makombora
-
Walioleta Kambi za Marekani Kuzunguka Iran Leo Wanalia: Kwa Nini Iran Inatushambulia?
Kwa miaka mingi, Iran iliwaonya majirani zake wa Kiarabu kuhusu hatari ya kuruhusu Marekani kujenga kambi za kijeshi katika ardhi zao, ikisema uwepo wa majeshi ya kigeni ungeweza kuzifanya nchi hizo kuwa sehemu ya vita dhidi ya Iran. Leo, baada ya kuanza kwa mapambano, kambi hizo zimegeuka kuwa maeneo ya mashambulizi, huku watawala wa Kiarabu wakijikuta wakikabiliwa na matokeo ya maamuzi waliyoyafanya hapo awali.
-
Kambi Zilizozunguka Iran Zageuka Kuwa Ramani ya Malengo: Somo la Qur’ani Kuhusu Nguvu na Maandalizi
Watu wengi walipoona kambi nyingi za kijeshi za Marekani zikizunguka Iran, walidhani kuwa Iran haitaweza kujinasua na kwamba kambi hizo zingekuwa sababu ya kuanguka kwake. Hata hivyo, kwa mujibu wa mafundisho ya Qur’ani Tukufu, nguvu, maandalizi na uwezo wa kujilinda ni miongoni mwa misingi muhimu ya kukabiliana na maadui.
-
Shirika la Nishati ya Nyuklia la Iran Laeleza Kushambuliwa kwa Kituo cha Nyuklia cha Darkhovin na Marekani
Shirika la Nishati ya Nyuklia la Iran limelaani shambulizi la Marekani dhidi ya eneo la Kituo cha Nyuklia cha Darkhovin kinachojengwa katika Mkoa wa Khuzestan, likisema shambulizi hilo ni kitendo cha uchokozi kinachokiuka sheria za kimataifa.
-
Marekani yaonya China au Urusi huenda wanasaidia Iran kushambulia malengo ya Marekani
Maafisa wa Marekani wana wasiwasi kuwa China au Urusi huenda wanatoa msaada kwa Iran katika mashambulizi yake dhidi ya malengo ya Marekani, kwa mujibu wa ripoti ya Wall Street Journal. Ripoti hiyo pia inasema Iran sasa inatumia makombora yanayoweza kuendeshwa wakati wa kuruka na yanayosafiri kwa kasi kubwa sana, jambo linalofanya ulinzi wa anga kuwa mgumu zaidi. Hatua hiyo imeongeza hofu kuhusu uwezo wa Iran wa kupenya mifumo ya ulinzi na kuongeza hatari ya mzozo mpana zaidi katika eneo hilo.
-
IRGC yadai kuharibu mifumo ya HIMARS nchini Kuwait na kushambulia vituo vya vikosi vya Marekani
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limedai kuharibu mifumo ya kurushia makombora ya HIMARS nchini Kuwait na kushambulia maeneo ya vikosi vya Marekani pamoja na malengo iliyoyataja kuwa yanahusishwa na wapinzani wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
IRGC Yatangaza Mashambulizi Makali zaidi ya Makombora na Ndege zisizo na Rubani Kujibu Uchokozi wa Marekani
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) limetangaza kuanzisha operesheni za makombora na ndege zisizo na rubani kujibu kile lilichokiita uchokozi wa Marekani, huku likionya kuwa litachukua hatua kali zaidi dhidi ya meli zitakazokiuka maelekezo yake.
-
Kundi la Mtandao la “Handala” Latuma Onyo Kali kwa Wanamaji wa Marekani
Kundi la kielektroniki la “Handala” limetoa onyo kali kwa wanamaji wa Jeshi la Wanamaji la Marekani, likiwataka kuwaaga familia zao, likidai kuwa makombora yako tayari kurushwa na likitishia kujibu kwa nguvu katika saa zijazo.
-
IRGC Yadai Kushambulia Malengo Manne ya Kijeshi ya Marekani Nchini Jordan
Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) wamedai kufanya mashambulizi ya makombora yaliyolenga maeneo manne muhimu ya kijeshi ya Marekani katika kambi ya Al-Azraq nchini Jordan, ikiwa ni pamoja na kituo cha amri na udhibiti.
-
Iran Yatangaza Mashambulizi ya Kulipiza Kisasi Dhidi ya Malengo ya Marekani katika Ghuba ya Uajemi
Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran limesema limejibu mashambulizi ya Marekani kwa kulenga kambi za kijeshi na makao makuu ya US Fifth Fleet, huku likionya kuwa usalama wa Mlango wa Hormuz ni mstari mwekundu ambao ukiukwa utakuwa na gharama kubwa.
-
Donald Trump: Iran Tayari Ina Makombora Yanayotishia Ulaya na Hivi Karibuni Kufika Marekani
Donald Trump amesema katika hotuba yake ya Hali ya Taifa kuwa Iran tayari imeendeleza makombora yanayoweza kuitishia Ulaya na kambi za kijeshi za Marekani zilizo nje ya mipaka yake, huku akidai kuwa Tehran inaendelea na juhudi za kutengeneza makombora yatakayoweza kufika hadi Marekani katika siku zijazo.
-
Reuters: Iran Yasisitiza Haki ya Kurutubisha Uranium Katika Mazungumzo ya Muscat
Reuters yaripoti kuwa Iran imesisitiza haki yake ya kurutubisha uranium katika mazungumzo ya Muscat, huku ikionyesha utayari wa kujadiliana kuhusu kiwango cha urutubishaji au kuanzishwa kwa consortium ya kikanda, na ikaongeza kuwa masuala ya makombora hayakujumuishwa kwenye ajenda ya mazungumzo.
-
Mjumbe wa Baraza la Mahusiano ya Kigeni Misri aiambia ABNA: Uwezo wa Makombora ya Iran Umemfanya Trump Awe Makini Katika Kushambulia Nchi Hiyo
Mjumbe wa Baraza la Mahusiano ya Kigeni la Misri amesema uwezo wa makombora ya Iran umeifanya Marekani, chini ya vitisho vya Trump, kuwa makini kabla ya kuanzisha vita dhidi ya Iran.
-
Afisa wa Zamani wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani:
Hadithi ya Ulinzi Usio Penyeka wa Israel Yaporomoka kwa Makombora ya Iran / Nguvu ya Makombora Yageuka Tishio la Kwanza
Afisa wa zamani wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Mark Fitzpatrick, amesema kuwa mashambulizi ya makombora ya Iran yamevunja dhana ya ulinzi usio penyezeka wa Israel na kubadilisha mizani ya kuzuiana, huku akibainisha kuwa mpango wa makombora wa Iran sasa umegeuka kuwa tishio la kwanza kwa Tel Aviv.
-
Iran Yasema Iko Tayari kwa Vita Huku Mvutano wa Kikanda Ukiongezeka
Kauli hiyo inatolewa wakati mvutano ukiendelea kuongezeka katika Mashariki ya Kati, hususan kuhusiana na Israel na Marekani, kufuatia mapigano ya hivi karibuni ya kijeshi na kusimama kwa juhudi za kidiplomasia kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran.
-
Iran: Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi Lakamilisha Majaribio ya Makombora Mapya ya Masafa Marefu
"Uwezo wetu wa kijeshi unalenga kuzuia uchokozi na kulinda mamlaka, ardhi na maslahi ya taifa la Iran"
-
Uchambuzi wa Jarida la Kizayuni Kuhusu Nguvu ya Makombora na Uwezo wa Kikanda wa Iran: Imara na Inaelekea Kwenye Uzuiaji wa Kisasa Zaidi
Yedioth Ahronoth: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bado ni miongoni mwa wachezaji wachache wa eneo hili wanaomiliki nguvu halisi ya kuzuia mashambulizi — uwezo ambao licha ya hasara za hivi karibuni, haujapungua bali unaimarika na kufafanuliwa upya.
-
Afisa wa Uhusiano wa Umma wa Kikosi cha Anga cha Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC):
“Utamaduni wa Kujitolea na Uadilifu ndiyo Mzizi wa Nguvu ya Kikosi cha Anga cha IRGC"
Makombora Sheikh Naderi alisema kuwa kwa mujibu wa maelekezo ya uongozi wa juu, kipindi hiki kimepewa jina la *“Wiki ya Ujasiri wa Makombora”* kwa lengo la kuenzi mashahidi na kuonyesha mafanikio ya kikosi hicho kwa wananchi.
-
Iran yatangaza makombora yake ya masafa marefu (ICBM) yenye uwezo wa kufika hadi kilomita 10,000
Tangazo la Iran kuhusu makombora yake mapya ya masafa marefu linaonyesha ukuaji wa haraka wa teknolojia ya kijeshi ya taifa hilo na pia linaonekana kama ujumbe wa kisiasa wa onyo kwa wapinzani wake wa Magharibi.
-
Sayyid Ali Khomeini: “Kama Ubalozi wa Marekani usingelivamiwa, leo tusingekuwa na Makombora wala ishati ya nyuklia"
Akiisisitizia kauli kwamba “uvamizi wa ubalozi wa Marekani uliimarisha uhuru wa Iran,” alisema: “Kama tukio hilo lisingetokea, leo hii Jamhuri ya Kiislamu isingekuwepo, na nchi yetu isingepata teknolojia ya makombora na nishati ya nyuklia, kwani Marekani ilikuwa inapinga maendeleo haya.”
-
Ayatollah Khamenei Asifu Uwezo wa Makombora ya Iran, Asema Yameharibu Vituo Muhimu vya Utawala wa Kizayuni
Ayatollah Khamenei pia aliongeza kuwa utawala wa Kizayuni (Israel), ambao kwa muda mrefu umekuwa ukifanya vitisho na mashambulizi dhidi ya eneo hili la kikanda, sasa “umepokea funzo ambalo litabaki kwenye kumbukumbu zake,” akisisitiza kuwa taifa la Iran halitasita kujibu hatua yoyote ya uchokozi
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:“Wazayuni hawakutarajia nguvu ya makombora ya Iran / Marekani haina haki kujihusisha na teknolojia ya Iran"
Ayatollah Sayyid Ali Khamenei amebainisha kwamba: Marekani haina haki kujihusisha na suala la teknolojia ya nyuklia ya Iran - na akahoji kuhusiana na Trump akisema: Wewe ni nani hasa?”.
-
Iran Yazindua Makombora Mapya Yenye Uwezo wa Kuongozwa Angani
Wataalamu wa kijeshi wanaona kuwa teknolojia ya kuongozwa kwa Makombora yakiwa angani inafanya makombora hayo kuwa na faida kubwa kutokana na uwezo wake wa kurekebisha au kubadilisha mwelekeo kwa wakati halisi na Sahihi, jambo linaloongeza usahihi na kupunguza uwezekano wa kuruka hadi mbali bila kufikia shabaha yake.
-
Wizara ya Ulinzi ya Iran: Hakuna Nguvu Yenye Haki ya Kuingilia Uwezo wa Makombora ya Iran
Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Ulinzi, Brigedia Talaeinik alibainisha kuwa Marekani na washirika wake wanasisitiza mazungumzo kuhusu programu ya makombora na wanataka kupunguza umbali wa makombora ya Iran. Hata hivyo, alisema kuwa msingi wa uwezo wa makombora ya Iran ni kulinda usalama na maslahi ya kitaifa ya wananchi wake.
-
Uhamaji wa Waisraeli 11,000 Baada ya Vita na Iran | Walihama ili kukimbia Makombora ya Iran
Kwa Mujibu wa Taarifa, kurejea kikamilifu kwa wakimbizi hawa majumbani mwao kutachukua miaka kadhaa.
-
Jeshi la Lebanon limepokea silaha nzito kutoka kwenye kambi za Wakpalestina
Jeshi la Lebanon limeanza mchakato wa kupokea silaha kutoka kwenye Kambi za Wapalestina katika Mji wa Sur Kusini mwa nchi hiyo.
-
Mafanikio Makubwa ya Iran: Yarusha Satelaiti (Nahid-2) katika Obiti na Kufanikiwa Kutesti Kombora la Khorramshahr-5 lenye uwezo wa kufika hadi 12000KM
Iran imejiweka kwenye orodha ya mataifa 9 duniani yaliyofanikiwa kubuni, kutengeneza na kurusha satelaiti yake kwa uwezo wa ndani kabisa.