25 Februari 2026 - 11:43
Donald Trump: Iran Tayari Ina Makombora Yanayotishia Ulaya na Hivi Karibuni Kufika Marekani

Donald Trump amesema katika hotuba yake ya Hali ya Taifa kuwa Iran tayari imeendeleza makombora yanayoweza kuitishia Ulaya na kambi za kijeshi za Marekani zilizo nje ya mipaka yake, huku akidai kuwa Tehran inaendelea na juhudi za kutengeneza makombora yatakayoweza kufika hadi Marekani katika siku zijazo.

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Donald Trump alionya katika hotuba yake ya Hali ya Taifa (State of the Union) kwamba Iran “Iran imetengeneza makombora yanayoweza kuitishia Ulaya na kambi zetu za kijeshi zilizoko nje ya nchi, na wanafanya kazi ya kutengeneza makombora ambayo hivi karibuni yataweza kufika hadi Marekani.”

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha