Donald Trump
-
Tamko la Maulamaa 100 wa Ulimwengu wa Kiislamu: Trump na Netanyahu ni Maadui wa Mwenyezi Mungu
Marekani na Israel ni wakiukaji wakubwa wa Haki za Binadamu na waendelezaji wa vita visivyo halali dhidi ya Mataifa ya Kiislamu (Palestina, Yemen, Lebanon, Iraq, Iran n.k).
-
Himaya thabiti ya Allama Sajid Naqvi kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi/Syed Khamenei Shkhsia wa Kimataifa anayeheshimika katika Ulimwengu wa Kiislamu
Akikosoa matamshi ya hivi karibuni ya kimatusi dhidi ya Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni Shakhsia mwenye hadhi ya Kimataifa katika Umma wa Kiislamu, na kauli yoyote ya kumtusi inaweza kuwa na matokeo mabaya na ya kutia wasiwasi.
-
Uongo wa Trump kuhusu kushambulia vinu vya Nyuklia vya Iran ni Mbinu za Propaganda. Zijue mbinu hizo na jinsi zinavyotumika, hasa katika siasa
Kutumia hofu au hisia kali Kujenga hofu, hasira, au mshangao kwa ujumbe fulani kunasaidia kuimarisha ujumbe na kuufanya uonekane wa dharura au muhimu.
-
CNN: "Kwa nini TRUMP analazimisha Dunia iamini kuwa aliharibu vituo vya Nyuklia vya Iran?! Kuna Lengo lipi nyuma ya Uongo wake?!"
Uongo wa Trump ni Taktiki inayojulikana kama: "uongo ukirudiwa mara nyingi huanza kuaminika," ambayo inakusudia kuathiri mtazamo wa umma na hata maamuzi ya kimataifa.
-
Imamu wa Ijumaa wa Baghdad: Waislamu wote wanapaswa kusimama na Ayatollah Khamenei
Imamu wa Ijumaa wa Baghdad ametoa taarifa yenye maneno makali kufuatia jinai ya hovyo ya Trump.
-
Uungaji mkono mkubwa wa Maraaji Taqlid kwa Ayatollah Khamenei:
Sapoti kubwa ya Marajii Taqlid wa Ulimwengu wa Kishia kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran/Jibu kali kwa manenoya udhalilishaji ya Trump
Marajii Wakuu wa Taqlid katika Ulimwengu wa Kishia, Ayatollah: Sistani, Makarem Shirazi, Nouri Hamedani, Javadi Amoli, Sobhani na Shabiri Zanjani wameshutumu katika taarifa tofauti matamshi ya udhalilishaji ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu.
-
Onyo kutoka kwa “American Conservative”: Trump anapaswa kujiepusha na uchochezi wa vita na kuzingatia diplomasia
Jarida la kihafidhina la Marekani The American Conservative limetoa onyo kwa Donald Trump, mgombea wa Urais wa Marekani mwaka 2024, likimtaka aepuke sera za kichochezi na vita, na badala yake aweke mkazo kwenye diplomasia kama njia bora ya kulinda maslahi ya Marekani. Kwa mujibu wa jarida hilo, kuendelea na mwelekeo wa kijeshi na mivutano ya kimataifa hakutasaidia Marekani, bali kutazidisha matatizo ya kiuchumi na kisiasa, na kuathiri nafasi ya taifa hilo katika uongozi wa dunia.
-
Huthi: Ziara ya Donald Trump katika Nchi za Kiarabu Ilikuwa kwa Ajili ya Kudai Hongo
Mwanachama wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen, Mohammed Ali al-Houthi, amesema kuwa baadhi ya nchi za Kiarabu zimeathiriwa na udhaifu wa kisaikolojia na shida ya kushindwa. Aliongeza kuwa nchi hizi haziwezi hata kukata uhusiano wa kidiplomasia na Israeli, jambo ambalo linaonyesha upungufu wa msimamo na ushupavu katika kushikilia mikao ya kisiasa.
-
Kiongozi wa Kishia wa Pakistan: Safari ya Rais wa Marekani katika Nchi za Kiarabu ni Dhihaka kwa Mafundisho ya Kiislamu na Heshima ya Kiislamu
Katibu Mkuu wa Wafaq ul-Madaris al-Shia wa Pakistan, Hujjatul Islam Muhammad Afzal Haidari, alielezea masikitiko yake juu ya mapokezi yaliyotolewa na nchi za Kiarabu kwa Rais wa Marekani. Alisema kuwa njia iliyotumika kumkaribisha mtu mwenye kuuhami utawala wa Kizayuni, ni ya aibu na ni dhihaka kwa mafundisho ya Kiislamu na Heshima ya Kiislamu.
-
Trump: Iran ina drone hatari sana
Iran ina droni Mzuri Sana na hatari.
-
Donald Trump na Abu Muhammad al-Julani wakutana katika Mji wa Riyadh | Mwanzo wa sura mpya katika uhusiano kati ya Damascus na Washington
Rais wa Serikali ya mpito ya Syria alikutana na Rais wa Marekani katika mji mkuu wa Saudi Arabia, Riyadh.
-
Donald Trump awasili katika Mji Mkuu wa Saudi Arabia / Kuanza kwa ziara ya kikanda ya Rais wa Marekani
Rais wa Marekani, katika mwanzo wa ziara yake ya kwanza ya nje ya nchi, amewasili katika jiji la Riyadh.
-
Safari ya Netanyahu kuelekea Marekani imeisha kwa kasi isiyo ya kawaida!
Chombo cha Habari cha Kiebrania kilifichua sababu iliyomfanya Waziri Mkuu wa Israel kuitwa katika Ikulu ya White House kukutana na Rais wa Marekani.