Kijeshi
-
Katika Hotuba Kabla ya Ajenda:
Vita vya Ndani vya Sudan Vingia Katika Awamu Muhimu ya Kimaamuzi / Al-Fashir Iweka Alama ya Mabadiliko Katika Hesabu za Kijeshi
Mgogoro kati ya Jeshi la Sudan na Vikosi vya “Rapid Support” umeanza tena katika mji wa Al-Fashir, kaskazini mwa Jimbo la Darfur Magharibi.
-
Magaidi 10, Wakiwemo Wanawake Wawili, Watekwa na Shirika la Taarifa za Kijajusi la Kijeshi la Iraq
Shirika la Taarifa za Kijeshi la Iraq leo limetangaza kuwa katika operesheni mbalimbali za kiusalama, limefanikiwa kuchukua watu 10 wa kigaidi katika maeneo mbalimbali ya nchi, wakiwemo wanawake 2.
-
Falme za Kiarabu, mkono wa Washington na Tel Aviv katika vita ya kijasusi dhidi ya Yemen
Falme za Kiarabu, kwa kubadilisha kambi zake za kijeshi za zamani katika Shabwah na Hadhramaut kuwa vituo vya kijasusi vinavyohusiana na Washington na Tel Aviv, zinacheza jukumu kubwa katika mipango mipya ya ujasusi dhidi ya Yemen.
-
Kuendelea kwa Upanuzi wa Kijeshi wa Uturuki Ndani ya Ardhi ya Iraq
Vikosi vya uhandisi vya jeshi la Uturuki vimeanza kusimika minara ya mawasiliano ya kijeshi katika mlima wa Qandil uliopo mpakani mwa Iraq.
-
Jibu la Kabul kwa Trump: Uwepo wa Marekani nchini Afghanistan hauna uwezekano
Serikali ya Taliban imejibu kauli za Donald Trump kuhusu kurejesha kambi ya Bagram kwa kusema kuwa uwepo wa kijeshi wa Marekani nchini Afghanistan ni jambo lisilowezekana kabisa.
-
Kuanza kwa Operesheni ya Kijeshi Katika Bonde la Al-Shay, Kirkuk kwa Lengo la Kuangamiza Maficho ya ISIS
Vyanzo vya usalama vya Iraq vimetangaza kuwa operesheni maalum ya kijeshi imeanza katika sehemu ya mashariki ya Bonde la Al-Shay, karibu na mji wa Kirkuk.
-
Ufichuzi wa uvamizi mkubwa zaidi wa Jeshi la Israel ndani ya ardhi ya Syria tangu kuanguka kwa Serikali ya Bashar al-Assad
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, wanajeshi wa Israel wamedhibiti ukanda wa kilomita 10 kuanzia eneo la Golan hadi Hamat Ghadeer, na kuanzisha kambi mpya 8 za kijeshi katika eneo hilo.
-
Hezbollah: Uhalifu wa Wavamizi Dhidi ya Yemen Unaonesha Kiwango cha Kufilisika Kwao
Hezbollah imetoa tamko likisema kuwa: "Uhalifu na mashambulizi yanayofanywa na wavamizi (yaani utawala wa Kizayuni wa Israel) dhidi ya Yemen ni ishara ya wazi ya kufilisika kwao kisiasa, kiakhlaqi na kijeshi."
-
Sayyid Abdul Malik al-Houthi, amesema: "Fungueni njia kuelekea Palestina. Yemen iko tayari Kijeshi kwenda kuisaidia Palestina"
"Huu ni wakati wa Jihad, na taifa letu la Yemen liko tayari kwa mamia ya maelfu ya wapiganaji kuisaidia Palestina.
-
The New York Times: Picha za satelaiti za 2022 zimefichua vituo vitatu vipya vya vifaa vya Kimarekani magharibi mwa Saudi Arabia
Kambi hizi za kijeshi zinaonyesha maandalizi ya mzozo wa muda mrefu na Iran, wakati ambapo Washington inatafuta kuyaweka maeneo katika usalama mbali na Iran ili kuhifadhi vifaa yake vya kijeshi na kupunguza hatari ya kulengwa na kulipuliwa na Iran.
-
Uongo wa Trump kuhusu kushambulia vinu vya Nyuklia vya Iran ni Mbinu za Propaganda. Zijue mbinu hizo na jinsi zinavyotumika, hasa katika siasa
Kutumia hofu au hisia kali Kujenga hofu, hasira, au mshangao kwa ujumbe fulani kunasaidia kuimarisha ujumbe na kuufanya uonekane wa dharura au muhimu.
-
Ufafanuzi kuhusu Jibu la Iran kwa Marekani litatekelezwa kwa namna ipi? | Mpango mzima wa Iran ni kuichakaza na kuimaliza Israel - Haina pa kutokea
Iran inasisitiza kuwa vita hii itaendelea hadi utawala wa Kizayuni uangamizwe kabisa, na uingiliaji wowote wa nje utazidisha tu uhamasishaji na ukali wa mapigano ya Iran.
-
Naibu wa Vyombo vya Habari vya Harakati ya Nujaba ya Iraq katika mahojiano na ABNA:
"Mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran ni siri ya kushindwa kwa Netanyahu huko Gaza"
Dakta Hussein al-Moussawi amesema: Kufeli kwa fedheha kwa sera ya Netanyahu katika kupata ushindi wowote katika vita dhidi ya Ghaza, kushindwa kwake kudhibiti migogoro ya ndani na kujaribu kuukimbia utawala huo nje ya nchi ni sababu nyingine ya shambulio hilo dhidi ya Iran.
-
Trump: Iran ina drone hatari sana
Iran ina droni Mzuri Sana na hatari.