shirika la habari la abna
-
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran | Atoa Onyo kwa Marekani : "Hatutavumilia ukiukwaji wa sitisho la mapigano, Sisi sio kama Lebanon"
Kauli hii ni onyo kali kwa Marekani na washirika wake dhidi ya uvunjaji wowote wa makubaliano ya amani au usitishaji wa mapigano katika muktadha wa mvutano wa kijeshi unaoendelea katika eneo.
-
Arubaini Iwe Sauti ya Umoja wa Kiislamu na Upinzani (Muqawamah) Dhidi ya Ubeberu na Uistikbari wa Kimataifa - Rais wa Waqfu Iran
“Arubaini ya mwaka huu inapaswa kuleta tumaini kwa Waislamu na kuwavunja nguvu maadui. Umoja ndiyo njia ya wokovu kwa Ulimwengu wa Kiislamu na Bendera ya Mapambano dhidi ya mfumo wa kishetani lazima ibaki juu.”
-
Madrasa Hazrat Zainab (sa) | Dini na Afya: Dkt. Beshteri Azungumzia Umuhimu wa Lishe Sahihi kwa Muislamu
Dkt. Beshteri alieleza kuhusu adabu za kula chakula kulingana na mafundisho ya Imam Ja’far Sadiq (a.s), akitaja riwaya mbalimbali zinazoelekeza namna bora ya kula kwa mujibu wa maadili ya Kiislamu.
-
Jeshi la Yemen Latangaza Awamu ya Nne ya Kufunga Njia za Baharini, Latoa Onyo kwa Ndege Zinazosaidia Israel
Ndege yoyote, iwe ya kijeshi au kibiashara, itakayojihusisha na shughuli za kusaidia Israel, tutaiangamiza. Itaingia kwenye historia.
-
Wanasayansi wa Iran Watumia AI Kuboresha Picha za Setilaiti na Takwimu za Anga
Wachambuzi wanasema kuwa hatua hii inaweza kuongeza uwezo wa Iran katika usalama wa kitaifa, usalama wa chakula, na uchunguzi wa hali ya mazingira, sambamba na kuipa nafasi ya kushindana katika teknolojia ya anga kimataifa.
-
Hospitali ya Ebrahim Hajji Charitable Healthcare Yatangaza Upimaji Bure wa Saratani Kwa Wananchi - Dkt. Molloo Aeleza Mpango Kabambe
“Upimaji wa Saratani tofauti kama ya shingo ya kizazi, matiti, na tezi dume kwa wanaume utafanyika bure kabisa. Wengine watapata matibabu hapo hapo na wale wanaohitaji huduma maalum zaidi watapewa rufaa,” alisema Dkt. Molloo.
-
Zaidi ya Watu 10,000 Wanufaika na Huduma za Afya za Khoja Shia Ithnasheri Jamaat – Mwenyekiti Dewji Afichua Mafanikio
Khoja Shia Ithnasheri Jamaat Nchini Tanzania imeendeleza Utaratibu wake wa kutoa Huduma za Afya kwa Maelfu. Dewji ametoa Takwimu Kamili juu ya hilo.
-
Ayatollah Sistani Aitaka Dunia ya Kiislamu Kuchukua Hatua Haraka Kuhusu Njaa Inayoikumba Gaza
Kauli ya Ayatollah Sistani inakuja wakati ambapo mashirika ya misaada ya kibinadamu yanaonya kuwa njaa inasambaa kwa kasi kote Gaza, huku takwimu za Umoja wa Mataifa zikionesha kuwa karibu watu nusu milioni wanakumbwa na viwango vya juu vya njaa kali.
-
Wanasayansi wa China Watengeneza Bomu Jipya Lenye Nguvu Bila Mionzi ya Nyuklia
Habari njema ni kuwa, kwa kuwa bomu hili si la nyuklia, halitoi mionzi yoyote hatari ya sumaku au ya miale ya nyuklia. Teknolojia hii mpya inaweza kubadilisha matumizi ya silaha za nguvu zisizo za nyuklia katika siku zijazo.
-
Rais wa Iran: Mashambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya Iran Yameleta Umoja wa Kitaifa Usio na Mfano
"Leo tunashuhudia kwa macho yetu kuwa kila Muirani - awe ni mfuasi wa Serikali au mpinzani wake - amekuwa sauti moja katika kutetea hadhi, uhuru, na mamlaka ya nchi yetu".
-
Swala ya Ijumaa - Madrasa Hazrat Zainab (sa) - Kigamboni | Changamoto za Kijamii Zinazotokana na Kuachana na Mafundisho ya Dini
Sala ilisaliwa kwa nidhamu kubwa na utulivu wa hali ya kiroho, na iliacha athari kubwa kwa washiriki wote katika ibada hii.
-
Mafanikio Makubwa ya Iran: Yarusha Satelaiti (Nahid-2) katika Obiti na Kufanikiwa Kutesti Kombora la Khorramshahr-5 lenye uwezo wa kufika hadi 12000KM
Iran imejiweka kwenye orodha ya mataifa 9 duniani yaliyofanikiwa kubuni, kutengeneza na kurusha satelaiti yake kwa uwezo wa ndani kabisa.
-
Dua ya Nudba Yasomwa kwa Hisia Kuu na Mabinti wa Madrasa ya Hazrat Zainab (SA) Kigamboni – Wakiadhimisha Mapenzi kwa Imam wa Zama (a.t.f.s)
"Dua ya Nudba ni kilio cha roho inayotamani haki irejee. Ni kilio cha wale waliomsubiri Imam wao wa Zama kwa subira na msimamo."
-
Imam Sajjad (a.s): Mlinzi wa Ujumbe wa Karbala kwa Dua, Subira na Ukweli – Sheikh Athman Akbar
Sheikh Athman Akbar alihimiza jamii ya Kiislamu kuiga nyayo za Imam Sajjad (a.s) kwa kuitumia dua kama silaha ya kiroho, kuimarisha subira katika majaribu, na kusimamia ukweli mbele ya dhulma ili kuendeleza ujumbe wa Karbala katika zama zote.
-
Sayyid Abdul Malik al-Houthi, amesema: "Fungueni njia kuelekea Palestina. Yemen iko tayari Kijeshi kwenda kuisaidia Palestina"
"Huu ni wakati wa Jihad, na taifa letu la Yemen liko tayari kwa mamia ya maelfu ya wapiganaji kuisaidia Palestina.
-
Mwanamke Mmoja akamatwa kwa tuhuma za kujaribu kumuua Netanyahu
Duru za Israel zimeripoti kukamatwa kwa Mwanamke mmoja kwa tuhuma za kujaribu kumuua Waziri Mkuu wa utawala huo haram wa kizayuni.
-
Makala Maalum | Amri ya Julani kwa vikosi vyake Kuondoka kutoka Suwayda Ilikuwa Inatarajiwa
Mzozo wa Suwayda: Hatari ya Mgawanyiko Mkubwa Syria Kati ya Makundi Yenye Uhusiano na Israel
-
Pezeshkian: Madai ya Trump kuhusu kukomesha mpango wa Nyuklia wa Iran ni Udanganyifu
Katika mahojiano na gazeti la Al-Jazeera, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran sambamba na kusisitiza utayarifu wake wa kukabiliana na utawala wa Kizayuni, aliyataja mazungumzo ya kuhitimisha mpango wa nyuklia wa Iran kuwa ni ndoto na njozi. Aidha, alisema: Hatutaki Vita, lakini Tuko Tayari Kujilinda kwa Nguvu Zetu Zote.
-
Wataalamu wa Kieneo katika Mahojiano na ABNA: Njaa ya kimfumo dhidi ya watu wa Gaza ni uhalifu usio na kifani na doa la aibu juu ya uso wa Binadamu
Jinai za uharibifu kamili wa ardhi, watu na kila dalili za maisha katika ardhi za Palestina inayokaliwa kwa mabavu (na Utawala wa Kizayuni) zinaakisi matamanio ya jeshi la Netanyahu kuwa tawi la uhalifu wa kimataifa katika ardhi za Kiislamu.
-
Tamko la Maulamaa 100 wa Ulimwengu wa Kiislamu: Trump na Netanyahu ni Maadui wa Mwenyezi Mungu
Marekani na Israel ni wakiukaji wakubwa wa Haki za Binadamu na waendelezaji wa vita visivyo halali dhidi ya Mataifa ya Kiislamu (Palestina, Yemen, Lebanon, Iraq, Iran n.k).
-
Marekani Yarejea Katika “Sheria ya Msituni” - Jarida la Focus: "Tehran Yaelekea Kuwa Hatari"
Marekani na Israel wametikisa utaratibu wa Dunia ulioanzishwa baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia, kwa kuvunja Mamlaka ya Mataifa, kupuuza Diplomasia, na kurejea kwenye hali ya "Sheria ya Msituni".
-
Shehena ya Mirungi kutoka Kenya Yanaswa Baharini na Polisi Tanga Katika Msako Maalum
Jeshi linasisitiza ushirikiano kati ya wananchi na vyombo vya dola katika kukomesha biashara na usafirishaji wa dawa za kulevya nchini.
-
Kukamatwa kwa Mawakala 87 wa Utawala wa Kizayuni katika Mkoa wa Lorestan, Magharibi mwa Iran
Watu hao 87 waliotiwa mbaroni wanatuhumiwa kwa kueneza hofu miongoni mwa raia, kufanya vitendo vya uharibifu, kuwasiliana na mashirika ya kijasusi ya kigeni, na kumiliki vilipuzi.
-
Araghchi: Shambulizi la Israel kwa Wanaotafuta Msaada wa Chakula Gaza ni Uhalifu wa Vita wa Dhahiri
Watoto milioni 1 wako hatarini kufa kwa njaa Gaza huku Israel ikiendeleza mzingiro: UNRWA
-
Hatima ya Watesi wa Ahlul-Bayt (a.s) | Waliomuua Imam Hussein (a.s) na Historia ya Kisasi na Kuangamizwa kwao
Wauaji wa Imam Hussein (as) walipata mmoja mmoja Hukumu za Kidunia kwa kumwaga Damu Takatifu ya Mjukuu wa Mtume Muhammad (saww) katika Ardhi ya Karbala
-
Njia ya Karbala: Safari ya Kiroho Isiyoisha - Kila Hatua ni Mstari wa Mapenzi kwa Hussein (a.s)
Safari ya Arubaini katika Ardhi ya Karbala, inatengeneza Ukaribu wa Kiroho na Hussein (a.s) Katika Kila Hatua unayoipiga ukielekea kumzuru Aba Abdillah Al-Hussein (as).
-
"Wema Hauozi, Dhambi Haisahauliki, Allah Hafi, Utalipwa kama Ulivyotenda" | Ni Maneno Mazito kutoka katika Vyanzo vya Kiislamu
Maneno haya ni wito wa kutuweka kwenye mstari wa Ucha Mungu, uwajibikaji wa nafsi, na kujiepusha na dhambi kwa kutambua kuwa hakuna kisichojulikana mbele ya Mwenyezi Mungu (swt).
-
Zanzibar | Rais Mwinyi Atoa Wito wa Kuendelea Kuliombea Taifa Amani
Alisema: “Kila ninapopata nafasi ya kuzungumza na Wananchi, nitaendelea kusisitiza juu ya umuhimu wa amani na utulivu kwa sababu ndiyo njia pekee ya kuhakikisha tunapata maendeleo.”
-
Katuni ikionyesha "Shambulizi dhidi ya Iran: Jinsi Lilivyoanza na Jinsi Lilivyomalizika!"
Mushikamano na Umoja wa Wananchi wa Taifa la Iran ndio Siri ya Mafanikio na Ushindi Mkubwa dhidi ya Adui wa Iran na Ummah wa Kiislamu kwa ujumla.
-
Kiongozi wa Shirika la Awqaf la Iran: Arubaini ya Mwaka Huu Itakuwa na Sura ya Kupinga Uzayuni - Iran ni A'shura ya Dunia ya Leo
Arubaini ya mwaka huu si tu tukio la ibada bali ni ujumbe wa mapambano ya kimaanawi na kisiasa. Iran inachukua nafasi ya kiashura ya dunia, ambapo uongozi, mshikamano, na upinzani dhidi ya dhulma vinaonyeshwa kwa njia halisi.