habari
-
Sheikh Hemed Jalala:
Kwa nini Mashia wanatoa Salam za Krismasi kwa Wakristo?! | Pata jawabu maridhawa la swali hilo
Katika maisha ya Mtume wetu Muhammad (saww) ambaye ndiye Kiongozi wetu sisi kama Waislamu, bali Kiongozi wa walimwengu wote, tunapata mifano mingi ya uhusiano mwema na Wakristo, bali watu wote wasiokuwa Waislamu.
-
Nyuma ya Pazia la Uhalifu wa Vyombo vya Habari: Kumvunjia heshima Sayyid wa Mashahidi wa Muqawama kupitia Kituo kimoja cha Televisheni cha Kilebanon
Hivi karibuni, televisheni ya Al-Jadeed ilirusha ripoti kutoka kwenye Kaburi la Shahidi Sayyid Hassan Nasrallah, ambapo ilitoa matamshi ya matusi dhidi ya shahidi huyu wa umma. Tukio hilo liliwaudhi sana wananchi wa Lebanon na kuumiza hisia zao. Mbunge mmoja wa Lebanon alitoa onyo kali kuhusu uhalifu huu wa vyombo vya habari na athari zake kwa umoja wa kitaifa.
-
Hakim: Hashd al-Shaabi ina Jukumu la msingi katika kuilinda Iraq
Kiongozi wa Harakati ya Hekima ya Kitaifa ya Iraq amesisitiza umuhimu wa Hashd al-Shaabi katika kulinda nchi ya Iraq na ametoa wito wa kuendelezwa kwa juhudi za kiusalama pamoja na matumizi ya teknolojia za kisasa katika uwanja huo. Sayyid Ammar Hakim pia ameashiria kujitolea kwa Hashd al-Shaabi na nafasi yake katika kuleta uthabiti nchini Iraq, na amesisitiza ulazima wa kulinda heshima na sifa njema ya taasisi hiyo.
-
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s):
Mapinduzi ya Kiislamu ni miale ya fikra ya Ahlul-Bayt (a.s) / Magharibi wanapotosha Uislamu, sisi tunapaswa kusimulia ukweli halisi ulivyo
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Ahlul-Bayt (a.s) amesema kuwa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni mwangaza unaotokana na fikra na mafundisho ya Ahlul-Bayt (a.s), na kuongeza kuwa: Magharibi wanajitahidi kupotosha taswira ya Uislamu mbele ya dunia, hivyo ni jukumu letu kusimulia ukweli halisi wa Uislamu Sahihi na wa Haki kwa kutumia njia za kisasa za Mawasiliano na Vyombo vya Habari.
-
"Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Waandishi wa Habari wa Ahlul Bayt (a.s) umeanza kwa kushirikisha Wanahabari kutoka Bara la Afrika."
Mkutano wa Tatu wa Kimataifa wa Waandishi wa Habari wa Ahlul Bayt (a.s) waanza kwa ushiriki wa wanahabari na wasomi kutoka Iran na Bara la Afrika Mjini Qom
-
Matendo Mema katika Dua na Swala za Sunna (Sehemu ya 1)
Huu ni mkusanyiko uliokusanya baadhi ya matendo ya kufanya usiku na mchana, swala za Sunnah zilizopokewa, ponyo, kinga, dhikir, dua za ajabu, athari za baadhi ya Aya na ufupisho wa kuwafanyia adabu waliokufa, nimezikusanya ili niziambatanishe kwenye Mafatihul Jinani kisha kitabu kikamilike kwa njia zote na iwe na manufaa kwayo yaliyotimia.
-
Hadithi / Tukio la Kushusha Bendera ya Kuba ya Haram ya Bibi Zainab (a.s)
Imam wa Haram ya Bibi Zainab (a.s) alitangaza sababu ya kushushwa kwa bendera iliyokuwa juu ya Kuba ya Haram hiyo Tukufu.
