makombora
-
Uchambuzi wa Jarida la Kizayuni Kuhusu Nguvu ya Makombora na Uwezo wa Kikanda wa Iran: Imara na Inaelekea Kwenye Uzuiaji wa Kisasa Zaidi
Yedioth Ahronoth: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bado ni miongoni mwa wachezaji wachache wa eneo hili wanaomiliki nguvu halisi ya kuzuia mashambulizi — uwezo ambao licha ya hasara za hivi karibuni, haujapungua bali unaimarika na kufafanuliwa upya.
-
Afisa wa Uhusiano wa Umma wa Kikosi cha Anga cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC):
“Utamaduni wa Kujitolea na Uadilifu ndiyo Mzizi wa Nguvu ya Kikosi cha Anga cha IRGC"
Makombora Sheikh Naderi alisema kuwa kwa mujibu wa maelekezo ya uongozi wa juu, kipindi hiki kimepewa jina la *“Wiki ya Ujasiri wa Makombora”* kwa lengo la kuenzi mashahidi na kuonyesha mafanikio ya kikosi hicho kwa wananchi.
-
Iran yatangaza makombora yake ya masafa marefu (ICBM) yenye uwezo wa kufika hadi kilomita 10,000
Tangazo la Iran kuhusu makombora yake mapya ya masafa marefu linaonyesha ukuaji wa haraka wa teknolojia ya kijeshi ya taifa hilo na pia linaonekana kama ujumbe wa kisiasa wa onyo kwa wapinzani wake wa Magharibi.
-
Sayyid Ali Khomeini: “Kama Ubalozi wa Marekani usingelivamiwa, leo tusingekuwa na Makombora wala ishati ya nyuklia"
Akiisisitizia kauli kwamba “uvamizi wa ubalozi wa Marekani uliimarisha uhuru wa Iran,” alisema: “Kama tukio hilo lisingetokea, leo hii Jamhuri ya Kiislamu isingekuwepo, na nchi yetu isingepata teknolojia ya makombora na nishati ya nyuklia, kwani Marekani ilikuwa inapinga maendeleo haya.”
-
Ayatollah Khamenei Asifu Uwezo wa Makombora ya Iran, Asema Yameharibu Vituo Muhimu vya Utawala wa Kizayuni
Ayatollah Khamenei pia aliongeza kuwa utawala wa Kizayuni (Israel), ambao kwa muda mrefu umekuwa ukifanya vitisho na mashambulizi dhidi ya eneo hili la kikanda, sasa “umepokea funzo ambalo litabaki kwenye kumbukumbu zake,” akisisitiza kuwa taifa la Iran halitasita kujibu hatua yoyote ya uchokozi
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:“Wazayuni hawakutarajia nguvu ya makombora ya Iran / Marekani haina haki kujihusisha na teknolojia ya Iran"
Ayatollah Sayyid Ali Khamenei amebainisha kwamba: Marekani haina haki kujihusisha na suala la teknolojia ya nyuklia ya Iran - na akahoji kuhusiana na Trump akisema: Wewe ni nani hasa?”.
-
Iran Yazindua Makombora Mapya Yenye Uwezo wa Kuongozwa Angani
Wataalamu wa kijeshi wanaona kuwa teknolojia ya kuongozwa kwa Makombora yakiwa angani inafanya makombora hayo kuwa na faida kubwa kutokana na uwezo wake wa kurekebisha au kubadilisha mwelekeo kwa wakati halisi na Sahihi, jambo linaloongeza usahihi na kupunguza uwezekano wa kuruka hadi mbali bila kufikia shabaha yake.
-
Wizara ya Ulinzi ya Iran: Hakuna Nguvu Yenye Haki ya Kuingilia Uwezo wa Makombora ya Iran
Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Ulinzi, Brigedia Talaeinik alibainisha kuwa Marekani na washirika wake wanasisitiza mazungumzo kuhusu programu ya makombora na wanataka kupunguza umbali wa makombora ya Iran. Hata hivyo, alisema kuwa msingi wa uwezo wa makombora ya Iran ni kulinda usalama na maslahi ya kitaifa ya wananchi wake.
