-
special-issueYemen yaachia kombora la Hipersoniki kulenga kituo cha kijeshi cha Wazayuni katika eneo la Negev
Jeshi la Missili la Jeshi la Silaha la Yemen limetekeleza operesheni ya kijeshi ikilenga Kituo cha Anga cha Nevatim katika eneo la Negev, kusini mwa Palestina iliyokaliwa, kwa kutumia kombora la hipersoniki la balistiki.
-
special-issueUkabidhi wa Hiari wa Silaha Parachinar; Hatua Muhimu kuelekea Amani Endelevu
Baada ya utekelezaji wa Mkataba wa Amani wa Kohat, Waislamu wa madhehebu ya Shia katika wilaya ya Kurram, eneo la Parachinar nchini Pakistan, wamekabidhi silaha zao kwa hiari kwa wawakilishi wa jeshi na maafisa…
-
special-issueWashindi wa Tuzo ya Amani ya Nobel watoa wito wa kukomeshwa mauaji ya kimbari huko Gaza
Washindi wanane wa Tuzo ya Amani ya Nobel wametoa wito wa dharura wa kukomeshwa mara moja mauaji ya kimbari yanayofanywa na Israel huko Gaza na kuhitimisha kukaliwa kwa mabavu ardhi ya Palestina.
-
special-issueRipota Maalumu wa UN: Hali ya kibinadamu Ghaza ni mbaya mno
Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa amesema leo Jumamosi kwamba hali ya kibinadamu huko Ghaza ni mbaya sana.
-
special-issueShoigu: Russia inaweza kutumia silaha za nyuklia kukabiliana na mashambulio ya Magharibi
Katibu wa Baraza la Usalama la Russia Sergei Shoigu amesema, Moscow ina haki ya kutumia silaha za nyuklia katika kukabiliana na mashambulio ya nchi za Magharibi.
-
special-issue“Wewe ni Mwislamu? Mwisho wa Mazungumzo”: Kesi ya ubaguzi katika uuzaji wa gari Marekani
Mmarekani mwenye asili ya Kiarabu amefungua kesi ya ubaguzi dhidi ya Shirika la Big Jay’s Auto Sales huko Shelby Township, Michigan, Marekani akidai kwamba mfanyakazi wa shirika hilo alitoa matamshi ya udhalilishaji…
-
special-issueIsrael katika ghadhabu baada ya ICC kukataa kusitisha hati za kukamatwa Netanyahu na Gallant
Uamuzi wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) wa kukataa ombi la Israel la kusitisha utekelezaji wa hati za kukamatwa Waziri Mkuu wa utawala huo, Benjamin Netanyahu na aliyekuwa Waziri wa Ulinzi, Yoav Gallant umeikasiri…
-
special-issueAl-Jolani: Syria iko tayari kuanzisha uhusiano rasmi na Israel 'kwa masharti sahihi'
Rais wa mpito wa Syria Al-Jolani amesema yuko tayari kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel. Hayo ni kwa mujibu wa barua inayoripotiwa kuwa ameituma kwa Rais wa Marekani Donald Trump.
-
special-issueMhariri Mkuu wa Middle East Eye: Harakati ya HAMAS katu haitasalimu amri
David Hearst, Mhariri Mkuu wa tovuti ya habari ya Middle East Eye amesema, Muqawama ndio njia pekee iliyobaki kwa ajili ya kukomesha ughasibu na kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
special-issuePigo la Yemen kwa Wall Street; Hisa za silaha za Marekani zaporomoka
Viwanda vya kutengeza silaha vya Marekani vimezidi kupata hasara kutokana na Yemen kufunga Bahari Nyekundu isitumiwe na meli za Marekani, za Israel na chombo chochote cha baharini kinachoupelekea vitu utawala wa…
-
special-issueIsrael imeua watoto 17,954 Wapalestina tangu ianzishe mauaji ya kimbari Gaza
Jeshi katili la utawala wa Kizayuni wa Israel limeua watoto Wapalestina wasiopungua 17,954 tangu lianzishe vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya Ukanda wa Gaza.
-
special-issueAnsarullah: Hasira ya Netanyahu ni furaha kwetu
Harakati ya Ansarullah ya Yemen imeeleza kuridhishwa kwake na hatua ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, kulaani mashambulizi yanayotekelezwa na Jeshi la Yemen dhidi ya ngome za Isarel katika ardhi zinazokaliwa…