Donald Trump
-
Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Minnesota Afichua “Mkakati wa Kipuuzi” wa Marekani dhidi ya Iran
Anakanusha madai ya Tom Barrack kuhusu kuachwa kwa sera ya kuuangusha utawala wa Iran.
-
Trump: Kesi zote za uhamiaji zisitishwe na “watu wabaya” wafukuzwe
Kufuatia shambulio la mhamiaji wa Afghanistan dhidi ya wanachama wa Walinzi wa Kitaifa wa Marekani na kuzidi kwa hali mbaya ya hewa dhidi ya wahamiaji, Donald Trump alishambulia utawala wa Biden na kusema kwamba "watu wote wabaya" wanapaswa kufukuzwa mara moja kutoka Marekani na kwamba mapitio ya kesi za wahamiaji wote wa Afghanistan yatasitishwa.
-
Salvador Nasrallah; mgombea wa Liberal wa Honduras akikabiliana na Moncada / Ushirikisho wa Trump ukisaidia Asfura, mgombea wa mrengo wa kulia
Zaidi ya raia milioni 6.5 wa Honduras watapiga kura Jumapili hii kuamua kama mradi wa kisiasa wa mrengo wa kushoto wa Rais Xiomara Castro na mgombea wake, Rexy Moncada, utaendelea au la, au kama shinikizo la Donald Trump litaweza kumsaidia Nasry Asfura, mgombea wa mrengo wa kulia, kufanikisha ushindi.
-
Mazungumzo ya Simu kati ya Trump na Maduro Katikati ya Vitisho vya Kijeshi vya Marekani Dhidi ya Venezuela
Rais wa Marekani, Donald Trump, alifanya mawasiliano ya simu na mwenzake wa Venezuela, Nicolás Maduro, na wakajadili uwezekano wa kufanyika kwa mkutano wa ana kwa ana huko Washington, kwa mujibu wa taarifa iliyochapishwa na New York Times. Mawasiliano haya yalifanyika wakati mvutano ukiwa umeongezeka kufuatia hatua ya Marekani kupeleka majeshi yake katika eneo la Karibi na tuhuma za ulanguzi wa dawa za kulevya dhidi ya Maduro-tuhuma ambazo Venezuela huziona kama kisingizio cha kuandaa mabadiliko ya serikali.
-
Trump: Hivi karibuni tutaanzisha operesheni ya kijeshi ya ardhini nchini Venezuela
Rais wa Marekani ametangaza kuongezwa kwa mashambulizi kutoka baharini hadi ndani ya ardhi ya Venezuela, na kusema kuwa Washington “hivi karibuni sana” italenga njia za ardhini zinazotumiwa kwa magendo.
-
Mamdani: “Trump ni Mfasisti na Mwimla” — Asema Meya Mteule wa New York.Amesema bado ataendelea kuwa wazi, mkosoaji pale inapobidi, na mshirika pale ku
Kwa maneno yake: “Haki na ukweli huwa vinang’aa daima; uongo haudumu.”
-
Mkutano wa Fedha za Saudia na Madai ya Marekani Ikulu ya White House / Trump Arudia Maneno ya Kutishia dhidi ya Iran
Katika jitihada za kuimarisha uhusiano wa kifedha na kisiasa na Riyadh, Trump alimpongeza Bin Salman na hata kugusia mauaji ya mwandishi wa habari Jamal Khashoggi, akidai bila ushahidi kwamba: “Ben Salman hakuwa na taarifa yoyote kuhusu tukio hilo!”
-
Kabla ya Safari ya Bin Salman kwenda Washington;
Shinikizo la Israel kwa Trump: Kuanzisha Uhusiano wa Kawaida na Saudi Arabia ni Sharti la Uuzaji wa Ndege za Kijeshi za F-35
Vyanzo vinavyofahamu yamesema kwa tovuti ya «Axios» kwamba serikali ya Israeli, kwa kushinikiza serikali ya Donald Trump, imeweka sharti kwamba mauzo yoyote ya ndege za kijeshi za kisasa za F-35 kwenda Saudi Arabia yafanyike tu iwapo kuna «Uhusiano kamili wa kawaida wa Riyadh na Tel Aviv»; msimamo huu umetolewa kabla ya safari ya Bin Salman kwenda Washington.
-
Mtaalamu wa Lebanon azungumza na ABNA:
Kukiri kwa Trump ni ushahidi rasmi wa uvamizi dhidi ya Iran na ukiukajiwa kanuni za Umoja wa Mataifa -Ushawishi wa Marekani ndani ya Umoja wa Mataifa
Dk. Ali Matar, mhadhiri wa Sayansi ya Siasa na mtafiti wa masuala ya uhusiano wa kimataifa na sheria za kimataifa katika Chuo Kikuu cha Lebanon, amesisitiza kuwa kukiri kwa Donald Trump kuhusu ushiriki wa Marekani katika vita dhidi ya Iran ni ushahidi rasmi wa uvamizi na uvunjaji wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa.
-
Utani wa Trump kwa Balozi wa Saudi Arabia Mjini Washington umeibua mjadala mkali
Video ya hotuba ya Rais wa Marekani katika kikao kilichofanyika Miami, ambapo alitumia mtindo wa utani akimtaja Balozi wa Saudi Arabia nchini Marekani, imesambaa kwa wingi kwenye mitandao ya kijamii na kuibua maoni na mjadala mkali miongoni mwa watumiaji.
-
Wazayuni Wajibu Kauli za Trump: “Sisi Hatuko Chini ya Utawala wa Marekani!”
Hali ya sasa ya utawala wa Kizayuni (Israel) kutokana na utegemezi wake mkubwa kwa siasa za Marekani pamoja na changamoto za ndani, imegeuka kuwa moja ya hatua muhimu za kihistoria katika uhusiano wa kimataifa wa utawala huo. Mabadiliko haya yanaweza kusababisha mabadiliko ya kimkakati katika siasa za Israel na namna inavyoshirikiana na jamii ya kimataifa na Wapalestina.
-
Ayatollah Khamenei: Makubaliano ya Mabavu si Makubaliano, Bali ni Kulazimishwa — Iran Haitakubali Kulazimishwa
"Rais wa Marekani anasema anataka kufanya makubaliano na Iran; makubaliano ambayo matokeo yake yamepangwa tayari kwa njia ya vitisho na mabavu siyo makubaliano-bali ni kulazimishwa, na taifa la Iran halitakubali kulazimishwa.”
-
Je, Israil ni Nchi Huru au ni Jimbo linalotawaliwa na Marekani?
Kadiri ushawishi wa Marekani katika maamuzi ya Israil unavyozidi kufichuka, mijadala imeibuka ndani ya duru zisizo rasmi za utawala wa Kizayuni ikiuliza: “Je, Israil kweli ni nchi huru au ni jimbo linalotawaliwa na Marekani?” Zeev Elkin, Waziri wa Masuala ya Yerusalemu wa utawala wa Kizayuni, alijibu ukosoaji huu kwa kusema katika mahojiano ya vyombo vya habari kwamba uhusiano wa Israil na Marekani ni “ushirikiano wa kimkakati, si utegemezi.”
-
Mwitikio Mkubwa wa Kauli za Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Duniani: “Kiongozi wa Iran amwambia Trump: Endelea Kuota!”
Ayatollah Khamenei, akimjibu Trump, amesema: “Uliota kuwa umeangamiza nguvu za nyuklia za Iran - basi endelea kuota!”
-
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu amwambia Rais wa Marekani:
“Wewe ni nani hasa?”
Khamenei: "Rais wa Marekani alisafiri hadi Palestina iliyokaliwa kwa mabavu na kutoa maneno matupu yenye kejeli ili kuwatia moyo Wazayuni waliokata tamaa."
-
Trump Aondoka Mashariki ya Kati Bila Kujibu Maswali Muhimu
Rais wa Marekani ameondoka katika eneo hilo bila kutoa majibu kwa maswali yaliyoibuliwa kabla ya kuwasili kwake. Hali hii imeacha ukosefu wa uwazi kuhusu nia na mikakati ya Marekani katika eneo, huku wachambuzi wakibainisha kuwa maswali muhimu kuhusu sera za kisiasa na usalama hayajapatiwa majibu.
-
Sharm el-Sheikh: Dunia Iliyo Pinduliwa na Mashujaa wa Uongo / Maonyesho ya Amani kwa Ajili ya Kukwepa Haki
Mkutano wa Sharm el-Sheikh umehudhuriwa na watu kama Donald Trump, Emmanuel Macron, na viongozi wengine wa Magharibi ambao kwa hakika ni washirika wa mauaji ya halaiki ya Gaza.
-
Imamu wa Ijumaa wa Baghdad: Israel na Trump wamesalimu amri mbele ya masharti ya Muqawama huko Gaza
Ayatollah Sayyid Yasin Musawi, Imamu wa Ijumaa wa Baghdad na mmoja wa wasomi mashuhuri wa Hawza ya Najaf Ashraf, amesisitiza kuwa “tukio muhimu zaidi duniani kwa sasa ni kusalimu amri kwa Israel na Waziri Mkuu wake Benjamin Netanyahu pamoja na Rais wa Marekani Donald Trump mbele ya masharti ya Muqawama wa Kiislamu huko Gaza.” Amesema kuwa usitishaji mapigano uliotangazwa hivi karibuni ni “ushindi wa wazi wa Muqawama na matokeo ya uimara wa wananchi wa Palestina.”
-
Marekani imeweka vikwazo dhidi ya watu 100 na taasisi mbalimbali kwa sababu ya kununua mafuta kutoka Iran
Serikali ya Donald Trump imeweka vikwazo vipya dhidi ya takriban watu 100, makampuni, na meli. Watu na taasisi hizi wanashutumiwa kushiriki katika ununua na usafirishaji wa mafuta na bidhaa za petrochemical za Iran.