-
Uhamaji wa Waisraeli 11,000 Baada ya Vita na Iran | Walihama ili kukimbia Makombora ya Iran
Kwa Mujibu wa Taarifa, kurejea kikamilifu kwa wakimbizi hawa majumbani mwao kutachukua miaka kadhaa.
-
Jeshi la Lebanon limepokea silaha nzito kutoka kwenye kambi za Wakpalestina
Jeshi la Lebanon limeanza mchakato wa kupokea silaha kutoka kwenye Kambi za Wapalestina katika Mji wa Sur Kusini mwa nchi hiyo.
-
Mafanikio Makubwa ya Iran: Yarusha Satelaiti (Nahid-2) katika Obiti na Kufanikiwa Kutesti Kombora la Khorramshahr-5 lenye uwezo wa kufika hadi 12000KM
Iran imejiweka kwenye orodha ya mataifa 9 duniani yaliyofanikiwa kubuni, kutengeneza na kurusha satelaiti yake kwa uwezo wa ndani kabisa.
-
Katuni ikionyesha "Shambulizi dhidi ya Iran: Jinsi Lilivyoanza na Jinsi Lilivyomalizika!"
Mushikamano na Umoja wa Wananchi wa Taifa la Iran ndio Siri ya Mafanikio na Ushindi Mkubwa dhidi ya Adui wa Iran na Ummah wa Kiislamu kwa ujumla.
-
Uharibifu wa rada ya Kijeshi ya Marekani huko Qatar baada ya Kushambuliwa na Makombora ya Iran
Ulinzi wa anga wa kituo cha Marekani ulifeli Kuzuia Makombora ya Iran, na ajabu ni kwamba Iran ilichagua kuitwanga Kambi hiyo kwa kutumia Makombora ya Zamani.
-
Jerry, Mwendesha kipindi wa Al Jazeera: "Ikiwa uchokozi wa Marekani haungejibiwa na Iran, Marekani ingeenda mbele zaidi na kuingilia vita"
Ujasiri huu wa Iran ulikuwa wa kuzuia hamu ya Marekani ya kutaka kuingilia kati vita vya israel dhidi ya Iran - ili kuisaidia na kuiokoa Israel (iliyokuwa imelemewa na vita).
-
Vyombo vya habari vya Kizayuni: Iran imeiongoza na kuisukuma Israel kuelekea kwenye kushindwa kimkakati
Vyombo vya habari vya Kizayuni vikichambua vimesema kuwa: Silaha za nyuklia ni hatari, lakini hisia ya ushindi katika mioyo ya maadui ni hatari zaidi.
-
Hasira ya Lieberman kwa kushindwa kwa Israel kufikia malengo yake maovu
Hili la kusitisha mapigano ni la aibu, si mpango wa makombora wa Iran umeharibiwa wala mpango wao wa nyuklia, huu ni usitishaji mapigano usio na masharti, Iran itarutubisha Uranium (ya Nyuklia) tena.
-
Waziri Mkuu wa zamani wa Israel: "Haiwezekani kuipigisha magoti Iran"
Ehud Olmert: Ingawa mashambulizi ya anga ya Marekani kwenye vituo vya nyuklia vya Iran yanaweza kuchelewesha kwa muda mpango wa nyuklia wa nchi hiyo, lakini yatakuwa na matokeo mapana zaidi.
-
Redio ya Israel: "Uharibifu Mkubwa umetokea Tel Aviv, Haifa, na Nes Tsiuna baada ya Kushambuliwa na Makombora ya Iran
Viongozi wa Kizayuni bado hawajatoa takwimu kuhusu vifo vinavyowezekana, lakini vyanzo vya ndani vinaripoti kwamba maeneo hayo yote yanawaka moto na uharibifu mkubwa umejitokeza.
-
Nchi kadhaa zaukimbia Moto wa Jahannam uliwaoshwa kwa Makombora ya Iran ndani Utawala Haram wa Kizayuni
Wafunga balozi zao na kutoa wafanyakazi wao kukimbia kutoka kwenye ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel baada ya kushuhudia Moto wa Jahannam ukiwaka kwenye Makombora ya Iran.
-
Gazeti la Wall Street Journal: Israel haiwezi kumudu zaidi ya wiki mbili kwenye vita na Iran
Gazeti hili pia limeelezea kwa kina gharama za vita vya Israel, likisema kuwa gharama za kuzuia kila roketi la Iran kwa kutumia mifumo ya ulinzi wa angani ya Israel zitakuwa kati ya Dola laki saba (700,000) hadi Dola Milioni Nne (4).
-
Taarifa kutoka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kuhusu Wimbi la 17 la Mashambulizi Mchanganyiko dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Vituo hivi vimekuwa kitovu cha uovu dhidi ya wadhulumiwa wa Gaza, Lebanon, Yemen, na pia katika vita vilivyowekwa kwa uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran tangu Kimbunga cha Al-Aqsa kilipoanza.
-
-
Kukimbia kwa Timu ya Serikali ya Utawala Ghasibu wa Kizayuni (Israel) katika Miji tofauti wakiogopa mvua ya Makombora ya Iran
Hivi sasa, kwa ujumla utaratibu wa vikao vya serikali hii ya Kizayuni ni chini ya ardhi.
-
Wazayuni wakiwa wamejificha kwenye Mapango chini ya Ardhi wakiogopa Mvua ya Makombora ya Iran
Hii imekuwa ndio Hali yao ya Usiku na Mchana, lazima wakimbie na kushinda sehemu za kujihifadhi kwa sababuuda wote Mvua ya Makombora inanyesha juu yao.
-
Wimbi kali la Mashambulizi ya Makombora ya Iran linaendelea katika awamu ya 3 ya Ahadi ya Kweli 3 /Makazi ya Netanyahu na maeneo kadhaa ya kistratijia
Ikinukuu vyanzo vyake vya kijeshi, Redio ya Jeshi la Israel ilithibitisha kurushwa zaidi ya Makombora 50 ya Balistiki kutoka ardhi ya Iran, na ving'ora vya kengele ya hali ya hatari vilisikika katika maeneo yote yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina.
-
Safari za ndege zimehairishwa hadi ilani nyingine/Shule, Misikiti, na njia za chini ya ardhi zitafunguliwa kwa umma saa 24 kwa siku kuanzia leo usiku
Msemaji wa Serikali amesema: "Hakuna shida katika kusafirisha bidhaa, dawa, chakula, na mahitaji ya watu, haswa mafuta."
-
Iran inaendelea Kuichakaza Israel kwa Makombora Hatari ya Balistiki
Wazayuni wanahaha na kutangatanga baada ya Iran kutuma shambulizi la wimbi jipya la Makombora ya Balistiki.
-
Kuangushwa kwa Ndege 10 za Kivita za Utawala wa Kizayuni katika Maeneo Tofauti ya Iran
Kamanda wa Kituo cha Ulinzi wa Anga cha Khatam al-Anbiya(s), ametoa taarifa ya kuangushwa kwa ndege nyingi za kivita za utawala wa Kizayuni.
-
Mashambulizi makubwa ya makombora ya Iran dhidi ya Israel, watu 204 wameuawa na kujeruhiwa, uharibifu mkubwa usiokuwa na kifani katika Mji wa Tel Aviv
Iran, kuanzia usiku wa jana hadi sasa, imevurumisha takriban makombora ya masafa marefu 200 kuelekea malengo mbalimbali katika maeneo ya kati na kaskazini mwa Israel.
-
Mashambulizi ya Kombora ya Harakati ya Jihad Islami Dhidi ya Ashdod na Ashkelon Kufuatia Uhalifu wa Israel
Harakati ya Jihad Islami Yajibu Jinai za Utawala wa Kizayuni kwa Kulenga Miji ya Ashdod na Ashkelon Harakati ya Jihad Islami imejibu uhalifu wa utawala wa Kizayuni wa Israel kwa kulenga kwa makombora miji ya Ashdod na Ashkelon. Kufuatia mashambulizi hayo, king’ora cha tahadhari kilisikika mjini Ashkelon, huku vyombo vya habari vya Israeli vikieleza kuwa kombora moja limenaswa angani juu ya jiji hilo.