İran
-
Wakala wa Mossad Akamatwa Iran Wakati wa Maandamano, Mtandao wa Ujasusi wa Mitandao ya Kijamii Wafichuliwa
Vikosi vya usalama vya Iran vimemkamata mtu anayedaiwa kuwa wakala wa Mossad wakati wa maandamano yanayoendelea, kwa tuhuma za kuendesha mtandao wa ujasusi kupitia Instagram. Mamlaka zinasema mtuhumiwa ana uhusiano na shirika lenye makao yake Ujerumani, huku uchunguzi ukiendelea kubaini ukubwa wa shughuli zake.
-
Spika wa Bunge la Iran: "Iran Haitaikubali Utawala wa Kigeni"
Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, ameweka wazi kuwa taifa la Iran halitawahi kukubali kutawaliwa na mataifa ya kigeni na litalinda uhuru wake kwa gharama yoyote.
-
Pezeshkian: Iran daima imesimama imara mbele ya Dhoruba za Historia / Watenda jinai ambao mwenendo wao ni kuua watoto, hawastahili kuitwa Binadamu
Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema kuwa Iran, hii ndiyo ustaarabu wa kale zaidi unaoendelea duniani, na daima imesimama imara mbele ya dhoruba za historia. Taifa hili, kwa roho kuu na azma isiyokoma, mara nyingi limethibitisha kwamba haliinamii mbele ya wavamizi; na leo pia limesimama kwa heshima mbele ya wanyakuzi, likitegemea nguvu ya imani na mshikamano wa kitaifa
-
Trump: Iran ina drone hatari sana
Iran ina droni Mzuri Sana na hatari.
-
Araqchi: Amerika haina haki ya kulazimisha (na kuelekeza) sera ya kigeni ya Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Washington haina haki ya kulazimisha siasa za nje za Iran, na kuitaka kusimamisha mara moja mauaji yake kwa watu wa Yemen.