Israel
-
Yemen yaachia kombora la Hipersoniki kulenga kituo cha kijeshi cha Wazayuni katika eneo la Negev
Jeshi la Missili la Jeshi la Silaha la Yemen limetekeleza operesheni ya kijeshi ikilenga Kituo cha Anga cha Nevatim katika eneo la Negev, kusini mwa Palestina iliyokaliwa, kwa kutumia kombora la hipersoniki la balistiki.
-
Je, jinai ya Palestina ni kweli kuwa inaungwa mkono na Iran ya Kishia?!
Wakati picha za kutisha za mauaji ya halaiki huko Gaza zimeamsha dhamiri za wanadamu kote ulimwenguni, ukimya mzito katika baadhi ya jamii za Kiislamu, haswa kati ya duru za kidini, unatia shaka. Kwa nini baadhi ya watu wanauita Upinzani (Muqawamah) huu "wa Kidini" au "Kisiasa" na kuondoa uungaji mkono wao wakati Hamas, Hezbollah, au Iran inaposimama dhidi ya Israel?!, Je, (kupinga) dhulma na ukandamizaji kwa Wapalestina unahitaji idhini ya Madhehebu?
-
Morocco; Imeshuhudia Mikusanyiko 105 ya Kuunga Mkono Palestina
Al Jazeera Qatar imeripoti kuwa, (mikusanyiko) maandamano 105 yalifanyika katika miji 58 ya Morocco katika kuwaunga mkono watu wanaodhulumiwa wa Gaza.
-
Usitishaji vita wa siku 70 huko Gaza; Je, Tel Aviv itakubali na kutii makubaliano hayo?
Mazungumzo kati ya Hamas na Mamlaka ya Misri Mjini Cairo yanaendelea kufanikisha usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza. Makubaliano hayo yanajumuisha kuachiliwa kwa idadi kadhaa ya wafungwa wa Israel na Palestina na iwapo yatakubaliwa, yanaweza kusaidia kuboresha hali ya kibinadamu katika eneo hilo. Walakini, Tel Aviv bado haijajibu vyema kwa makubaliano ya mwisho.
-
Kushindwa kwa Marekani nchini Yemen kumezusha wasiwasi miongoni mwa nchi za Kiarabu. Nini kitatokea ikiwa San'a itakuwa Mamlaka yenye Nguvu Kikanda?
Kwa kuzingatia chaguzi ndogo za Amerika, mashaka yameongezeka miongoni mwa maadui wa Yemen katika nchi za Ghuba ya Uajemi, na hii imefanya kazi ya vyombo vyao vya habari - ambavyo vinaendana kikamilifu na (riwaya) simulizi ya Marekani na Israel - kuwa ngumu; Hadi wanakimbilia kuwatuhumu “Ansarullah” kwa kutumia vita vibaya.
-
Ripoti juu ya hali ya hivi punde huko Gaza / Kwa mara ya kwanza katika historia, watu milioni 2 wamezingirwa katika ukanda mmoja (Ukanda wa Gaza)
Katika ripoti ya hivi punde kuhusu hali ya Ukanda wa Gaza, Mwanaharakati wa Kipalestina amesema: "Kwa ujumla, zimepita takriban siku 45 tangu hata kilo 1 ya unga au chupa 1 ya maji iingie Gaza, na mzingiro huo uko katika hali mbaya zaidi."
-
Wito wa Maandamano kufuatia Mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni
Kufuatia mashambulio hayo ya kinyama ya utawala wa Kizayuni, Baraza la Uratibu wa Tabligh za Kiislamu limetoa taarifa likiwaalika Wananchi Watukufu wa Tehran kushiriki katika maandamano yatakayofanyika kesho katika Medani ya Palestina.
-
Katuni | Hakuna njia ya kutokea na kukimbia huko Gaza
Watoto wa Kipalestina wanatamani sana Msaada kutoka kwa Mashirika ya Kimataifa.
-
Netanyahu amesafiri njia ndefu kutoka Budapest hadi Washington ili kukwepa kukamatwa
Vyombo vya habari vya Israel vimetangaza leo kwamba kutokana na hati ya kukamatwa iliyotolewa dhidi ya Waziri Mkuu wa utawala huu, ndege iliyombeba ilibidi ichukue njia ndefu zaidi kuelekea Washington.
