-
Zaidi ya watu 200 Wamepoteza Maisha Katika Ajali Mbaya ya Ndege ya Abiria ya Air India, Mjini Ahmedabad
Ndege hiyo ilitangaza hali ya dharura muda mfupi baada ya kupaa, lakini mawasiliano yakakatika…
-
Video | Picha za kupendeza za mahudhurio ya watoto Yatima elfu moja katika Haram Tukufu ya Baba wa Watoto Yatima, Imam Ali (as)
Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Ahlul Bayt (as) -ABNA- Wakati wa Siku Tukufu za Kusherehekea…
-
Mlipuko Mkubwa Watokea Katika Mji wa Bamiyan, Afghanistan
Taarifa kuhusu majeruhi au vifo: Hadi sasa, hakuna taarifa rasmi kuhusu kiwango cha majeruhi…
-
Hamas: Dhana ya Netanyahu ya "ushindi kamili" ni ndoto tu
Harakati ya Hamas imesisitiza kuwa upinzani dhidi ya mauaji ya kimbari dhidi ya raia umeanzisha…
-
Idadi ya waliouawa Gaza imefikia watu 54,880 | Hali ni mbaya sana na watu wengi wanahitaji msaada wa kibinadamu
Hali ya Gaza inaendelea kuwa mbaya kutokana na mashambulizi ya hivi karibuni ya utawala wa…
-
Mamilioni ya Waislamu nchini Iran na duniani kote waadhimisha Sikukuu ya Idul Adh'ha
Mamilioni ya Waislamu nchini Iran na sehemu mbalimbali za dunia leo wameaadhimisha Sikukuu…
-
Zaidi ya watoto 40,000 wabakia mayatima Gaza kutokana na vita vya Israel
Zaidi ya watoto 40,000 wanaripotiwa kuabakia mayatima katika Ukanda wa Gaza kutokana na hujuma…
-
Wanamapambano wa Palestina Gaza waua makomandoo watano wa jeshi la Israel
Wanamapambano watano wanaopigania ukombozi wa Palestina huko Gaza wamewaua na kuwajeruhi makomandoo…
-
Mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza yaendelea wakati Waislamu wakiadhimisha Eid al-Adha huku ikinukia harufu ya damu
Sambamba na maadhimisho ya Sikukuu ya Eid al-Adha, Ukanda wa Gaza kwa mara nyingine umeshuhudia…
-
UNICEF: Takriban watoto milioni 4 wa Afghanistan hawana fursa ya kupata elimu
UNICEF imetangaza hivi karibuni kuwa takriban watoto milioni 4 nchini Afghanistan hawapati…
-
Ripoti Pichani | Majlisi za Kuadhimisha Shahada ya Imamu Muhammad Al-Baqir (AS) huko Kabul - Afghanistan
Kulingana na Ripoti ya Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul Bayt (as) -ABNA- , sherehe za…
-
Ukurasa wa Ukandamizaji wa Usalama huko Bahrain: Vita vya Serikali dhidi ya Wananchi vinaendelea
Serikali ya Bahrain imezidisha tena juhudi zake za kiusalama, kuanzisha wimbi jipya la ukandamizaji,…
-
Kiongozi wa Ofisi ya Maslahi ya Iran nchini Misri: Kwa safari ya Araghchi hadi Cairo, njia ya kuimarisha uhusiano imepata msukumo zaidi
Kiongozi wa Ofisi ya Maslahi ya Iran nchini Misri, akizungumzia ziara ya hivi karibuni ya "Sayyid…
-
Kiongozi wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan:
Watu wa Gilgit-Baltistan hawatakaa kimya mbele ya dhulma; hata wakikata shingo zetu au kukata ndimi zetu, hatutawahi kumuunga mkono dhalimu
Mwenyekiti wa Baraza la Umoja wa Waislamu wa Pakistan alisisitiza kuwa kusimama dhidi ya dhulma…
-
China: Marekani ndio chimbuko la ukosefu wa usalama Asia
Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya China imelaani matamshi ya uingiliaji mambo ya Waziri wa Ulinzi…
-
Walowezi zaidi ya 12,000 wavamia msikiti wa al-Aqswa mwezi Mei pekee
Zaidi ya walowezi 12,000 wa Kizayuni wenye misimamo ya kufurutu ada wamevamia msikiti mtakatifu…
-
Uwanja wa Ben Gurion wapigwa tena kombora la hypersonic
Jeshi la Yemen limesema kuwa limeanzisha tena operesheni mpya za kulipiza kisasi dhidi ya maeneo…
-
Hamas: Jinai za Israel Gaza zinashinda uhalifu wa Wanazi
Afisa mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amelaani shambulizi…
-
Yemen yataka makampuni ya kigeni yaondoke 'Israel', mashambulizi yatashadidi
Mwenyekiti wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen, Mahdi al-Mashat, ametoa onyo kali kwa makampuni…
-
Naeem Qassem: Misingi ya Imam Khomeini itaendelea kuwa mwanga wa njia ya mapambano
Sheikh Naeem Qassem, Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon, amesisitiza kuwa mafundisho ya Uislamu…