Marekani
-
Raundi ya Nne ya Mazungumzo kati ya Iran na Marekani Kufanyika Jumatano, Mei 7, 2025
Kwa mujibu wa Mwandishi wa Wall Street Journal, muda unaotarajiwa kwa ajili ya mazungumzo yajayo ni tarehe 7 Mei, 2025 (Siku ya Jumatano).
-
Adui amechanganyikiwa na ana hofu kuhusu maendeleo ya Jamhuri ya Kiislamu / Kudumisha utayari wa hali ya juu na uboreshaji wa maunzi na programu
Ayatullah Khamenei amehusisha hasira za watu wasio na mapenzi mema (wenye nia mbaya) na mabishano yao kwenye vyombo vyao vya habari kuwa ni kuzidisha maendeleo ya Iran na kusema: "Wanabainisha mambo (matakwa) ambayo ni sehemu ya matamanio yao kwa anuani kuwa ni habari na uhakika, na ni lazima kubuni njia za kukabiliana na dhana na propaganda hizi."
-
Gaza katika moto, dunia katika ukimya; Wanazuoni wa Bahrain wanapiga kelele / wanapaza sauti dhidi ya jinai na ulegevu wa aibu wa nchi za Kiislamu
Huku Ghaza ikipamba moto kutokana na uvamizi wa utawala ghasibu wa Kizayuni, wanazuoni wa Bahrain kwa kauli iliyo wazi wamepongeza kusimama kidete wananchi wa Palestina na kulaani mauaji ya kudumu na kimya cha kutisha cha taasisi za kimataifa na nchi za Kiarabu.
-
Kushindwa kwa Marekani nchini Yemen kumezusha wasiwasi miongoni mwa nchi za Kiarabu. Nini kitatokea ikiwa San'a itakuwa Mamlaka yenye Nguvu Kikanda?
Kwa kuzingatia chaguzi ndogo za Amerika, mashaka yameongezeka miongoni mwa maadui wa Yemen katika nchi za Ghuba ya Uajemi, na hii imefanya kazi ya vyombo vyao vya habari - ambavyo vinaendana kikamilifu na (riwaya) simulizi ya Marekani na Israel - kuwa ngumu; Hadi wanakimbilia kuwatuhumu “Ansarullah” kwa kutumia vita vibaya.
-
Wito wa Maandamano kufuatia Mashambulizi ya kikatili ya utawala wa Kizayuni
Kufuatia mashambulio hayo ya kinyama ya utawala wa Kizayuni, Baraza la Uratibu wa Tabligh za Kiislamu limetoa taarifa likiwaalika Wananchi Watukufu wa Tehran kushiriki katika maandamano yatakayofanyika kesho katika Medani ya Palestina.
-
Safari ya Netanyahu kuelekea Marekani imeisha kwa kasi isiyo ya kawaida!
Chombo cha Habari cha Kiebrania kilifichua sababu iliyomfanya Waziri Mkuu wa Israel kuitwa katika Ikulu ya White House kukutana na Rais wa Marekani.
-
Netanyahu amesafiri njia ndefu kutoka Budapest hadi Washington ili kukwepa kukamatwa
Vyombo vya habari vya Israel vimetangaza leo kwamba kutokana na hati ya kukamatwa iliyotolewa dhidi ya Waziri Mkuu wa utawala huu, ndege iliyombeba ilibidi ichukue njia ndefu zaidi kuelekea Washington.
-
Kielezo cha Maandishi cha Hotuba ya Kiongozi wa Mapinduzi katika Khutba zake mbili za Sala ya Eid al-Fitr
Kiongozi Muadhamu alieleza msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusiana na vitisho vya maadui katika Khutba za Sala ya Eid al-Fitr.
-
Ndege nyingine isiyo na rubani ya Marekani imetunguliwa ndani anga la Yemen
Ndege ya kijeshi isiyo na rubani ya Marekani imdunguliwa katika mMkoa wa Marib.
-
Kiongozi wa Mapinduzi: Ikiwa Amerika itafanya jambo lolote ovu, litajibiwa vikali
Ayatollah Khamenei amesema kuhusu misimamo ya vitisho ya hivi karibuni ya Marekani: Kwanza, iwapo uovu utafanywa kutoka nje, jambo ambalo bila shaka halina uwezekano mkubwa, kwa hakika watajibiwa kwa kupigwa kwa pigo kali , na pili, ikiwa adui anafikiria kuzusha mpasuko (fitna) kwa ndani, kama ilivyokuwa katika baadhi ya miaka ya nyuma, Taifa litatoa jibu kali kwa waasi (wapenzi wa fitna) kama ilivyokuwa kwa miaka hiyo.
-
Idadi ya Mashahidi wa Mauaji ya Kimbari ya Israel huko Gaza imezidi Mashahidi elfu 50
Idadi ya Mashahidi wa vita vya Gaza imepita watu 50,000 na wengi wa wahasiriwa ni Watoto na Wanawake.
-
Mashambulizi ya anga ya Marekani nchini Yemen yameingia wiki ya pili / Mashambulio makubwa ya mabomu katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Hodeidah
Mji wa Hodeidah ulioko Magharibi mwa Yemen umelengwa na mashambulizi makubwa ya mabomu ya jeshi la Marekani.
-
Wamarekani wanapaswa kujua: Vitisho havipeleki popote; Kofi kali la usoni ni jibu la uovu wowote
Ayatollah Khamenei amesisitiza kuwa, Wamarekani wanapaswa kujua kwamba kamwe hawatafika popote kwa vitisho dhidi ya Iran na akasema: Wao na wengine wanapaswa kujua kwamba iwapo watafanya jambo lolote ovu kwa Taifa la Iran, watapigwa kofi kali.
-
Ayatollah Nouri Hamedani: Utawala wa Kizayuni unaoua watoto kwa mara nyingine tena umeonyesha kwamba hauzingatii ahadi zozote
Ayatollah Nouri Hamedani ametoa ujumbe akilaani jinai za hivi karibuni za Marekani na utawala wa Kizayuni na kusema: Leo hii utawala wa Kizayuni unaoua watoto kwa mara nyingine umeonyesha tena kwamba haufuatilii (na hauzingatii) ahadi zozote na unavunja ahadi (mapatano) kirahisi.
-
Sayyid Abdul Malik al-Houthi: Meli za Marekani ni marufuku pia kupita Bahari Nyekundu
Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema: Tutajibu ongezeko la mvutano kwa ongezeko la mvutano. Kuanzia sasa, sambamba na kupiga marufuku kupita kwa meli za Israeli katika Bahari Nyekundu, kupita kwa meli za Marekani pia ni marufuku.
-
Onyo la Baraza la Wawakilishi la Yemen: Vikosi vya jeshi vitajibu ipasavyo
Baraza la Wawakilishi la Yemen limetoa taarifa likionya kuhusu matokeo ya hujuma za Marekani na Uingereza dhidi ya raia wa nchi hii.
-
Araqchi: Amerika haina haki ya kulazimisha (na kuelekeza) sera ya kigeni ya Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Washington haina haki ya kulazimisha siasa za nje za Iran, na kuitaka kusimamisha mara moja mauaji yake kwa watu wa Yemen.
-
Ansarullah: Tutabaki na Gaza kwa gharama yoyote ile
Mjumbe Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Ansarullah amesisitiza kuwa, Yemen haitaacha kuiunga mkono Palestina kwa gharama yoyote ile na akasema: Kila mtu anajua kuwa Yemen ni Mwaminifu katika kujibu hujuma ya adui, na Marekani inapaswa kusubiri jibu la Yemen.