jamhuri ya kiislamu ya Iran
-
Ufafanuzi kuhusu Jibu la Iran kwa Marekani litatekelezwa kwa namna ipi? | Mpango mzima wa Iran ni kuichakaza na kuimaliza Israel - Haina pa kutokea
Iran inasisitiza kuwa vita hii itaendelea hadi utawala wa Kizayuni uangamizwe kabisa, na uingiliaji wowote wa nje utazidisha tu uhamasishaji na ukali wa mapigano ya Iran.
-
Redio ya Israel: "Uharibifu Mkubwa umetokea Tel Aviv, Haifa, na Nes Tsiuna baada ya Kushambuliwa na Makombora ya Iran
Viongozi wa Kizayuni bado hawajatoa takwimu kuhusu vifo vinavyowezekana, lakini vyanzo vya ndani vinaripoti kwamba maeneo hayo yote yanawaka moto na uharibifu mkubwa umejitokeza.
-
Nchi kadhaa zaukimbia Moto wa Jahannam uliwaoshwa kwa Makombora ya Iran ndani Utawala Haram wa Kizayuni
Wafunga balozi zao na kutoa wafanyakazi wao kukimbia kutoka kwenye ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel baada ya kushuhudia Moto wa Jahannam ukiwaka kwenye Makombora ya Iran.
-
Gazeti la Wall Street Journal: Israel haiwezi kumudu zaidi ya wiki mbili kwenye vita na Iran
Gazeti hili pia limeelezea kwa kina gharama za vita vya Israel, likisema kuwa gharama za kuzuia kila roketi la Iran kwa kutumia mifumo ya ulinzi wa angani ya Israel zitakuwa kati ya Dola laki saba (700,000) hadi Dola Milioni Nne (4).
-
Ripoti kuhusu mazungumzo ya Iran na Ulaya Mjini Geneva
Awamu ya pili ya mazungumzo ya pande mbili itaendelea baada ya awamu hii ya kwanza kumalizika.
-
Taarifa kutoka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kuhusu Wimbi la 17 la Mashambulizi Mchanganyiko dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Vituo hivi vimekuwa kitovu cha uovu dhidi ya wadhulumiwa wa Gaza, Lebanon, Yemen, na pia katika vita vilivyowekwa kwa uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran tangu Kimbunga cha Al-Aqsa kilipoanza.
-
Uungaji mkono mkubwa wa Maraaji Taqlid kwa Ayatollah Khamenei:
Sapoti kubwa ya Marajii Taqlid wa Ulimwengu wa Kishia kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran/Jibu kali kwa manenoya udhalilishaji ya Trump
Marajii Wakuu wa Taqlid katika Ulimwengu wa Kishia, Ayatollah: Sistani, Makarem Shirazi, Nouri Hamedani, Javadi Amoli, Sobhani na Shabiri Zanjani wameshutumu katika taarifa tofauti matamshi ya udhalilishaji ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Venezuela: Dunia imefurahishwa na pigo Kali la Iran dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Waziri Mkuu wa Venezuela l: "Venezuela inasimama bega kwa bega na Iran katika Haki yake ya kujihami na kuilinda amani yake dhidi ya majaribio yoyote ya jinai za kizayuni".
-
Kiongozi cha Ansarullah Yemen:
"Jinai dhidi ya Iran hata bada ya kusisitiza kuwa haina haja ya silaha za Nyuklia ni kwa sababu ya misimamo imara Iran juu ya kadhia ya Palestina"
Wamagharibi hatwaki kuona Iran ikiwa ni nchi huru, na hii ni kutokana na msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuwatetea wananchi wa Palestina na kukataa udhalimu wa uvamizi wa Kizayuni kwa ardhi za Taifa la Palestina.
-
-
Kukimbia kwa Timu ya Serikali ya Utawala Ghasibu wa Kizayuni (Israel) katika Miji tofauti wakiogopa mvua ya Makombora ya Iran
Hivi sasa, kwa ujumla utaratibu wa vikao vya serikali hii ya Kizayuni ni chini ya ardhi.
