-
special-issueWafanyakazi 300 wa Google wapinga kuiuzia Israel teknlojia ya AI, inatumika kuua raia Gaza
Wafanyakazi karibu 300 wa Kampuni ya Google nchini Uingereza wamepinga uamuzi wa kampuni hiyo wa kuuza teknolojia ya akili mnemba (AI) kwa makampuni ya usalama yenye uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel na…
-
special-issueMwislamu auawa Ufaransa, muuaji alirekodi uhalifu huo na kumtukana Mungu
Muislamu mmoja ameuawa nchini Ufaransa baada ya kudungwa kisu takriban mara 50 na mwanamume Mfaransa mwenye chuki dhidi ya Uislamu ndani ya msikiti katika manispaa ya La Grand-Combe katika eneo la Le Gard kusini…
-
special-issuePutin aishukuru Korea Kaskazini kwa msaada wake wa kijeshi
Rais wa Russia, Vladimir Putin ametoa shukrani zake za dhati kwa wanajeshi wa Korea Kaskazini na kiongozi wa nchi hiyo, Kim Jong-un, kwa msaada na uungaji mkono wao katika operesheni ya kuzima uvamizi wa Ukraine.
-
special-issueRipoti: Gharama za kijeshi duniani zimeongezeka sana
Matumizi ya kijeshi ulimwenguni yameongezeka kwa kiwango kikubwa zaidi tangu kumalizika kwa Vita Baridi na kufikia dola trilioni 2.7.
-
special-issueUmoja wa Mataifa: Gaza itakabiliwa na hali mbaya zaidi katika siku za usoni
Umoja wa Mataifaa aumetangaza kuwa, eneo laa Ukanda waa Gazaa litakabiliwa na ahali mbaaya zaidi ya kibinadamu katika siku za usoni na kwamba, kuna haja ya kuchukuliwa hatua kuzuia kutokea hilo.
-
special-issueMakumi ya wahamiaji wa Kiafrika wauawa kwa shambulio la Marekani
Takriban wahamiaji 68 wa Afrika wameripotiwa kuuawa kufuatia shambulio la anga la Marekani dhidi ya kituo kimoja kinachodhibitiwa na Harakati ya Ansarulllah ya Yemen kaskazini-magharibi mwa nchi hiyo.
-
special-issueWatoto 1,000 wauawa Palestina katika kipindi cha wiki moja
Watoto wasiopungua 1,000 wa Kipalestina wameuawa shahidi katika kipindi cha juma moja kufuatia wimbi jipya la hujuma na unyaama wa utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Wapalestina.
-
special-issueMwanakaligrafia wa Bahrain asema kuandika Qur'an kwa mkono kumeongeza hamasa kwa Kaligrafia ya Kiarabu
Mwanakaligrafia kutoka Bahrain amesema kuwa wazo lake la kuandika Qur'ani kwa mkono limeongeza idadi ya watu wanaovutiwa na sanaa ya kaligrafia ya Kiarabu.
-
special-issueWapalestina wengine 51 wauawa shahidi katika hujuma ya kinyama ya Israel
Kwa akali Wapalaestina 50 wameuawa shahidi katika mashambulio ya kinyama ya karibuni zaidi kufanywa na jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ukanda wa Gaza huku idadi ya vifo ikiendelea kuongezeka.
-
special-issueWaandamanaji Tel Aviv watishia kumuua Netanyahu
Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel ameendelea kuandamwa na mashinikizo baada ya kufanyika maandamano mengine dhidi yake huku waandamanaji wakitishia kumuua.
-
special-issueYemen yaachia kombora la Hipersoniki kulenga kituo cha kijeshi cha Wazayuni katika eneo la Negev
Jeshi la Missili la Jeshi la Silaha la Yemen limetekeleza operesheni ya kijeshi ikilenga Kituo cha Anga cha Nevatim katika eneo la Negev, kusini mwa Palestina iliyokaliwa, kwa kutumia kombora la hipersoniki la balistiki.
-
special-issueUkabidhi wa Hiari wa Silaha Parachinar; Hatua Muhimu kuelekea Amani Endelevu
Baada ya utekelezaji wa Mkataba wa Amani wa Kohat, Waislamu wa madhehebu ya Shia katika wilaya ya Kurram, eneo la Parachinar nchini Pakistan, wamekabidhi silaha zao kwa hiari kwa wawakilishi wa jeshi na maafisa…