Shirika la Habari la Kimatifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Redio ya Utawala wa Kizayuni imeripoti kwamba: Kufuatia shambulizi la Makombora ya Iran yaliyofyatuliwa leo hii katika maeneo tofauti, madhara na uharibi mkubwa umejiri katika sehemu kadhaa za Tev Aviv Kuu, Haifa, na Mji wa Nes Tsiuna.
Viongozi wa Kizayuni bado hawajatoa takwimu kuhusu vifo vinavyowezekana, lakini vyanzo vya ndani vinaripoti kwamba maeneo hayo yote yanawaka moto na uharibifu mkubwa umejitokeza.
Your Comment