jamhuri ya kiislamu ya Iran
-
Bunge la Iran: Lebanon Lazima Iwe Sehemu ya Makubaliano ya Mwisho ya Kusitisha Mapigano
Kamati ya Usalama wa Taifa ya Bunge la Iran imesema Lebanon ni sehemu muhimu ya makubaliano yoyote ya mwisho ya kusitisha mapigano, huku wabunge wa Iran wakisisitiza kuendelea kuiunga mkono Lebanon na harakati za muqawama pamoja na kutaka kukomeshwa kwa vitendo vya uhasama katika eneo hilo.
-
Araghchi: Mashauriano kati ya Iran na Misri ni Muhimu kwa Kuimarisha Amani na Utulivu wa Kieneo
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesisitiza umuhimu wa mashauriano ya pande mbili kati ya Iran na Egypt katika kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia na kukuza amani pamoja na utulivu wa kieneo, huku akitoa wito wa kutumia ipasavyo uwezo mkubwa wa nchi hizo mbili za Kiislamu katika nyanja za kisiasa, kiuchumi na kiutamaduni.
-
IRGC: Kuvuka Mipaka Miekundu ya Lebanon na Gaza Kutachukuliwa Kama Vita vya Moja kwa Moja Dhidi ya Iran
Shirika la Ujasusi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itachukulia hatua yoyote ya kuvuka mipaka myekundu nchini Lebanon na Gaza kuwa sawa na kutangaza vita vya moja kwa moja dhidi yake, huku likisisitiza utayari wake wa kuchukua hatua za kujihami na kufungua nyanja mpya za mapambano ikiwa hali hiyo itatokea.
-
Baghaei: Nguvu za Vikosi vya Ulinzi ni Mhimili wa Kulinda Maslahi ya Iran katika Diplomasia
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei, amesema uwezo wa Vikosi vya Ulinzi vya nchi hiyo unatoa msaada mkubwa kwa juhudi za kidiplomasia, huku akisisitiza kuwa uratibu kati ya diplomasia na medani ya ulinzi umechangia mafanikio ya Iran na kufeli kwa njama za maadui wake.
-
Wafuasi wa Iran Wakusanyika Mbele ya Bunge la Norway Jijini Oslo - Norway
Kundi la waungaji mkono wa Iran limefanya mkusanyiko mbele ya Bunge la Norway katika mji wa Oslo, likionesha mshikamano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kueleza misimamo yake kuhusu masuala ya kimataifa yanayoihusu nchi hiyo.
-
Trump Adai Marekani na China Zina Uwezo wa Kushughulikia Urani Iliyoboreshwa ya Iran
Rais wa Marekani Donald Trump amedai kuwa nyenzo za urani iliyoboreshwa za Iran zilizohifadhiwa chini ya ardhi zinaweza kutolewa na kushughulikiwa kwa uratibu wa Iran na IAEA, jambo lililozua mjadala mpya kuhusu mustakabali wa mpango wa nyuklia wa Tehran
-
Ayatollah Mojtaba Khamenei Aonya Dhidi ya Njama za Kusababisha Mgawanyiko wa Kijamii Iran
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza umuhimu wa kulinda umoja wa wananchi, akionya kuwa adui anatumia mbinu za kueneza mifarakano ya kijamii baada ya kushindwa kufikia malengo yake kupitia mashinikizo ya kijeshi, kiuchumi na kisiasa.
-
Akili ya Marekani inapokuwa inapanga uadui inapungua ghafla
Tarehe 11 Februari 2026, maelfu ya Wairani walikusanyika kuonyesha mshikamano wao na taifa na kuthibitisha kwamba Marekani ni adui wa Umma wa Kiislamu. Tukio hili linaonyesha wazi kwamba mbinu za adui hazina nafasi mbele ya mshikamano wa wananchi wa Iran na jitihada za kuharibu taifa hilo hazina mafanikio.
-
Sayyid Khamenei: Kiongozi Aliyesimama Kidete Dhidi ya Ubeberu wa Kimataifa
Baada ya hatua thabiti na za kishujaa za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran dhidi ya kambi za kijeshi za Israel na Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati, dunia iliamka asubuhi ikiwa inazungumzia wasifu mpya wa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Sayyid Ali Khamenei—kiongozi wa kiroho aliyeonesha ujasiri, busara na msimamo usiotetereka mbele ya madola ya kibeberu.
-
Ayatullah Khamenei:Mazungumzo na Waandamanaji Halali Yapokelewe na Kusikilizwa, Wachochezi wa Fujo na Ghasia Hawastahili Kusikilizwa Bali Wadhibitiwe
Ayatullah Khamenei amesisitiza utayari wa mazungumzo na waandamanaji halali, huku akionya kuwa wachochezi wa fujo—aliowataja kuwa mamluki wa adui—hawastahili mazungumzo na wanapaswa kuzuiwa kwa sababu ya kueneza kauli mbiu dhidi ya Uislamu, Iran na Jamhuri ya Kiislamu.
-
Simulizi la Kiongozi wa Mapinduzi kuhusu matukio ya hivi karibuni nchini Iran
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatollah Ali Khamenei, amesisitiza kuwa malalamiko ya wafanyabiashara ni ya haki na yanapaswa kusikilizwa, lakini ghasia zinazosababishwa na vibaraka wa adui hazikubaliki. Ameahidi kuwa taifa litashikilia msimamo thabiti dhidi ya adui, likitegemea Mwenyezi Mungu na mshikamano wa wananchi.
-
Mkuu wa Jeshi la Iran Amir Hatami Akikagua Ngome za Kijeshi za Mipakani pamoja na Brigedi za Jeshi la Ardhini
Ziara hii inakuja wakati Iran inasisitiza kuimarisha usalama wa mipaka yake na kuonyesha utayari wa jeshi katika kukabiliana na changamoto za kijeshi bila kukosa tahadhari ya kisiasa, hasa kutokana na mvutano uliopo katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Makampuni makubwa ya silaha kutoka Russia, Marekani, China na Ulaya waanza kunakili teknolojia ya Droni "Shahed“ ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Umaarufu unaozidi kuongezeka wa drone ya Shahed ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran umeleta mabadiliko makubwa katika fikra za kiulinzi duniani, na sasa mataifa yenye uwezo mkubwa yanaanza kujifunza kutoka kwa taifa lililotumia ubunifu na uhalisia badala ya gharama kubwa.
-
Vita vya Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu si kwa sababu ya Nyuklia, bali ni kwa sababu ya Uenezi wa Ustaarabu Mpya wa Kiislamu
"Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni mkusanyiko wa damu zote zilizomwagika, subra, dhulma, mateso na juhudi za wanazuoni na Mashia katika historia nzima. Kuyaumiza mapinduzi haya ni sawa na kuumiza Uislamu kwa jeraha lisilopona kwa karne nyingi.”
-
Araghchi:
Balozi Mkuu wa Iran katika Van utafunguliwa / Chanzo kikubwa zaidi cha tishio kwa Syria ni kutoka kwa utawala wa Kizayuni
Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alisema: Iran na Uturuki si tu nchi jirani, bali ni nchi mbili rafiki na ndugu zenye ushirikiano mkubwa sana.
-
Vyombo vya Habari vya Israel: Kuongezeka kwa Nguvu ya Iran na Muungano wa Muqawama “Kunatia Wasiwasi”
Maafisa wa Idara ya ujasusi ya Israel walisema kuwa endapo mzozo mpya baina ya Iran na Israel utazuka, basi kisasi cha Iran kitaifanya Israel ikabiliwe na hatari kubwa zaidi kuliko ile iliyoshuhudiwa katika tukio lililopita.