-
Fat'wa Mpya: Kuitetea Palestina na Jihad dhidi ya Utawala wa Kizayuni ni Wajibu Ayn (jambo la faradhi kwa kila Mtu)
Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Ulimwenguni umetoa Fat'wa kuhusu Wajibu wa Jihadi katika kuunga mkono Ghaza na kusisitiza kuwa, Jihadi dhidi ya utawala wa Kizayuni na mamluki na askari wake wanaohusika na mauaji ya halaiki ya watu wa Ghaza katika ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ni wajibu mutlaki (unaomgusa kila mtu).
-
Kuuawa Shahidi na Kujeruhiwa kwa Wapalestina 373 ndani ya masaa 24
Wizara ya Afya ya Gaza imetangaza kuuawa Shahidi na kujeruhiwa Wapalestina 373 katika muda wa saa 24 zilizopita na kuongezeka kwa idadi ya Mashahidi wa mauaji ya kimbari na kufikia zaidi ya watu 50,600.
-
Kuuawa Shahidi kwa Wapalestina 15 wakati wa Shambulio la bomu kwenye jengo moja huko Gaza / Hakuna mahali salama huko Gaza
Mashambulio ya kikatili ya utawala wa Kizayuni huko Ghaza yameendelea hivi leo, na kwa sababu hiyo Wapalestina wengi zaidi wameuawa Shahidi.
-
Hassan Badir, Afisa wa Dawati la Palestina la Hezbollah ya Lebanon auawa Shahidi
Utawala wa Kizayuni ulilenga nyumba ya makazi na baadhi ya watu wa familia ya Hassan Badir pia walikuwa ndani ya nyumba hiyo wakati wa jinai hiyo ya Wazayuni.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Ikiwa Amerika itafanya jambo lolote ovu, litajibiwa vikali
Ayatollah Khamenei amesema kuhusu misimamo ya vitisho ya hivi karibuni ya Marekani: Kwanza, iwapo uovu utafanywa kutoka nje, jambo ambalo bila shaka halina uwezekano mkubwa, kwa hakika watajibiwa kwa kupigwa kwa pigo kali , na pili, ikiwa adui anafikiria kuzusha mpasuko (fitna) kwa ndani, kama ilivyokuwa katika baadhi ya miaka ya nyuma, Taifa litatoa jibu kali kwa waasi (wapenzi wa fitna) kama ilivyokuwa kwa miaka hiyo.
-
Rekodi nyingine kwa Israeli; Gaza ina watoto wengi waliokatwa viungo katika historia!
Gaza ina idadi kubwa zaidi ya watoto waliokatwa viungo vyao katika historia ya kisasa, huku Israel ikizidisha mzozo wa kibinadamu kwa kukiuka usitishaji vita na mzingiro.
-
Vyombo vya Habari na kuhalalisha uchokozi wa utawala wa Kizayuni / Kutoka Mlima Hermoni huko Syria hadi kilele cha juu kabisa cha Israeli!
Baada ya kuporomoka kwa utawala wa Bashar al-Assad, utawala wa Kizayuni ulipanua maendeleo yake na kuteka maeneo zaidi ya Syria. Mojawapo ya shabaha kuu za maendeleo haya daima imekuwa Mlima Hermon, wenye urefu wa kimkakati ambao una nafasi maalum katika milinganyo ya kijeshi ya eneo hilo.
-
Mjukuu wa Nelson Mandela:
Shahidi Nasrallah ni kielelezo kwa watu wote walio huru duniani | Kuthamini uungaji mkono wa Iran ya Kiislamu kwa Palestina
Mandela alisema: Tunaheshimu kumbukumbu ya shujaa huyu na ushujaa wake na tunashukuru uongozi na wanachama wa Hezbollah kwa utetezi wao wa kijasiri wa Msikiti wa Al-Aqsa, watu wa Gaza na upinzani mzima wa Palestina.
-
Netanyahu: Kuendelea kuwepo kwa Hamas huko Gaza kunamaanisha kushindwa kwa Israel
Katika taarifa yake mpya, Netanyahu ameonya dhidi ya Hamas kubakia katika Ukanda wa Gaza.
-
Jumuiya ya walimu wa Seminari ya Qom:
Wananchi wa Iran wanapaswa kutangaza utayarifu wao wa kuwasaidia wapiganaji wa Palestina kwa kushiriki katika maandamano ya Siku ya Quds
Katika kizingiti cha Siku ya Quds Duniani, Jumuiya ya Walimu wa Seminari ya Qom imetoa taarifa ikizitaka sehemu zote za Taifa pendwa la Iran kushiriki kikamilifu katika Matembezi ya Amani ya Siku hii ya Quds na kutangaza kwa mara nyingine uungaji mkono wao kwa Muqawamah (Upinzani) wa Kiislamu wa Palestina.
-
Idadi ya Mashahidi wa Mauaji ya Kimbari ya Israel huko Gaza imezidi Mashahidi elfu 50
Idadi ya Mashahidi wa vita vya Gaza imepita watu 50,000 na wengi wa wahasiriwa ni Watoto na Wanawake.
-
Mashambulizi ya anga ya Marekani nchini Yemen yameingia wiki ya pili / Mashambulio makubwa ya mabomu katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Hodeidah
Mji wa Hodeidah ulioko Magharibi mwa Yemen umelengwa na mashambulizi makubwa ya mabomu ya jeshi la Marekani.
-
Mashahidi 38 wa Kipalestina; Uovu mpya wa utawala wa Kizayuni huko Gaza
Katika muendelezo wa mashambulizi katika Ukanda wa Ghaza, utawala wa Kizayuni umeua idadi nyingine ya Wapalestina.
-
Hezbollah: Hatuna uhusiano wowote na shambulio la kombora
Kwa kutoa taarifa rasmi, Hezbollah ya Lebanon imekanusha uhusiano wowote na operesheni hiyo ya makombora leo asubuhi (Jumamosi) dhidi ya ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na kusisitiza kuwa, madai ya adui yanalenga kutoa visingizio vya kuendelea na uvamizi.
-
Watu 2 wameuawa Shahidi na wengine 10 kujeruhiwa kutokana na Mashambulizi ya utawala wa Kizayuni huko Kusini mwa Lebanon
Watu 2 wameuawa Shahidi na watu 10 wamejeruhiwa kutokana na mvutano uliozuka tena Kusini mwa Lebanon na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika eneo la Tolin.
-
Wapalestina 130 Wameuawa Shahidi Katika Saa 48 Zilizopita
Katika saa 48 zilizopita, Mashahidi 130 na Majeruhi 263 wamehamishiwa katika Hospitali za Ukanda wa Gaza.
-
Harakati ya Hamas Imekanusha Kusimamishwa kwa Mazungumzo
Harakati ya Hamas imesema kuwa ripoti ya vyombo vya habari vya Kiebrania kuhusu kusitisha mawasiliano au kusitishwa kwa mazungumzo ya kusitisha mapigano si ya kweli.
-
Wamarekani wanapaswa kujua: Vitisho havipeleki popote; Kofi kali la usoni ni jibu la uovu wowote
Ayatollah Khamenei amesisitiza kuwa, Wamarekani wanapaswa kujua kwamba kamwe hawatafika popote kwa vitisho dhidi ya Iran na akasema: Wao na wengine wanapaswa kujua kwamba iwapo watafanya jambo lolote ovu kwa Taifa la Iran, watapigwa kofi kali.
-
Jeshi la Yemen limeushambulia uwanja wa ndege wa "Ben Gurion"
Jeshi la Yemen limetangaza shambulizi la kulipiza kisasi la kombora kwenye uwanja wa ndege wa Ben Gurion mjini Tel Aviv.
-
Takriban Maafisa watano wa ngazi za juu wa Hamas wameuawa Shahidi katika Mashambulizi ya anga ya Israel huko Gaza
Takriban maafisa watano wa ngazi za juu wa Hamas wameuawa katika mashambulizi ya hivi karibuni ya anga ya Israel kwenye Ukanda wa Gaza.
-
Ayatollah Nouri Hamedani: Utawala wa Kizayuni unaoua watoto kwa mara nyingine tena umeonyesha kwamba hauzingatii ahadi zozote
Ayatollah Nouri Hamedani ametoa ujumbe akilaani jinai za hivi karibuni za Marekani na utawala wa Kizayuni na kusema: Leo hii utawala wa Kizayuni unaoua watoto kwa mara nyingine umeonyesha tena kwamba haufuatilii (na hauzingatii) ahadi zozote na unavunja ahadi (mapatano) kirahisi.