ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
  • Kiongozi wa Ansarullah apongeza taifa la Iran kwa kuvuruga ya Israel na Marekani

    Kiongozi wa Ansarullah apongeza taifa la Iran kwa kuvuruga ya Israel na Marekani

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen amewapongeza wananchi wa Iran kwa namna walivyokabiliana na njama zilizopangwa na Marekani pamoja na Israel.

    2026-01-18 23:07
  • Tukio adhimu la kubaathiwa Mtume Muhammad SAW

    Tukio adhimu la kubaathiwa Mtume Muhammad SAW

    Jumamosi tarehe 27 Rajab 1447 Hijria sawa na Januari 17 mwaka 2026 Miladia inasadifiana na siku ya Kubaathiwa Mtume Muhammad SAW. Hii ni siku muhimu na ya kipekee katika Uislamu.

    2026-01-18 23:05
  • Wanazuoni wa ulimwengu wa Kiislamu watoa tamko dhidi ya Trump huku wakimuunga mkono Imam Khamenei

    Wanazuoni wa ulimwengu wa Kiislamu watoa tamko dhidi ya Trump huku wakimuunga mkono Imam Khamenei

    Wanazuoni na wasomi wa Ulimwengu wa Kiislamu, katika taarifa yao, wameonyesha kuunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khamenei, kufuatia machafuko ya hivi karibuni nchini, huku wakitoa tamko linalomtaja rais Trump wa Marekani kama mtu “muhrib”

    2026-01-18 23:04
  • Kiongozi wa Ansarullah apongeza taifa la Iran kwa kuvuruga ya Israel na Marekani

    serviceKiongozi wa Ansarullah apongeza taifa la Iran kwa kuvuruga ya Israel na Marekani

    Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen amewapongeza wananchi wa Iran kwa namna walivyokabiliana na njama zilizopangwa na Marekani pamoja na Israel.

    18 Januari 2026 - 23:07
  • Tukio adhimu la kubaathiwa Mtume Muhammad SAW

    special-issueTukio adhimu la kubaathiwa Mtume Muhammad SAW

    Jumamosi tarehe 27 Rajab 1447 Hijria sawa na Januari 17 mwaka 2026 Miladia inasadifiana na siku ya Kubaathiwa Mtume Muhammad SAW. Hii ni siku muhimu na ya kipekee katika Uislamu.

    18 Januari 2026 - 23:05
  • Wanazuoni wa ulimwengu wa Kiislamu watoa tamko dhidi ya Trump huku wakimuunga mkono Imam Khamenei

    special-issueWanazuoni wa ulimwengu wa Kiislamu watoa tamko dhidi ya Trump huku wakimuunga mkono Imam Khamenei

    Wanazuoni na wasomi wa Ulimwengu wa Kiislamu, katika taarifa yao, wameonyesha kuunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khamenei, kufuatia machafuko ya hivi karibuni…

    18 Januari 2026 - 23:04
  • Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran limevunja mgongo wa fitina kwa umoja

    special-issueKiongozi Muadhamu: Taifa la Iran limevunja mgongo wa fitina kwa umoja

    Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema Iran inamtambua Rais wa Marekani, Donald Trump, kama mhusika mkuu wa mauaji na uharibifu katika ghasia za hivi karibuni hapa nchini.

    18 Januari 2026 - 23:03
  • Wanazuoni wa Kishia na Kisunni  wapongezwa kwa kuunga mkono Uongozi wa Kiislamu Iran

    special-issueWanazuoni wa Kishia na Kisunni wapongezwa kwa kuunga mkono Uongozi wa Kiislamu Iran

    Jukwaa la Umoja na Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu Duniani, (WFPIST) limepongeza msimamo wa kuunga mkono uliotolewa na wanazuoni na wasomi wa Kishia na Kisunni kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia machafuko…

    18 Januari 2026 - 23:02
  • Maonyesho ya “Shahidi wa Qur’ani” yafanyika Yemen

    special-issueMaonyesho ya “Shahidi wa Qur’ani” yafanyika Yemen

    Maonyesho yenye kichwa “Shahidi wa Qur’ani” yameandaliwa katika mkoa wa al-Hudaydah, Yemen, yakitoa heshima kwa Sayyid Hussein Badreddin al-Houthi, ambaye nchini humo anajulikana kama shahidi wa Qur’ani.

    18 Januari 2026 - 23:01
  • special-issueMikutano ya Wanaompenda Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu

    Tarehe 27 ya mwezi wa Rajab katika kalenda ya Hijria Qamaria (17 Januari 2026), ilikuwa siku tukufu ya Maba’ath, siku ambayo Muhammad (SAW) aliteuliwa na Mwenyezi Mungu kuwa Mtume Wake wa mwisho.

    18 Januari 2026 - 22:59
  • China yakataa kutumia mfano wa shambulio la Marekani dhidi ya Venezuela kurejesha Taiwan

    special-issueChina yakataa kutumia mfano wa shambulio la Marekani dhidi ya Venezuela kurejesha Taiwan

    Serikali ya China imekataa kutumia mfano wa shambulio la Marekani dhidi ya Venezuela kwa ajili ya kurejesha kisiwa cha Taiwan kinachojitawala.

    7 Januari 2026 - 14:02
  • Makamu wa Mwenyekiti wa Baraza la Mpito: Saudi Arabia imefanya uhalifu wa kivita nchini Yemen

    special-issueMakamu wa Mwenyekiti wa Baraza la Mpito: Saudi Arabia imefanya uhalifu wa kivita nchini Yemen

    Hani bin Brik, makamu wa mwenyekiti wa Baraza la Mpito la Kusini mwa Yemen, ameishambulia Saudi Arabia na kutaja vitendo vya nchi hiyo kusini mwa Yemen kama usaliti, uvunjaji wa ahadi na uhalifu wa kivita.

    7 Januari 2026 - 14:02
  • Baraza la Mpito la Yemen lakanusha kutoroka kwa Al-Zubaidi

    special-issueBaraza la Mpito la Yemen lakanusha kutoroka kwa Al-Zubaidi

    Baraza la Mpito la Kusini mwa Yemen (STC) limekanusha kutoroka kwa mwenyekiti wake, Aidarus al-Zubaidi, likidai kuwa anaendelea na majukumu yake mjini Aden.

    7 Januari 2026 - 14:01
  • Jeshi la Kizayuni ladai kuwaua wanachama 2 wa Hezbollah kusini mwa Lebanon

    special-issueJeshi la Kizayuni ladai kuwaua wanachama 2 wa Hezbollah kusini mwa Lebanon

    Jeshi la utawala wa Kizayuni limedai kuwa limewaua wanachama wawili wa Hezbollah ya Lebanon katika shambulio lake la jana kwenye eneo la Khirbet Selm kusini mwa Lebanon.

    7 Januari 2026 - 14:01
  • Seneta wa Marekani: Kukamatwa kwa Maduro na Marekani ni kinyume cha sheria

    special-issueSeneta wa Marekani: Kukamatwa kwa Maduro na Marekani ni kinyume cha sheria

    Seneta wa Marekani amekosoa kitendo kisicho cha kisheria cha Rais wa nchi hiyo cha kumteka nyara Nicolas Maduro.

    6 Januari 2026 - 12:05
Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom