mashambulizi
-
Jeshi la Yemen Latangaza Awamu ya Nne ya Kufunga Njia za Baharini, Latoa Onyo kwa Ndege Zinazosaidia Israel
Ndege yoyote, iwe ya kijeshi au kibiashara, itakayojihusisha na shughuli za kusaidia Israel, tutaiangamiza. Itaingia kwenye historia.
-
Rais wa Iran: Mashambulizi ya Israel na Marekani dhidi ya Iran Yameleta Umoja wa Kitaifa Usio na Mfano
"Leo tunashuhudia kwa macho yetu kuwa kila Muirani - awe ni mfuasi wa Serikali au mpinzani wake - amekuwa sauti moja katika kutetea hadhi, uhuru, na mamlaka ya nchi yetu".
-
Katuni ikionyesha "Shambulizi dhidi ya Iran: Jinsi Lilivyoanza na Jinsi Lilivyomalizika!"
Mushikamano na Umoja wa Wananchi wa Taifa la Iran ndio Siri ya Mafanikio na Ushindi Mkubwa dhidi ya Adui wa Iran na Ummah wa Kiislamu kwa ujumla.
-
Wazayuni wanajutia vita na Iran | Nguvu ya Iran ya Kijeshi sio rahisi kuikabili
Sasa Israel imebakia kujutia na kujilaumu kuingia vitani na Iran na kukiri kuwa Nguvu ya Iran sio rahisi kuikabili. Hii ni baada ya kupata Mashambulizi makali zaidi ya Makombora ya Iran yenye uharibifu mkubwa na milipuko ya kutosha katika kila kona ya Utawala Ghasibu wa Israel.
-
Vyombo vya habari vya Kizayuni: Iran imeiongoza na kuisukuma Israel kuelekea kwenye kushindwa kimkakati
Vyombo vya habari vya Kizayuni vikichambua vimesema kuwa: Silaha za nyuklia ni hatari, lakini hisia ya ushindi katika mioyo ya maadui ni hatari zaidi.
-
Waziri Mkuu wa zamani wa Israel: "Haiwezekani kuipigisha magoti Iran"
Ehud Olmert: Ingawa mashambulizi ya anga ya Marekani kwenye vituo vya nyuklia vya Iran yanaweza kuchelewesha kwa muda mpango wa nyuklia wa nchi hiyo, lakini yatakuwa na matokeo mapana zaidi.
-
Ufafanuzi kuhusu Jibu la Iran kwa Marekani litatekelezwa kwa namna ipi? | Mpango mzima wa Iran ni kuichakaza na kuimaliza Israel - Haina pa kutokea
Iran inasisitiza kuwa vita hii itaendelea hadi utawala wa Kizayuni uangamizwe kabisa, na uingiliaji wowote wa nje utazidisha tu uhamasishaji na ukali wa mapigano ya Iran.
-
Redio ya Israel: "Uharibifu Mkubwa umetokea Tel Aviv, Haifa, na Nes Tsiuna baada ya Kushambuliwa na Makombora ya Iran
Viongozi wa Kizayuni bado hawajatoa takwimu kuhusu vifo vinavyowezekana, lakini vyanzo vya ndani vinaripoti kwamba maeneo hayo yote yanawaka moto na uharibifu mkubwa umejitokeza.
-
Yemen: Ikiwa Marekani itaingia vitani dhidi ya Iran ili kuisaidia Israel, tutashambulia Meli zake katika Bahari Nyekundu
"Yemen haitasalia kuishia kutizama na kutojali uchokozi wowote dhidi ya nchi ya Kiislamu."
-
Mshauri wa zamani wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani: Msihadaike, hali ya "Israeli" ni mbaya zaidi kuliko watu wanavyodhani
"Israeli" haikuwa tayari na majibu ya Iran.
-
Sheikh al-Azhar, Ahmad al-Tayeb, amelaani vikali mashambulizi ya uchokozi ya Israel dhidi ya Iran
Kimya cha jumuiya ya kimataifa kuhusu uonevu na uchokozi huu na kukosekana kauli za kuuzuwia, kinachukuliwa kuwa ni ushiriki katika jinai hizo, na matokeo yake pekee yatakuwa ni tishio kwa usalama wa dunia nzima. Vita havizai amani."
-
Taarifa kutoka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kuhusu Wimbi la 17 la Mashambulizi Mchanganyiko dhidi ya Utawala wa Kizayuni
Vituo hivi vimekuwa kitovu cha uovu dhidi ya wadhulumiwa wa Gaza, Lebanon, Yemen, na pia katika vita vilivyowekwa kwa uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran tangu Kimbunga cha Al-Aqsa kilipoanza.
-
Onyo la Jeshi la Iran kwa Walowezi wa Israel | Ondokeni katika Maeneo yote ya Israel haraka ili muokoe Nafsi zenu
Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran linajiandaa na shambulizi kubwa ambalo wameliita kuwa litakuwa ni shambulizi la Kutoa adhabu kwa Adui Israel. Kutokana na hilo imewataka Walowezi wa Kizayuni kutoka ndani ya Israel haraka Sana ili waokoe Nafsi zao.
-
Baqaei: Kushambulia hospitali ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa na uhalifu wa kivita
Akilaani shambulio la kombora la utawala haramu wa Kizayuni katika Hospitali na Kituo cha Tiba cha Farabi huko Kermanshah, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo ameandika: "Mashambulizi dhidi ya hospitali pamoja na mashambulizi katika maeneo ya makazi ya watu ni ukiukaji mkubwa wa sheria za kimataifa na jinai ya kivita."
-
Mashambulio ya kinyama ya utawala wa Kizayuni katika baadhi ya Makazi ya raia Jijini Tehran
Katika siku ya tatu ya uvamizi wake dhidi ya nchi yetu, utawala haramu wa Kizayuni ulilenga baadhi ya maeneo ya Tehran katika mfululizo wa mashambulizi makali.
-
Safari za ndege zimehairishwa hadi ilani nyingine/Shule, Misikiti, na njia za chini ya ardhi zitafunguliwa kwa umma saa 24 kwa siku kuanzia leo usiku
Msemaji wa Serikali amesema: "Hakuna shida katika kusafirisha bidhaa, dawa, chakula, na mahitaji ya watu, haswa mafuta."
-
Wimbi la Makombora ya Iran Limelenga Ngome za Israel
Mashambulizi haya ya makombora ya balestiki yamesababisha hali ya taharuki kubwa, huku ving’ora vya hatari vikipigwa kote katika maeneo ya utawala huo ghasibu.
-
Mashambulizi makubwa ya makombora ya Iran dhidi ya Israel, watu 204 wameuawa na kujeruhiwa, uharibifu mkubwa usiokuwa na kifani katika Mji wa Tel Aviv
Iran, kuanzia usiku wa jana hadi sasa, imevurumisha takriban makombora ya masafa marefu 200 kuelekea malengo mbalimbali katika maeneo ya kati na kaskazini mwa Israel.
-
Brigedia Jenerali Sayyid Majid Mousavi Ateuliwa Kuongoza Kikosi cha Anga cha IRGC
Katika amri rasmi ya uteuzi, Ayatullah Khamenei amesisitiza umuhimu wa: Kuimarisha uwezo wa makombora na ndege zisizo na rubani
-
Mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza yaendelea wakati Waislamu wakiadhimisha Eid al-Adha huku ikinukia harufu ya damu
Sambamba na maadhimisho ya Sikukuu ya Eid al-Adha, Ukanda wa Gaza kwa mara nyingine umeshuhudia mashambulizi makali na ya umwagaji damu kutoka kwa jeshi la utawala wa Kizayuni.
-
Mwakilishi wa Palestina katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa: "Fanikisha kuwasukuma Waisraeli kusitisha mauaji ya kimbari yanayoendelea"
Mwakilishi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa amemshitaki utawala wa Kizayuni wa Israel kwa ukiukaji wa sheria za kimataifa na hukumu za Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICC), na kuhimiza hatua madhubuti kutoka kwa nchi za dunia ili kuzuia uhalifu unaoendelea wa utawala huo katika Ukanda wa Gaza. Ametoa msisitizo kuwa mashambulizi yanayofanywa mara kwa mara na Israel dhidi ya raia wasio na hatia na kuzuia misaada ya kibinadamu kuingia, ni hali inayotakiwa kupokelewa kwa uzito mkubwa na jamii ya kimataifa.
