistan waliokumbwa na theluji nzito na hali ya baridi kwenye mipaka

    Operesheni hii ya kuokoa maisha ilifanyika chini ya hali ngumu za hewa na baridi kali, ambapo walinzi wa mipaka kwa ushirikiano na vikosi vya dharura waliweza kuwatokomeza watu waliokumbwa na hatari ya kifo kutokana na baridi na theluji katika maeneo ya milima yenye changamoto kubwa ya kufikika.

    2025-12-22 21:49
  • Iran Yatuma Makundi Mawili ya Kijeshi Baharini Kulinda Meli Zake

    Iran Yatuma Makundi Mawili ya Kijeshi Baharini Kulinda Meli Zake

    Wachambuzi wa kimataifa wanasema kuwa hatua hii inaongeza mvutano kati ya Tehran na Washington, huku ikionyesha hatari zinazoongezeka kwa usalama wa usafirishaji wa baharini.

    2025-12-22 21:28
  • Simulizi ya kweli kuhusu Barack Obama na Mke wake Michelle Obama -Msimulizi: Sheikh Abdallah Amani,akifikisha ujumbe wa maadili na Heshima katika ndoa

    Simulizi ya kweli kuhusu Barack Obama na Mke wake Michelle Obama -Msimulizi: Sheikh Abdallah Amani,akifikisha ujumbe wa maadili na Heshima katika ndoa

    Simulizi hili, kama anavyosisitiza Sheikh Abdallah Amani, linabeba funzo kubwa kwa jamii kwamba: Heshima ya kweli haianzi mbele ya watu, bali huanzia ndani ya nyumba, katika namna mume na mke wanavyothaminiana.

    2025-12-22 20:54
  • Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel anatarajiwa katika kikao chake na Rais wa Marekani

    Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel anatarajiwa katika kikao chake na Rais wa Marekani

    Kuwasilisha chaguo mbalimbali za mashambulizi mapya yanayoweza kufanywa na Israel dhidi ya Iran, pamoja na kujadiliana kuhusu hali tofauti za kijeshi na athari zake kwa usalama wa kikanda.

    2025-12-22 20:54
  • Walowezi wa Kizayuni kuuvamia Msikiti wa Al-Aqsa

    Katika siku ya mwisho ya likizo ya Hanuka kilichotokea ni;

    Walowezi wa Kizayuni kuuvamia Msikiti wa Al-Aqsa

    Walowezi wa Kizayuni leo asubuhi, siku ya Jumatatu, kwa ulinzi na msaada wa majeshi ya uvamizi wa Israel, waliuvamia ua wa Msikiti wa Al-Aqsa.

    2025-12-22 20:09
  • Kuanzia Ulaya hadi Marekani; wimbi jipya na lililopangwa la kudhalilisha Qur’ani chini ya kivuli cha uliberali wa Magharibi

    Kuanzia Ulaya hadi Marekani; wimbi jipya na lililopangwa la kudhalilisha Qur’ani chini ya kivuli cha uliberali wa Magharibi

    Tukio la kuhujumiwa na kudhalilishwa Qur’an Tukufu huko Stockholm, pamoja na mlolongo wa matusi na dharau zilizotokea Ulaya na Marekani, linafichua uhalisia ambao ndani yake chuki dhidi ya Uislamu imegeuzwa kuwa chombo cha kisiasa mikononi mwa mikondo ya mrengo wa kulia uliokithiri na washirika wao wa Kizayuni.

    2025-12-22 19:54
  • Gazeti la Ujerumani: Magharibi inajiandaa kwa shambulio la mtandaoni dhidi ya Urusi

    Gazeti la Ujerumani: Magharibi inajiandaa kwa shambulio la mtandaoni dhidi ya Urusi

    Gazeti la Ujerumani limeripoti kuwa wadukuzi wa Ulaya wanajiandaa kufanya shambulio kubwa la mtandaoni (cyber attack) dhidi ya miundombinu ya Urusi.

    2025-12-22 14:34
  • Marekani: Uhusiano wa nchi mbili haupo katika ajenda ya mazungumzo kati ya Moscow na Washington

    Marekani: Uhusiano wa nchi mbili haupo katika ajenda ya mazungumzo kati ya Moscow na Washington

    Ubalozi wa Marekani nchini Urusi umetangaza kuwa uhusiano wa nchi mbili haumo katika ajenda ya mazungumzo kati ya Moscow na Washington.

    2025-12-22 14:33
  • Afisa wa Venezuela: Meli ya mafuta ya Venezuela yaelekea Marekani

    Afisa wa Venezuela: Meli ya mafuta ya Venezuela yaelekea Marekani

    Waziri wa Mafuta wa Venezuela ametangaza kuwa meli iliyobeba mafuta ya nchi hiyo kwa ajili ya kampuni ya Marekani ya Chevron, imeondoka kuelekea Marekani.

    2025-12-22 14:33
  • Mtaalamu wa Iraq: Marekani haiwezi kuvunja vikosi vya Hashd al-Shaabi

    Mtaalamu wa Iraq: Marekani haiwezi kuvunja vikosi vya Hashd al-Shaabi

    Mtaalamu wa masuala ya kisiasa wa Iraq amekosoa uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya nchi hiyo, hususan juhudi za kuvunja vikosi vya Hashd al-Shaabi.

    2025-12-22 14:33
  • Mashambulizi ya utawala wa Kizayuni huko Gaza yanaendelea, watu 20 wauawa kwa kuporomoka kwa nyumba

    Mashambulizi ya utawala wa Kizayuni huko Gaza yanaendelea, watu 20 wauawa kwa kuporomoka kwa nyumba

    Katika kivuli cha mashambulizi ya anga ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza, idara ya ulinzi wa raia imetangaza kuwa takriban Wapalestina 20 wameuawa kutokana na kuporomoka kwa nyumba zilizoharibiwa na zisizoweza kukalika.

    2025-12-22 14:32
  • Juhudi za Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel kuongeza wakazi katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu

    Juhudi za Waziri wa Mambo ya Nje wa Israel kuongeza wakazi katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu

    Baada ya kuongezeka kwa hali ya "uhamiaji wa kurejea" (reverse migration) kutoka maeneo yanayokaliwa kwa mabavu, waziri wa mambo ya nje wa utawala wa Kizayuni anahangaika kuwahimiza Wayahudi wanaoishi katika nchi za Magharibi kuhamia huko.

    2025-12-22 14:32
  • Mbunge wa Iraq: Ni lazima tufukuze majeshi ya kigeni nchini

    Mbunge wa Iraq: Ni lazima tufukuze majeshi ya kigeni nchini

    Mbunge wa Iraq amesisitiza ulazima wa kuondoka kwa majeshi ya kigeni nchini humo.

    2025-12-22 14:31
  • Previous
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • Next
Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom