balozi
-
Balozi wa Iran Nchini Kenya azungumzia: Kukuza Uhusiano wa pande mbili kati ya Iran na Kenya, Umoja wa Kiislamu na Mauaji ya Halaiki Ghaza
Mahojiano hayo yalitoa taswira ya msimamo wa Iran kuhusu masuala ya kimataifa na njia za kuimarisha ushirikiano na nchi za Kiafrika.
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini | "Tunasimama bega kwa bega na Iran"
Amesisitiza kuwa: Serikali na wananchi wa Afrika Kusini wanalaani vitendo vya kinyama vya utawala wa kibaguzi wa Israel dhidi ya wananchi wa eneo la kikanda hususan watu wa Palestina, Lebanon na Iran.
-
Nchi kadhaa zaukimbia Moto wa Jahannam uliwaoshwa kwa Makombora ya Iran ndani Utawala Haram wa Kizayuni
Wafunga balozi zao na kutoa wafanyakazi wao kukimbia kutoka kwenye ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Israel baada ya kushuhudia Moto wa Jahannam ukiwaka kwenye Makombora ya Iran.
-
Ripoti ya Mahudhurio ya Wasomaji wa Qur'an wa Programu ya "Mahfali" nchini Tanzania
Katika hafla hii Tukufu ya Qur’an, wasomaji wa Kiirani walioshiriki ni pamoja na Ustadh Shakernejad, Ustadh Abolghasemi, Qari kijana Mohammad Hossein Azimi, na Muhanna Ghanbari – ambaye ni mhifadhi wa Qur’an nzima.
-
Iran yarusha Kombora la Michezo Kenya | Ni katika Kuimarisha Uhusiano Kupitia Michezo – Kati ya Iran na Kenya
Akizungumza katika kipindi cha Sports Extravaganza kinachorushwa na TV47 na kuendeshwa na Tony Kwalanda, Dkt. Gholampour alisema kuwa michezo ni daraja muhimu la kuunganisha mataifa na jamii.
-
Mshauri wa Utamaduni wa Ubalozi wa Iran, Nairobi Dkt. Ali Pourmarjan amtembelea Mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Usawa wa Jinsia ya Kenya Mhe. Rehema
Dk. Pourmarjan, mtetezi kwa bidii wa elimu, alieleza dhamira ya Ubalozi wa Iran Nchini Kenya kuwa ni kutoa ufadhili wa masomo kwa Wanafunzi wanaoishi katika mazingira magumu, kwa lengo la kuwapa fursa bora zaidi kwa maisha yao bora ya baadaye.
-
Tangazo la Urusi la kuwa tayari kupatanisha Pakistan na Afghanistan
Wakati mvutano kati ya Pakistan na Afghanistan ukiendelea, Balozi wa Urusi nchini Pakistan alitangaza utayari wa nchi yake kutatua mivutano hii.