-
India na Pakistan Wakubaliana Kuwarudisha Wanajeshi katika Mipaka ya Awali Kabla ya Mvutano wa Kijeshi
New Delhi na Islamabad Wakubaliana Kuwarejesha Wanajeshi wao katika Nafasi za Kabla ya Mapigano. India na Pakistan wamefikia makubaliano ya kijeshi ya kurejesha vikosi vyao katika mojawapo ya maeneo ya mpaka yaliyokuwa na mvutano, hali ambayo ilizidi kuwa mbaya baada ya shambulio la kigaidi la tarehe 22 Aprili huko Kashmir. Makubaliano haya yamefikiwa baada ya kuongezeka kwa mivutano na mashambulizi ya kuvukiana mipaka, na yanakusudia kupunguza hali ya hatari ya kijeshi kati ya nchi hizo mbili. Kwa mujibu wa taarifa rasmi, urejeshaji wa wanajeshi kwenye nafasi za awali unatarajiwa kukamilika kufikia mwisho wa mwezi Mei.
-
Morocco; Imeshuhudia Mikusanyiko 105 ya Kuunga Mkono Palestina
Al Jazeera Qatar imeripoti kuwa, (mikusanyiko) maandamano 105 yalifanyika katika miji 58 ya Morocco katika kuwaunga mkono watu wanaodhulumiwa wa Gaza.
-
Zaidi ya watu 25 waliouawa Shahidi na wengine kujeruhiwa katika shambulio la Marekani katika eneo la Magharibi mwa Yemen
Idadi ya Mashahidi katika shambulio la jana usiku la Marekani katika Mkoa wa Hodeidah Magharibi mwa Yemen imeongezeka na kufikia watu 10, na zaidi ya watu 16 wameripotiwa kujeruhiwa.
-
Kuuawa Shahidi kwa Wapalestina 15 wakati wa Shambulio la bomu kwenye jengo moja huko Gaza / Hakuna mahali salama huko Gaza
Mashambulio ya kikatili ya utawala wa Kizayuni huko Ghaza yameendelea hivi leo, na kwa sababu hiyo Wapalestina wengi zaidi wameuawa Shahidi.
-
Shambulio baya la jeshi la Kizayuni kwenye Kliniki (Zahanati) ya Umoja wa Mataifa Kaskazini mwa Gaza
Shambulio la Wazayuni katika Zahanati moja katika Ukanda wa Gaza limepelekea kuuawa Shahidi watu kadhaa wakiwemo watoto.
-
Hassan Badir, Afisa wa Dawati la Palestina la Hezbollah ya Lebanon auawa Shahidi
Utawala wa Kizayuni ulilenga nyumba ya makazi na baadhi ya watu wa familia ya Hassan Badir pia walikuwa ndani ya nyumba hiyo wakati wa jinai hiyo ya Wazayuni.
-
Mashambulizi ya roketi kutoka Ukanda wa Gaza kuelekea maeneo yanayokaliwa kwa mabavu
Makazi ya Wazayuni ya "Sadirot" yalilengwa kwa shambulio la roketi.
-
Ilitajwa katika Salamu ya Eid al-Fitr:
Kiongozi wa Ansarullah: Watu wa Yemen wanashikamana na kadhia ya Palestina
Akitoa salamu za pongezi za Eid al-Fitr, Sayyid Abdul Malik al-Houthi alisema: "Watu wa Gaza hawakufunga tu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, bali pia walipata heshima ya Jihadi na Upinzani (Muqawamah) dhidi ya wavamizi."
-
Mgogoro wa Kibinadamu huko Gaza; Papa Francis ametoa wito wa kusitishwa kwa kudumu kwa mapigano huko Gaza
Akielezea wasiwasi wake kuhusu hali ya kibinadamu huko Gaza, Papa Francis amesisitiza kwamba jumuiya ya kimataifa inapaswa kukabiliana na mgogoro huu na kusaidia watu wasio na hatia.