-
Wazayuni wakiwa wamejificha kwenye Mapango chini ya Ardhi wakiogopa Mvua ya Makombora ya Iran
Hii imekuwa ndio Hali yao ya Usiku na Mchana, lazima wakimbie na kushinda sehemu za kujihifadhi kwa sababuuda wote Mvua ya Makombora inanyesha juu yao.
-
Ofisi ya Umoja wa Mataifa Tehran: Raia wa kawaida hawapaswi kuwa walengwa kamwe | Tunasimama bega kwa bega na Iran
Ujumbe huo unasisitiza kuwa: "Njia pekee ya kutoka katika mzozo huu ni diplomasia. Kupunguza mivutano na kuendeleza mazungumzo kwa mujibu wa sheria za kimataifa na kwa kuzingatia roho ya Katiba ya Umoja wa Mataifa ndiyo njia salama zaidi ya kulinda maisha ya watu na kuhifadhi amani tunayohitaji."
-
Taarifa ya Pamoja ya Nchi 21 za Kiarabu na Kiislamu Kulaani Shambulio la Israel Dhidi ya Iran
Katika taarifa hiyo, nchi hizo zimetilia mkazo umuhimu wa kuondoa silaha za nyuklia na silaha nyingine za maangamizi ya halaiki kutoka katika eneo la Mashariki ya Kati.
-
Onyo la Jeshi la Iran kwa Walowezi wa Israel | Ondokeni katika Maeneo yote ya Israel haraka ili muokoe Nafsi zenu
Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran linajiandaa na shambulizi kubwa ambalo wameliita kuwa litakuwa ni shambulizi la Kutoa adhabu kwa Adui Israel. Kutokana na hilo imewataka Walowezi wa Kizayuni kutoka ndani ya Israel haraka Sana ili waokoe Nafsi zao.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt(AS):
Ghadir inachukuliwa kuwa ni harakati ya kuunganisha Uislamu | Kama Kusingekuwa na Ghadir, Uislamu Halisi ungeamizwa na Bani Umaiyya na Bani Abbas
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (AS): Kabla ya Mapinduzi, walikisema haiwezekani kuwepo kwa Mapinduzi ya Kiislamu, na wanachuoni hawakufikiri kwamba mabadiliko makubwa yangetokea nchini Iran, bali Mapinduzi ya Kiislamu yalikuwepo na yalishinda, na hayo yalikuwa ni Mapinduzi yaliyoongozwa na Kiongozi Muadhamu, na kila kitu kuhusu Mapinduzi hayo kilikuwa ni ufunuo kwa dini, kwamba hayo si chochote ila ni muujiza na kazi ya Mwenyezi Mungu.
-
Nchi 11 zalaani uvamizi wa Israel dhidi ya Iran katika kikao cha Baraza la Magavana
Katika taarifa ya nchi kumi na moja wanachama wa Bodi ya Magavana, inachukulia kuwa "shambulio lolote la silaha au tishio dhidi ya vituo vya nyuklia vinavyotolewa kwa madhumuni ya amani ni ukiukaji wa kanuni za Mkataba wa Umoja wa Mataifa, sheria za kimataifa na Mkataba wa Shirika la IAEA."
-
Waisraeli 24 wauawa na 592 kujeruhiwa katika mashambulizi ya makombora ya Iran katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu
Ofisi ya habari ya Israel imeripoti kuwa, tangu kuanza mashambulizi ya makombora mazito ya Jamhuri ya Kiislamu ndani ya Palestina inayokaliwa kwa mabavu, Wazayuni 24 wameuawa na wengine 592 wamejeruhiwa.
-
Uchokozi wa Israel: Rais wa Iran aitaka Iraq kulinda mipaka yake, anga
Picha ya mchanganyiko inawaonyesha Rais wa Iran Masoud Pezeshkian (Kulia) na Waziri Mkuu wa Iraq Muhammad Shayya al-Sudani.
-
Safari za ndege zimehairishwa hadi ilani nyingine/Shule, Misikiti, na njia za chini ya ardhi zitafunguliwa kwa umma saa 24 kwa siku kuanzia leo usiku
Msemaji wa Serikali amesema: "Hakuna shida katika kusafirisha bidhaa, dawa, chakula, na mahitaji ya watu, haswa mafuta."