-
Si jambo lisilowezekana Israel kuishambulia Saudia; Riyadh imo ndani ya mradi wa ‘Israel Kubwa
Kutoa matrilioni ya dola kwa Trump na kuanzisha uhusiano wa kawaida na Israel hakukuwaletea usalama wowote Saudia na washirika wake.
-
Mashambulizi ya maneno kutoka kwa wanaharakati wa mrengo wa kulia wenye misimamo mikali dhidi ya uamuzi wa Uingereza wa kutambua rasmi Palestina.
Uamuzi wa hivi karibuni wa Uingereza kutambua Palestina rasmi umeibua mfululizo wa mwitikio mkali kutoka Marekani na Ulaya.
-
Makala Maalum | Uso Halisi wa Marekani – Donald Trump Afichua Uso wa Kweli wa Marekani - Sura ya Ubeberu Bila Kivuli!
Donald Trump kama Mwakilishi wa Wazi wa Utawala wa Marekani, Afichua Uso Halisi wa Taifa Hilo Donald Trump, aliyekuwa rais wa Marekani, alijitokeza kama mwakilishi wa bila kificho wa watawala wa Marekani, na kupitia matendo yake, aliweka wazi sura halisi ya historia na utambulisho wa nchi hiyo. Kwa hatua yake ya kubadili jina la "Wizara ya Ulinzi" kuwa "Wizara ya Vita", Trump alifichua ukweli kwamba Marekani haiko tena tayari kujificha nyuma ya maneno ya "ulinzi" na "usalama wa kimataifa". Badala yake, alionyesha kuwa taifa hilo sasa linataka kujenga dunia mpya inayozingatia sheria ya vita, si sheria za haki za binadamu au amani ya kimataifa.
-
Profesa wa Chuo Kikuu cha Columbia katika mahojiano na ABNA: Trump hana sifa ya kupokea tuzo yoyote ya amani kwa sababu ya kushambulia Iran
Profesa Robert Shapiro: Trump hajali kuhusu jinai zinazotokea Gaza. Anaunga mkono kufunguliwa mashtaka kwa viongozi wa Hamas – yeyote ambaye bado yuko hai – lakini si kwa viongozi wa Kizayuni. Yeye anaitetea kabisa Israel.
-
Trump adai: Ninashughulikia mpango wa kuwafikishia chakula watu wa Ukanda wa Gaza
"Nipo katika hatua ya maandalizi ya kuhakikisha upatikanaji wa chakula kwa watu wa Gaza"
-
Tamko la Maulamaa 100 wa Ulimwengu wa Kiislamu: Trump na Netanyahu ni Maadui wa Mwenyezi Mungu
Marekani na Israel ni wakiukaji wakubwa wa Haki za Binadamu na waendelezaji wa vita visivyo halali dhidi ya Mataifa ya Kiislamu (Palestina, Yemen, Lebanon, Iraq, Iran n.k).
-
Himaya thabiti ya Allama Sajid Naqvi kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi/Syed Khamenei Shkhsia wa Kimataifa anayeheshimika katika Ulimwengu wa Kiislamu
Akikosoa matamshi ya hivi karibuni ya kimatusi dhidi ya Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ni Shakhsia mwenye hadhi ya Kimataifa katika Umma wa Kiislamu, na kauli yoyote ya kumtusi inaweza kuwa na matokeo mabaya na ya kutia wasiwasi.
-
Uongo wa Trump kuhusu kushambulia vinu vya Nyuklia vya Iran ni Mbinu za Propaganda. Zijue mbinu hizo na jinsi zinavyotumika, hasa katika siasa
Kutumia hofu au hisia kali Kujenga hofu, hasira, au mshangao kwa ujumbe fulani kunasaidia kuimarisha ujumbe na kuufanya uonekane wa dharura au muhimu.
-
CNN: "Kwa nini TRUMP analazimisha Dunia iamini kuwa aliharibu vituo vya Nyuklia vya Iran?! Kuna Lengo lipi nyuma ya Uongo wake?!"
Uongo wa Trump ni Taktiki inayojulikana kama: "uongo ukirudiwa mara nyingi huanza kuaminika," ambayo inakusudia kuathiri mtazamo wa umma na hata maamuzi ya kimataifa.
-
Imamu wa Ijumaa wa Baghdad: Waislamu wote wanapaswa kusimama na Ayatollah Khamenei
Imamu wa Ijumaa wa Baghdad ametoa taarifa yenye maneno makali kufuatia jinai ya hovyo ya Trump.
-
Uungaji mkono mkubwa wa Maraaji Taqlid kwa Ayatollah Khamenei:
Sapoti kubwa ya Marajii Taqlid wa Ulimwengu wa Kishia kwa Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran/Jibu kali kwa manenoya udhalilishaji ya Trump
Marajii Wakuu wa Taqlid katika Ulimwengu wa Kishia, Ayatollah: Sistani, Makarem Shirazi, Nouri Hamedani, Javadi Amoli, Sobhani na Shabiri Zanjani wameshutumu katika taarifa tofauti matamshi ya udhalilishaji ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani dhidi ya Kiongozi Mkuu wa Mapinduzi ya Kiislamu.