-
Katika kongamano la Kimataifa la "Sayansi, Dini, na Akili Bandia" lililofanyika Zagreb, Shahriyari:
Akili bandia si dhana bali ni mshirika kwa Binadamu katika kila dakika ya maisha yake
Katibu Mkuu wa Umoja wa Kimataifa wa Kuleta Ukaribu wa Madhehebu ya Kiislamu alisema: Mjadala wa akili bandia ni mpana sana na unahusisha kila nyanja ya maisha ya binadamu, na kila mtu anapaswa kuuhusisha kulingana na wajibu wake mwenyewe.
-
Ukabidhi wa Hiari wa Silaha Parachinar; Hatua Muhimu kuelekea Amani Endelevu
Baada ya utekelezaji wa Mkataba wa Amani wa Kohat, Waislamu wa madhehebu ya Shia katika wilaya ya Kurram, eneo la Parachinar nchini Pakistan, wamekabidhi silaha zao kwa hiari kwa wawakilishi wa jeshi na maafisa wa serikali ya Pakistan ili kuonesha nia yao ya kutafuta amani.
-
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dr.Abubakar Zubair bin Ally, asisitiza umuhimu wa Elimu ya Dini ya Kiislamu
Elimu ya dini ni muhimu kwa msingi wa maadili mema, lakini haiwezi kuchukua nafasi ya elimu ya dunia katika maendeleo ya kiuchumi na kijamii ya taifa. “Tunapaswa kuwa na masheikh na maimamu, lakini pia tuwe na madaktari, wahandisi na wanasayansi,”.
-
Tarehe 25 Shawwal Mwaka 148 Hijiria, ulimwengu wa Kiislamu ulipatwa na Huzuni kufuatia kuondokewa na mmoja wa Ahlul-Bayti wa Mtume wa Uislamu (saww)
Licha ya kwamba Ahlul-Bayti wa Mtume (s.a.w.w) walikabiliwa na changamoto tofauti kisiasa na kijamii, lakini walijitahidi kuhakikisha wanainua bendera ya dini ya Kiislamu katika zama zao zote. Dakta Shahid Mutwahhari, mwanafikra mashuhuri wa Iran anaandika kwa kusema: " Ahlul-Bayti (a.s) walikuwa wakichunga maslahi ya Kiislamu na Waislamu kwa ujumla".
-
Kumbukumbu ya Shahada ya Imam Ja’far al-Sadiq (a.s) | Jua la Elimu na Uchaji Mungu Limezimwa
Shahada ya Imam Ja’far al-Sadiq (a.s) haikuwa tu kumpoteza kiongozi wa kiroho, bali ilikuwa ni jaribio la kuangamiza nuru ya elimu na mwongozo wa Ahlul Bayt(a.s). Hata hivyo, athari ya mafundisho yake bado inaishi hadi leo kupitia Maktaba ya Ja’fariyya, ambayo ni msingi wa Madhehebu ya Shia Ithna ‘Ashari.
-
Mkutano wa Mufti wa Burundi na Mwakilishi wa Al-Mustafa (s) Nchini Tanzania + Picha
Mufti wa Burundi akutana na kuzungumza na Hojjatul Islam wal-Muslimin, Dr.Ali Taqavi Katika Ofisi ya Al-Mustafa (s) Dar -es- Salaam - Tanzania.
-
Afrika Katika Ramani ya Utalii wa Vyakula: Tanzania Yaongoza Jitihada
Tanzania inatazamiwa kuwa mwenyeji wa Kongamano la 2 la Umoja wa Mataifa la Elimu ya Utalii kwa Afrika Mwezi Aprili 2025, likileta pamoja wataalamu wa kimataifa ili kuangazia umuhimu wa utalii wa upishi katika kukuza uchumi na kukuza urithi wa vyakula mbalimbali Barani Afrika.
-
Maandamano ya “Gaza” Islamabad: Hafidh Naeem atoa wito wa mgomo wa kitaifa na kususia bidhaa za Israel
“Tunaiheshimu nchi yetu, lakini tunataka kuwastua watawala ili wasimame na watu wa Palestina na Kashmir. Ummah wa Kiislamu umelala usingizi wa kutojali.”
-