21 Juni 2025 - 22:21
Nchi kadhaa zaukimbia Moto wa Jahannam uliwaoshwa kwa Makombora ya Iran ndani Utawala Haram wa Kizayuni

Wafunga balozi zao na kutoa wafanyakazi wao kukimbia kutoka kwenye ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel baada ya kushuhudia Moto wa Jahannam ukiwaka kwenye Makombora ya Iran.

Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul-Bayt (as) -ABNA- Ifuatayo listi ya nchi kadhaa zilizofunga balozi zao na kutoa wafanyakazi wao kutoka kwenye ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na Israel baada ya kushuhudia Moto wa Jahannam kwenye Makombora ya Iran.

Nchi kadhaa zaukimbia Moto wa Jahannam uliwaoshwa kwa Makombora ya Iran ndani Utawala Haram wa Kizayuni

Nchi hizo ni hizi zifuatazo:

• Marekani  
• Uingereza  
• Ujerumani  
• Ufaransa  
• Hispania  
• Italia  
• China  
• Korea Kusini  
• Ugiriki  
• Jamhuri ya Slovakia  
• Jamhuri ya Chekia  
• Ureno  
• Ubelgiji  
• Syria  
• Romania
• Jamhuri ya Slovenia  
• Albania  na
• Poland.

Tags

Your Comment

You are replying to: .
captcha