-
Mahakama Kuu Yaweza Kuongeza Ufanisi wa Mfumo wa Kiislamu Kupitia Utekelezaji wa Haki
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya AhlulBayt (a.s), akiwa mbele ya wakurugenzi na wafanyakazi wa Mahakama ya Mkoa wa Gilan, amesema kuwa utekelezaji sahihi wa haki na usawa katika taasisi zote za serikali unaweza kuongeza ufanisi wa Jamhuri ya Kiislamu na kuthibitisha madai yake ya msingi kuhusu haki katika utawala.
-
Imamu wa Ijumaa wa Michigan:Dunia imejifunza kutokana na uongozi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi /Ushindi wa kuvutia wa Iran katika vita vya siku 12
Hujjatul-Islam wal-Muslimin Basim Al-Shar’i amesema kuwa hatari kuu kwa Jamhuri ya Kiislamuinatokana na mambo ya ndani, na akaongeza: “Nguvu ya wananchi wa Iran imo katika umoja wao na kushikamana kwao na uongozi wenye busara wa Ayatullah Khamenei. Umoja huu ndio heshima na mtaji halisi wa Jamhuri ya Kiislamu.”
-
Uchambuzi wa Jarida la Kizayuni Kuhusu Nguvu ya Makombora na Uwezo wa Kikanda wa Iran: Imara na Inaelekea Kwenye Uzuiaji wa Kisasa Zaidi
Yedioth Ahronoth: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bado ni miongoni mwa wachezaji wachache wa eneo hili wanaomiliki nguvu halisi ya kuzuia mashambulizi — uwezo ambao licha ya hasara za hivi karibuni, haujapungua bali unaimarika na kufafanuliwa upya.
-
Qalibaf:
Hakuna nchi yoyote ya Kiislamu inayopaswa kuwa na uhusiano wowote na adui wa Uislamu na Waislamu
Spika wa Bunge alisema: Marekani inawagawa umma wa Kiislamu katika pande mbili — upande mmoja ambao unapaswa kushambuliwa na kukaliwa, na upande mwingine ambao unapaswa kukubali “Amani ya Ibrahimu” na kuanzisha uhusiano na utawala wa Kizayuni. Hakuna nchi yoyote ya Kiislamu inapaswa kujiruhusu kuanzisha uhusiano na adui wa Uislamu na Waislamu.
-
Imam Khamenei: Uhasama kati ya Iran na Marekani ni wa asili, ni mgongano wa maslahi kati ya mitindo miwili
Hivi karibuni kabla ya tarehe 4 Novemba, inayojulikana kama “Siku ya Wanafunzi na Siku ya Kitaifa ya Kupambana na Ukorofi wa Kidunia”, Imam Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, alikutana na wanafunzi wa rika zote, wakiwemo wanafunzi wa vyuo vikuu, pamoja na familia za mashahidi wa Vita vya Siku 12 Vilivyowekezwa"
-
Sayyid Ali Khomeini: “Kama Ubalozi wa Marekani usingelivamiwa, leo tusingekuwa na Makombora wala ishati ya nyuklia"
Akiisisitizia kauli kwamba “uvamizi wa ubalozi wa Marekani uliimarisha uhuru wa Iran,” alisema: “Kama tukio hilo lisingetokea, leo hii Jamhuri ya Kiislamu isingekuwepo, na nchi yetu isingepata teknolojia ya makombora na nishati ya nyuklia, kwani Marekani ilikuwa inapinga maendeleo haya.”
-
Dkt. Pezeshkian katika Mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Ndani wa Oman:
Iran na Oman zimekuwa zikisaidiana daima katika nyakati za mivutano ya eneo
Hamad bin Faisal Al-Busaidi alielezea furaha yake kwa ziara yake nchini Iran na kukutana na Rais Pezeshkian, akisema kuwa uhusiano wa Iran na Oman ni wa kipekee, wa kihistoria, wa kina na wa ukweli, usio na mashaka. yoyote.
-
Waziri wa Mambo ya Nje:
Ulinzi Usio wa Kijeshi lazima uwe makini na wenye umakini wa hali ya juu
Kauli hiyo imetolewa katika ujumbe wake maalum kwa mnasaba wa Wiki ya Kuheshimu Ulinzi Usio wa Kijeshi, ambapo amesema kuwa kipindi hiki ni fursa muhimu ya kueleza umuhimu wa mikakati na mipango ya kuongeza usalama, uimara, na kinga ya miundombinu ya taifa dhidi ya kila aina ya vitisho vya maadui.
-
Jeshi la Israel ladaiwa kumuua “Muhammad Akram Arabiyeh” mwanachama wa Kikosi cha Rizwan cha Hezbollah
Kwa mujibu wa vyanzo vya Kizayuni, katika kuendeleza uvamizi wake ndani ya ardhi ya Lebanon na mashambulizi dhidi ya wapiganaji wa muqawama, mwanachama wa Kikosi Maalumu cha Ridhwan cha Hezbollah ameuawa shahidi katika shambulizi la anga lililofanywa na Israel katika eneo la al-Qulay‘a, kusini mwa Lebanon.
-
Enayati: Miezi Miwili Ijayo Itakuwa Kipindi Chenye Harakati Nyingi katika Uhusiano wa Tehran–Riyadh
Balozi wa Iran nchini Saudi Arabia ametangaza kuwa kutakuwa na harakati kubwa za kidiplomasia katika miezi miwili ijayo, akibainisha kuwa angalau mawaziri watatu wa Iran watahudhuria mikutano ya kimataifa na ya kikanda itakayofanyika Riyadh.
-
Barua ya Iran, Urusi na China kwa Grossi: Wajibu wa Kuripoti wa IAEA Umefikia Mwisho
Wawakilishi wa kudumu wa Iran, Urusi na China katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) wamemwandikia barua rasmi Rafael Grossi, Mkurugenzi Mkuu wa wakala huo, wakisisitiza kuwa kwa kumalizika kwa muda wa utekelezaji wa Azimio la 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, jukumu la IAEA la kuwasilisha ripoti chini ya azimio hilo limefikia mwisho, na kwamba hatua yoyote mpya katika mwelekeo huo haina uhalali wa kisheria.
-
Mahojiano na Mwanaharakati Mnyemeni na Shirika la Habari la ABNA;
Kuhusu Utambulisho wa Kiyemen na Sifa za Sayyid al-Houthi hadi kwenye “Bendera ya Yamen” / Kizazi kijacho nchini Yemen kitakuwa kizazi imara
Sisi na Iran ni Mwili Mmoja Uhusiano wetu na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni wa kindugu uliyojengwa juu ya msingi wa Uislamu, si madhehebu. Tunafuata aya tukufu isemayo: «إِنَّمَا الْمُؤْمِنُونَ إِخْوَةٌ» - “Hakika waumini ni ndugu.”
-
Kamanda Mkuu wa Majeshi ya Iran, Meja Jenerali Abdolrahim Mousavi:
“Vikosi vya Ulinzi vya Iran vimewapiga maadui zao Kofi lisilosahaulika”
Jenerali Mousavi alisema kuwa kipindi cha masomo ya kijeshi kwa wanafunzi hao kilitokea katika wakati wa kipekee - wakati ambao muqawama ulithibitisha ushindi wa imani juu ya dhulma na ubabe wa kimataifa.
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu:“Wazayuni hawakutarajia nguvu ya makombora ya Iran / Marekani haina haki kujihusisha na teknolojia ya Iran"
Ayatollah Sayyid Ali Khamenei amebainisha kwamba: Marekani haina haki kujihusisha na suala la teknolojia ya nyuklia ya Iran - na akahoji kuhusiana na Trump akisema: Wewe ni nani hasa?”.