-
Iran inaendelea Kuichakaza Israel kwa Makombora Hatari ya Balistiki
Wazayuni wanahaha na kutangatanga baada ya Iran kutuma shambulizi la wimbi jipya la Makombora ya Balistiki.
-
Wimbi la Makombora ya Iran Limelenga Ngome za Israel
Mashambulizi haya ya makombora ya balestiki yamesababisha hali ya taharuki kubwa, huku ving’ora vya hatari vikipigwa kote katika maeneo ya utawala huo ghasibu.
-
Mashambulizi makubwa ya makombora ya Iran dhidi ya Israel, watu 204 wameuawa na kujeruhiwa, uharibifu mkubwa usiokuwa na kifani katika Mji wa Tel Aviv
Iran, kuanzia usiku wa jana hadi sasa, imevurumisha takriban makombora ya masafa marefu 200 kuelekea malengo mbalimbali katika maeneo ya kati na kaskazini mwa Israel.
-
Tamko la Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) kuhusu mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) imesisitiza katika tamko lake kwamba: kuanzisha vita dhidi ya Iran ya Kiislamu ni sawa na kuvamia harem (makao matakatifu) ya Ahlul-Bayt (a.s). Katika hali hii, wanaharakati wote wa haki duniani, hasa mashirika na jumuiya zilizo chini ya mwavuli wa Ahlul-Bayt na wale wanaohusishwa na Jumuiya hii, wanaweza sasa kwa sauti kubwa kuliko wakati wowote kusema wazi kuwa utawala wa Kizayuni ni wa kigaidi na mvamizi. Aidha, taifa la Iran, likiwa limeungana zaidi na thabiti kuliko wakati wowote, litatoa jibu kali na la wazi kwa utawala huu wa kihalifu na muuaji wa watoto.
-
Brigedia Jenerali Sayyid Majid Mousavi Ateuliwa Kuongoza Kikosi cha Anga cha IRGC
Katika amri rasmi ya uteuzi, Ayatullah Khamenei amesisitiza umuhimu wa: Kuimarisha uwezo wa makombora na ndege zisizo na rubani
-
Maneno ya Ayatullah Ustadh Abdullah Jawadi Amuli: “Rudisha jiwe, kokote kule lilipotoka"
Ujumbe wa muhimu wa Ayatollah Jawad Amuli kuhusu Jinai ya Kizayuni dhidi ya Iran umetolewa hivi punde.
-
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Utawala wa Kizayuni Lazima Usubiri Adhabu Kali – Mkono wa Nguvu wa Jeshi la Iran Hautauacha Salama
Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu: Mkono wa Nguvu wa Jeshi la Kiislamu Hautauacha Utawala wa Kizayuni - Kwa idhini ya Mwenyezi Mungu
-
Kiongozi Mkuu: Msimamo Usioyumba wa Taifa la Iran Ni Ishara ya Uwezo na Dhamira ya Kitaifa – Wabunge Wahimizwa Kulinda Hadhi ya Bunge la Kiislamu
Katika mkutano na Spika na wabunge wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Iran Haijawahi Kuyumba Mbele ya Mashinikizo ya Kimataifa".
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Haki za Nyuklia za Iran Lazima Ziheshimiwe Katika Mazungumzo
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran: Uhuru wa Kisiasa ni Asili ya Sera ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu – Haki za Nyuklia Lazima Zihifadhiwe Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mazungumzo maalum amesisitiza kuwa uhuru wa kisiasa ni nguzo kuu ya sera ya kigeni ya Iran, akieleza kuwa taifa hilo limekuwa likijitahidi daima kujiepusha na utegemezi au kuingiliwa na madola ya kigeni.
-
Rais wa Baraza la Wawakilishi la Iran Awasilisha Zawadi ya Familia ya Shahidi Soleimani kwa Rais Maduro wakati wa Ziara Caracas
Rais wa Bunge | Baraza la wawakilishi la Iran akutana na Rais Maduro Caracas, na kumkabidhi sanamu ya Jenerali Shahidi Qasem Soleimani, iliyotumwa na familia ya Shahidi Soleimani kama zawadi.