ABNA swahili
  • HABARI KAMILI
  • HABARI MUHIMU
  • Iran
  • ASIA
  • ULAYA
  • AMERIKA
  • AFRIKA
  • PICHA
  • MAKALA
العربية English فارسی Türkçe اردو Español bahasa Indonesia हिन्दी français 汉语 русский Deutsch Melayu Hausa বাংলা Азәрбајҹан Азәрбајҹан әлифбасы Kiswahili မြန်မာဘာသာ bosanski português سورانی 日本語 Kurmancî Pilipinas Тоҷик italiano 한국어
×
  • Zaidi ya watu 200 Wamepoteza Maisha Katika Ajali Mbaya ya Ndege ya Abiria ya Air India, Mjini Ahmedabad

    Zaidi ya watu 200 Wamepoteza Maisha Katika Ajali Mbaya ya Ndege ya Abiria ya Air India, Mjini Ahmedabad

    Ndege hiyo ilitangaza hali ya dharura muda mfupi baada ya kupaa, lakini mawasiliano yakakatika haraka.Picha zilizotumwa mtandaoni zinaonyesha moshi mkubwa ukifuka kutoka eneo la ajali.

    2025-06-12 23:46
  • Video | Picha za kupendeza za mahudhurio ya watoto Yatima elfu moja katika Haram Tukufu ya Baba wa Watoto Yatima, Imam Ali (as)

    Video | Picha za kupendeza za mahudhurio ya watoto Yatima elfu moja katika Haram Tukufu ya Baba wa Watoto Yatima, Imam Ali (as)

    Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul Bayt (as) -ABNA- Wakati wa Siku Tukufu za Kusherehekea Sikukuu ya Ghadiir , Watoto Yatima elfu moja wamehudhuria katika Haramu Tukufu ya Baba wa Mayatima, Imamu Ali (a.s).

    2025-06-11 17:54
  • Mlipuko Mkubwa Watokea Katika Mji wa Bamiyan, Afghanistan

    Mlipuko Mkubwa Watokea Katika Mji wa Bamiyan, Afghanistan

    Taarifa kuhusu majeruhi au vifo: Hadi sasa, hakuna taarifa rasmi kuhusu kiwango cha majeruhi au uharibifu wa mali, na mamlaka ya polisi ya Taliban mjini Bamiyan haijatoa tamko lolote rasmi kuhusiana na tukio hili.

    2025-06-11 17:08
  • Zaidi ya watu 200 Wamepoteza Maisha Katika Ajali Mbaya ya Ndege ya Abiria ya Air India, Mjini Ahmedabad

    special-issueZaidi ya watu 200 Wamepoteza Maisha Katika Ajali Mbaya ya Ndege ya Abiria ya Air India, Mjini Ahmedabad

    Ndege hiyo ilitangaza hali ya dharura muda mfupi baada ya kupaa, lakini mawasiliano yakakatika haraka.Picha zilizotumwa mtandaoni zinaonyesha moshi mkubwa ukifuka kutoka eneo la ajali.

    12 Juni 2025 - 23:46
  • Video | Picha za kupendeza za mahudhurio ya watoto Yatima elfu moja katika Haram Tukufu ya Baba wa Watoto Yatima, Imam Ali (as)

    special-issueVideo | Picha za kupendeza za mahudhurio ya watoto Yatima elfu moja katika Haram Tukufu ya Baba wa Watoto Yatima, Imam Ali (as)

    Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul Bayt (as) -ABNA- Wakati wa Siku Tukufu za Kusherehekea Sikukuu ya Ghadiir , Watoto Yatima elfu moja wamehudhuria katika Haramu Tukufu ya Baba wa Mayatima, Imamu Ali (a.s).

    11 Juni 2025 - 17:54
  • Mlipuko Mkubwa Watokea Katika Mji wa Bamiyan, Afghanistan

    special-issueMlipuko Mkubwa Watokea Katika Mji wa Bamiyan, Afghanistan

    Taarifa kuhusu majeruhi au vifo: Hadi sasa, hakuna taarifa rasmi kuhusu kiwango cha majeruhi au uharibifu wa mali, na mamlaka ya polisi ya Taliban mjini Bamiyan haijatoa tamko lolote rasmi kuhusiana na tukio hili.

    11 Juni 2025 - 17:08
  • Hamas: Dhana ya Netanyahu ya "ushindi kamili" ni ndoto tu

    special-issueHamas: Dhana ya Netanyahu ya "ushindi kamili" ni ndoto tu

    Harakati ya Hamas imesisitiza kuwa upinzani dhidi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia umeanzisha vita vya kuvunja nguvu za adui, ambapo kila siku wanatumia mbinu mpya za uwanjani kumshangaza adui.

    8 Juni 2025 - 17:52
  • Idadi ya waliouawa Gaza imefikia watu 54,880 | Hali ni mbaya sana na watu wengi wanahitaji msaada wa kibinadamu

    special-issueIdadi ya waliouawa Gaza imefikia watu 54,880 | Hali ni mbaya sana na watu wengi wanahitaji msaada wa kibinadamu

    Hali ya Gaza inaendelea kuwa mbaya kutokana na mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa Kizayuni. Wizara ya Afya ya Palestina imetangaza kuwa ndani ya saa 24 zilizopita watu 108 wamepoteza maisha na wengine 393…

    8 Juni 2025 - 17:46
  • Mamilioni ya Waislamu nchini Iran na duniani kote waadhimisha Sikukuu ya  Idul Adh'ha

    special-issueMamilioni ya Waislamu nchini Iran na duniani kote waadhimisha Sikukuu ya Idul Adh'ha

    Mamilioni ya Waislamu nchini Iran na sehemu mbalimbali za dunia leo wameaadhimisha Sikukuu ya  Idul Adh'ha , moja ya sikukuu muhimu zaidi katika kalenda ya Kiislamu ,kwa sala, sadaka, na desturi ya kuchinja kwa…

    6 Juni 2025 - 21:37
  • Zaidi ya watoto 40,000 wabakia mayatima Gaza kutokana na vita vya Israel

    special-issueZaidi ya watoto 40,000 wabakia mayatima Gaza kutokana na vita vya Israel

    Zaidi ya watoto 40,000 wanaripotiwa kuabakia mayatima katika Ukanda wa Gaza kutokana na hujuma na vita vya utawala haramu wa Israel katika Ukanda huo.

    6 Juni 2025 - 21:37
  • Wanamapambano wa Palestina Gaza waua makomandoo watano wa jeshi la Israel

    special-issueWanamapambano wa Palestina Gaza waua makomandoo watano wa jeshi la Israel

    Wanamapambano watano wanaopigania ukombozi wa Palestina huko Gaza wamewaua na kuwajeruhi makomandoo kadhaa wa jeshi katili la Israel katika shambulio la kushtukiza dhidi ya vikosi vya utawala uvamizi wa Israel,…

    6 Juni 2025 - 21:36
  • Mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza yaendelea wakati Waislamu wakiadhimisha Eid al-Adha huku ikinukia harufu ya damu

    special-issueMashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza yaendelea wakati Waislamu wakiadhimisha Eid al-Adha huku ikinukia harufu ya damu

    Sambamba na maadhimisho ya Sikukuu ya Eid al-Adha, Ukanda wa Gaza kwa mara nyingine umeshuhudia mashambulizi makali na ya umwagaji damu kutoka kwa jeshi la utawala wa Kizayuni.

    6 Juni 2025 - 15:15
  • UNICEF: Takriban watoto milioni 4 wa Afghanistan hawana fursa ya kupata elimu

    special-issueUNICEF: Takriban watoto milioni 4 wa Afghanistan hawana fursa ya kupata elimu

    UNICEF imetangaza hivi karibuni kuwa takriban watoto milioni 4 nchini Afghanistan hawapati elimu kutokana na uhaba wa shule, huduma za afya, na walimu wenye sifa.

    3 Juni 2025 - 17:26
  • Ripoti Pichani | Majlisi za Kuadhimisha Shahada ya Imamu Muhammad Al-Baqir (AS) huko Kabul - Afghanistan

    special-issueRipoti Pichani | Majlisi za Kuadhimisha Shahada ya Imamu Muhammad Al-Baqir (AS) huko Kabul - Afghanistan

    Kulingana na Ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul Bayt (as) -ABNA- , sherehe za kuadhimisha shahada ya Imamu Muhammad Baqir (as) zilitangazwa katika Hawza ya Kidini ya Risalat Mjini Kabul, zikihudhuriwa…

    3 Juni 2025 - 16:21
  • Ukurasa wa Ukandamizaji wa Usalama huko Bahrain: Vita vya Serikali dhidi ya Wananchi vinaendelea

    special-issueUkurasa wa Ukandamizaji wa Usalama huko Bahrain: Vita vya Serikali dhidi ya Wananchi vinaendelea

    Serikali ya Bahrain imezidisha tena juhudi zake za kiusalama, kuanzisha wimbi jipya la ukandamizaji, kuwakamata na kuweka vizuizi vikali dhidi ya wapinzani, wanaharakati na hata wananchi wa kawaida; mkakati ambao…

    3 Juni 2025 - 16:12
Shirika la Habari la Ahlul-Bayt (a.s); Abna Sauti ya Mashia wasio na Vyombo vya Habari.
Desktop version Mobile version

Nukuu ya "Maudhui" inaruhusiwa bila kutaja chanzo

Nastooh Saba Newsroom