-
special-issueZaidi ya watu 200 Wamepoteza Maisha Katika Ajali Mbaya ya Ndege ya Abiria ya Air India, Mjini Ahmedabad
Ndege hiyo ilitangaza hali ya dharura muda mfupi baada ya kupaa, lakini mawasiliano yakakatika haraka.Picha zilizotumwa mtandaoni zinaonyesha moshi mkubwa ukifuka kutoka eneo la ajali.
-
special-issueVideo | Picha za kupendeza za mahudhurio ya watoto Yatima elfu moja katika Haram Tukufu ya Baba wa Watoto Yatima, Imam Ali (as)
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul Bayt (as) -ABNA- Wakati wa Siku Tukufu za Kusherehekea Sikukuu ya Ghadiir , Watoto Yatima elfu moja wamehudhuria katika Haramu Tukufu ya Baba wa Mayatima, Imamu Ali (a.s).
-
special-issueMlipuko Mkubwa Watokea Katika Mji wa Bamiyan, Afghanistan
Taarifa kuhusu majeruhi au vifo: Hadi sasa, hakuna taarifa rasmi kuhusu kiwango cha majeruhi au uharibifu wa mali, na mamlaka ya polisi ya Taliban mjini Bamiyan haijatoa tamko lolote rasmi kuhusiana na tukio hili.
-
special-issueHamas: Dhana ya Netanyahu ya "ushindi kamili" ni ndoto tu
Harakati ya Hamas imesisitiza kuwa upinzani dhidi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia umeanzisha vita vya kuvunja nguvu za adui, ambapo kila siku wanatumia mbinu mpya za uwanjani kumshangaza adui.
-
special-issueIdadi ya waliouawa Gaza imefikia watu 54,880 | Hali ni mbaya sana na watu wengi wanahitaji msaada wa kibinadamu
Hali ya Gaza inaendelea kuwa mbaya kutokana na mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni. Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa ndani ya saa 24 zilizopita watu 108 wamepoteza maisha na wengine 393…
-
special-issueMamilioni ya Waislamu nchini Iran na duniani kote waadhimisha Sikukuu ya Idul Adh'ha
Mamilioni ya Waislamu nchini Iran na sehemu mbalimbali za dunia leo wameaadhimisha Sikukuu ya Idul Adh'ha , moja ya sikukuu muhimu zaidi katika kalenda ya Kiislamu ,kwa sala, sadaka, na desturi ya kuchinja kwa…
-
special-issueZaidi ya watoto 40,000 wabakia mayatima Gaza kutokana na vita vya Israel
Zaidi ya watoto 40,000 wanaripotiwa kuabakia mayatima katika Ukanda wa Gaza kutokana na hujuma na vita vya utawala haramu wa Israel katika Ukanda huo.
-
special-issueWanamapambano wa Palestina Gaza waua makomandoo watano wa jeshi la Israel
Wanamapambano watano wanaopigania ukombozi wa Palestina huko Gaza wamewaua na kuwajeruhi makomandoo kadhaa wa jeshi katili la Israel katika shambulio la kushtukiza dhidi ya vikosi vya utawala uvamizi wa Israel,…
-
special-issueMashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza yaendelea wakati Waislamu wakiadhimisha Eid al-Adha huku ikinukia harufu ya damu
Sambamba na maadhimisho ya Sikukuu ya Eid al-Adha, Ukanda wa Gaza kwa mara nyingine umeshuhudia mashambulizi makali na ya umwagaji damu kutoka kwa jeshi la utawala wa Kizayuni.
-
special-issueUNICEF: Takriban watoto milioni 4 wa Afghanistan hawana fursa ya kupata elimu
UNICEF imetangaza hivi karibuni kuwa takriban watoto milioni 4 nchini Afghanistan hawapati elimu kutokana na uhaba wa shule, huduma za afya, na walimu wenye sifa.
-
special-issueRipoti Pichani | Majlisi za Kuadhimisha Shahada ya Imamu Muhammad Al-Baqir (AS) huko Kabul - Afghanistan
Kulingana na Ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul Bayt (as) -ABNA- , sherehe za kuadhimisha shahada ya Imamu Muhammad Baqir (as) zilitangazwa katika Hawza ya Kidini ya Risalat Mjini Kabul, zikihudhuriwa…
-
special-issueUkurasa wa Ukandamizaji wa Usalama huko Bahrain: Vita vya Serikali dhidi ya Wananchi vinaendelea
Serikali ya Bahrain imezidisha tena juhudi zake za kiusalama, kuanzisha wimbi jipya la ukandamizaji, kuwakamata na kuweka vizuizi vikali dhidi ya wapinzani, wanaharakati na hata wananchi wa kawaida; mkakati ambao…