19 Juni 2025 - 04:28
Hii ndio hali halisi ilivyo ya ardhi inayokaliwa kwa mabavu ya Palestina katika hizi siku | Iran inaendelea Kuichakaza Israel kwa Makombora

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Picha mbalimbali zinaonyesha namna Israel ilivyochakazwa kwa kutwangwa na Makombora ya Iran. 

Balaa ambalo Utawala wa Kizayuni uliwaletea Ghaza, Iran imewaletea mazayuni hayo balaa kama hilo vile vile juu ya vichwa vyao. Na hii ni kwa Uwezo wa Mwenyezi Mungu (s.w.t).

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha